HAHAHA...ULIYATAFUTA SASA UMEAYAPATA....NASEMAJEEE HII IMEENDA HII IMEENDA.. NIPENI LIKE ZANGU APA....🤣🤣😂😂..💔📌☑️
@faustaemmanuel1390Ай бұрын
Baba junior atakufa jmn wanawake kwan lazima ufanye hu ujinga😅😅
@christinanyamtema651610 ай бұрын
Mnafanya Mambo ya ajabu Sana,maana mwanaume anakuwa hakuamin Tena Wala amuamini mtoto pia challenge za ovyo hizo
@RoseJohn-js7kb9 ай бұрын
Mfano mumewe presha zishuke apate mshtuko afe atamlaumu nani?Mimi siwezi ujinga wa hivyo
@gilliardgodfriend574510 ай бұрын
Baba Juniour ana kina Sinia pia😊😊😂😂😂😂😂 haya mambo hayaaa🤭🤭🤭🤭🤗😊
@edamatonya788710 ай бұрын
Hiki kipindi sio kizuri hawa watu wanao ambiwa mwambie mume wako maneno kama haya hawana akili mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
@SwazilineNihingiko10 ай бұрын
Na mume ujunja nini 😂😂😂 towa usenge
@annamwakibinga52710 ай бұрын
Kabisa baba wa watu akifa huko mwanamke mjinga kabisa
@lizyonce741410 ай бұрын
Kabisa ndug yang mwanamke mwenye kujitambua na kujielewa awezi kufanya hivi
@rahimaaaaa568210 ай бұрын
Kwer kbs
@lifeinmiddleeast81799 ай бұрын
😂😂unamtengenezea chuki Baba kwa mtoto
@tiffahdangote754810 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂hii imeendaaaaaaaaa
@estermahenge-ks3dr10 ай бұрын
😅😅😅dada utani mwingine wakijinga unaweza kuuwa mtu
@emmatryphone692112 күн бұрын
Unakurupuka tu. Mnaweza kuua mtu.
@josephkalwani9 ай бұрын
Achana na challenge za aina hii unajua kua zinagusa maisha ya familia acheni kuweka challenge kwenye familia
@lizyonce741410 ай бұрын
Mwanamke mwenye kujitambua na kujielewa awezi kufanya ujinga huu. Dada kapime akili yako vizur wewe mwenyewe😢
@janenyemba50809 ай бұрын
Kati yako na yeye wakupimwa Akili Nani maan ingekutokea wew ungeonekana kama yeye unavyomwona alfu kuwekana ukweli Ni vizr au akishakufa ndio ajue kuwa anawatoto njee
@jostamzxkaole31139 ай бұрын
KUNA famiria zingine mtu na mpenziwake wanataniana ko aiez leta shida:: au utakuta mwanaume kawekwa hapaaa🤲🏼🤌::ko akiambiwa ilikua utani haez sumbua
@DenisMawala9 ай бұрын
Kbsa
@Mwarobaini10 ай бұрын
Mmoja kati ya hao watoto ni Wangu. Mwambieni anitafute huyo Dada
@winnieseba22579 ай бұрын
😂😂😂khaa jamanii
@rajabumlaluko28979 ай бұрын
Huyu mwanamke ni mjinga sana tena sana
@sulainanamkasa1659 ай бұрын
Wanaigiza tu
@SaphiaShayo8 күн бұрын
Sifanyi ujinga huo kwa mume wangu
@naomipieter462710 ай бұрын
Wakenya wanaweza huku wabongo tutauana bure jamn😂
@msellelilly391510 ай бұрын
😂😂
@nancyg86649 ай бұрын
🤣🤣🤣
@swaibahhassan505610 ай бұрын
Kiredio jmn alivyoshangaa kinafki khaaah😂😂😂
@user-ie2og5kr2b4 күн бұрын
Naitaji pia na mm namb Ako n paje
@shufaamushil88862 ай бұрын
😂😂😂 et wanawake cji mpoje kumbe Naye ana makandokando yake . Bora kuish tu, Hz chalange hapana🙌
@shancyskitchen304410 ай бұрын
Siwezi Fanya Huu Ujinga Kwa Mume Wangu 🥺🥺🥺
@malikzafarani17210 ай бұрын
Duuuh makubwa 🇶🇦🙌
@user-ik8zb6wc3m10 ай бұрын
Huyu ndo kiredio bhana
@Mwarobaini10 ай бұрын
Mmoja kati ya hao watoto ni Wangu. Mwambieni anitafute huyo Dada
@sheny41209 ай бұрын
Kimekuramba😂😂😂 challenge accepted
@josphatmkuvaja621928 күн бұрын
daaa Mambo mengine yakijinga sana
@atrashabubakarmohamed2 ай бұрын
Nyie hamjui hii Ni content
@gamingpointApk9 ай бұрын
Aina hii ya challenge sio broh..
