Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version

  Рет қаралды 1,082,461

MkasiTV

MkasiTV

Күн бұрын

Ingekuwa shule ya msingi, ungemuita Toto Tundu, kwa jinsi mwalimu anavyopata shida kukubaliana nae, ila katika hali aliyopo sasa, si tofauti sana....Namzungumzia Mhe. Tundu Lissu. Mmoja kati ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alie mahiri kwa kusema bila woga, na mwenye sifa ya kusumbua kiti kwa hoja zake makini ila mara nyingi zenye kuchokoza na kuhamsha mijadala motomoto.
Mtaalamu wa Sheria, na mmoja wa Mawakili wenye ruhusa ya kitaaluma kutetea katika mahakama zetu, Mhe Lissu amekuwa mmoja kati ya wabunge walioweza kuweka bayana utata wa kisheria unaoibuka katika hoja mbali mbali ndani ya Bunge, na pia amekuwa mstari wa mbele katika harakati mbalimbali za kisiasa na kijamii hasa pale msaada wa kisheria unapohitajika.
Wanamkasi wameamua kumuita kikaangoni, tuweze kushiriki nanyi yale machache aliyonayo, kadri muda unavyoruhusu.
Salama, Mubah na John ana kwa ana na Mhe Lissu kwenye Mkasi
Yote kwa hisani ya Coca Cola, Tusker Tanzania na Airtel Tanzania.
Follow MkasiTV on
Facebook : / mkasitv
Twitter : @MkasiTV

Пікірлер: 461
@philipkato6517
@philipkato6517 4 жыл бұрын
Kama unaangalia hii mwaka 2020 tujuane kwa like🤣😀
@philimonchindole8697
@philimonchindole8697 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@angelombedule8378
@angelombedule8378 4 жыл бұрын
@@philimonchindole8697 o
@angelombedule8378
@angelombedule8378 4 жыл бұрын
, , , , z\S#Z#zzzZZzzz#************\\zzzzzzzzzzzzwZ******************\zzzzz
@shawnmichaels1893
@shawnmichaels1893 4 жыл бұрын
Ni msomi makini...
@saidjuma7880
@saidjuma7880 4 жыл бұрын
@@shawnmichaels1893 lisu ni kichwa sana mungu ampe afya njema
@jafetzmwacha1503
@jafetzmwacha1503 4 жыл бұрын
Mzee una akili Sana Watu Gonga like apa
@kelvinmtavangu8299
@kelvinmtavangu8299 3 жыл бұрын
Huyu jamaa hovyo, ushoga tuu
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 4 жыл бұрын
Nani anaendelea kuangalia hii in 2020. Ebu gusa like
@gastordominic410
@gastordominic410 4 жыл бұрын
Tupo
@mrishosunga702
@mrishosunga702 4 жыл бұрын
Mm
@jacksonkalikumtimamuheta3319
@jacksonkalikumtimamuheta3319 4 жыл бұрын
Mbeba maono...
@bakarimkunyulia8682
@bakarimkunyulia8682 4 жыл бұрын
@@mrishosunga702 b.
@fidelismdendemi7675
@fidelismdendemi7675 4 жыл бұрын
nipo nipo hapa
@dareenali6086
@dareenali6086 4 жыл бұрын
Kura yangu unaichukuwa 2020
@yovitakayombo9724
@yovitakayombo9724 4 жыл бұрын
Ama kweli wewe ni Genius. Mungu azidi kukulinda na kukubariki
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 4 жыл бұрын
Lissu ni mpinzani wa kweli kuwai kutokea Tanzania.
@arnoldbaijukya6011
@arnoldbaijukya6011 4 жыл бұрын
Umesema kweli
@seifnass3129
@seifnass3129 4 жыл бұрын
True ✌
@amanafi1288
@amanafi1288 4 жыл бұрын
Hawezi kuwa mpinzani wa kweli hii Nchi kwa Sera yake ya kuunga mkono Ushoga!!
