No video

Mkasi - S01E03 Masoud Kipanya

  Рет қаралды 113,026

MkasiTV

MkasiTV

12 жыл бұрын

follow mkasi on / mkasitv and like us on / mkasitv

Пікірлер: 46
@TheTuney
@TheTuney 12 жыл бұрын
hahahah Masoud nakupenda sana ..yaani unaongea ukweli mtupu.. 'kuna watu wanakula kwa mikono miwili na wengine mpaka kwa miguu'
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana Naitizama tena 2019 November
@4weston4
@4weston4 12 жыл бұрын
Kipanya wewe ni zaidi ya nouma, nakukubali sana.
@tumpiliksye
@tumpiliksye 12 жыл бұрын
Tanzania ni kisiwa cha vipaji , kichwa kingine hiki
@kmtenga
@kmtenga 12 жыл бұрын
good job salama I love u,masoud kadata kabisa hahaa anasema ukweli mtupu,salama usiache kupost episodes hapa tuenjoy raha hizi,pia itakuwa vizuri ukifanya mahojiano na wasanii hasa wanaobaniwa ili tujue ukweli kama kipanya alivoongea kuhusu cloudsfm na management yao
@linegreen23
@linegreen23 12 жыл бұрын
Hii Inakubalika kabisa na kwa kweli ni moja ya kipindi cha Kitanzania nitakachokua nakifuatilia sana, Inaonekena kipindi hiki kinafunguka sana katika mambo mbali mbali, Big up Salama huu ndio ubunifu tunao uzungumzia kila siku, endelea kuwadaka waje wafunguke ki ukweli kabisa..!
@rinnionnTV
@rinnionnTV 12 жыл бұрын
Real talk KP!Tanzania inahitaji vichwa kama hivi.
@ellyobedy1753
@ellyobedy1753 2 жыл бұрын
Hatari kumbe miaka10 ishapita kwel siku hazigandi
@MREMBOMIE
@MREMBOMIE 12 жыл бұрын
hadidhi yako ni nzuri sana!!!!!!!! hasa sehemu unaayo sema kuwa: watangurie vilema ,watoto, wajawazito na wafuate wenye nguvu... kwa bahati mbaya hili halipo tanzania... haswa wanaume wa kila umli wanazarau sana wasio jiweza! ... mfano kwenye daradara utakuta gibaba zima limejiweka kwenye seat na mbele yake una mama mjamzito au mwenye mtoto anasukumwa , hakuna nafasi...
@TheAlesry
@TheAlesry 12 жыл бұрын
Salama big up hili bonge la show, wewe makali sis
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
Safi sana kp na wote hapo
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 5 жыл бұрын
2019 gonga like
@Namestn
@Namestn 11 жыл бұрын
Among the artist that I admire n appreciate in TZ ths guy is among them...he is real n wise....he uses well his talents n connects with the society.... Good work Salama, keep it up....bro...keep t real....we support u.
@hamadishee4636
@hamadishee4636 6 жыл бұрын
God bless you bro kipanya the only gifted media personel in tanzania
@safinabakari9140
@safinabakari9140 6 жыл бұрын
Kipindi pekee ambacho salama amekua msikilizaji yaani masoud ni noumaaaaa......
@sadathassan7059
@sadathassan7059 5 жыл бұрын
Respect mkuu
@ndewerokkrekamoo3982
@ndewerokkrekamoo3982 6 жыл бұрын
Masood is a genius
@catenzeki678
@catenzeki678 5 жыл бұрын
Napenda busara zako Masoud
@halimojaimman6301
@halimojaimman6301 9 жыл бұрын
Dah Moja Bonge la SHOW.. SUDI Alinyalisha Sana Katika FIKRA HURU
@bakarikishaa4889
@bakarikishaa4889 5 жыл бұрын
Kipanya gifted
@cuthbertbruce2098
@cuthbertbruce2098 6 жыл бұрын
Namkubali sana huyo jamaa
@mohamedomar4037
@mohamedomar4037 11 жыл бұрын
Nyerere kwa wakati wake kama akisema tumefika mbali kabisa watu wanavaa viatu ni makosa hata kabla ya hiyo uhuru tulikuwa tunavaa viatu kama kawaida ,lakini ameturudisha nyuma sana kielimu na elimu yetu ni ya chini sana hadi leo.
@MOchyze89
@MOchyze89 12 жыл бұрын
nimeipenda story ya cake\
@Kinsports
@Kinsports Жыл бұрын
2023
@enockshija5512
@enockshija5512 6 жыл бұрын
Kp you are so creative. I real appreciate and salute you.May God enrich you no matter how the world looks you.Never mind it.
@1992alemi
@1992alemi 12 жыл бұрын
This show is better than the so called TAKE ONE
@luluemerald5380
@luluemerald5380 11 жыл бұрын
Bravo Kipanya...........
@gabbymaster1
@gabbymaster1 12 жыл бұрын
wenye vipaji tupo wengi sana ila fulsa ndo chache sana ...... lakini nafikiri kila jambo lina wakati wake
@VictorChrispinSamson
@VictorChrispinSamson 12 жыл бұрын
Real shit with real stars... Salama, Deuces!
@123456789012470
@123456789012470 12 жыл бұрын
wanakula na miguuu hahahahaaahahhaha!
@tequasuphatetareq9858
@tequasuphatetareq9858 7 жыл бұрын
Masoud ni nouma miaka mingi.
@abrahimali3628
@abrahimali3628 5 жыл бұрын
Mkapa hanakitu alichofanya labda kuuwa wapemba
@ammy20able
@ammy20able 12 жыл бұрын
masudi sura linang'aa kama kitumbua hahahahaaaaaa
@jacobonael885
@jacobonael885 6 жыл бұрын
Wee unaangalia kung'aa husikilizi maneno, badilika
@constantinemanyanda6667
@constantinemanyanda6667 6 жыл бұрын
Kipanya hajaulizwa swal kaanza story mwenyew
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 5 жыл бұрын
Genius
@catenzeki678
@catenzeki678 5 жыл бұрын
Yy ni mtangazaji.Apo anakuonyesha ni jinsi gni anavyopenda utangazaji
@MREMBOMIE
@MREMBOMIE 12 жыл бұрын
na akiingia kwenye gari anaangalia kama kuna mtoto aliekaa kwenye seat na anamwambia a ondoke il yeye akae... AIBU KUBWAAA!!!!!!!!!!!!!!!!
@mussahmanyehe267
@mussahmanyehe267 5 жыл бұрын
Kipara kinanyorewa jaman nm sn
@neemaemanuel8113
@neemaemanuel8113 5 жыл бұрын
Sudi nakuelewa japo nilikua sikuelewe ss nakuelewa kupitia mwanao ,mwnao kanielimisha sana pliz sudi naomba tuwasiliane mitandao yngu 0756360274
@danyrobertz2078
@danyrobertz2078 10 жыл бұрын
Tz ni noumaa kwa sasa
@abdallahmakassy3003
@abdallahmakassy3003 7 ай бұрын
0:17
@reyreh
@reyreh 10 жыл бұрын
i hate mcng any cngo show....good job!!!!
@MzeeNyundo
@MzeeNyundo 11 жыл бұрын
Kwa swala la watangazaji kuigana - ni kweli kabisa ya kwamba waTz hajui kubuni na wale wanaobuni, munda mwingi haki zao hazilindwi kwa maana wanaoiga wabunifu ndio wanafaidika.... sheria inabidi zilindwe. Tz ina kila kitu, tunaweza kufanya kila kitu na labda kwenye level ya nchi tajiri ulimwenguni... Ambacho hatuna ni Haki, haki ya muundaji ilindwe na iheshimike ili waTz na nchi itajirike. Bila kuheshimu sheria, hatutafika kokote.
@kerinasiyame4080
@kerinasiyame4080 12 жыл бұрын
HEY SALAMA MIMI NAITWA MAMA KENNEDY NAISHI AMERICA BOSTON NAPENDA SANA KUANGALIA MKASI NAONA SANA WANAWAKE WENGI . MIMI NA WEWE TUNAWEZA KUFANYA BUSINESS YA VIPODOZI ZAIDI MAWASIANO NUMBER YA SIMU 6176696084 PIA NINA WEBSITE YANGU YA BUSINESS NAOMBA NUMBER YAKO NITAKUPIGIA ILI TUONGEE ZAIDI .
@aishamndeme5780
@aishamndeme5780 5 жыл бұрын
kerina siyame Q&A
Mkasi - S01E08 with Flaviana Matata
26:40
MkasiTV
Рет қаралды 67 М.
Salama Na Masoud Kipanya
52:05
YahStoneTown
Рет қаралды 18 М.
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 12 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
Mkasi - SO6E13 With AT
27:24
MkasiTV
Рет қаралды 68 М.
Mkasi - SO3E09 with Hasheem Thabeet
28:06
MkasiTV
Рет қаралды 135 М.
Mkasi - SO4E06 with Maulid Kitenge
28:17
MkasiTV
Рет қаралды 56 М.