Watanzania tunakwama wapi? kuhusu matumizi ya biogas wataalam wanaojua kujenga hii mitambo mjitangaze watu wanahitaji hii huuduma kwa maana itasaidia kupunguza matumizi ya kuni. Azam kipindi hiki cha karakana kilikuwa muhimu kwa wakati huu wa upandaji miti kwa kila Wilaya.
@EliasMollel-pm4fz Жыл бұрын
Naombeni namba za simu
@nankondomapombe Жыл бұрын
Niko morogoro, nahitaj kujengewa mtambo, nawapataje???
@kidaghokadari32946 жыл бұрын
Kipindi kizuri tunapataje? Tunaomba mawasiliano au namba za simu
@mashakazonky-h2cАй бұрын
Naomba namba za simu za mafundi wa hiyo mitambo
@princessilayo74113 жыл бұрын
Je naweza kutengeneza na nikaiuza kwa wateja wasiokuwa na ng'ombe?
@michaelmsambo57662 жыл бұрын
Nahitaji hii je wataalamu na mawasiliano yao anisaidie kunipatia
@revocatusbalashuha32092 жыл бұрын
Watu wameomba mawasiliano lakini hawajibiwa AZAM vip
@shemsaselemani21904 жыл бұрын
Tunaomba namba za huyo mtaalamu tafadhali
@mussawillisson86874 жыл бұрын
Nitumie Namba yako nikuunganishe na kampuni inayojishughulisha na ujenz Wa biogas
@MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.4 жыл бұрын
@@mussawillisson8687 +966506572403
@fabricemahinga41924 жыл бұрын
I need your contacts Number please my whatsup number +18328580067
@saidhamisi27953 жыл бұрын
Asante ndugu lakin je? Kuna kiti gani ukifanya inaeza kulipuka
@mambaasukulu45102 жыл бұрын
Napendeswa Sana na shule leni
@mawazoaliselemani89092 жыл бұрын
jaribuni kutangaza mambo haya muhimu,,sio kutangaza show za mond na kiba,,hivi vitu kuntu watanzania ndio waelimishwe
@vincentkyalema33512 жыл бұрын
Mimi niko Kilimanjaro wilaya ya vunjo naomba usaidizi wa kupata mtambo huu wakuzalisha gesi
@nikomdota19326 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri sana
@sebajseba7193 жыл бұрын
Naomba mawasiliano
@Ibrahmagesa_tz6 жыл бұрын
Namba zake jaman
@othuonjohnbrighton5323 жыл бұрын
Namba za simu tafadhali kwa utaalam zaidi
@simonmsafiri7972 Жыл бұрын
namba kwanini hutaji wewe mtaalam?
@ezekielshirima86263 жыл бұрын
Hahitaji kutengenezewa mambo 0719669679
@mwijageMwijage8 ай бұрын
Naitaji kujifunza
@rodgersmoni4153 Жыл бұрын
Niko hapa nchi jirani 🇰🇪.Naomna huduma zenu.Nimependezwa jinsi mnavyotekeleza hii shughului.
@amosicommedy6917 Жыл бұрын
Fika kamatec arusha
@sammswita7165 жыл бұрын
1:5 siyo kitu alimradi uduma hiwe ni uwakika endelevu siyo janja janja