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 4 жыл бұрын
@@amanafi1288 nawewe si shoga vile vile
@amanafi1288
@amanafi1288 4 жыл бұрын
@@lichilasalumu7983 Ningeukubali Ushoga c ningekuwa huo upande wenu
@semanamitv898
@semanamitv898 4 жыл бұрын
Nimependa sana kwa the way anavyo jaribu kujibu kisomi zaidi. Exactly your the best and God may help you for the rest👏
@thedonmassawe
@thedonmassawe 9 жыл бұрын
I've been watching this show from day one. By far this is the best guest you've ever had on here. Politics aside this guy is brilliant. Note how forthright and upfront he was about politics. Take for example admitting the fact that opportunism is part and parcel of the game, but then he goes on to explain why it's not such a terrible thing. It's not about having a popular or an unpopular stance on issues it's how you defend that stance. Talk about kujenga hoja, huyu jamaa anajua! Of all the politicians you've had on here this guy is streets ahead of them, they all could learn a thing or two from him. You also get the impression he is in politics for the right reasons and not just to cater to his own ego. Mind you there is always a bit of an ego thing involved with people in such positions, but with him you at least get the sense that his ego and people's perception of him is not his main concern, and I don't think you can say that for any of his contemporaries that you've had on your program. I'm sure it's not the first time you've heard it before but dude! John and Muba you need to learn to let the conversation flow on its own, give the guests time to speak and don't rush them. It's not a race to see who gets in the most questions, it's a "conversation" which means "listening" to the other person before responding accordingly. So many cases, not only in this particular episode either, you sense a conversation is heading in a really interesting direction only for the guest to be asked a completely out of topic question that just kills the topic. Unajua saa nyingine mtu akinogewa anaweza kuongea (kuropoka) vitu ambavyo hajapanga ambapo ndo uhondo wenyewe wa interview ulipo, but if you interrupt the person talking atanogewa saa ngapi? But good work though, it would be unfair to not mention that you guys have gotten a lot better from the earlier days, so props for trying to improve.
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Your right tunaongea mambo ya afya ambayo i was very interested on hajamaliza wamerukia katiba there has to be a flow kama unavyosema and a transition. Inaboa sana. Nimependa aliyosema Lissu isipokua mambo ya muungano.
@kaizafulgence5415
@kaizafulgence5415 7 жыл бұрын
thank you for saying this. I am less polite when it comes to Muba and his friend's interruptions and I think Salama should always try to bring the speaker back from her fellows' misquestioning.
@keshenigabagambi9384
@keshenigabagambi9384 7 жыл бұрын
Donath Massawe.....
@officialadon1056
@officialadon1056 6 жыл бұрын
,
@alutemughwai2185
@alutemughwai2185 5 жыл бұрын
Donath Massawe
@tizzomushi4072
@tizzomushi4072 4 жыл бұрын
Yaani kitu kizuri huwa kinafichwa aisee kwann walitaka kumuuwa mjomba lissu mbona ndo mtu mzuri?????
@stevenhaule87
@stevenhaule87 4 жыл бұрын
Unaisikiliza interview ya 2015 mwaka 2020 na still unamuona mwamba mwenye misimamo ileile. Yaani interview kama ya mwaka huu
@gentlemantesha4184
@gentlemantesha4184 4 жыл бұрын
Huyu ndo anatufaa kuwa RAIS wetu
@hellengshani5524
@hellengshani5524 3 жыл бұрын
Hakika. Kusema haki, Lissu ni kichwa.
@yohanapetro4937
@yohanapetro4937 4 жыл бұрын
Saa6 uck tarh 19-9-2020 Naangalia Mh. Rais Mtalajiwa Nani Kama Mimi
@tecnonkwenda8240
@tecnonkwenda8240 4 жыл бұрын
Naam
@martinanappa9627
@martinanappa9627 3 жыл бұрын
Naenda ukamfile mbwa huyo lisu.
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 4 жыл бұрын
Like Za Tundu Lissu 2020
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 жыл бұрын
Hakuna mtu ninaemwamini Kama huyu mwamba amekuwa msaada kwa watu miaka mingi, na amekuwa kimbilio katika kipindi kilefu yupo kutetea haki za watanzania huyu mtu anatufaa kutuongoza, ataongoza kwa haki mm naimani nae kwa kiasi kikubwa sana! Nimemfuatiria sana huyu atatutengenezea Katiba mpya na ndio msingi wa kizazi hiki na Cha kesho, tuache fitina za CCM, na tusipo itoa CCM mwaka huu, kamwe watu hawatapata haki tena, huyu Lissu tumchague atutengenezee mfumo mzima wa utawara, nchi hii itapigwa hatua na Wana nchi tutaona mafanikio makubwa, MUNGU akulinde tuvuke kwenye uchaguzi huu.
