Mjukuu wa hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere,Sophia Nyerere ameeleza ndoto yake yakuja kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Msikilize hapa kwenye Break.
Пікірлер: 62
@MakameAbdallah-wn3hc10 ай бұрын
Muziki upo juu sauti za mhoji na mhojiwa hazisikiki vizuri
@jumanesaidi76354 ай бұрын
Mtangazaji upo ki-bishara zaidi, (kutangaza biashara unayoijua mwenyewe), kuliko kutujuza tunayoyataka Sisi.
@hassanadam27082 ай бұрын
Mh move inaogopesha
@binurusm88865 жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri, pia Sofia Nyerere upo makini katika kujibu maswali, hongereni.
@umranim58545 жыл бұрын
Mnakosea kuweka mziki kwenye intav
@sospeterkedmonchitema Жыл бұрын
Mungu aendelee kukuhifadhi sehemu salama
@safikapufi4224 жыл бұрын
mm macho yangu huwa yanaona kama baba wa taifa na mkewe wanafanana
@chadogyfrankibrahim29765 жыл бұрын
Inauma sana mwenyezi mungu tutie nguvu
@samsonhaule88164 жыл бұрын
Acha kumfananisha nyerere na BWANA YESU.
@ezrantare73445 жыл бұрын
Anafanana sana na bibi yake mama Maria Nyerere
@priscarkasitu81014 ай бұрын
Kabisa
@sharifaabdullah68255 жыл бұрын
Amefana na babu yake masikini mungu ni mwema
@roseamos28124 жыл бұрын
Wewe Dan fod umetumwa kila sehemu unacoment watakufa na umasikini wao sasa wewe una mchango gani na hii family au unashauri nn au unaumia nn na umasikini wa family ya mwalimu nyerere wewe mchochezi ni mtu hatar ktk jamii fata maisha yako achana na family hii haikuhusu
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
wafanana songa
@ashaali71545 жыл бұрын
Mtangazaji agana na mgeni ndipo uendelee kutangaza hizo biashara zako.
@mligombuma22875 жыл бұрын
Anafanana na babu yake hiko kichwa duuuuuh
@Shammy-rn3tn5 жыл бұрын
Kweli.
@anuaryally61775 жыл бұрын
Yaani uyu nyerere mtupu kichwa mkato wa nywere mdomo meno kabisaa nyerere
@hamisa34472 жыл бұрын
Innalilah wain iray rajinuun
@innobugobola16942 жыл бұрын
Umependeza but nywele zmekaa zig zaga
@vemamawole22285 жыл бұрын
Nampendaga sana sophia
@jeremiahzacharia76555 жыл бұрын
Miwani hiyo mmmhhh!!!
@danfordaugustino34615 жыл бұрын
Hiyo miwani inakupoteza Sura halisi. Hiyo miwa amekuwa kituko walio Jirani hawamshauri
@hamidaala28322 жыл бұрын
😂😃
@hadijalukas59592 жыл бұрын
😁😁😁😁 du 🤔🤔🤔🤔 wabongo kwanini wafukunyuku hivo miwani hiyoooooo 👉👉👉👉👉🤓🤓🤓🤓😎😎😎😎
@husseinmillinga19203 жыл бұрын
Meno yanafanana
@kuchimillionaire66835 жыл бұрын
Eti watu kama wale wanatokea baada ya miaka zaidi ya 400. Unampangia Mungu?
@ThobiasMarandu5 жыл бұрын
Nilimsikiliza Mpaka Pale alivyosema Waziri wake Mahiri ni Kangi Lugola Nikaclic kutoka sikumalizia. Hivi Nyerere angekuwa hai angemshabikia Lugola. HAPO HAKUNA KITU.
