Raha ya movie iende kule mtazamaji unakotaka like ilivyo kwa sele😋
@HassanHassan-ix7cj9 ай бұрын
Wahhhhhh Selemani kwisha 😢 Kabeba kifurushi
@HvgUgg-w1p9 ай бұрын
Mkojani mbn akuna movie yako ata moja umevaa suruale 😮
@ommyguyz5259 ай бұрын
Wao keep it up team mkojani gang wacha maswala ya Mimi wakwanza
@HassanHassan-ix7cj9 ай бұрын
Eti kumbe anakufulia mpaka nguo za ndani 😅😅 Sele Utakufa na pressure tafuta mahali uende
@emmanuelgongoro10149 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@beautifulafrica68869 ай бұрын
😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
@Amyomy-od5ry9 ай бұрын
Anamoyo ye mwenyewe kwanza😂😂😂
@HassanHassan-ix7cj9 ай бұрын
@@Amyomy-od5ry Hana pakwenda ndio maana pia
@LisiKambale9 ай бұрын
Jamani acha nicheke tu 😅😅😂😂😂 sele upo pa baya sele upo pa baya sele mapenzi tu😅😅😅😂😂😂
@RayyanMpoto9 ай бұрын
Mkojani naomba ututumie hii nyimbo jmn naipenda
@Awoshy9 ай бұрын
Mkojani ameupiga mwingi sana humu👏👏👏😍masikini sele😢😢
@MohamedBakari-h5m8 ай бұрын
Anaooo,anao,jamani sele anaooo😂😂😂😂
@GloryShabani-d6k3 ай бұрын
Uti wa mgongo wa chandim umepanuka jmn 😂😂😂😂
@mgogobeleko14119 ай бұрын
Unakohoa mpaka una pumua aiseeeee nimecheka sanaaaaa
@MichaelWangama-gl9be9 ай бұрын
Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri mnayo ifanya mimi ni jirani yenu Toka kenya
@DastanDastan-s3l9 ай бұрын
Mkojan sio kwakumkandia huko sele jaman kwamba Ana kifurushi cha mwezi😅😅😅😂😂😂
@BekaJuma-3308 ай бұрын
Mkojani unaupiga mwingi mungu azidi kukupa afianjema
@Owsm-Owsahm7 ай бұрын
Semi😭😭😭😭😭most Essex KGB ikkkko
@FelicianAndrea6 ай бұрын
Sele haki ya mungu utakoma kulinga
@FelicianAndrea6 ай бұрын
Viola eeee saiv siteling iko mikononi mwako unaamua tu upitishe vichakan au unyoshe balabalani
@Alliy16309 ай бұрын
Mkojani mumekosea bana chandimu alitakiwa kuteseka hata nyumbani msinge mpokea.alitakiwa ateseke sana bila kumrudisha nyumani hama fadhla kwa baba wa hiyari
@LucyRafeali9 ай бұрын
Kaaaa magonjwa yote enayo duuu😅😅😅😅mkojani hatali unajuwa kutufurahisha
@HoneysugarPudding9 ай бұрын
Yaani hapa naona Kosa La wema wa Mkojani kumhifadhi Chandi wasije wakamsaliti Maana Viola ana huba zito kwa Chandimu
@MariamObote-lg5pu9 ай бұрын
Viola hana huba lolote kwa chandim, anacho Fanya analipa kisasi
@HoneysugarPudding9 ай бұрын
@@MariamObote-lg5pu yaani nilikua sijatizama hadi mwisho bora aiseee
Natumai series itakayokuja,tutamwona Ngoma Nagwa 🎉🎉🎉 Haipingwi 🤝 Mkojani Gang
@Ujumbewadini9 ай бұрын
Namchukiaaaà
@TALLUBOY9 ай бұрын
Muvi imekolea movie Imekuwa kari sana sana
@BenedictMrema9 ай бұрын
Kwakweli mko vizuri muwe mnatoa hata vipande viwili kwa siku
@AbdullahAlZaabi-on4tb9 ай бұрын
Hongera.mkojan.unatuelimisha
@presentertelence16799 ай бұрын
*Umeyatimba Dear X chandim*
@esterbidogo6359 ай бұрын
Jamani mtaniua na hii sele hadi naiota usiku jaribu kurusha vipande vingi vingi hata vitatu kwa siku
@mugishagradis95699 ай бұрын
Wallah iyo kweli 😅😅😅😅
@WELUSKUNGU-gh4ly9 ай бұрын
😅😂😂😂
@SalmaZainab-nh5id9 ай бұрын
😂😂😂
@DodomaTanzania-r5z9 ай бұрын
Kaa siku tatu utakuta zimejaa utaangalia mpaka utachoka
@esterbidogo6359 ай бұрын
Nataman nikae hata week lkn nashindwa hapa enyewe nimemaliza ep 19 naweweseka balaa nataman ningeangalia usiku muda wa kulala ili nipate usingizi😄😄😄 Mm ni kajinga kweli yan 😃
@EmmanuelKunzugala9 ай бұрын
VIOLA JAMAN TABASAM LAKO SASA 🔥🔥🔥
@InnocentArmadillo-do9vm9 ай бұрын
Team mkojani gang duuuh chandimu sele kwisha habari Yako utamu juu ya utamu
@FattyDapetty-tj9vr9 ай бұрын
Kabeba kifurushi cha mwezi.sele umeyatimba😅😅
@MonaaOm9 ай бұрын
Maskini Sele pole 😢😢😢 umepatwa na umeme
@chimbo3609 ай бұрын
Sele una machaguzi mawili UBAKE UENDE JELA au unywe sumu 😂😂😂😂
@FatumaYusuph-jc9hq9 ай бұрын
Asante viola wachanikupe mauwa yako
@haimasophia9 ай бұрын
😂😂😂😂mkojan sele kajiunga nakifurushi cha mwezi😅😅😅
@beautifulafrica68869 ай бұрын
we mkojani ww 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 muongo
@Ibrahmamy9 ай бұрын
Sele hamna haraka mazuri yaja😊
@binyondekawangu88549 ай бұрын
Wakwanza leo toka pande za Washington siaro nipeni like zangu
@FijasaNails-hi2ho9 ай бұрын
Aseee ndoa itakua ngumu .. baba kashaanza omba ushauri asee