MKE WA MASOUD KIPANYA AFUNGUKA KUHUSU KUACHIKA/SIJAWAHI MVUNJIA HESHIMA/KUHUSU WAKE WANNE NIMEKUBALI

  Рет қаралды 12,845

Carrymastory

Carrymastory

Күн бұрын

MKE WA MASOUD KIPANYA ATOA UFAFANUZI KUHUSU NDOA YAKE; PIA KUHUSU VIDEO ALIYOJIREKODI AKIWA ANALIA INSATAGRAM.
#carrymastorytv #masoudkipanya

Пікірлер: 33
@saidaabdalla2854
@saidaabdalla2854 8 ай бұрын
Pole yako mwanamke ukiachwa achika songa mbele na maisha yako mapya usijidhalilishe ingawa unaumia lakini unatakiwa umuamini na kumuomba Mungu atakufungulia njia nyengine ya maisha
@wardawarda6535
@wardawarda6535 8 ай бұрын
Ukiachwa kula ushibe ,kunywa maji mengi sana,jipende pendeza basi 😄 🤣 😂
@deusdeditsimba4452
@deusdeditsimba4452 8 ай бұрын
Dada Yangu unayosema NI sawa ,lakini si KWA Kizazi cha sasa na wala si rahisi hivyooooo unavyoongea Malezi yetu tuolelewa Sisi na Malezi ya SASA YA SOCIAL MEDIA KUNA TOFAUTI KUBWA SANA KAMA MBINGUN NA ARDHI,WEWE unaongelea Malezi mema na mazuri na heshima uliolelewa na wazazi wako Shukuru Mungu kwa Hilo dada yangu,HAYA MANUNGA EMBE YA SASA HIVI ACHANA NAYO!
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 8 ай бұрын
😂😂😂 labda aniache huyu wasasa maana mtoto wa mamamkwe anajua mpk anajua tena ilk hapo nyma sikuona chakuniliza kbs
@Bashitetako
@Bashitetako 8 ай бұрын
Niwaambie tu labda hamjui tu mume sio jukumu lake kumtakia mkewe happy mother's day hiyo ni kazi ya mtoto yule ni mkewe sio mamaake na ni hivyo hivyo kwa mke yule sio babaake ni mumewe
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 8 ай бұрын
Huna nyota ya mitandao dada ungebakia kwenye kupiga ramli labda pangekuingiza mjini
@ceomomtz
@ceomomtz 8 ай бұрын
Mbona kama ana frustrations fulani? Yeye ndio ana matatizo na anahitaji msaada. Kwani lazima kujibu watu? Yeye kama alitaka watu wasiwe na maswali angeeleza sababu ya yeye kulia na kama alitaka kila mtu awe na simulizi yake basi asijibu. Si amesoma mass communication iweje hajui tumia alichosoma kwenye real life.
@marymanoni5536
@marymanoni5536 8 ай бұрын
Mwizi ww
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 8 ай бұрын
mnao olewa wake wanne mnawezaje yaani nikae wiki nzima sijafanywa nasubilia bwana amalize zamu kwa wenzangu khaa siwezi 1
@AinekishaNyakato
@AinekishaNyakato 8 ай бұрын
Alokwambia hadi zamu ikwishe nani huyo mume atakua hana nguvu za kiume ududu wake dhaifu, mnaolewa wa nne na mna pigwa miti hadi mnamkimbia yaan mnafanya leo sio zamu yangu nenda huko kwa mwenye zamu yake wewe hujakutana na marijali mwanaume asili kabisa Acha na hao wapiga punyeto😂
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 8 ай бұрын
Hahahaaa❤
@AmelitaKadudu
@AmelitaKadudu 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 8 ай бұрын
Dada yangu kwenye sheria hautakiwi tena kua na choice ni kuitekeleza tu,ila uzuri wa ndoa hasa basi musaidiane na hata kama utakua peke yako kama mwanamme hasa mzima ana afya yake,basi hautopumzika utataka uende ukatembee kwenu kwanza.
@Lulualshagri
@Lulualshagri 8 ай бұрын
Mmmh kama ana mashauzi flani hivi
@Bashitetako
@Bashitetako 8 ай бұрын
Dada anaonekana mswahili sn
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 8 ай бұрын
😂😂 uswahili wa kulazimisha wa bara huyo maneno magumu kama mkate wa juzi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 8 ай бұрын
Waswahili ndio wenye Nchi yao hao hahahaah
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 8 ай бұрын
Mnanichekeshaga sn kwani ni hao wanaume tu wanajeuri ya kuoa wake 4? Kwa hiyo hao wake wa4 watashindwa kuchepuka? Mwanaume ucjifariji kwamba ni ww unamiliki tu,wanawake nao wanachepuka vxuri kwa hiyo jibaba kaa kwa ku2lia.
@OfficialA83640
@OfficialA83640 8 ай бұрын
Kwani huyu ndy mke mdogo wa mwisho 4 au?
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 8 ай бұрын
yes
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 8 ай бұрын
wa pili nadhani
@Sage-o4q
@Sage-o4q 8 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu ana tatizo la AFYA YA AKILI uwaga hayuko sawa.....tahira tahira tu.
@OfficialA83640
@OfficialA83640 8 ай бұрын
@@Sage-o4q Mmhh sio vizuri hivyo 😏
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 8 ай бұрын
Sura hana apo ndio make up yupo hivyo ata mimi mzee naonekana kijana tatizo uswahili mwingi
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 8 ай бұрын
Mimi mwenyewe nilivo achwa nimelia mpaka nikapata homa😢😢
@Polyn.123
@Polyn.123 8 ай бұрын
Hi
@emmadora7848
@emmadora7848 8 ай бұрын
Pole jamani ,si mwisho wa Dunia huwezi jua umeepushwa na nn ,Mungu atakupa heri nyingine
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 8 ай бұрын
Pole my.inawezekana uliepushwa na bomb la nuclear.
@janifajani8875
@janifajani8875 8 ай бұрын
Mm nalia adi sasa adi naitaji ushahur bwana kaniacha kaenda kuolewa na mama mtumzima yani huyo mama ndokajilipia baruwa na mahar yani nime vurugwa hapa
@janifajani8875
@janifajani8875 8 ай бұрын
Kweli dada mm nalia familia ina nicheka atar basi nime wa bock familia zima😂😂😂 nilivo vurugwa na huyu mbwa wamama mkwe
Mkasi - S01E03 Masoud Kipanya
25:38
MkasiTV
Рет қаралды 115 М.
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
BI FATMA ISSA ATOA MKASA ULIOTAKA KUMUUA/MAADUI WANAPIGA
17:03