@fahadfahmy
@fahadfahmy 9 жыл бұрын
Muheshimiwa lisu big up wewe ni mtetezi wawazanzibari
@topotachilemba9196
@topotachilemba9196 4 жыл бұрын
LISSU NI BINADAMU WA KIPEE. HAJAWAHI KUFELI
@denischacha9104
@denischacha9104 6 жыл бұрын
Tundu noma
@jonathanabsolom453
@jonathanabsolom453 9 жыл бұрын
Salama umejitahid sana kuuliza maswal mzurr Next time ukiita mtu kama lisu jaribu kutafuta kampan ya watu wenye akili kdgo ili interview iwe interested kdgo coz kina muba hao walizidiwa maji apo
@joycedaniel6127
@joycedaniel6127 4 жыл бұрын
Jonathan Absolom kweli kabisa
@hamdaniyasinimunguibarikit6734
@hamdaniyasinimunguibarikit6734 4 жыл бұрын
Kweli usimwachemtu kuongeapumba then humuliziswali hatamoja haowenginekama wametumwa wasimulizeswali
@sammushi112
@sammushi112 4 жыл бұрын
@@hamdaniyasinimunguibarikit6734 9
@jumaomary9087
@jumaomary9087 4 жыл бұрын
Mina ukoo vizuritu Sanaa kikazi
@freemasonkingdom2847
@freemasonkingdom2847 6 жыл бұрын
Iissu unajua siasa zidi kupakua madudu
@franaelmbise6594
@franaelmbise6594 4 жыл бұрын
Mh.Rais Mtarajiwa waoo very bright man foreal, Ni MTU kwenye akili nyingi Sanaa hakikaaa duuh I can't imagine Jaman wapendwa wenzangu Tumshukuru Mungu kwa kutupa zawadi hii ya mh.TunduALissu tuwalaani na kuwakanya vikali walijaribu kumuua wanataka kuzima taa ya Tanzania yaaan daaah jamb tafurahi Sana kuona tabasamu la FARAJA kutoka kwa #TunduALissu
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 жыл бұрын
Huyu mtu anatisha (anaakili nyingi Sana)
@johnmalulu4131
@johnmalulu4131 4 жыл бұрын
Wewe unazo chache
@gregoryocalvin9122
@gregoryocalvin9122 4 жыл бұрын
John Malulu wivu wa kike
@samo5315
@samo5315 4 жыл бұрын
I love to listen when he talk. Hababaiki ni msomi mkubwa. Maneno safi hayana utata. You're the best Lissu. Allah blessings to you. Inshallah you will be our president.
@yibaimkmarket3290
@yibaimkmarket3290 4 жыл бұрын
After magufuli
@enockheche5917
@enockheche5917 7 жыл бұрын
Nimeamini watu wana laana kama mtu anaweza kujaribu kuua mtu wa aina hii ambae ni hazina kwa taifa hili, hii ni laana kabisa
@veronicamkenda2702
@veronicamkenda2702 6 жыл бұрын
Wivu
@alexteophil.c9293
@alexteophil.c9293 5 жыл бұрын
Huyu mtu ni maktaba yangu ya maarifa asee ..... i do appreciate the way he play his part in his right position.... Your one of the best aducated person in Tanzania with average level of education. We miss your presence in our lovely country... your wellcome back Tundu Lissu
@benjaminmtambo4868
@benjaminmtambo4868 4 жыл бұрын
Sugu mby
@1961nungwi
@1961nungwi 4 жыл бұрын
Masters degree in Law is not average: he is highly educated.
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 7 ай бұрын
Nimerudi tena 2024 kuangalia hii kitu. Haichujiiiiii MIAKA TISA SASA!
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 4 жыл бұрын
Kiongonzi wetu mpya
@merlisapeter2522
@merlisapeter2522 4 жыл бұрын
Ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@merlisapeter2522
@merlisapeter2522 4 жыл бұрын
Ppppppppppppppppppppppplpppplppppppplppppppppppplpppplpppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppplpplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppoppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppopppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppplppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@mzuvendi
@mzuvendi 4 жыл бұрын
Tunai angalia leo 1/9/2020! Hawa wenye kipindi cha mkasi bakhili hata mgeni hakupewa glasi ya maji!
@nestrysondegod3499
@nestrysondegod3499 4 жыл бұрын
Kam unaangalia hii video 2020 gonga like tujuane
@samiramdachi7101
@samiramdachi7101 4 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka yangu lisu unaongea point🙏🙏🙏
@mgendizabron1962
@mgendizabron1962 4 жыл бұрын
Mungu hakupe haja ya moyo wako
@jetirudajeei597
@jetirudajeei597 4 жыл бұрын
,
@jetirudajeei597
@jetirudajeei597 4 жыл бұрын
@@mgendizabron1962 .
