Dah! Mimi mkenya nakumbukuka nikienda Botswana kutoka Nairobi hadi Arusha hadi Mbeya hadi Tunduma hadi Lusaka, Zambia hadi Victoria falls hadi Gaborone. Safari ilipendeza Tanzania nchi mazingira ya kupendeza.
@richardgaya39654 жыл бұрын
That's the Southern Highlands of Tanzania.. Never ever forget that it was the resolve and dedication of Tanzania's Founding Father Mwalimu Kabarage Nyerere that through these arteries of Tanzania landlocked Zambia was able to overcome the blockade by the then racist regime in South Africa
@shameemrashid52194 жыл бұрын
Yaan me nimtanzania halisi lin nimeshangaa kuona nchi yang inavivutio vizur hivi sijawahi kufik iringa mungu nijaaliye uzim inshaa Allah nitaenda
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Karibu sana
@egideniyonkuru97054 жыл бұрын
Niko Burundi hapo lipapitiya wakati nilikuwa naenda mbeya tanzania kuzu waburundi tunawapenda mno🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@starlonejadamskp8224 Жыл бұрын
Tunawapenda pia
@HASASON4 жыл бұрын
Tanzania yetu nzurii jamani, nikipita hapo huwa na enjoy sana scenery na hizo kona ni utalii special 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@gprogameplay2343 Жыл бұрын
Ma legendary tuna watch 2023
@escoladavida-andreescritor68203 жыл бұрын
Beautiful landscape. Uma aventura percorrer essa estrada. Saudações do Brasil.
@ashuramhando52854 жыл бұрын
Jinsi nilivyoangalia nimejikuta nimo ndani yahilo gar nauoanda mlima kitonga hongera kwa picha nzur
@fabianndimanya20554 жыл бұрын
Dah! Ktk safari MUNGU ndo Anajua jaman 🙏🙏🙏🙏
@neyitambu32454 жыл бұрын
Wooooow so beautiful I wish one day ntaenda
@mzansitv7144 жыл бұрын
Hiyo chuma ya ALSAEDY ni balaa 🙌🙌 imewapita kama upepo hao ndo wazee wa kitonga bonyeza hapa kuona 👉9:01
@gprogameplay2343 Жыл бұрын
Hapo mnarud dar
@johventuretours93974 жыл бұрын
I remember my trip to iringa 2019/2020, nice place ever seen before, I will be back soon
@markomollo80734 жыл бұрын
Hapo pazuri aishee isipokuwa lazima uangalifu kwa dereva,nawaona hawajali,hata boda boda anapita hivo,siku moja nitafika huko Mungu akinijalia,Kisumu-Nairobi-Arusha mpaka huko
@geoffreyluvanda78014 жыл бұрын
Just felt good to see al sayeed My favorite bus in green city...Kitonga fire
@vincentmokenye44654 жыл бұрын
Ilove that bus
@husseinmdoe88323 жыл бұрын
Hio basi. Noma sana
@charlz46174 жыл бұрын
Safi saana nakumbuka home iring zone
@rajabmartojr33023 жыл бұрын
Sauliii fayaaaaaa
@piusedward59064 жыл бұрын
...mbona mlisema dharau halafu baadae mkawa wapole..😂😂😂😂 Siku zote ukiwa safarini usishindane na mabasi...🙌🙌🙌😂😂😂🙌🙌🙌
@manish-fp1fb3 жыл бұрын
Imategemea mzazi unaendesha gari gani, ukiwa unatembea kuanzia 120+ hawasumbui
@isihakangereza1874 жыл бұрын
Kitonga kumbe hapatishi sana asee, bara bara pana magari yanapishana vizur sio kama njia ya Mombo Lushoto ile inatisha sana asee
@upendokyamba42504 жыл бұрын
Wameongezea sasa ivi ilijuwa nyembamba kupishana ni shida
@johnsonmbwana14052 жыл бұрын
Umeonaee
@shyfettymtunda49354 жыл бұрын
Hadi bodaboda kawachana 11:00 . 😀😀Afu analala nayo kwenye kona, hajali wala nini. 🙌 Nice scenario!! 👍
@jadenmsafi4 жыл бұрын
Uko vizur sn
@malcomg10044 жыл бұрын
😀😀
@ibrahimally92374 жыл бұрын
Hi
@johnlulandala90293 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mashakamwinyi58693 жыл бұрын
Alsayde ni noma imemkata ile mbaya halafu ikapotea noma usipime Moto wa bas
@saidbabaali90824 жыл бұрын
Isee nyc view African is the best guys take care
@ireneclavian87544 жыл бұрын
Daah ad nimemic songea
@graysonpastory19184 жыл бұрын
Twende kesho
@andersonchibule47614 жыл бұрын
Beautiful landscape.....
