MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"

  Рет қаралды 94,323

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 64
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@IsaaclenkaiPassiany
@IsaaclenkaiPassiany 7 ай бұрын
Nakukubali sana piga kazi kamanda
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 Жыл бұрын
Umebadilika sana ww kunakitu umepata kwajili ya kutulagai watanzani
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 4 ай бұрын
Mh msukuma mim nakukubar sana kaka hata kama unaongwa lakin unajitahid kuishauli serikali wewe na mh mpina🤝🤝
@shamimageta6651
@shamimageta6651 Жыл бұрын
Safi sana
@user-jl7zm6xw2d
@user-jl7zm6xw2d 10 ай бұрын
I really love you hon. Musukuma
@user-jl7zm6xw2d
@user-jl7zm6xw2d 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@KulwaKahuzu
@KulwaKahuzu 2 ай бұрын
Nakukubali hojazako musukuma zuli sana
@browskymuba6923
@browskymuba6923 2 ай бұрын
Ndio maana huwa nasema kila siku mungu na biashara ndio kila kitu
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw 6 күн бұрын
Hata ukihongwa kwani ni vibaya kama na wao wakihitaji wakahongwe tuu
@charlesowenya2872
@charlesowenya2872 Жыл бұрын
Ungekuwa hujaongwa usinge tumia nguvu kubwa kutaja utajiri wako( something went wrong)
@joshuamtinangi6958
@joshuamtinangi6958 Жыл бұрын
Maswala ya kukadiria Kodi yanatumia vigezo viwili. 1. Mapato yako 2.Matumizi yako. Ni vizuri Msukuma awe mwangalifu kutangaza matumizi yake. Lakini hata hivyo wanaichi watafurahi walikuwa ulipaji Kodi wake.
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa msukuma najuwa unajiamini na mpambanaji
@johnmalale3860
@johnmalale3860 Жыл бұрын
Mh';:' safari za ARABUNI NDIYO MATUNDA YKE HAYO!;
@fabianjames8920
@fabianjames8920 Жыл бұрын
Mwachen msukuma
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 6 ай бұрын
Msukumaaa
@wilisonmikate1652
@wilisonmikate1652 12 күн бұрын
Kwani ukihongwa zinakataa kuingia
@user-fl4lr2lq3s
@user-fl4lr2lq3s Жыл бұрын
Hizo zakoo sisi tunaongelea taifa
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Msukuma oyee! Tunaokufahamu tunakuelewa
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Msukuma,ni tajiri mkubwa sana,kanda ya ziwa pamoja na kishimba
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 Жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa mwaya Wa kanda ya ziwa ndio tunamjua vizuri
@thebushguy5774
@thebushguy5774 10 ай бұрын
Kwani ukiwa tajiri ukipata hela ama kitu cha thamani cha haraka haraka utakataa
@blackothman7332
@blackothman7332 Жыл бұрын
Washakula pesa hao za waarabu nasemaje kwenye hili la bandari mtatuua
@maswamills3161
@maswamills3161 Жыл бұрын
Kweli MUNGU Ni mgawa riziki.
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 Жыл бұрын
Nakumbuka kipind lowasa anataka urais 2015 alienda na ndege yake ........kwenye hili wamuache tuh
@Nikolausdminde
@Nikolausdminde 6 ай бұрын
Jaman achen kumjadili msukuma anamiradi mikubwa kuliko wabunge wote ni mbunge wakuigwa
@user-ht8xe2gt3z
@user-ht8xe2gt3z 4 ай бұрын
Sawa mbunge nakuomba unisaidie kumsomesha mtto wakaka angu mzazi wake katangulia mbele za haki baba yke kavunjika anatakiwa kuwekewa chuma
@browskymuba6923
@browskymuba6923 Жыл бұрын
Tanzania kwakweli wanaletewa mambo mazuri wanaona wanapigwa hawajui hapa ilipo wanapigwa
@stephanominja8927
@stephanominja8927 11 ай бұрын
Wabunge wetu ni matajiri sana. Hata ubunge wao ni element tuu kuepuka kuumia ikitokea ajali,, lkn hawajachukua ile dhima ya kuea mbunge, yaani mwakilishi wa wanchi bungeni, kuwa msemaji wa wananchi wao jamani. Naona wengi wanaongea wao kama wao. Rudini majimboni kusanyeni maoni ya wananchi wenu mjue mbichi na mbivu. Ili mpeleke maamuzi ya kutoka kwa waliowatuma!!! Hizi mali mungu awatunzi ziongezeke kwani nayo ni fahari ya nnchi yetu. Mungu awape afya njema!!!
