MJUKUU WA NYERERE AUTAMANI URAIS.

  Рет қаралды 83,847

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

5 жыл бұрын

Mjukuu wa hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere,Sophia Nyerere ameeleza ndoto yake yakuja kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Msikilize hapa kwenye Break.

Пікірлер: 62
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc 10 ай бұрын
Muziki upo juu sauti za mhoji na mhojiwa hazisikiki vizuri
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 4 ай бұрын
Mtangazaji upo ki-bishara zaidi, (kutangaza biashara unayoijua mwenyewe), kuliko kutujuza tunayoyataka Sisi.
@hassanadam2708
@hassanadam2708 2 ай бұрын
Mh move inaogopesha
@binurusm8886
@binurusm8886 5 жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri, pia Sofia Nyerere upo makini katika kujibu maswali, hongereni.
@umranim5854
@umranim5854 5 жыл бұрын
Mnakosea kuweka mziki kwenye intav
@sospeterkedmonchitema
@sospeterkedmonchitema Жыл бұрын
Mungu aendelee kukuhifadhi sehemu salama
@safikapufi422
@safikapufi422 4 жыл бұрын
mm macho yangu huwa yanaona kama baba wa taifa na mkewe wanafanana
@chadogyfrankibrahim2976
@chadogyfrankibrahim2976 5 жыл бұрын
Inauma sana mwenyezi mungu tutie nguvu
@samsonhaule8816
@samsonhaule8816 4 жыл бұрын
Acha kumfananisha nyerere na BWANA YESU.
@ezrantare7344
@ezrantare7344 5 жыл бұрын
Anafanana sana na bibi yake mama Maria Nyerere
@priscarkasitu8101
@priscarkasitu8101 4 ай бұрын
Kabisa
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 5 жыл бұрын
Amefana na babu yake masikini mungu ni mwema
@roseamos2812
@roseamos2812 4 жыл бұрын
Wewe Dan fod umetumwa kila sehemu unacoment watakufa na umasikini wao sasa wewe una mchango gani na hii family au unashauri nn au unaumia nn na umasikini wa family ya mwalimu nyerere wewe mchochezi ni mtu hatar ktk jamii fata maisha yako achana na family hii haikuhusu
@lindakapongo8421
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
wafanana songa
@ashaali7154
@ashaali7154 5 жыл бұрын
Mtangazaji agana na mgeni ndipo uendelee kutangaza hizo biashara zako.
@mligombuma2287
@mligombuma2287 5 жыл бұрын
Anafanana na babu yake hiko kichwa duuuuuh
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn 5 жыл бұрын
Kweli.
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 жыл бұрын
Yaani uyu nyerere mtupu kichwa mkato wa nywere mdomo meno kabisaa nyerere
@hamisa3447
@hamisa3447 2 жыл бұрын
Innalilah wain iray rajinuun
@innobugobola1694
@innobugobola1694 2 жыл бұрын
Umependeza but nywele zmekaa zig zaga
@vemamawole2228
@vemamawole2228 5 жыл бұрын
Nampendaga sana sophia
@jeremiahzacharia7655
@jeremiahzacharia7655 5 жыл бұрын
Miwani hiyo mmmhhh!!!
@danfordaugustino3461
@danfordaugustino3461 5 жыл бұрын
Hiyo miwani inakupoteza Sura halisi. Hiyo miwa amekuwa kituko walio Jirani hawamshauri
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
😂😃
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 2 жыл бұрын
😁😁😁😁 du 🤔🤔🤔🤔 wabongo kwanini wafukunyuku hivo miwani hiyoooooo 👉👉👉👉👉🤓🤓🤓🤓😎😎😎😎
@husseinmillinga1920
@husseinmillinga1920 3 жыл бұрын
Meno yanafanana
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 5 жыл бұрын
Eti watu kama wale wanatokea baada ya miaka zaidi ya 400. Unampangia Mungu?
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 5 жыл бұрын
Nilimsikiliza Mpaka Pale alivyosema Waziri wake Mahiri ni Kangi Lugola Nikaclic kutoka sikumalizia. Hivi Nyerere angekuwa hai angemshabikia Lugola. HAPO HAKUNA KITU.
@mzalendowamwitongo3520
@mzalendowamwitongo3520 5 жыл бұрын
Ulitaka amchague nani? 🤣🤣🤣
@mawazorose755
@mawazorose755 5 жыл бұрын
Huyu mjukuu ni sura ya bibi yake
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Hayo mamiwani mabayaaa
@ramadhanisudi4104
@ramadhanisudi4104 2 жыл бұрын
R.I.P Sophia Nyerere
@erissaidytours9034
