MNH - AFYA PODCAST: Fahamu kuhusu Kiharusi (Stroke) na Prof. Mohamed Janabi

  Рет қаралды 23,745

Muhimbili TV

Muhimbili TV

Күн бұрын

MNH - AFYA PODCAST: Fahamu kuhusu Kiharusi (Stroke) na Prof. Mohamed Janabi akielezea zaidi Kuhusu Chanzo, sababu na namna unaweza kuepukana na Kiharusi, ungana na Prof. Janabi episode ijayo ya AFYA PODCAST kufahamu juu ya tiba ya kiharusi.

Пікірлер: 52
@GodlivenMaximillian-ot7mg
@GodlivenMaximillian-ot7mg 8 ай бұрын
Profesa Janab yuko vizuri sana. Moja kati ya madaktari waalimu Kwa kuwa amejikita sana katika kufundisha. Wale wanaoelewa watakubaliana nami kwamba this guy is a good teacher.
@BARUTI_JR
@BARUTI_JR 8 ай бұрын
Ni bingwaa haswaa
@allykinyaga6060
@allykinyaga6060 8 ай бұрын
Ahsante sana Prof. Ninakuelewa sana na ninafuata ushauri wako prof. Miezi mitatu iliyopita nilikua na 87Kg, jana nimepima nina 81Kg na bado sijaanza mazoezi hapo nimecontral kula tu, Nimepunguza kula Sukari na wanga, pia kutafuniza nimeacha kabisa milo yangu ni miwili pekee nakula saa tatu asubuhi na saa moja usiku. Mwenyezimungu akubariki professor, pia aibariki Hospitali yetu ya Mhimbili...Aaamin
@amrimtiti9054
@amrimtiti9054 8 ай бұрын
Tunanufaika sana na mwendelezo wa masomo unayofundisha Dkt.Allah akujaalie umri mrefu
@muhimbilitv847
@muhimbilitv847 8 ай бұрын
Ungana na Prof. Mohamed Janabi episode ijayo ya AFYA PODCAST kufahamu juu ya tiba ya kiharusi.
@DamasNyoka
@DamasNyoka 2 ай бұрын
Mungu akupe nguvu zakutosha katika utendaji mzuri wa kazi yako
@ramadhanichuma8877
@ramadhanichuma8877 8 ай бұрын
Daktari Tunashukuru kwa somo zuri na tunajifunza ahsante usituchoke!! 🙏
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 8 ай бұрын
Tulichelewa wap kumpata Prof janab Tanzania
@adellahchipanyanga5107
@adellahchipanyanga5107 8 ай бұрын
Mungu akubariki wewe pamoja na uongozi wote wa hospital yetu muhimbili kwa kutuelimisha kuhusu afya kwa ujumla mnafanya kazi nzuri mungu atawalipa
@sameonesample4548
@sameonesample4548 2 ай бұрын
Shukran, kwa somo zuri,
@adobertmugyabuso247
@adobertmugyabuso247 8 ай бұрын
tunashukuru sana kwa muda unaotoa kutuelewesha mambo haya ya msingi sana...asnte sana Dr. Janabi
@bakariissa6559
@bakariissa6559 8 ай бұрын
Wizara ya Afya inatakiwa: 1.Kuenzi na kuendeleza Ubunifu huu; 2. Kuwezesha Hospitali kuwa na Tvs na kuonesha maudhui haya kwa wagonjwa kwa Hospitali zote. HONGERA PROF KWA UBUNIFU NA ELIMU UNAYOITOA KWA UMMA.
@GodlivenMaximillian-ot7mg
@GodlivenMaximillian-ot7mg 8 ай бұрын
Uko sahihi kabisa. Ubunifu wa pekee sana
@user-nj2ut3gm8n
@user-nj2ut3gm8n 8 ай бұрын
Shukrani sana prof kwa Mafunzo mazuri 🥰👏🙏
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 8 ай бұрын
Dr mwenye passion ya kazi yake nchi izalishe watu werevu zaidi kuliko hivi sasa
@johnbahati478
@johnbahati478 8 ай бұрын
Hii elimu iendelee,ni nzuri sana
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 8 ай бұрын
Mimi nimebadilisha sana mtindo wangu wa kula ila imenipa faida nyingi sana,Kuna jamaa yangu bonge yaani mnene kupita kiasi ananiambia yeye anaishi na akipata ugonjwa wowote mungu amepanga.
@ambrose_vevo137
@ambrose_vevo137 6 ай бұрын
Hahahaha anaakili lakn Amekosa Maarifa....😅
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 4 ай бұрын