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Watu wanatamani watanzania Kuwa masikini.keep it up kaka ...I dislike poverty
@MohamedPaschal-wv6ss
@MohamedPaschal-wv6ss Жыл бұрын
Uko sawa king msukuma
@user-cv2gk7of7o
@user-cv2gk7of7o Жыл бұрын
Kwa jinsi ninavyokujua msukuma hapa hutupigi swagwa umepewa kitu unyamaze
@sememakolo9360
@sememakolo9360 Жыл бұрын
Acha swaga kwenye hela zetu na kuwatukana watanzania
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 Жыл бұрын
Wao kina nani wake na hoja ilhali CCM ndo tumejaa bungeni 😂😂😂😂
@user-gt8vz8ou7u
@user-gt8vz8ou7u 6 ай бұрын
😅 just q❤❤❤
@EvangelistMushiReginald
@EvangelistMushiReginald Жыл бұрын
Mwizi haibi kwa vile ni maskini Hali kadhalika rushwa haichagui kwamba huna Dhambi ni dhambi tu!
@jobjohanes9166
@jobjohanes9166 11 ай бұрын
Hanarote
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 Жыл бұрын
Wamwache msukuma hako ka gari kwake ni kama budget ya keki nyumban kwako unapo kuwa na birthday 😂 Joseph kasheku kaka Angu wamwacheeee
@mohani7390
@mohani7390 Жыл бұрын
Baada ya kupata uongozi ndo ulinunua
@abdallahomary515
@abdallahomary515 Жыл бұрын
Waarabu wameshakulambisha asali mzee, kula baba ila angalia uckate kamba, Kuna baadhi ya wabunge ni matajiri sana wanapenda kuwa wabunge Kwaajili ya kutetea maslahi ya mali zao, Yani cc sjui tumerogwa hivi wanfikiri wale jamaa wkija kuweza huku labda na cc nchi yetu itakua kama Dubai hiyo tusahau, kwanza sehemu alizo kaa mwarabu watu ni masikini na elimu duni, tena tunawarusha jamani haya ngoja tuone wakubwa wshaamua.
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Жыл бұрын
Think big mkuu
@sememakolo9360
@sememakolo9360 Жыл бұрын
Kwahiyo usiambie lolote kiss unandege na unamiliki maliki Mali
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 7 ай бұрын
Hela zetu izooo mwizi wewe
@mariamemadoshi5540
@mariamemadoshi5540 Жыл бұрын
Tumamjua msukuma anapesa akiwa hajawa mbumge anamiliki pesa na magari lowasa mwenyewe alienda kwenye Jimbo lake akashindwa sema anachangia kushawishi tu lakini swala lapesa Hilo tunamjua kitambo
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Kwa kweli jamaa aanahela mda mrefu ameishi korogwe sana helkopita anazo mbili kabra ya kuwa mbunge lakini pia ana mabasi mengi
@jamesbayo1910
@jamesbayo1910 10 ай бұрын
MSUKUMA. HAWEZI KUHONGWA LABDA ASHINDWE. KUUSOMA. MKATABA NA KUSHINDWA KUFAFANUA KISHERIA. HILO TU MSUKUMA AWE MACHO NALO TUNAMUOMBA MSUKUMA ATAFUTE WANASHERIA ANAOWAAMINI.WAMFAFANULIE MKATABA. NA ATUSMBIE. NI WA MIAKA MINGAPI?.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Жыл бұрын
Ndio wewee tajiri! Kwanini unapiga debe eti sawa bandari iuzwe kenge wewe darasa la msingi, hovyo kabisa au unatafuta uwaziri 😢
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Serikali haina dhamira ya kuuza bandari, elimu ya lasaba siyo issues yawezekana yeye ana ueledi mkubwa kuliko unavyodhani wewe ugonjwa huu wakudharau wenye elimu ya chini ni jeraha kubwa sana.
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Жыл бұрын
Unajua maana ya kuuza
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
@@charlesngwembele4541 wanadhani jmbo rahisi
@ScientistIsaiahOfficial-ff8ui
@ScientistIsaiahOfficial-ff8ui Жыл бұрын
😂
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Ushalamba asali wewe.
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Kaongwa Uyu Anaongea Pumba2
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Жыл бұрын
Mbona nawewe ukahongwe na kama kahongwa ndo bahati yake😂😂
@mosessiame924
@mosessiame924 Жыл бұрын
Mudowangu chadema mududu chadema hawatakusaidia chochote
@andrewbigambo6721
@andrewbigambo6721 Жыл бұрын
Wivu wa maendeleo ya mtu
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Жыл бұрын
Kahongwe na wew
KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
8:08
Global TV Online
Рет қаралды 156 М.
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 48 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 17 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 15 МЛН
MUSUKUMA MBELE YA WANAHABARI, ACHUKIZWA KUMDHIHAKI HAYATI MAGUFULI
14:50
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 48 МЛН