@debbylitina348010 ай бұрын
Hiii challenge sio Vizuri, Inaweza Ikavunja Unyumba wawatu😢
@oggyjonathan137610 ай бұрын
Kimeumanaaa😂
@sonicaghendewa98869 ай бұрын
Nimecheka huku nashangaaa Mapenzi jamaniii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💔💔💔💔💔
@noahchepe80366 ай бұрын
😂😂😂hii hata ukimwambia ilikua challenge mumeo atakataa atajua kweli mtoto sio wake. Ohoo ulijaribu wew kumbe mwenzio ana wanne nje sasa😂😂😂presha juuu
@MerryLaini-wk1ut10 ай бұрын
🤣😀🤣 mwana kulifaindi mwana kuliget. Iv unaweza ww mwanamke. Kuongea na mmeo mbele ya watu hayo maneno. Sasa haya. Huyo kiledio kakuachia ungomvi yeye kaondoka kama ifuatavyo mwenzio anaenda kwa mkewe anampepea ww huna wa kukupepea
@user-lr7dc7ru1w9 ай бұрын
Daaa masikini pole dada wanaume punguzeni michepoko jamani
@jaffaryhamiddy89399 ай бұрын
mwannng unaharb ndoa z wat hp😂😂
@ZawadiNambariАй бұрын
Wanatanianaga hawa nyumbn mm wangu umfanyie hivi uwiiiiii 😅😅😅
@user-xh4yh8tq7m9 ай бұрын
Mwanamke ni mtu ambae akilii hanaa uyuu dada ni mpumbavu sanaa
Wanawake sijui mwalimu mwenu alikuwa nani anaazaje kumpigia cm mumeo kuongea upumbavu km huyo huoni km unajiharibia ukiachwa huyo alokupa challenge humuoni tena
@user-oh6ov3ob7p10 ай бұрын
Mwanakulitafuta ndo ukome😅
@sabihaibrahim14310 ай бұрын
sijui itakuwaje sasa mana bwana kataja na wakwake wa nje
Huyu mwanamke ni dishi kweli yani ivi ww hyo ni challenge ya kumfanyia mumeo kabsa😢😢😢
@bahatihassan5413Ай бұрын
Hana akili kabisa 😢
@neemareuben3119 ай бұрын
Tunaombaaaa huu mwendelewlzooooooooo plz
@jacqueli187 ай бұрын
Mwanamke mjingaaaa yaani halina akili
@user-lq4eu8lt7o7 ай бұрын
Kipindi kiliandaliwa hiki bhna😂😂😂😂
@philoteuslwena308210 ай бұрын
Part 2 plz
@ibrahimelisha68428 ай бұрын
Na yeye akikwambia ilikuwa ni chalenge😂😂😂 je?
@rojatv1679 ай бұрын
Hii kitu ya kipuuuzi sana
@Dareaziz10 ай бұрын
Hiki kipnd nakpenda sana
@bensonwissa57776 ай бұрын
Hizi ni kazi msichukulie siliaz
@apostlemussaonlinetv2 ай бұрын
Mtu anaejiheshim mama wa watt\mme wa watt hawezi kushiriki upuzi huu haya mambo niya vijana
@margrethamsechu708810 ай бұрын
Ukipigwa😅
@charlottempangala38817 ай бұрын
Baba junior alishasoma mchezo alikuwa anamlia timing ili amvuruge haswaaaaaaa
@user-gb3tk1wr9yАй бұрын
Kiredio fanya hizo challenge ziishie kwa sie ambao hatujaanza kuitwa mume na mke maan utaacha sie tupelekwe village😂😂😂😂
@marthamvanga80282 ай бұрын
Mkee wa mtu nae ajielewi
@rukiasalum22489 ай бұрын
Hi imefikaje bongo huko 254 watu kibao wameshavunjiwa mahusiano yako kwa mambo kama haya
@monalisadaniel-rp7xy2 ай бұрын
Duuuuuuu yapili ipo wapi
@santaperessanta73949 ай бұрын
Umeyatimba😅😅
@wilfredelimeleki45439 ай бұрын
we lishangazi huna akili kabsa
@wilfredelimeleki45439 ай бұрын
we mwanamke kumbe dishi lilishaanguka chini
@officiallister41959 ай бұрын
hii imeenda
@barakakhemedi12509 ай бұрын