@mzalendowamwitongo35205 жыл бұрын
Ulitaka amchague nani? 🤣🤣🤣
@mawazorose7555 жыл бұрын
Huyu mjukuu ni sura ya bibi yake
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Hayo mamiwani mabayaaa
@ramadhanisudi41042 жыл бұрын
R.I.P Sophia Nyerere
@erissaidytours90342 жыл бұрын
Hata nilikuwa cmjui kabisa
@aminaomary55672 жыл бұрын
Wimbo wa nini hatusikii kinachoulizwa
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Matehemu du.miguu haina supu
@paulmasanja70555 жыл бұрын
Mwalimu alikuwa havai miwani kama hiyo mmmmhhhh!!!
@omarymkalimkalivala28235 жыл бұрын
kafanana na babu yake huyu bint
@michaelmaziku9915 жыл бұрын
Nitumie namba ya Sofia
@missmwayway47042 жыл бұрын
RIP Sophia 🙏🏼🙏🏼
@anisiamedard37755 жыл бұрын
Huo music unaboa.
@gabrielmoses68605 жыл бұрын
Duuuu...huyu Dada kichwa kama Nyerere
@hamidaala28322 жыл бұрын
😂😃
@idanysedrc1200 Жыл бұрын
R.i.p
@ivankivinge29872 жыл бұрын
Rest in peace Sophia
@severinemabirika22494 жыл бұрын
450...? acha uongo wewe , huo utafiti wenu si sahihi kabisa
@robertnoel52324 жыл бұрын
Labda akagombee Serikali za Mitaa
@danfordaugustino34615 жыл бұрын
Ninyi na kizazi chenu mnakufa na umaskini wenu. Marais waliofuata na familia zao wanatumbua nchi
@hassansalum53625 жыл бұрын
Masikini ushasikiaa wanaomba au wanalalamika maisha magumu
@johnmophat53005 жыл бұрын
@@hassansalum5362 swali zuri sana kk maskini siku zote ni kkurupuka tu
@mzalendowamwitongo35205 жыл бұрын
Danford Augustino Ahsante mpanga riziki ni Mwenyezi Mungu akiamua vyovyote vile inshalah
@priscasiame91795 жыл бұрын
Mtangazaj huo mziki atuhtaji...alafu mwalimu kaiacha familia yake ktk kipindi kigumu alileta uzalendo nch hii...ahahaha!wap mkapa wap kikwete...huyu hapa magu kusanya mali uncle
@christinasolomon81564 жыл бұрын
USHAUR (Soph) usiwe muongeaj sana na kwa heshma ya BABA wa TAIFA Tunaomba uwe unafanya (lntervw) na vyombo vya habar kama TBC au BBC VOA n.k kwasabab watangazaj wanaweled; nadhan huyo mtangazaj unamuona alivyo sisemi unafanya vbaya kuwa social lakn kwa kias Nyie ndio VIOO vya TAIFA hili.
@yussufabdul-rahman56015 жыл бұрын
Aaah hmna lolote mltuletea ucku tu😏😤
@ahmedkapera69895 жыл бұрын
Tulikuwa tunacheza pamoja na mwene 🤣🤣msasani na ikulu na unt anna
@mzalendowamwitongo35205 жыл бұрын
Ahmed Kapera hongera
@charlesosward20092 жыл бұрын
R.I.P Dada...
@solomonadams63375 жыл бұрын
huyo bibi yako aliyekuambia watu kama Juli kichogo wanatokea baada ya miaka 450 alikudanganya sawa?nyinyi musiwe wajinga mukamuabudu binaadamu kama mungu sawa?mtu aliye kuwa bora hapo tena hakuna na kampita huyo kichogo alikuwa Abulrahman Mohamed Babu kutoka nchi jirani yenu sawa?
@mzalendowamwitongo35205 жыл бұрын
Umeipeleka wapi busara uliopewa na wazazi wako?
@mathiaszakaria70525 жыл бұрын
Jujielewi unamdhihaki Nan au akili iko matakoni
@mohameddamka9225 жыл бұрын
Tatzo lako huwa unajibu vitu vingne ambavyo hujaulizwa