@crucialdavis84164 жыл бұрын
Kumbe bando laeza geuka nauli lkanfiksha mlima kitonga? Nshaelewa alicho kiimba sheta...duuh pazury sana aisee.
@edithaemmanuel56904 жыл бұрын
mziki
@neyitambu32454 жыл бұрын
Sana aseeeee mwenyw nmeelewa leo
@swaumuabdallah45474 жыл бұрын
Nmepapend
@daudymnupe92674 жыл бұрын
E
@daudymnupe92674 жыл бұрын
@@edithaemmanuel5690 m
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
Leo nimetalii na bando langu Hadi Iringa vivutio nimeona malori ya mizigo Kama yote karibuni Tanzania
@catherineteesa38534 жыл бұрын
Hahaahaaa
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Mbavu zangu
@janefrolakalinga56643 жыл бұрын
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiii
@Mikeknapz4 жыл бұрын
Twawapenda kutoka 🇰🇪. Hasa kupitia nyimbo zinazocheza kutoka 3:00. Safari njema.
@janethkamoga3774 жыл бұрын
Karibu Tz shem
@Mikeknapz4 жыл бұрын
@@janethkamoga377 Shukran sana 🙏🙏.
@stephenmarende33344 жыл бұрын
Jina LA wimbo naomba tafadhali
@willyjose25534 жыл бұрын
Kitonga ni mlima wa kawaida sana, tembeleeni sumbawanga ukutane na mlima wa MUZE
@charleskwimba49104 жыл бұрын
Hawajui hao kitu muze au ilemba
@z.nalnabhani71944 жыл бұрын
Barabara za wenzetu huku oman kunamilima mikubwa,lakini wakijenga barabara wanachimba kuhakikisha inakaa sawa,siyo pembezoni ya mlima gari ikipinda inalala,wakati sehemu yenyewe ni hatarishi,kuchimba chini zaidi inasaidia kuepusha ajali,gari kwenyekona inalala hii ni sababu pia kutokea ajali,kwakuelemewa na uzito wa mizigo upandemmoja hatimae kupinduka
@augustinemzeentinginya30574 жыл бұрын
Mambo ta fwezaaaaaa
@lucykezengwa74964 жыл бұрын
On My way to Mbeya kijijiji.....I always love this scene natural habitat
@ahmedzahor29753 жыл бұрын
Dereva anaovatek mbele haoni tena jua kilima anabahatisha madereva kama hawa ndio wanaoulisha watu kwa akili zao mbaya
@hanifambeyu46934 жыл бұрын
Mi nainjoi Sana gari ikianza kupanda Kona za hiyovi
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Zile hatari.nawatu kwenye basi huwa wanalala usingizi mzuri kweli
@bullermgana213 Жыл бұрын
Iyovi mbaya kuliko kitonga maana iyovi madereva hawajali kabisa
@wisebless53024 жыл бұрын
duuuu Nina hizo Kona nitaenda December nitapita hapo nasikiaga kitonga kitonga thanks nimepaona ila Al s sintaipanda Ni noma speed
@josephlukumay69204 жыл бұрын
Na mimi jan mapema nitaingiaa huo mkoaa
@footmobonline4 жыл бұрын
Huu mlima sio wa kumpa lena au mgeni aendeshe gari. Mnajikuta mnaenda wazima, mnarudi maiti.
