No video

Mkeo ni Malkia zingatia haya usije sema hukuonywa - Sheikh Othman Maalim

  Рет қаралды 240,976

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Sheikh Othman Maalim akitoa nasaha kwa wanandoa ‪@kalamuMedia‬

Пікірлер: 180
@allyngoda761
@allyngoda761 2 жыл бұрын
HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 2 жыл бұрын
Amin yarab
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 жыл бұрын
May Allah bless him Yarrab
@buyuni1
@buyuni1 2 жыл бұрын
Ameen
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Ameen
@abubakarially059
@abubakarially059 2 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏
@TausiSinaela
@TausiSinaela 3 ай бұрын
Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu
@ZuwenaAlvin
@ZuwenaAlvin 3 ай бұрын
Allah akupe umli mlefu sheikh othuman
@AbdallahHassan-hy2rm
@AbdallahHassan-hy2rm 5 ай бұрын
Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur
@mrboogie255-dr2kh
@mrboogie255-dr2kh 2 жыл бұрын
MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV
@athmaniathmanisimba4976
@athmaniathmanisimba4976 6 ай бұрын
Mawadha mazuri.sana.huwa ninapo sikiliza.nkua.katika utulivu.allh.akup.nuru.sgh
@siwemangalunda4655
@siwemangalunda4655 6 ай бұрын
Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa
@mwanayamumambo2837
@mwanayamumambo2837 2 жыл бұрын
Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah
@armankassim5906
@armankassim5906 2 жыл бұрын
MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi
@malombemunyithya9341
@malombemunyithya9341 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah
@kalamuMedia
@kalamuMedia Жыл бұрын
Aaamin
@shabaniguma8696
@shabaniguma8696 Жыл бұрын
Aameen🤲🏾
@jassminemubarak2828
@jassminemubarak2828 11 ай бұрын
Amiiiina
@ivyroses9019
@ivyroses9019 2 жыл бұрын
Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏
@abassmohammedmohammed5948
@abassmohammedmohammed5948 2 жыл бұрын
labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu
@abassmohammedmohammed5948
@abassmohammedmohammed5948 2 жыл бұрын
pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume
@abassmohammedmohammed5948
@abassmohammedmohammed5948 2 жыл бұрын
yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki
@abassmohammedmohammed5948
@abassmohammedmohammed5948 2 жыл бұрын
ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa
@abassmohammedmohammed5948
@abassmohammedmohammed5948 2 жыл бұрын
ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo
@jimilamuzanga2551
@jimilamuzanga2551 2 жыл бұрын
Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume
@sangokipozi4611
@sangokipozi4611 2 жыл бұрын
Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.
@fawziaabdurrahman2251
@fawziaabdurrahman2251 2 жыл бұрын
Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume
@faridamkwizu3333
@faridamkwizu3333 2 жыл бұрын
Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah
@bushraaljadidi7747
@bushraaljadidi7747 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah darsa nzuri sana
@latifahnassoro17
@latifahnassoro17 2 жыл бұрын
Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma
@user-lt4db8df6e
@user-lt4db8df6e 6 ай бұрын
Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako
@yusraabdullhaji7923
@yusraabdullhaji7923 6 ай бұрын
Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔
@bushraaljadidi7747
@bushraaljadidi7747 2 жыл бұрын
بارك الله فيك شيخ
@InssasulaiRachide
@InssasulaiRachide 2 ай бұрын
Machalaa cheik weitu ntukufu
@mukreemhassan7347
@mukreemhassan7347 2 жыл бұрын
MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Inshaallah tumekuelewa
@bilalybarisesa5206
@bilalybarisesa5206 2 жыл бұрын
Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲
@SharifaMuhamed-od5dl
@SharifaMuhamed-od5dl 4 ай бұрын
Amiin 🤲
@fauziaabdalla7925
@fauziaabdalla7925 2 жыл бұрын
Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@MwakishaStella
@MwakishaStella 8 ай бұрын
Ma sha Allah
@samirasadasalum5974
@samirasadasalum5974 2 жыл бұрын
Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka
@afric01
@afric01 Жыл бұрын
Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
@adilaibrahim2069
@adilaibrahim2069 7 ай бұрын
Allah alete kheri zake in sha Allah
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 3 ай бұрын
We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu
@bushraaljadidi7747
@bushraaljadidi7747 2 жыл бұрын
Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema
@umaymatwaha9807
@umaymatwaha9807 2 жыл бұрын
🙏Amiin
@user-ge6gu4fh7x
@user-ge6gu4fh7x 4 ай бұрын
MASHAALAH
@InssasulaiRachide
@InssasulaiRachide 2 ай бұрын
Macha Allahu
@bammboomm7763
@bammboomm7763 2 жыл бұрын
MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir
@ummiali1208
@ummiali1208 2 жыл бұрын
جزاك الله خير
@aaliyahholden9282
@aaliyahholden9282 2 жыл бұрын
Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi
@mirajiissa4603
@mirajiissa4603 4 ай бұрын
Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote
@rayasaid7400
@rayasaid7400 2 жыл бұрын
BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN
@rukiaissa5878
@rukiaissa5878 2 жыл бұрын
Amyn
@zubedamselem7217
@zubedamselem7217 2 жыл бұрын
Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.
@user-oq2wp8oh1f
@user-oq2wp8oh1f 8 ай бұрын
Tunateswa jaman
@fatmamasafu8606
@fatmamasafu8606 2 жыл бұрын
MashaAllah Allah akujaze🤲
@salimmariga149
@salimmariga149 2 жыл бұрын
Ma Shaa Allah darsa zuri sana
@sergemassamba5677
@sergemassamba5677 2 жыл бұрын
Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏 insha'Allah god bless you maalim os
@SharifaMuhamed-od5dl
@SharifaMuhamed-od5dl 4 ай бұрын
Swadakta 💯
@rayasaid7400
@rayasaid7400 2 жыл бұрын
RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin
@rukiaissa5878
@rukiaissa5878 2 жыл бұрын
Amyn yaarabbbiy
@shabaniguma8696
@shabaniguma8696 Жыл бұрын
Amiin 🤲🏾
@SharifaMuhamed-od5dl
@SharifaMuhamed-od5dl 4 ай бұрын
Amiin 🤲
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Masha Allah shekhe wetu
@hamidamhanaya8126
@hamidamhanaya8126 2 жыл бұрын
ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH
@universitylink
@universitylink 2 жыл бұрын
Mashaallah sheikh Othman Maalim
@swaummukonjero7352
@swaummukonjero7352 Жыл бұрын
MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..
@user-xy2qj1gc9p
@user-xy2qj1gc9p Жыл бұрын
Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏
@fatumaabdallah7541
@fatumaabdallah7541 2 жыл бұрын
Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah
@marygoshashy9954
@marygoshashy9954 2 жыл бұрын
Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️
@suzanokila3612
@suzanokila3612 2 жыл бұрын
Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah
@asmaanassoro7842
@asmaanassoro7842 Жыл бұрын
Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin
@hafswaomar2841
@hafswaomar2841 2 жыл бұрын
Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo
@hamidamhanaya8126
@hamidamhanaya8126 2 жыл бұрын
😁
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
ulikuwa hujui
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
sasa hivi ni utumwa kwa kwenda mbele au ukae kisela 😂😂😂
@arafatmaphox8612
@arafatmaphox8612 2 жыл бұрын
Wapi
@khadijamgambo6874
@khadijamgambo6874 Жыл бұрын
Ndio mana tunashauriwa tuolewe na wanaoijua Dini na c wenye magari na maghorofa mengi.
@saidimkopi9273
@saidimkopi9273 2 жыл бұрын
Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu
@kulthumally881
@kulthumally881 2 жыл бұрын
Ma sha allah
@aseefpa1461
@aseefpa1461 2 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine
@juneithartony9543
@juneithartony9543 2 жыл бұрын
Mashallah
@mallulu9086
@mallulu9086 2 жыл бұрын
Masha Allah sherkh othman kweli kabisa
@user-dp3cu8dv3y
@user-dp3cu8dv3y 9 ай бұрын
MàshaAllah jazakallahu khayr
@SANATVTZ
@SANATVTZ 2 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@shekikashedrack
@shekikashedrack Жыл бұрын
Namuelewa sana
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 3 ай бұрын
Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto
@dallamanzanzibar8685
@dallamanzanzibar8685 Жыл бұрын
Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla
@shefumasanja-wn6lj
@shefumasanja-wn6lj Жыл бұрын
Asante shekh othaman
@abubakarially059
@abubakarially059 2 жыл бұрын
Mashaallah💓
@halimasaid4977
@halimasaid4977 2 жыл бұрын
Shukran shekhe
@rashidimatogwa-rr3rj
@rashidimatogwa-rr3rj Жыл бұрын
Alláâh akuhifadhi
@asiaswedi8945
@asiaswedi8945 2 жыл бұрын
Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.
@hamidamhanaya8126
@hamidamhanaya8126 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 2 жыл бұрын
Allah barik
@AbdulazizJuma-qu2tk
@AbdulazizJuma-qu2tk 9 ай бұрын
mashallaH 🕌
@binthamoudshariff5492
@binthamoudshariff5492 2 жыл бұрын
Wallahi naam maneno kuntu👌
@fitness8330
@fitness8330 2 жыл бұрын
Shukran sheikh
@kamilyaibrahim9784
@kamilyaibrahim9784 2 жыл бұрын
Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@halimahalima1488
@halimahalima1488 2 жыл бұрын
MashaaAllah walhadulilah ❤️😘
@halimamnyati9311
@halimamnyati9311 2 жыл бұрын
Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah
@halimahalima1488
@halimahalima1488 2 жыл бұрын
@@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie
@meandme3437
@meandme3437 2 жыл бұрын
Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu
@meandme3437
@meandme3437 2 жыл бұрын
@@heyumi2340 🤪🤪😬😬
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu
@meandme3437
@meandme3437 2 жыл бұрын
Msiba fauka muswiba.
@aasiyaasia338
@aasiyaasia338 2 жыл бұрын
Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki
@karimukoriwa6520
@karimukoriwa6520 Жыл бұрын
Hakika mwenyezi mungu ampe nuru
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 Жыл бұрын
Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!
