SABABU zatajwa Kinachosababisha SANAMU la Mwalimu NYERERE kukosewa

  Рет қаралды 2,088

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

4 ай бұрын

Wataalamu wa uchongaji na uchoraji wametaja sababu zinazoweza kufanya sanamu kushindwa kubeba mfanano wa mtu husika ikiwemo kukosekana kwa uwiano halisi na vipimo.
Mbali na kutoa sababu hizo, pia wameshangaa kuendelea kuwapo kwa sanamu ambazo hazina uhalisia, huku wakieleza kuwa hivi sasa teknolojia imerahisisha kila kitu ikiwemo utengenezaji sanamu.
Wametoa kauli hizo ikiwa ni siku moja baada ya kuzinduliwa kwa sanamu la aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania, hayati Julius Nyerere nchini Ethiopia, huku likiacha gumzo mitandaoni na watu wengi kudai kuwa sanamu hilo halifanani na hayati Nyerere.
Sanamu hilo lililozinduliwa makao makuu ya Umoja wa Afrika (AU) jijini Adis Ababa, Ethiopia limewekwa mbele ya jengo la siasa, amani na usalama la Mwalimu Julius Nyerere ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wake katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika na kuhimiza umoja na Amani.
Hatahivyo, Madaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa Nyerere alipohojiwa alisema akiwa miongoni mwa wanakamati kwa ajili ya kusimamia mchakato wa utengenezaji wa sanamu hiyo, waliipitisha kwa zaidi ya asilimia 90.
Akizungumzia changamoto katika uchongaji na ufinyanzi, Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es Salaam idara ya Sanaa, Digna Enock ansema makosa yanayofanyika ni wasanii kushindwa kufuata kanuni za uchongaji na ufinyangaji.

Пікірлер: 19
@user-qm2vf2qz3l
@user-qm2vf2qz3l 4 ай бұрын
Huyoo alikuwa sio msanii ila alikuwa mpigajii me kama mtanzania nasemaa hiyoo sanam ibadilishwe
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 4 ай бұрын
Umeonekano haupo kbs musijikanyage
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 4 ай бұрын
Tumepigwaaaaaaaaaaa
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 4 ай бұрын
Live vip mzeee technology imebadilika saiv kwan wakimtazama kwenye video hawawez ona sura halisi?
@calvinshirima2654
@calvinshirima2654 4 ай бұрын
Huku ni kumkejeli Mwal.Nyerere 😢
@kiatu
@kiatu 4 ай бұрын
Huyu mama technology imekwacha nyuma 😅
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 4 ай бұрын
Hii sanamu siyo mmmmhhh
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 Ай бұрын
Kwani bado linachongwa! Hivi kwanini misanamu!
@user-zc1qh6ti2p
@user-zc1qh6ti2p 4 ай бұрын
We mama wee acha kutetea waharifu. Kukosea kupo ila ndo wamuweke komwe
@JustineKashililika-tc8sx
@JustineKashililika-tc8sx 4 ай бұрын
Wazungu ndio maana wanatuita weusi manyani kweli wewe umekubaliana na Nyerere wa Ethiopia
@smarty1064
@smarty1064 4 ай бұрын
Huo ni UONGOOO bana
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 4 ай бұрын
Eangeliwapa WAZUNGU hii aibu wasongeliipata
@chinamilenas3375
@chinamilenas3375 4 ай бұрын
Videos za mwalimu zipo nyingi tuuu wangeoneshwa...why watumie picha?
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 4 ай бұрын
Sasa akikosea kwanini mpitishe wakati tumewatumeni ninyi?
@dicksonjailos670
@dicksonjailos670 4 ай бұрын
Tatizo sisi wasanii wa Tanzania wakufinyanga mnatuzarau ndiomana mmetuletea sanamu isiyo sahihi? Mlishindwa nini kutupeleka tukalihakiki hukohuko hata kama hatujasoma make tuna tarent
@smarty1064
@smarty1064 4 ай бұрын
Propotion si ni vitu wanajifunza kwenye madarasa ya sanaa ya uchongaji, nayo inabidi wamuone live? uongo uongo tu mwingi kubeba watu wasio na viwango kwenye profession zao
@Msemakweli2024
@Msemakweli2024 4 ай бұрын
Mnaopinga tengenezeni za kwenu. Ninyi siku zote mnamuona kwenye picha halafu mnapinga. Hii kwanza ni sanamu sio picha (photo). Kuna vigezo maalum vinafuatwa
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Ndo uliye tengeneza nini?
TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA
24:03
Global TV Online
Рет қаралды 1 МЛН
TUBOMOE SANAMU YA NYERERE. FAMILIA NA WATANZANIA WAMEIKATAA
12:09
SK Media Online TV
Рет қаралды 23 М.
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 27 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 86 МЛН
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 01 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 603
#SIASA: TUNDU LISSU "MAKONDA HAKUDHULUMIWA NYUMBA"
31:58
nPoint
Рет қаралды 98 М.
Asimulia alivyoiba pete ya ndoa ya mama yake kununua dawa za kulevya
9:05
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 27 МЛН