@erissaidytours9034 2 жыл бұрын
Hata nilikuwa cmjui kabisa
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Wimbo wa nini hatusikii kinachoulizwa
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Matehemu du.miguu haina supu
@paulmasanja7055
@paulmasanja7055 5 жыл бұрын
Mwalimu alikuwa havai miwani kama hiyo mmmmhhhh!!!
@omarymkalimkalivala2823
@omarymkalimkalivala2823 5 жыл бұрын
kafanana na babu yake huyu bint
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 5 жыл бұрын
Nitumie namba ya Sofia
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 жыл бұрын
RIP Sophia 🙏🏼🙏🏼
@anisiamedard3775
@anisiamedard3775 5 жыл бұрын
Huo music unaboa.
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 5 жыл бұрын
Duuuu...huyu Dada kichwa kama Nyerere
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
😂😃
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 Жыл бұрын
R.i.p
@ivankivinge2987
@ivankivinge2987 2 жыл бұрын
Rest in peace Sophia
@severinemabirika2249
@severinemabirika2249 4 жыл бұрын
450...? acha uongo wewe , huo utafiti wenu si sahihi kabisa
@robertnoel5232
@robertnoel5232 4 жыл бұрын
Labda akagombee Serikali za Mitaa
@danfordaugustino3461
@danfordaugustino3461 5 жыл бұрын
Ninyi na kizazi chenu mnakufa na umaskini wenu. Marais waliofuata na familia zao wanatumbua nchi
@hassansalum5362
@hassansalum5362 5 жыл бұрын
Masikini ushasikiaa wanaomba au wanalalamika maisha magumu
@johnmophat5300
@johnmophat5300 5 жыл бұрын
@@hassansalum5362 swali zuri sana kk maskini siku zote ni kkurupuka tu
@mzalendowamwitongo3520
@mzalendowamwitongo3520 5 жыл бұрын
Danford Augustino Ahsante mpanga riziki ni Mwenyezi Mungu akiamua vyovyote vile inshalah
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Mtangazaj huo mziki atuhtaji...alafu mwalimu kaiacha familia yake ktk kipindi kigumu alileta uzalendo nch hii...ahahaha!wap mkapa wap kikwete...huyu hapa magu kusanya mali uncle
@christinasolomon8156
@christinasolomon8156 4 жыл бұрын
USHAUR (Soph) usiwe muongeaj sana na kwa heshma ya BABA wa TAIFA Tunaomba uwe unafanya (lntervw) na vyombo vya habar kama TBC au BBC VOA n.k kwasabab watangazaj wanaweled; nadhan huyo mtangazaj unamuona alivyo sisemi unafanya vbaya kuwa social lakn kwa kias Nyie ndio VIOO vya TAIFA hili.
@yussufabdul-rahman5601
@yussufabdul-rahman5601 5 жыл бұрын
Aaah hmna lolote mltuletea ucku tu😏😤
@ahmedkapera6989
@ahmedkapera6989 5 жыл бұрын
Tulikuwa tunacheza pamoja na mwene 🤣🤣msasani na ikulu na unt anna
@mzalendowamwitongo3520
@mzalendowamwitongo3520 5 жыл бұрын
Ahmed Kapera hongera
@charlesosward2009
@charlesosward2009 2 жыл бұрын
R.I.P Dada...
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 жыл бұрын
huyo bibi yako aliyekuambia watu kama Juli kichogo wanatokea baada ya miaka 450 alikudanganya sawa?nyinyi musiwe wajinga mukamuabudu binaadamu kama mungu sawa?mtu aliye kuwa bora hapo tena hakuna na kampita huyo kichogo alikuwa Abulrahman Mohamed Babu kutoka nchi jirani yenu sawa?
@mzalendowamwitongo3520
@mzalendowamwitongo3520 5 жыл бұрын
Umeipeleka wapi busara uliopewa na wazazi wako?
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 жыл бұрын
Jujielewi unamdhihaki Nan au akili iko matakoni
@mohameddamka922
@mohameddamka922 5 жыл бұрын
Tatzo lako huwa unajibu vitu vingne ambavyo hujaulizwa
A pack of chips with a surprise 🤣😍❤️ #demariki
00:14
Demariki
Рет қаралды 55 МЛН
SABABU zatajwa Kinachosababisha SANAMU la Mwalimu NYERERE kukosewa
2:55
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2 М.
Fahamu zaidi kuhusu Uraia wa Tanzania
30:43
Uhamiaji Tv
Рет қаралды 1,8 М.
Can this capsule save my life? 😱
0:50
A4
Рет қаралды 31 МЛН
Выгнал училку 😂 #shorts
0:59
Julia Fun
Рет қаралды 2,2 МЛН
ПРЕДСКАЗАТЕЛЬ БУДУЮЩЕГО
1:00
КиноХост
Рет қаралды 4,6 МЛН
Идеальный день ребёнка😂
0:11
МишАня
Рет қаралды 1,9 МЛН