Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu
@bbclondonulimwenguwasoka61266 ай бұрын
Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo
@SimonTabu6 ай бұрын
Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo
@Tizah-2556 ай бұрын
CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake
@christianmwabukusi81326 ай бұрын
Ndio swali! Usiri kwa mtu ambaye ni wa watu wengi...
@husseinkonz51926 ай бұрын
Dah kama naww imekugusa hii tujuane
@Rodamathayo6 ай бұрын
mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢
@amosmichael89866 ай бұрын
Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni
@abdullynasry22056 ай бұрын
Ndo najiuliza apa sipati majibu
@emanuelshine4 ай бұрын
Ni katika jitihada za kuokoa uhai wake.
@MsAggie56 ай бұрын
😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.
@RachelLaizer-n2p6 ай бұрын
Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima
@kambamazig020246 ай бұрын
Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.
@christianmwabukusi81326 ай бұрын
Usiri unasababisha maneno
@ivangasper17096 ай бұрын
Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏
@joselinemwaki96656 ай бұрын
Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli
@simasima80846 ай бұрын
Asante kwa kugundua hilo😢😢
@yomamausafi11376 ай бұрын
ipo sku mtasem ukweli
@charlesyapuka49926 ай бұрын
Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?
@crispinakimaro38216 ай бұрын
Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭
@HassanAmani-p6r6 ай бұрын
Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿
@jullia6396 ай бұрын
Dah
@geofreymlingwa29146 ай бұрын
Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM
@JusteneAtilio2 ай бұрын
Daaah
@ezekielmbazi.86876 ай бұрын
Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid
@TinahFrank23 күн бұрын
Duuu
@LadislausyStanislausy6 ай бұрын
Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu
@chuisayi7546 ай бұрын
Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno
@SimonTabu6 ай бұрын
Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii
@aishakhamis29966 ай бұрын
Nakwambia wanafik tuu hawa...!!
@JackM.-mh5cs3 ай бұрын
Aliua watumie wengine sanaa hatuna mazombi yatamsaidia hukohuko kuzimu
@AleiHadji-js3ed6 ай бұрын
Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@JaphethKauno4 ай бұрын
Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.
@anithawidambe75436 ай бұрын
Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.
@tegemeantenga1026 ай бұрын
Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?
@joharimillanga15875 ай бұрын
Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia
@ERNESTAMAHENGE6 ай бұрын
ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.
@mrmiamiaclassic64926 ай бұрын
Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa
@vitalgiddy046 ай бұрын
Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi
@SmilingCityMap-xb9md6 ай бұрын
Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?
@abdullynasry22056 ай бұрын
Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee
@GeorgeBenard-ue2gh6 ай бұрын
Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh
@user-mortone6 ай бұрын
Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea
@VeronicaVitus-rk5mf6 ай бұрын
😢
@justinjasson70706 ай бұрын
Mzera kulikuwa na vifaa?
@GeorgeBenard-ue2gh6 ай бұрын
Sjakuelewa kabisa
@JulianaMakunja-vr4jl6 ай бұрын
Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭
@RichardNyalucy6 ай бұрын
Ccm wamemlambisha kisu chenye asali
@Rodamathayo6 ай бұрын
hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!
@joshuambilinyi66555 ай бұрын
Daah
@MagingaJoseph-iw9nk6 ай бұрын
😢rip
@deuslucas22566 ай бұрын
Inauma sana
@DullaKichoder6 ай бұрын
rip
@Eng24606 ай бұрын
😭😭
@shabanipanya10336 ай бұрын
Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani
@SimonTabu6 ай бұрын
Ulikuwepo syoooo????
@fortunendyamukama39066 ай бұрын
Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷
@shabanipanya10336 ай бұрын
@@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)
@msafirimfilinge82226 ай бұрын
Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM
@mwambaimara19506 ай бұрын
Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.
@doiabel37936 ай бұрын
Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu