Cheza sasa kupitia shorturl.at/jqzU6 na ushinde Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 35
@EsterPaul-uc7nyАй бұрын
Hongeraa sanaà mama angu hakika nimependaa sanaaa uchapakazii wakoo natamani Sanaa siku mojaa nifikee kwakoo mama angu
@user-oj1ro8ih1g4 ай бұрын
Hongera Sana Mama Allah akusimamie ktk shughuli yako uliyoianzisha. Upo vizuri mama yanngu
@madinajanethchamshama99993 ай бұрын
Hongera sana Mama Pinda Huna Baya na mtu ❤ nakupenda sana . Mungu akutunze na akulinde siku zote
@StephenTossi-tj2uv4 ай бұрын
Mama nimekupenda you are real African woman. Si mtu wa kujiinua
@Aminmwansile-we8vn4 ай бұрын
Barikiwa Sana mama pinda na Mzee pinda mungu awabariki kwa kujitolea kulea albino
@collinsulomi10084 ай бұрын
Hongera mama, Naomba kazi mama hata ya udereva. Asante
@martinemasunga58024 ай бұрын
Kipindi kizuri lkn matangazo daah hovyo kabisa kwanni msiyapangilie vizuri, halafu yana sauti ya juu. Kiufupi yameboa sana.
@rosetasuleiman67994 ай бұрын
Sasa matangazo kila muda ndo nini?
@user-vy5ei1xl4p4 ай бұрын
Mwanachi digital mmeashindwa kupangilia matangazo yenu hadi kero
@user-dv6fx5ec5u4 ай бұрын
Hongera sana Mama ❤ ila wewe ni mzuri sanaa
@user-wt9uf6gc7n4 ай бұрын
This woman is so Real………. Nimempenda kwa kweli
@aminaomary55674 ай бұрын
Jamani matangazo ya nini yanaboa tu
@edithandunguru34054 ай бұрын
Mama ulishusha sana mabega. You were the best. Tulisali wote St Anna Kinondoni Hananasif, ulikuwa wa kawaida sana mama
@user-zl3le1wz2u4 ай бұрын
Mshauri bwana yako awe mmojawapo katika kugombea urais mwaka 2025 ana uwezo mkubwa
@jumanesaidi76354 ай бұрын
Matangazo ya biashara, ni muhuni ki-bishara, lakini yakipangiliwa ovyo ovyo, hata habari inayotangazwa, inaonekana ya ovyo, kwani hupoteza utamu wa habari husika, na kuifanya nayo ionekane kama ni ya ovyo !
@raphaelhans30524 ай бұрын
Nafuu umeona pia 😂😂😂😂
@ruthdavie11754 ай бұрын
Mnaboa na haya matangazo yenu buana khaaaaaaaa😢
@neemakabale60474 ай бұрын
Ssfi sana
@kalumbugideon41594 ай бұрын
Wangapi Ndo wamemjua Leo Hii???🤣🤣
@ngwashgold54594 ай бұрын
Mimi hapa
@WilsonMgwilanga-bj9li4 ай бұрын
Haya matangazo yana keraaaaaaaaa
@emanuelayubu50214 ай бұрын
hivi huyu mama mnayemhoji, mlimwomba ridhaa ya kurusha haya matangazo kiholela hivi?
@josephineseruhere-cv4wc4 ай бұрын
Hongera Mama Sana na Mungu akubariki we na familia yako kwa Maamuzi ya upendo kwa Jamii
@elinamishoo95414 ай бұрын
Mungu akujalie lengo lako litimie.
@marygregory75664 ай бұрын
Nimekupenda mama una moyo mzuri
@danielsimwanza10464 ай бұрын
Tafuten mfumo mzuri wa matangazo yenu
@josephineseruhere-cv4wc4 ай бұрын
Mungu awasamehe hamjui mlitendalo
@masalakulwa76014 ай бұрын
na kweki mama tunu alikua mshamba balaa enzi za cbe
@SaidHamis-yz1vt4 ай бұрын
Mama shikamoo
@ubongosahihi4 ай бұрын
Mamaaaaaaaa Ushamba Tena 😂😂❤
@user-md7ug5dd9r4 ай бұрын
Matangazo bila mpangilo makera .
@user-wx3im7dz7u4 ай бұрын
🫡
@godfreyally-ps3fo4 ай бұрын
Haya matangazo vipindi vyenu mtakua mnaangaria na familia zenu 😠
@huldamichael44454 ай бұрын
Matangazo yanaboa
@crytonsijaona61644 ай бұрын
Yaaani nyinyi MwanaichiDigital mnnaendesha Channel yenu kama Zama za kale. So unprofessional unprofessional.