Рет қаралды 21,680
MJUE TUTUBA, GAVANA MPYA WA BOT - NI NANI? MAJUKUMU YAKE? WATANGULIZI WAKE?...
Januari 7, 2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alimteua Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana Mpya wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Tutuba amechukua nafasi ya Profesa Florens Luoga ambaye muda wake wa utumishi umefikia kikomo.
Uteuzi wa Tutuba unakuja katika wiki ambayo kumekuwa na teuzi nyingi huku wengine wakipanda vyeo na wengine wakitoka vichwa chini kwa kutupwa nje ya mfumo wa uongozi wa Serikali.
Kabla ya kibarua chake hicho kipya, Tutuba alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango.
Ni rasmi sasa kwamba Tutuba ni Gavana wa Nane wa Benki Kuu ya Tanzania tangu kuanzishwa kwa benki hiyo iliyoanzishwa mwaka 1966.
Kabla ya Gavana Tutuba, Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imekuwa na Magavana saba na Manaibu Magavana wapatao 11.
Mbali na Gavana Tutuba, wengine waliotumikia nafasi hiyo ya Ugavana wa BOT ni Beno Ndulu (2008-2018), Daudi Balali (1998-2008), Idris Rashid (1993-1998), Gilman Rutihinda (1989-1993), Charles Nyirabu (1974-1989) na Edwin Mtei (1966 -1974).
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline