Hyu sio yule wa kpnd kile alifumaniwagwa na mkewe?
@bonicurtius81086 сағат бұрын
Ndio huyu
@HappyUgulumo11 сағат бұрын
Ndoa Zina vurugika sehem ndogo sana yawezekana huyo Mzee hajawah mwambia mama wa watu kama Kuna vt vina mkera
@PendoPeter-rr4jk11 сағат бұрын
Kama movie
@SaadiyaMohammad-og5bg6 сағат бұрын
Jamani mapenzia baba amipata misukosuko yafaa amuowea huyo dadawakazi
@JovinJosephat10 сағат бұрын
Ndoa ina siri kubwa. Kwa maoni yangu hakuna aliye sahihi zaidi ya mwingine. Maana taarifa nyingi tunaziona kwa huyo baba tangu amefumaniwa. Kwa vyovyote vile kuna mambo mengi yamesababisha ndoa hiyo kuparanganyika. Wahusika ndo wanaofahamu ukweli
@femidayahaya929310 сағат бұрын
kama ni kwel bc wewe uitwae mke wa mume yoyote yule bc tubadilike maana kwa stail hii wafanyakaz wa ndan wataachanisha ndoa za wengi..ifike mahal wake wajue majukumu yao kwa wanaume zao; hii inaumiza sana kwakwel duh mke kama mke huwez kuvumilia haya😢😢😢😢
@patelokoh58286 сағат бұрын
Hivyo ingekuwa yeye , Mama wa nyumba angechukuliwa na house boy? Weee rufia mkeo .
@femidayahaya929310 сағат бұрын
unaweza ukajiapiza milele kumiliki dada wa kaz maana kwa habar hizi unashikwa na woga kabisa
@SmilingCityMap-xb9md5 сағат бұрын
Mibaba hii haina adabu eti haina aibu dada wa kazi ni mwanao vishawishi vya nini
@njuka35154 сағат бұрын
Sio kweli no maigizo
@ZulfaEdward-d3b4 сағат бұрын
Niatar sana duuh
@wittyhery108 сағат бұрын
Huyu mzee Ni mchafu huna hata aibu mpaka wajuukuu wanakusikiliza
@rehemajuma90024 сағат бұрын
Kwani wewe mume huezi kubeba mwenyewe ndoo ya maji amekuhudumia miaka mingapi wewe mpaka sasa huna aibu mzee
@TressyAngel-bs5cv3 сағат бұрын
Uyu mzee ni mbwa kabisa atamkumbuka mke wake
@SaadiyaMohammad-og5bg6 сағат бұрын
Wanaumea akitaka lake hey anahakikisha anapata laini kaka usitowea aibu zamke wako waheshimu watoto wako
@AgnessJohn-v8p11 сағат бұрын
Huyu mzee ni malaya tu hiyo siyo sababu yakumuacha mkeo ni tamaa umarayatu
@JovinJosephat10 сағат бұрын
Binafsi siwezi kumhukumu huyu baba moja kwa moja maana ndoa zina siri nyingi sana. Yawezekana hata hiki anachoongea huyu baba kikawa siyo chenyewe. Lakini pia kunyamaza kwa yule mama aliyeondoka kuna mambo mengi ndani yake. Haya mambo ya ndoa ukiyafikiria kwa mihemko unaweza kumhukumu mtu bila makosa. Kwangu mimi naona hakuna aliye sahihi zaidi ya mwingine
@ephraimkabeya96489 сағат бұрын
Ulikuwa utamwelewa huyu Mzee...au Sema Kama huwajui wamama waharibifu wa mjini
@rosemaryKalega-c5s43 минут бұрын
Igizo lingine tena
@MwanakomboNassor-bw3by10 сағат бұрын
Umalaya wako tu.huna lolote
@TunauzaSimu-fn2ff4 сағат бұрын
Wanaume hawakomi! Nae huyo ajitayarishe atachukuliwa namwenhine na mwengine