@justinejackson1731
@justinejackson1731 Жыл бұрын
Tar 6/2/2023 nimeirudia hii interview ya mwamba, dah! Mungu azidi kukubariki.🙏🙏
@danfordkitwana6759
@danfordkitwana6759 4 жыл бұрын
ni miaka mitano imepita toka rais mtarajiwa afanyiwe interview hii. mwaka huu 2020 imekuwa dhahiri sana. TL is genious.
@bintibaibe1958
@bintibaibe1958 4 жыл бұрын
This is the best interview I ever watched,best interview all the time till this time 2020 ✌️✌️✌️✌️Go lissu this is your time 🥇
@emeldasirvesta8511
@emeldasirvesta8511 4 жыл бұрын
Ni yeye Leo tarr 14 /10/20 naangalia tena
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 4 жыл бұрын
Tanzania ni forth saddest Country in the World to be honest, lakini nimimsiliza tundu lissu najihisi furaha Inarudi tena. Msema kweli mapenzi wa mungu rudi uje ufanye kazi.
@tizzomushi4072
@tizzomushi4072 4 жыл бұрын
Umekubali eeeh!! Kuna wajinga lkw wanatoa matusi niliumia kweli nikawaambia je akija akawa rais na akawaongoza??
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 жыл бұрын
Tanzania ni nchi nzuri sana na tajiri, watu kama lisu wakiwa raisi, utajili wote wa nchi utaenda kwa wazungu. Lisu ni kibaraka wa mabeberu. Hata sasa inasemekana amepewa uraia ubeligiji, kwa mabeberu wanaongoza kuvuruga nchi za Africa, kuua watu na kuchukua mali. MUNGU awalaani katika Jina la Yesu. Ameni
@pascalfaustini9794
@pascalfaustini9794 3 жыл бұрын
@@tizzomushi4072 v
@almasiclassic3476
@almasiclassic3476 3 жыл бұрын
@@linkreuben5804 usiongee kitu huna uhakika nacho kausha
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Hapo kwenye Elimu umenigusa sana
@caindunke8526
@caindunke8526 4 жыл бұрын
October 2020 inakaribia ✌🏽
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Eti Lissu ndo awindwe nchi hiii?? Mnaalaana!! Lissu kabla hajawa mbunge amepambania madini nchi hii!!!
@elishuawiliam3987
@elishuawiliam3987 4 жыл бұрын
ubariikiwe mtumishi was Mungu
@bathromeombusibwaconrad2546
@bathromeombusibwaconrad2546 4 жыл бұрын
Alichokosea ni kusariti tena ana uchu wa madaraka huyuu
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
@@bathromeombusibwaconrad2546 we kenge amemsaliti mama ako?? Uchu wa madaraka yepi?? Ubunge au?? Nani ana uchu?? Nimekudharau kamasi wewe!!
@bathromeombusibwaconrad2546
@bathromeombusibwaconrad2546 4 жыл бұрын
We mpumbavu tumia hoja na si kutusi fuckn
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Lafu wanasema katumwa na wa beberu!! This mas is still the same yesterday and todate!!! Ccm majingaaa
@Raysam-ki1rc
@Raysam-ki1rc 4 жыл бұрын
👇Tujuane hapa 2020
@gadimbajo
@gadimbajo 4 жыл бұрын
Hichi kichwa binafsi nakikubali saaana....sijui mambo mengine ila namkubali
@selemanikisanga4424
@selemanikisanga4424 4 жыл бұрын
Tumpe kura huyu ndiye rais Bora Sana na amekusudiwa namungu
@topotachilemba9196
@topotachilemba9196 4 жыл бұрын
NI KAMA ULITABIRI KABISA LEO ANAGOMBEA TUMPATIE KURA
@annefridakisesa4910
@annefridakisesa4910 9 жыл бұрын
I am absolutely impressed by Mheshimiwa Tundu Lissu's arguments, particularly on the issues of education and "special schools". Frankly speaking, compared to other countries which got independence at the same time as Tanzania, we have completely messed up on education. This will continue jeopardizing chances for national development by our future generations. If we didn't educate them properly, and give them much needed skills, what is the chance of this country being at par with other nations?? Can you believe that that this wonderful peaceful country has to be a recipient of WB grant for "Big Results Now in Education Program (BRNEd) Project", aiming to improve education quality in Tanzanian primary and secondary schools? This is after more than 50 years of independence? We really have to think seriously on electing right people, principled people with good governance.
@marccruz5765
@marccruz5765 3 жыл бұрын
I dont mean to be off topic but does someone know a trick to log back into an instagram account..? I was stupid lost my account password. I would love any tips you can offer me.