Yaan hujui hta mumeo yupo wap ana fanya nn unaeza muingiza majangani bila sababu alaf ukute kajunior alikuwa anakapenda kweli
@evaqueenchris-mb6wg9 ай бұрын
Dada utakuta mtoto amechinjwa😅😅😅sababu ya challenge
@cyubahiroclement1918 ай бұрын
Hhhhhh hhhh awahi sasa
@fortunatajuma58226 ай бұрын
We dada hamnazooo
@ramadhaniseifuledi51310 ай бұрын
Ndoa imeota mbawa 😢
@naylahobra2 ай бұрын
Huu we huu unajua anaweza chukua hatua gani kamuua ama kaja kukuwa wewe unapata faida gani si uchiz huu mh
@AngelMwinyi2 ай бұрын
Me sijikufanya hii challenge
@themk-sw9eh8 ай бұрын
Maskini kaka wa watu hadi kigugumizi
@khadidjaabdi-hd8py10 ай бұрын
Mtu upo kweny ndoa unapat wapii ujasili wa kuongea hivyo huo ni ukosefu wa marifaa mamaangu
@Ellymeener10 ай бұрын
😂🤣😂😂😂😂😂😂😆
@ChachaNyabare2 ай бұрын
Kayatiba alafu anavyo ongea ni kweli mana kumbe kulikuwa na maneno ya watu alafu Leo kwamwambia ukweli kunanin Tena hapo
@PaulinaErnesto-te7ou14 күн бұрын
Kiredio ❤❤❤❤🎉🎉
@EmmyJumanne-mf2nu3 ай бұрын
😂😂😂😂. jmn😢
@user-ty1tp8ly8qАй бұрын
Mtakuja kuwawa jmn 😢😢
@keifatuke99Ай бұрын
MTU AKIFA. KWA. PRESSURE
@conasmalale10739 ай бұрын
huu ujinga kbs mtasababisha watoto wa watu wauliwe bure
@catherinkantambi405710 ай бұрын
Hii kitu siwez kufanya isee
@bahatirobert100910 ай бұрын
Ukome umejua na usiyoyajua
@enockmaige8936Ай бұрын
We mwanamke mpumbavuu😢😢😢
@CAN.1642 ай бұрын
Jamani watu mpunguze hasila kiledio sii mjinga kuhalibu ndoa za watu nahao watu sio wajinga kuhalibu ndoa zao ila tu nimovie kama movie zingine kiledio anawapanga kwanza na huyo mwanamke sio kwamba anaongea na mmewe ilatu anaongea na mwenzie kiledioo😂😂😂😂
@muna11659 ай бұрын
Part 2 tafadhali
@clevertwotz79106 ай бұрын
Ahahahahahaaaha
@anenragnesmunis84909 ай бұрын
Kwenye ndoa hayafai bwana labda kwa vijana tu
@user-db1uy6hv9q6 ай бұрын
Kwa Mimi binafisi siwezi mwambia mume wangu ushuzi Kama huu unaweza kususiwa watoto
@enockmaige8936Ай бұрын
Kuna utan mwingine wa kipumbavuu
@happymwashimaha513410 ай бұрын
Hii ni hatari sana. Acheni ujinga huo . Tuleteeni vitu vyenye tija
@emanuelidivine49419 ай бұрын
Ata ichi kina tija tuache si tupate raha wanaokubali kufanyiwa challenge ndio wajinga we umeolewa afu unasem mtt sio wa bwn mtot akianz kubaguliwa utamlaum kiredio ye anaingiza zake pesa koo uez sema anavovifny avina tija wakati ndio anapatia pesa
@lydiathomas29056 ай бұрын
Acheni mambo ya ajabu.
@hafsa05adil3210 ай бұрын
Kuna baba naee hiv hiv mwisho wasiki akawachoma wanawe
@calvinamon412510 ай бұрын
Kiredio ni mmbea
@foncetecelectricalandelect348 ай бұрын
Haya ni maigizo
@EddaDaniel-we5um2 ай бұрын
Niko na upumbavu mwingi ila upumbavu kama huu siwez kufanya
@user-np1kb5cw2o9 ай бұрын
Mara unaenda home unakuta mtoto kashapewa sum kwa ujinga kama huu
@shabanidaruweshi-jw5jy9 ай бұрын
Swali ukamwambia kama mtoto sio wa kwake na muda huohuo uyo mume akakata simu alafu akafanya tukio baya la kujiua au kumuua hata mtoto inakuaje hii