hahahah Masoud nakupenda sana ..yaani unaongea ukweli mtupu.. 'kuna watu wanakula kwa mikono miwili na wengine mpaka kwa miguu'
@kmtenga13 жыл бұрын
good job salama I love u,masoud kadata kabisa hahaa anasema ukweli mtupu,salama usiache kupost episodes hapa tuenjoy raha hizi,pia itakuwa vizuri ukifanya mahojiano na wasanii hasa wanaobaniwa ili tujue ukweli kama kipanya alivoongea kuhusu cloudsfm na management yao
@linegreen2313 жыл бұрын
Hii Inakubalika kabisa na kwa kweli ni moja ya kipindi cha Kitanzania nitakachokua nakifuatilia sana, Inaonekena kipindi hiki kinafunguka sana katika mambo mbali mbali, Big up Salama huu ndio ubunifu tunao uzungumzia kila siku, endelea kuwadaka waje wafunguke ki ukweli kabisa..!
@Namestn11 жыл бұрын
Among the artist that I admire n appreciate in TZ ths guy is among them...he is real n wise....he uses well his talents n connects with the society.... Good work Salama, keep it up....bro...keep t real....we support u.
@4weston412 жыл бұрын
Kipanya wewe ni zaidi ya nouma, nakukubali sana.
@hamadishee46367 жыл бұрын
God bless you bro kipanya the only gifted media personel in tanzania
@rinnionnTV13 жыл бұрын
Real talk KP!Tanzania inahitaji vichwa kama hivi.
@mzeewajambo82935 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana Naitizama tena 2019 November
@MREMBOMIE13 жыл бұрын
hadidhi yako ni nzuri sana!!!!!!!! hasa sehemu unaayo sema kuwa: watangurie vilema ,watoto, wajawazito na wafuate wenye nguvu... kwa bahati mbaya hili halipo tanzania... haswa wanaume wa kila umli wanazarau sana wasio jiweza! ... mfano kwenye daradara utakuta gibaba zima limejiweka kwenye seat na mbele yake una mama mjamzito au mwenye mtoto anasukumwa , hakuna nafasi...
@tumpiliksye12 жыл бұрын
Tanzania ni kisiwa cha vipaji , kichwa kingine hiki
@enockshija55127 жыл бұрын
Kp you are so creative. I real appreciate and salute you.May God enrich you no matter how the world looks you.Never mind it.
@TheAlesry13 жыл бұрын
Salama big up hili bonge la show, wewe makali sis
@ellyobedy17532 жыл бұрын
Hatari kumbe miaka10 ishapita kwel siku hazigandi
@mohdyussah8256 жыл бұрын
Safi sana kp na wote hapo
@bakarikishaa48895 жыл бұрын
Kipanya gifted
@thabitdaudi98153 ай бұрын
Mwamba hazeek had leo yupo hivyo hivyo
@halimojaimman63019 жыл бұрын
Dah Moja Bonge la SHOW.. SUDI Alinyalisha Sana Katika FIKRA HURU
@catenzeki6785 жыл бұрын
Napenda busara zako Masoud
@alexmurithi13276 жыл бұрын
2019 gonga like
@1992alemi13 жыл бұрын
This show is better than the so called TAKE ONE
@sadathassan70595 жыл бұрын
Respect mkuu
@ndewerokkrekamoo39827 жыл бұрын
Masood is a genius
@safinabakari91407 жыл бұрын
Kipindi pekee ambacho salama amekua msikilizaji yaani masoud ni noumaaaaa......
@mohamedomar403711 жыл бұрын
Nyerere kwa wakati wake kama akisema tumefika mbali kabisa watu wanavaa viatu ni makosa hata kabla ya hiyo uhuru tulikuwa tunavaa viatu kama kawaida ,lakini ameturudisha nyuma sana kielimu na elimu yetu ni ya chini sana hadi leo.
@abrahimali36285 жыл бұрын
Mkapa hanakitu alichofanya labda kuuwa wapemba
@VictorChrispinSamson13 жыл бұрын
Real shit with real stars... Salama, Deuces!
@luluemerald538011 жыл бұрын
Bravo Kipanya...........
@gabbymaster112 жыл бұрын
wenye vipaji tupo wengi sana ila fulsa ndo chache sana ...... lakini nafikiri kila jambo lina wakati wake
@MOchyze8912 жыл бұрын
nimeipenda story ya cake\
@abdallahmakassy3003 Жыл бұрын
0:17
@12345678901247013 жыл бұрын
wanakula na miguuu hahahahaaahahhaha!
@cuthbertbruce20987 жыл бұрын
Namkubali sana huyo jamaa
@tequasuphatetareq98588 жыл бұрын
Masoud ni nouma miaka mingi.
@mussahmanyehe2675 жыл бұрын
Kipara kinanyorewa jaman nm sn
@neemaemanuel81135 жыл бұрын
Sudi nakuelewa japo nilikua sikuelewe ss nakuelewa kupitia mwanao ,mwnao kanielimisha sana pliz sudi naomba tuwasiliane mitandao yngu 0756360274
@constantinemanyanda66676 жыл бұрын
Kipanya hajaulizwa swal kaanza story mwenyew
@jasminyiddysulaiman98076 жыл бұрын
Genius
@catenzeki6785 жыл бұрын
Yy ni mtangazaji.Apo anakuonyesha ni jinsi gni anavyopenda utangazaji
na akiingia kwenye gari anaangalia kama kuna mtoto aliekaa kwenye seat na anamwambia a ondoke il yeye akae... AIBU KUBWAAA!!!!!!!!!!!!!!!!
@reyreh11 жыл бұрын
i hate mcng any cngo show....good job!!!!
@danyrobertz207811 жыл бұрын
Tz ni noumaa kwa sasa
@MzeeNyundo12 жыл бұрын
Kwa swala la watangazaji kuigana - ni kweli kabisa ya kwamba waTz hajui kubuni na wale wanaobuni, munda mwingi haki zao hazilindwi kwa maana wanaoiga wabunifu ndio wanafaidika.... sheria inabidi zilindwe. Tz ina kila kitu, tunaweza kufanya kila kitu na labda kwenye level ya nchi tajiri ulimwenguni... Ambacho hatuna ni Haki, haki ya muundaji ilindwe na iheshimike ili waTz na nchi itajirike. Bila kuheshimu sheria, hatutafika kokote.
@kerinasiyame408012 жыл бұрын
HEY SALAMA MIMI NAITWA MAMA KENNEDY NAISHI AMERICA BOSTON NAPENDA SANA KUANGALIA MKASI NAONA SANA WANAWAKE WENGI . MIMI NA WEWE TUNAWEZA KUFANYA BUSINESS YA VIPODOZI ZAIDI MAWASIANO NUMBER YA SIMU 6176696084 PIA NINA WEBSITE YANGU YA BUSINESS NAOMBA NUMBER YAKO NITAKUPIGIA ILI TUONGEE ZAIDI .