@glorytarimo3834 жыл бұрын
Duh
@naseebally84654 жыл бұрын
Mimi siku yakwanza kugusa gari nilipewa nishuke uu mlima kitonga. Mungu mwema tu
@RioIpo4 жыл бұрын
Dah sio poa ivi huo mlima una kilomita ngapi
@abdallahmohammed79474 жыл бұрын
Wooow full utailii tosha ukipita kitonga
@naomisamatwa66904 жыл бұрын
Watu bhan ndomn huwa mnakufa kwa kujitakia sasa mnavyosem anawapit mnatak kuiga njia yenyew mbay mnasapoti dere awawaishe motual
@jamesmgaya34434 жыл бұрын
Duuu! Mungu afanye miujiza yake
@godwinshoo63244 жыл бұрын
Hiyo kitonga ukiteremka vibaya ndio mwisho wako aseee Daaaaah, MUNGU akawafinyie wasafiri wote kusafiri kwa Raha na aman
@ignassindabaha91724 жыл бұрын
Hilo bus nikiwa abilia naomba kushuka,sehemu yenyewe inatisha jamaa anatembea utasema tambalale hahahahaha.duuu nimeiona kitonga wala haimfai dereva mzembe
@beatricemlaki35434 жыл бұрын
Huo mwendo mbona wa hice.....kapande luwinzo au new force utaona shughuli😆😆
@ignassindabaha91724 жыл бұрын
@@beatricemlaki3543 hahahhahaaha mm huko staki kabisaaaaa
nimefurahi kushiriki kuona mlima maana sijawaifika uko
@gervancemwalumu85624 жыл бұрын
Nimeona mbuga mikumi jaman mlima kitonga sijaona kabisa
@wbdsgamer_4 жыл бұрын
Wapi AL SAEDYYYYYYYYY😁😁😁😁😁😁😁
@khadijahassan37614 жыл бұрын
Nimepaona kwetu wooòw
@fredducaunt17244 жыл бұрын
Watanzania bhana! Lori likipinduka chapchap kupakua mizigo ya Lori Yaani wizi wa kijamaa mpaka wengine wanalipukiwa na malori ya mafuta afu eti msiba wa taifa... wezi watupu shenzi😂😂😂😹
@sukhailafahaaman29434 жыл бұрын
Razia sultan
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Alafu baadae tunailalamikia serikali haitupi msaada natumejipeleka wenyewe kwe roli
@baloziubalozini50744 жыл бұрын
Nimesikiliza ngoma mpk huo mlima sijuona aseh
@ayubzaka15984 жыл бұрын
Kuna milim Kam hiyo Kenya
@Chingagirl1234 жыл бұрын
Noma na nusu aisee
@wazirisukari51784 жыл бұрын
Kushuka down Kali hivyo disk zinatoaga harufu hataree
@lameckipeterilameckipeteri44464 жыл бұрын
hatali man
@lameckipeterilameckipeteri44464 жыл бұрын
auogopi man
@fledymavikamavika65803 жыл бұрын
Kitonga moja hiyo
@johnmwatha12074 жыл бұрын
Kujeni mpande mlima kenya ndiyo mjue nyani sio mbuzi aseee
@nesielias3174 жыл бұрын
Dawa Ni kupanda ndege tu
@bunjumedia15344 жыл бұрын
dereva wa bus amezoea road plus Gari yake kushuka iko vzr na hizo stoppewr zake huwez mfuata huyo anakuua
@shaelscott7794 жыл бұрын
Ilo bas la blue mbnaa silioni ata ..... 😂😂😂Limeyeyuka au
@ahamadshabani924 жыл бұрын
Asee hilo bas derva yuko fasta ata siion
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Achananao hao barabarani hawafai
@johnsonmbwana14052 жыл бұрын
Ally said inaitwa ni balaaaaa
@samsonsesera65264 жыл бұрын
Jamani landscape ya tz nzuri...
@tunkuh6614 жыл бұрын
Mazingira mazuri green na miinuko inavutia sana
@williamnamende1023 Жыл бұрын
Duu uyo al saidy bus hafai
@rshidmwasa84934 жыл бұрын
Daaahh aiseh
@wartv7304 жыл бұрын
Oi unashare wapi video zako
@shabaniabedi55624 жыл бұрын
Mazingira mazur kiukweli
@mohamedrengwa64334 жыл бұрын
Tanzanian landscape good
@swaumuabdallah45474 жыл бұрын
Mpak nmemic home nimeimic tanzania✌️😘
@mohammedhasheem6143 жыл бұрын
Uko wpi wew
@ramlazuber60383 жыл бұрын
NYUMBANI IRINGA mojaa. INSHAALLAH ipo siku. Kutoka OMAN TO IRINGA
@ashaally58833 жыл бұрын
Twende
@oliverwabwire28364 жыл бұрын
Urgently needs a rebuild....with a climbing lane!