@khamismohdkhamis4680
@khamismohdkhamis4680 5 ай бұрын
Kwa sababu wanaume hawataki kubeba majukumu yao
@hanaalsiabi2821
@hanaalsiabi2821 Жыл бұрын
Mashaallah
@kineromakame7295
@kineromakame7295 Жыл бұрын
Alhamdulillah 😊
@zubedahassan409
@zubedahassan409 Ай бұрын
2024🙏
@jumamohammed5378
@jumamohammed5378 2 жыл бұрын
mashaAllah
@mahramarswad6041
@mahramarswad6041 2 жыл бұрын
Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia
@jumamohammed1818
@jumamohammed1818 Жыл бұрын
Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza
@sharifshek7240
@sharifshek7240 2 жыл бұрын
Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?
@kakamama5104
@kakamama5104 2 жыл бұрын
Mashallahحفظهلله
@alawimkonga5557
@alawimkonga5557 2 жыл бұрын
INSHALLAH
@naimajeddara8687
@naimajeddara8687 Жыл бұрын
❤❤❤❤💖💖💖💖💯
@mwerochindoro2910
@mwerochindoro2910 2 жыл бұрын
Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul
@munirasuleiman2006
@munirasuleiman2006 2 жыл бұрын
Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam
@mwerochindoro2910
@mwerochindoro2910 2 жыл бұрын
MashAllah, Shukrani @ munira
@jamamvoni4053
@jamamvoni4053 2 жыл бұрын
Wee munira hhhhh daah
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Visa nyie 🤣🤣
@AA-gt7bv
@AA-gt7bv Жыл бұрын
Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake
@Rydah389
@Rydah389 2 жыл бұрын
Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac
@Rydah389
@Rydah389 2 жыл бұрын
Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini
@Dasoor-tt3vf4dj8i
@Dasoor-tt3vf4dj8i 6 ай бұрын
Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?
@basilkaslingi441
@basilkaslingi441 4 ай бұрын
Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro
@donitoalberto3154
@donitoalberto3154 2 жыл бұрын
Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?
@AA-gt7bv
@AA-gt7bv Жыл бұрын
Yeah!! Tumeliona mashallh❤
@CuteGirl-og2mr
@CuteGirl-og2mr 3 ай бұрын
Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba
@farris_2549
@farris_2549 2 ай бұрын
🤌💚
@abkhamsalshamte429
@abkhamsalshamte429 Жыл бұрын
me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.
@omaraliy6144
@omaraliy6144 2 жыл бұрын
Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha
@asiahamza9495
@asiahamza9495 2 жыл бұрын
Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).
@mr.waziri9992
@mr.waziri9992 2 жыл бұрын
Hata kama anaziniwa nje, 😂
@jumatandiko7597
@jumatandiko7597 Жыл бұрын
Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha
@ruznaabdullah2050
@ruznaabdullah2050 Жыл бұрын
Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa
@mallulu9086
@mallulu9086 Жыл бұрын
Ya Arab tujalie mwisho mwema
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 2 жыл бұрын
Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?
@musahimapanda8701
@musahimapanda8701 2 жыл бұрын
Kwa hiyo???
@zuleikha7691
@zuleikha7691 2 жыл бұрын
Mungu akulinde.
@Tatafati-uk8vy
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Hayatuhusu
@allyissa7163
@allyissa7163 2 жыл бұрын
Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran
@husnaibrahim2107
@husnaibrahim2107 Жыл бұрын
Mashaallah darsa nzuriii
@jimjam4148
@jimjam4148 2 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@saidkanda8870
@saidkanda8870 2 жыл бұрын
Mashaallah
@mwanamkasi5278
@mwanamkasi5278 2 жыл бұрын
Mashaallah
SIFA ZA WACHAMUNGU  JEE NA WEWE UMO ? // SHEIKH OTHMAN MAALIM
53:20
arkas online tv
Рет қаралды 33 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 8 МЛН
Hii Ndio Nguvu ya Mtu Mwenye Kumtegemea Allah s.w. Sheykh; Hamza Bin Mansoor
44:23
sheikh uthman maalim - umuhimu wa subra
1:04:10
SuperAnonymous1977
Рет қаралды 249 М.
KISA CHA NABII SHUWAIB NA UMMA WAKE //SHEIKH OTHMAN MAALIM
59:53
arkas online tv
Рет қаралды 50 М.
HURUMA ...OTHMAN MAALIM
58:38
Said Salim Matango
Рет қаралды 368 М.
041 2 OTHMAN MAALIM MARADHI YA NAFSI
1:09:22
HABARI MOTO MOTO TV
Рет қаралды 34 М.
068 OTHMAN MAALIM....UKAIDI WA BANI ISRAEL
1:18:51
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 467 М.
OTHMAN MAALIM.....VISA VYA VITA YA BADRI
3:01:33
ADE LINK HABARI
Рет қаралды 126 М.
Si kila ukweli ni wa kusema -Sheikh Othman Maalim
24:59
Kalamutz
Рет қаралды 130 М.