@sheikhshekuehamzamzonge1658
@sheikhshekuehamzamzonge1658 8 жыл бұрын
Allah tupe mwisho mwema
@omarmbega702
@omarmbega702 4 жыл бұрын
Mzonge wawapiwewe tanga
@matheomatheo9286
@matheomatheo9286 9 жыл бұрын
siasa za kutenganisha watu walioungana ni hatari kwa raia kwa sababu watanzania wanapenda Amani kuliko kituchochote duniani mimi ningependa chama cha upinzani kishinde ili uwajibikaji uongezeke kivyama
@salehsaleh548
@salehsaleh548 4 жыл бұрын
Lissu ni more than president 🙌🙌
@gottaboy4178
@gottaboy4178 7 жыл бұрын
mamae!!! yaani huyo muba alikua anazingua kwenye kipindi, sijui mlitumia kigezo gani kumuweka, bora mngeniita hata mimi
@edsonguja5471
@edsonguja5471 4 жыл бұрын
Kwel
@jodsonmbezi838
@jodsonmbezi838 4 жыл бұрын
Wewe upendi watu wafe na wewe aufi miaka yote nakupenda mweshimiwa Rais
@lingsonmasoud2946
@lingsonmasoud2946 7 жыл бұрын
Salama hahahaa huyo baba ako unamuhoj km mshkaj bn ila nmependa ilkua amaizng
@edwardvelidiana1864
@edwardvelidiana1864 4 жыл бұрын
Jamani!!!!!!
@primuskiiza6403
@primuskiiza6403 4 жыл бұрын
Nimegundua sana unapendwa. na Wasomi/ na wasio wasomi lakini wanajitambua. Congratulations. to you. Tundu. Lisu
@romansuzana46
@romansuzana46 9 жыл бұрын
Mhe Lissu tunaona harakati zako na chama chako and we real appreciate,Mungu azidi kukulinda.
@deogrtiasmassawe2646
@deogrtiasmassawe2646 5 жыл бұрын
Suzana Roman kbs
@shukranrwesa7691
@shukranrwesa7691 4 жыл бұрын
Kama kuna mtu ninae mpenda wanasiasa bc ni tundu lisu
@kyambarungwematv6828
@kyambarungwematv6828 4 жыл бұрын
Msenge Sana wew ndiyo wale wale mabeberu
@romansuzana46
@romansuzana46 4 жыл бұрын
@Kyambarungwe ma TV Kuma la mamayako wewe,kwani umelazimishwa kukubaliana na Mimi.au ndio usenge uliousema maana ni wasenge tu ndio hawajui kuacha jambo liwapite.choko wewe
@gastordominic410
@gastordominic410 4 жыл бұрын
Mungu anamlinda kweli
@philemonphillip3842
@philemonphillip3842 8 жыл бұрын
The great Tundu Lissu.. Genius . Keep up the same spirit ..my nmbr one Role model. Cheers champ.. Ur bttr than those low lives who milk money frm there own gvt and feel proud to be called rich while inthere heads there is nthng.. Continue leavng a legacy
@fanaismmsianaf9352
@fanaismmsianaf9352 4 жыл бұрын
Lissu for President! Mwaka huu ni mwaka wa madiliko
@suysoni
@suysoni 9 жыл бұрын
hahaha Lisu namkubali sanaaa 1:03:26, anakwambia anapenda sana kuchimba usiku ili kesho yake akawabane bungeni hehe
@kulwamwakagali24
@kulwamwakagali24 8 жыл бұрын
Lissu ni Akili kubwa..✌
@angelrwiza5158
@angelrwiza5158 7 жыл бұрын
asante
@missarngweshemi9983
@missarngweshemi9983 6 жыл бұрын
Kulwa Mwakagali ana akili kubwa ila maarifa hana. Anaenda mbele anarudi nyuma
@rajabkisebengo9406
@rajabkisebengo9406 4 жыл бұрын
✌✌
@josephgambay5195
@josephgambay5195 9 жыл бұрын
Lissu anafaa kuwa raisi wa Tz nchi ambayo kwa sasa ni shamba la bibi
@rogerserickurassajr.9163
@rogerserickurassajr.9163 7 жыл бұрын
Tundu lisu ni shule tosha
@immamlowe734
@immamlowe734 7 жыл бұрын
Huyu nikichaa tosha
@mndarally587
@mndarally587 7 жыл бұрын
Joseph Gambay Teeeeeh
@mndarally587
@mndarally587 7 жыл бұрын
Teeeeeh
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Ndoto zako zinatimia soon
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 7 жыл бұрын
Lisu,your awesome men!! keep going.