@charlz46173 жыл бұрын
Hiyo chuma kuikuta wapae labda wajikute wametokea ilula
@islamkarata96554 жыл бұрын
Khaaa nimeonaa basi imepita kma mkuki au kama imeibiwaaa kuna madereva hawana wogaa😆😆
@fabianndimanya20554 жыл бұрын
Unaambiwa dharau hzo😅😅😅eti amkazie dah
@degemaster27854 жыл бұрын
Acheni kelele sasa tuangalie video kumaaaa mazenu
@seifmeja60564 жыл бұрын
😂😁
@erickendrick33304 жыл бұрын
Ni noma
@elishabuffalo56654 жыл бұрын
Hom huk kup good sanaaa
@daviddaking67613 жыл бұрын
Jaman Tanzania kwa pendeza
@martinswai80314 жыл бұрын
Al Saidy 😂😂 si kwa mwendo huo
@tontouch2174 жыл бұрын
Inakula mtu hata kwenye Kona 😂😂😂😂
@Emedroadtocanada4 жыл бұрын
kabisa kaka imempoteza fuso gafla
@abdihussein57064 жыл бұрын
Mmmmhhhhhh jamani serikali yetu kwa ushilikiano na mitandao hii ya kijamii huyu driver wa basi Inatakiwa awajibike kwa kosa hilo
@starniceofficial54924 жыл бұрын
Kosa gani
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
@@starniceofficial5492 hujaona vile amewapita wenzie kwenye Kona ingetokea Ajali mbaya sana
@mokajoli49284 жыл бұрын
Kwanini
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
@@mokajoli4928 mwendo wa hiyo Basi siyo mzuri hasa kwa eneo Kama hilo
@youthmotivationjacksonvale78604 жыл бұрын
@@cheiknamouna2058 kwel kabxa mkuu
@kasarambajuma2703 жыл бұрын
kasalamba juma deleva kama huyo aajibishwe kwamjibu washeria.
@yusramwinjuma47214 жыл бұрын
yaan mi nikifikaga hapo moyo unakuwa barid kama upo ndani ya freeza
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Haaaa nimecheka,je ushapita kipindi mabasi yanafanya safari usiku nando barabara ilikuwa ndogo
@officialkamdudu4 жыл бұрын
dereva mwenye hilo basi la blue lililopita nimempenda bure maana ni maasaa masaa hakuna kuremba
@omarylukindo53063 жыл бұрын
Kampuni ya basi ni alsaedy
@officialkamdudu3 жыл бұрын
@@omarylukindo5306 huyo ni dereva hasa nimempenda bure
@NuruniTv4 жыл бұрын
Naomba nipate namba yako kaka
@lenoxmwambi45054 жыл бұрын
hizo gari ze wachina mnapenda hata hazina nguvu kapsaaa kwa mlima.....hapo yafaa scania
@johnsengo11834 жыл бұрын
Hapo gari zina shuka ndg siyo kupanda
@bunjumedia15344 жыл бұрын
usidanganywe ndg yangu.. mchina si lelemama km unavosikia. hyo golden dragon soma HP zake
@jacobomabula36194 жыл бұрын
Mhhhhh ciwez aisée hamna hâta trafic wa kulinda chui n'a Simba hâta umeme hamna chek hilo gza
@suleimankhamis82983 жыл бұрын
Ndio mana kunakuwa na maajali ya kipumbavu kabisa kama huyu dereva wa basi bluu mjinga kabisa anaona kama amepakia magunia ya makumbi
@janethkamoga3774 жыл бұрын
Naangalia tu kwenye simu lakini naogopa, naomba Mungu nisije kufika huko sitaki kabisa maana naona nitajikuta ICU kwa presha, wami tu jasho
@shaelscott7794 жыл бұрын
😂😂😂😂😂acha uoga ww
@janethkamoga3774 жыл бұрын
@@shaelscott779 😂😂😂😂mmmh sio poa
@mashikuantony60913 жыл бұрын
sawasawa
@romwardkalinga32934 жыл бұрын
Safi Sana
@bonnysureolkokolaboy43424 жыл бұрын
Nimekula barabara na mlima kwa macho dah
@karanismary16634 жыл бұрын
Poor road.....ombeni raid maghufuli awapanulie barabara aweke climbing lane na guard rails Huo Mlima nishaupitia Mara nyingi nikienda kitai songea kubeba makaa
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
nakumbuka tuliwahi kukimbizwa na majambazi usiku mnene hapo kitonga, tukiwa na Spacio na wao wana Corola TI
@bittebenard434 жыл бұрын
Mliponajeee
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
@@bittebenard43 kwa bahati nzuri sana tulifika katikati ya msitu tukakuta kuna bonge la ajali na barabara imeziba so gari nyingi zilikuwa pale na watu kibao tukawa tumejichanganya pale sasa walipofika wakajifanya wastaarabu wakaanza kutoa pole kwa hali ya pale waliyoikuta
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
kwa kuwa tulishatoa taarifa zao pale kwenye tukio na madereva wa maroli walivyowaona tu wakawagundua, basi waliwachezesha kichapo ila walikimbia na kuingia polini, gari yao wakaiacha pale, ndani zikakutwa silaha za moto asee
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
walivyofika polisi wakakabidhiwa
@Meliciousmatwana4 жыл бұрын
@@AbdulAbdul-pr9qe nimefurahia mliponea,,hadithi tamu,,love from Kenya.