Mwenyez Mungu akujaalie umri mrefu mzee🙌🏽😇
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 8 ай бұрын
Aliye gunduwa.tuletewe madctr mntantaoni mungu ampe afya.njema zamani ilikuwa hakuna mpaka uwende ukamuone pfessar. Janabbi❤❤❤❤❤❤
@hedayakatembo7421
@hedayakatembo7421 6 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Akujaalie Dr . Tunanufaika na elimu yako. Diet na mazoezi ndio Afya ya Mwanadaam. Shukran.
@osoromageta3381
@osoromageta3381 8 ай бұрын
Maisha ya binadamu nimafupi mno tumuombe Mungu atusaidie sana miisho yetu iwe mizuri
@elibarikimeela2761
@elibarikimeela2761 8 ай бұрын
Kaka Janabi Asante Sana kwa kujali maisha ya binadamu wenzako. Mungu aendelee kukutunza.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Remain blessed Dr.prof Janabi. ❤
@barakajao4594
@barakajao4594 8 ай бұрын
Elimu nzuri, Kinga ni bora kuliko dawa
@stevenmwaiko801
@stevenmwaiko801 8 ай бұрын
Shukrani sana Prof.Janabi kwa somo hili muhimu, Stroke imekuwa ni tatizo sana huku mtaani
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Doctor janabi unaupiga mwingi mnoooo....
@mohamedimbinga7422
@mohamedimbinga7422 5 ай бұрын
Yuko vzr chief
@saadajahadhmy3819
@saadajahadhmy3819 8 ай бұрын
SHUKRAN JAZAKA'LLAH KHAIR
@niriacatering172
@niriacatering172 5 ай бұрын
Shukrani sana
@lambosalum6299
@lambosalum6299 8 ай бұрын
Good presentation Mr Janabi❤
@shubemponda5470
@shubemponda5470 8 ай бұрын
Asante sana kwa elimu hii doctar
@mozasawafy694
@mozasawafy694 8 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu kwa kutoa elimu hii ni sadaka kwako
@annamagesa3031
@annamagesa3031 8 ай бұрын
Mungu akubariki❤❤❤
@limoghasia321
@limoghasia321 8 ай бұрын
Thanks Prof Janab
@salimseleman4552
@salimseleman4552 8 ай бұрын
📝
@Wanisimbula
@Wanisimbula 8 ай бұрын
Asante Daktari kwa elimu hii..
@benjaminalex3058
@benjaminalex3058 8 ай бұрын
Shukrani sana kwa mafunzo
@prosperjuma905
@prosperjuma905 8 ай бұрын
Thanks prof🙏
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 8 ай бұрын
Asante pfess Janab❤❤
@amosijohnmanota4472
@amosijohnmanota4472 8 ай бұрын
Congratulations prof.
@ankaldally2734
@ankaldally2734 5 ай бұрын
@drackshad2995
@drackshad2995 5 ай бұрын
🤝
@mussamjeda2073
@mussamjeda2073 6 ай бұрын
❤❤❤
@promachemicals6459
@promachemicals6459 8 ай бұрын
Endelee Prof Dr M Janabi. Wengi hawajapata hii awareness kufuatilia.
@user-wb4is6ry1p
@user-wb4is6ry1p 8 ай бұрын
Following
@DamasNyoka
@DamasNyoka 2 ай бұрын
Dr nahitaji kuonana nawewe kwa maelezo ya kiafya nipo mwaisela wodi 6 flow yapili
@kelvinthomasi2908
@kelvinthomasi2908 8 ай бұрын
Live long janabi
@drtamarasaidali8449
@drtamarasaidali8449 8 ай бұрын
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 8 ай бұрын
Thanks, profesa. Could you tell us about maji ya kunywa ya chupa toka kiwandani.
@user-er1nf9nh3e
@user-er1nf9nh3e 8 ай бұрын
📝📝📝
@MaryBrayn
@MaryBrayn 7 ай бұрын
🫡
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 14 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 38 МЛН
JE KUNYWA POMBE NI AFYA?
15:27
Muhimbili TV
Рет қаралды 21 М.
#AFYAPODCAST Fahamu juu ya Matibabu mapya ya kiharusi Muhimbili
35:33
Prof Dr Mohammed Janabi Madhara ya Sukari
30:31
Al Huda TV Burundi
Рет қаралды 2,9 М.