@simbabbq4427
@simbabbq4427 4 жыл бұрын
Lisuu raisiwetu sisihatutaki mabarabara tupemaisha tule natuwehuru barabaravakajenge chato
@nancyisaiha5912
@nancyisaiha5912 4 жыл бұрын
Thank you Mr Lissu for elaborating a little about politics
@oscarmmari5061
@oscarmmari5061 8 жыл бұрын
Tundu Lissu is a brilliant politician and we are missing out not having him running the government.
@gastordominic410
@gastordominic410 8 жыл бұрын
Good
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 4 жыл бұрын
He can not run may be by mouth
@jivavaherode6191
@jivavaherode6191 7 жыл бұрын
Anafaa kuwa Raisi wa nchi ya wanyonge wanao onewa
@shawnmichaels1893
@shawnmichaels1893 4 жыл бұрын
Ulikuwa unamaono aisee
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 3 жыл бұрын
@@shawnmichaels1893 huyu jamaa ni jembe sana basi tu watu wanajiondoa ufaham et katumwa lakini alianza zamani sana kutetea wanyonge
@deodathkizito9637
@deodathkizito9637 4 жыл бұрын
TUNDU LISSU akili kubwa Sana karibu kwa nyumbani Tz.
@gastordominic410
@gastordominic410 4 жыл бұрын
Kabisa
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 4 жыл бұрын
Lissu akili nyingi,25/09/2020
@godfreymarandu304
@godfreymarandu304 4 жыл бұрын
Huyu jamaa kweli ni kichwa sana
@andrewsadiki9914
@andrewsadiki9914 9 жыл бұрын
Shukran Salama kwa kutualikia lissu tunakuomba na Jussa umlete. Muba hakuna lisiloshindikana mungu akijaaliya muungano wa serikali 2 hauna muda mrefu kaka yangu kama Nyerere,Hitler,Mobutu,Saddam,Gaddafi, Makaburu,Ussr. basi na hili lina mwisho kijana Ccm si lolote mbele ya mungu hawawezi kuishi miaka 500 kama yafirauni hizo ni akili za kikafiri kukipa kitu umri wa dumu daima
@obeidmpombwe9951
@obeidmpombwe9951 4 жыл бұрын
Mungu kweli alikupa kitu ndani yako uliongea Miaka kadhaa iliyopita kuwa tunakwenda kubaya kweli tumekuwa kubaya zaidi.
@selinaalbert8993
@selinaalbert8993 4 жыл бұрын
Waliona kizuri kisidumu wakasahau kuwa yupo mtetezi Yesu
@davidchilumo6246
@davidchilumo6246 Ай бұрын
LISU ni Genius bt wabongo hamja jua ilo
@samtelah7578
@samtelah7578 4 жыл бұрын
Hichi ni kichwa aiseee
@salehmadawa7035
@salehmadawa7035 4 жыл бұрын
Sjapata kuona msomi wa aina hii nimsomi wa hali hali ya juu
@stephenshayo734
@stephenshayo734 8 жыл бұрын
Mh Tundu Lissu aalikwe tena kwenye kipindi hiki cha Mkasi na kipindi kitangazwe vizuri kuwa kitakuwa lini ili wengi tusikikose
@immamlowe734
@immamlowe734 7 жыл бұрын
Stephen Shayo hatumpendi msalit mkubwa
@barackmwakilema920
@barackmwakilema920 4 жыл бұрын
Mungu anaona mbali sana dah tungempoteza huyu mtu tungepoteza kitu cha thaman sana
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 9 жыл бұрын
Thank you Lissu..wanataka kumfanya Nyerere alikuwa kimungu mtu, Big NO You are the best Lissu....Kumbe Tanzania kuna watu kama hawa Aisee
@adildube775
@adildube775 4 жыл бұрын
Bado upo dada
@stanleylyanga5633
@stanleylyanga5633 9 жыл бұрын
Mubah and John pls go back to school to learn how to pose questions to the guest.
@maasaistudios7932
@maasaistudios7932 7 жыл бұрын
february 16 2017,, still watching this....
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 жыл бұрын
Naskia Kikwete alisema ni bora Dr. Slaa awe rais kuliko Lissu kuwa mbunge. The guy is talented. #NiYeye2020
@professamuddy5407
@professamuddy5407 3 жыл бұрын
Alisema hivyo kwakuwa anajua Lissu hua ana msimamo. Huyumbishwi kwahio wanamuogopa anawapa ukweliii!.