@jacobkisuma67064 жыл бұрын
Kuzuri sana, halafu first tym unatwist camera nkadhani mmeanguka maze
@hassanihathunu95314 жыл бұрын
Umeonaee...!!!?
@mdeeboy8464 жыл бұрын
Dereva mzembe sana,una overtake sehemu usiyoona mbele. Usirudie tena huo ujinga Anyway video nzuri sana. Hongera kwa camera man
@babusai57604 жыл бұрын
8
@evodyaudax60344 жыл бұрын
Angekuwa Haoni Mbele Asingeovertake
@mdeeboy8464 жыл бұрын
@@evodyaudax6034 😂😂we siyo dereva kalale tu bro.
@evodyaudax60344 жыл бұрын
Msilete mambo yenu kitonga unaovertake kwa kuangalia usalama kwanza
@evodyaudax60344 жыл бұрын
Alafu mnaisema al saedy huyu anayerekodi mbona aliiovertake upendo hilo hamjaliona
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
ingekuwa vizuri ungeuondoa huo mti hapo barabarani ndo ungwana wakitanzania sindio boss wangu au nimekosea?
@nasdaqdjitraders4 жыл бұрын
huo mti ni DANGER warning for oncoming traffic to slow down, otherwise they would've kept on speeding and hit the rolled over vehicle.
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
@@nasdaqdjitraders oh ok i didnt know that. thanks for clearing that sir. hope yall had a joyous trip! take care and blessings...
@donaldmutegeki50314 жыл бұрын
😀😀😀😀 sio mtu ww
@theresiaassey82044 жыл бұрын
Io miti nikuashiria kunatatz mbele
@masanguladon76173 жыл бұрын
chama
@mohammedkhatibu57444 жыл бұрын
Milma sijauonaa hadii sasa.
@theresiaassey82044 жыл бұрын
Ukiw hapo ndo utaona
@johnsengo11834 жыл бұрын
Hapo gari inashuka hiyo na kwa video uwezi ona
@ntelebhalekananitz25974 жыл бұрын
Panatishaa sanaaa
@marianhaha90124 жыл бұрын
Tanzania my very beautiful country. The view is perfect. But I have suggestions to driver stop overtaking because you don't see front is the corner. Very dangerous man.
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Sana
@aminasaidihomari97874 жыл бұрын
Matukio
@shaelscott7794 жыл бұрын
Kwan mlilo panda ni bas au land cruise
@allymaumbile19353 жыл бұрын
Iringa hiyo
@judymasunzu75174 жыл бұрын
Nimemaliza Mb Zangu bure sijaona Kona wala Mlima.
@andersontsuma15544 жыл бұрын
Tuma number nikurefund
@johnsengo11834 жыл бұрын
Kwa video uwezi ona mama na hapo gari hiyo inashuka
@evodyaudax60344 жыл бұрын
Huo ndo mlima kitonga ukiona kwa video utaona kawaida safiri upite hapo
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
@@evodyaudax6034 kabisa ndoataona utamu wake
@sabbysabbyjohnnguli35924 жыл бұрын
Nyc
@reubenkiia1634 жыл бұрын
Yata band
@allysaleh65514 жыл бұрын
Dah hapo kwenye mbuyu tumelala siku 4 gari yetu iliuwa gia box