@shemsahemed3577
@shemsahemed3577 4 жыл бұрын
Maashaallah maashaallah maashaallah tundu lissu allah akulinde
@jacksondaud4957
@jacksondaud4957 4 жыл бұрын
Mdogo wangu lissu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu
@japharytwaha8552
@japharytwaha8552 3 жыл бұрын
Ukweli Tundu Lisu ni mtu wa pekee sana Tanzania utakuta mtoto wa Shule hizo hajui hata maana ya well done pia hajui inasikitisha sana
@ayubusikagonamo3875
@ayubusikagonamo3875 4 жыл бұрын
Mh. Rais kipenzi cha watanzania hakika wewe umebeba maono Mungu akulinde...
@gastordominic410
@gastordominic410 4 жыл бұрын
Mungu anamlinda
@happielove3801
@happielove3801 9 жыл бұрын
hawa muba na mwenzie huwa wanafanya nini hapo? kazi yao kudakia, kumsaidia mgeni kujibu maswali, they are so boring and annoying, teach them orlet them go!!!
@elishuakivuyo140
@elishuakivuyo140 4 жыл бұрын
2020 Bado nimekusikiliza nakukumbuka pia
@dismasfredy1711
@dismasfredy1711 5 жыл бұрын
Pipooooooooz
@redpromediat.o.tstrongteam1679
@redpromediat.o.tstrongteam1679 9 жыл бұрын
Kati ya wazee wazuri wenye kuongea nukta, huyu Mzee yumo. Ni kweli Nyerere alikuwa binadamu wala si mungu. Zile imani za kuongea mazuri yake tu pasina kuwakumbusha watanzania kasoro alizofanya zinazoiletea taifa hadi leo mizozano isoweza kusuluhishwa ni moja ya tatizo kubwa. Muungano sio lazima endapo haileti faida. Ningeongea mengi ila aliyoongea ni kama ameniwakilisha. Nawashukuru sana Mkasi kwa kujali kila sector na kupitia njia hiyo watu wanaelimika. Endeleeni kufanya hivi. Ila jaribuni kuongeza ma utundu ili msionekane mnashindwa kuachiana maneno kama Muba na John wanavyoingilia kwa kuuliza maswali kabla la kwanza halijajibiwa vizuri na mlengwa. Sio lazima maswali yawe mengi, ila ni bora mhojiwa akajibu swali aliloulizwa kabla swali lingine halijaja. Sio tu kwenye hiki kipindi, mm ni mpenzi mzuri wa mkasi. Na vipindi vingi nafatilia kwa makini. Nitashukuru mkisoma haya maandishi yangu na kufanyia kazi. Nipo Idaho Boise. Naitwa Elvice. Asante.
@mohamedsalum2143
@mohamedsalum2143 6 жыл бұрын
Red Pro Records T. O.T Strong Team n .
@sarahamos8524
@sarahamos8524 4 жыл бұрын
Kwa kua anahojiwa raia sio shida angekua jembe LaTz Asngeweza kupata nafas ya maswali yakizushi
@sheikhshekuehamzamzonge1658
@sheikhshekuehamzamzonge1658 8 жыл бұрын
Tuombe mwisho mwema
@mwl.mussashekinyashi2088
@mwl.mussashekinyashi2088 9 жыл бұрын
Hapo Salama na timu yako mumekaa...mhojiwa amedominate mazungumzo na kujizalishia maswali kisha kuyajibu yeye mwenyewe. Kimsingi show ilikuwa nzuri kwa maana ya kuhusisha maswala ya msingi katika kipindi ambacho vijana wengi wangepata nafasi ya kujifunza. Lakini kwa kweli Salama, Muba na John ninyi ni waandishi wa habari wa udaku sio mambo dhati kama hayo. Kama unabisha tafiti falsafa ya maswali yako, Utagundua kwamba maswali yako yanachimba personal life zaidi kuliko masuala ya kitaifa...
@amoslameckshapagala2332
@amoslameckshapagala2332 4 жыл бұрын
Lisu 4rever
@zwwasost
@zwwasost 9 жыл бұрын
Great interview. Asilimia 50 ya wabunge wetu wangekuwa na akili kama huyu mtu. Nchi ingekuwa mbali sana.
@immamlowe734
@immamlowe734 7 жыл бұрын
Kumbe hujui tundulisu niadui nambamoja anajitahid kuzuia maendeleo lakin hataweza.
@primuskiiza6403
@primuskiiza6403 4 жыл бұрын
@Meshack Mliwa unapenda kutukana. Sana. Basi. Inafikirika kuwa. Unatoka. Katika Nyumba. Za. Udongo/matope !!!!!!!?
@primuskiiza6403
@primuskiiza6403 4 жыл бұрын
Big. Up. Toooo
@mansurnguja7306
@mansurnguja7306 4 жыл бұрын
Salama na wenzako hamna uwezo wa kumhoj Mh tndu Lissu mnaulza chenga2, ulizen Mambo ya maana kama Dada Farhiya Middle.
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 3 жыл бұрын
Hao sio wana siasa
@husseningurukuru730
@husseningurukuru730 4 жыл бұрын
Hasante lisuu uko sahii
@rhiphatkhalfan2817
@rhiphatkhalfan2817 9 жыл бұрын
Mubah and John mnaongea pumba, hivi vigezo vilizingatiwa kwenye kuajiriwa wala binadamu wawili? wanachosha kwa maswali yao yasioeleweka na ya kipuuzi. rudini shule mkasome wakati wa kuwa wajinga ushapitwa.
@MrLemunge
@MrLemunge 9 жыл бұрын
true sana yani
@kingaluadam9101
@kingaluadam9101 9 жыл бұрын
rhiphat khalfan sure sure mkuu
@lingsonmasoud2946
@lingsonmasoud2946 7 жыл бұрын
hahahhahha umeua aisee serious they are not soundng facts,,,,wana braa withouth mantic
@zedychilingo4494
@zedychilingo4494 4 жыл бұрын
Kamanda ukosawa
@samelychesham3309
@samelychesham3309 4 жыл бұрын
Tundu lisu
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 7 жыл бұрын
Ila salama sijui umesomea wapi uandishi wako Wa habari maana unavyowashushua wenzako! Halafu unataka uongee wewe tu😡
@englengaipaul6000
@englengaipaul6000 6 жыл бұрын
wewe ni taifa kubwa mh lisu mungu akulinde sana
@elisantennko7811
@elisantennko7811 4 жыл бұрын
Uko vizuri tindo letu na rais ajae tundu lisu ustishwe na wachache wanao rubuniwa na saani ya ubwabwa wa sku moja kesho walale njaa
@wolterdavid8979
@wolterdavid8979 4 жыл бұрын
Tazama video hii utajifunza kitu, bonyeza hapa>>>kzbin.info/www/bejne/a5mrhpJjhbaceas
@gastordominic410
@gastordominic410 8 жыл бұрын
Ahahaha ati kutafakar kwa maana ya mrema au wasira
@jacobmathayo2191
@jacobmathayo2191 4 жыл бұрын
Simba. Sipoti
@mirumbeihema2589
@mirumbeihema2589 4 жыл бұрын
Ngoja tukwachie nchii mack wewe ndo msomi wengine hatujasoma
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 жыл бұрын
Tanzanias Who are patriotic chase this Satan Lissu away in the name of God.Fukuza shetani Lissu
@Khezeir
@Khezeir 9 жыл бұрын
Salama sio qoran inayosema alama za mnafiq ni tatu ni hadith. Ambayo ulokusudia kusema mtu mwenye kusema uongo. Ila unatisha kinoma.
@allymsuya6655
@allymsuya6655 4 жыл бұрын
Poor interrogation kutoka kwa vijana wetu
@jacobmoses2175
@jacobmoses2175 3 жыл бұрын
Naiangalia 2020 but ni kama mpya
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 3 жыл бұрын
Lakini nikweli miaka yote tungeendelea kufuata shule Tabora, mwanza, arusha, dar bila kujiongeza kupunguza ile adha ya watoto kusomea Karibu ,kama ni changamoto ukianzisha kitu huzishughulikia mpk zinapungua au zinaisha kabisa
@gilbertmtoshu4334
@gilbertmtoshu4334 4 жыл бұрын
Love u bro 13/10/2020
@bonifasbonara9323
@bonifasbonara9323 4 жыл бұрын
Ccm ya wasukuma leo
@rashidkasanduku5507
@rashidkasanduku5507 3 жыл бұрын
Acha ujinga wewe kwani wasukuma siyo watanzania tunamasha naulaia wako
@hassanyussuph4407
@hassanyussuph4407 3 жыл бұрын
Lissu ni mtu na nusu wallah
@gastordominic410
@gastordominic410 8 жыл бұрын
Shule siyo jengo ni uwepo wa walimu. Vitabu. Maabara. Na vitendea kazi
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 85 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 18 МЛН
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Mkasi - SO3E06 with Ray
28:19
MkasiTV
Рет қаралды 261 М.
Mkasi | SO9E10 with Ali Kiba
26:54
MkasiTV
Рет қаралды 233 М.
Mkasi - SO3E13 with Zembwela
28:10
MkasiTV
Рет қаралды 275 М.
Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
40:28
MkasiTV
Рет қаралды 534 М.
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН