Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

  Рет қаралды 167,300

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

track.pari-tz....
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao.
Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha.
"Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi.
Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
"Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.”
“Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi.
Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.

Пікірлер: 316
@Mwananchidigital
@Mwananchidigital 11 ай бұрын
Cheza sasa kupiti shorturl.at/jqzU6 na ushinde
@restitutamallya-pk5dr
@restitutamallya-pk5dr 11 ай бұрын
Hongera Dr Kwa somo zuri.... keep it up.... achana na hao wanatoa kweli.
@EmmanuelBakira
@EmmanuelBakira 3 ай бұрын
Daniel Robinson
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 Ай бұрын
Nikweli dokta nafwata maelekezo yakoo sasa mambo nimazurii asante sana baba👏👏🙏
@KanadeMrangu
@KanadeMrangu Ай бұрын
❤❤Amen ❤❤🙏🙏🙏
@ZubedaAbdallah-s5p
@ZubedaAbdallah-s5p 10 ай бұрын
Binadamu bwana baba wawatu katuelimisha kama hujamuelewa acha endelea kuishi maisha yako hakulazimishi lakini siyo kumvunjia heshima siku ukuendea pale afya imegoma ndipo utajuwa umuhimu wake tujaribu kuwa na heshima jamani
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 7 ай бұрын
Sawa sana daktari ila ukumbuke Kuna kukosasa na inakula chochote unachoata. Hali za maisha kwa Sasa hata kutunza afya ni vigumu labda isile
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 7 ай бұрын
Huyu dr mi namkuli mno na namfuatilia sana,tatizo la watz wanapenda mno kula sijui kwnn
@janetmbwana553
@janetmbwana553 3 ай бұрын
Umeona eeh
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Ай бұрын
Mzee wa watu anatufundisha watu ila watu hatumuelewi tunamahukuru sana baba
@joharifarahani2739
@joharifarahani2739 Ай бұрын
anayo ongea Dr ni kweli mm nina baba yngu ktk maisha yke ajawai kuumwa Wala kulazwa magonjwa yote makubwa Hana anakula kwa nizamu tokea ujana wke mpaka Sasa...anamiaka 80 na anendesha baskeli kutoka yombo dovya mpka kigamboni mpaka sisi tunamzuia ....anatembea yombo mpka ilala mpka mikocheni kwa miguu Jamani yupo strong ....uvuti sigara hakuwai kunywa pombe sigara wala starehe zozote starehe yke anayopenda ni kula pilipili sana....tutunze afya zetu zitusaidie...​@@JoseHaule-tx7lu
@patrickKitambo
@patrickKitambo 11 ай бұрын
Baada ya kusikiliza hii maisha yangu yamepata mwanga mpya sana.. Ubarikiwe sana daktari kwa haya maarifa mimi ninafanyia kazi, kiukwel afya ndio mtaji wa kwanza ukichezea afya leo utaaabika sana kesho utatumia gharama kubwa sana
@KanadeMrangu
@KanadeMrangu Ай бұрын
😢😢😢😢kweli broooo
@jasminomary8754
@jasminomary8754 11 ай бұрын
Pr janabi yaani elimu yako mimi naifutilia sana na inanisaidia sana mungu akubaliki akulinde uzidi kutupa elimu
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 11 ай бұрын
Mungu akulinde Prof Janabi. Wewe unaupendo wa kweli kwa wa Tz
@aminamalilo6605
@aminamalilo6605 Ай бұрын
Tunashukuru kwa elimu Dr.Allah aendelee kukulinda tunajufunza sn kutoka kwako
@NelusigweMwakyoma
@NelusigweMwakyoma 11 ай бұрын
Asante dr.janabi kwa elimu nzuri mimi nimekuelewa sana mungu akubariki.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 ай бұрын
Kweli 100% tutunze afya yetu itakuja kutusaidia Uzeeni. 👍asante Doctor.
@desderipatrick8392
@desderipatrick8392 10 ай бұрын
Afya ni mtaji kwa maisha bora ya sasa na baadae, tukishupaza shingo lazima tutamkumbuka Prof. Janabi tukiwa kitandani.
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 11 ай бұрын
Mangu aku bariki sana sana kwa elimu na maelekezo yako afya yangu ni bora kabisa yani nime pona kabisa Dr
@juliethmallya6821
@juliethmallya6821 11 ай бұрын
Nilijifunza zaidi kwenye vyakula vya wangaa, kekiii kweli cjui tena, asante Baba Mungu akulinde.
@allyfutto8763
@allyfutto8763 11 ай бұрын
mashaAllah this is the best education that we need to understand the most.
@Evod-r6k
@Evod-r6k Ай бұрын
Asante Sana doct nimekuwa nakusikiliza ulaji na unywaji kwakweli umenisaidia Nimekuwa napima afya mara kwa mara sasa nipo vizuri Sana mungu akuzidishie maisha marefu usaidie na wengine
@desderipatrick8392
@desderipatrick8392 11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana Prof kwa elimu unayotoa ingawa wengine wanachukulia kama mzaha.
@mkanotimmass4691
@mkanotimmass4691 11 ай бұрын
Very true Dr Janab.Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu, tunajifunza mengi kutoka katika mada zako.
@mkilimamoses2311
@mkilimamoses2311 9 ай бұрын
Wananikera sana baadhi ya waandishi wa habari.Badala ya kuongeza msisitizo wataalam wavyo tufundusha wao wanatoa dhihaka.Niliwasikiliza sana hawa clouds,haukua ujinga waliokuwa wakiufanya bali ni upumbavu.Mpo kwaajili ya kutuelimisha na kutuburudisha,ila linapokuja swala la afya zetu hiyo ni elimu tusifanye mzaha.Tusipotunza afya zetu ujanani afya itachezea pesa zetu uzeeni.Bora umewapa kubwa profesa Janabi.Ninakufuatilia sana,Mungu akupe maisha marefu.
@fridamwakyambiki3255
@fridamwakyambiki3255 10 ай бұрын
Mungu akubariki. Dr
@alexwilla4260
@alexwilla4260 11 ай бұрын
Hongera sana Prof Tbs wamerelax sana hata hawajiangaishi na maisha ya watanzania wapo kimya tunakula na kunywa ving TBs wapo kimya dawa nazo zinapitishwa kinyemela'mafuta ya kula nayo hayapimwi ma tbs kazi kwelikweli
@frankkulwa3981
@frankkulwa3981 11 ай бұрын
Safi sana Professor, unaelimisha sana.
@dalilahmubago5131
@dalilahmubago5131 10 ай бұрын
Barikiwa Dr. kwa kutuelimisha
@selinalawala2270
@selinalawala2270 11 ай бұрын
Dr asante Kwa SoMo hili, umesaidia watanzania wengi mno wanaochukua hatua na kubadilika mwenendo wa ulaji kiafya.
@paulmaingi9246
@paulmaingi9246 6 ай бұрын
Prof.Daktari thanks soo much for the wisdom..You are a God Inspired Doctor..
@JohnMsafiri-v8s
@JohnMsafiri-v8s 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mh Mohamed janab hii elimu unayotoa kwa umma hakika mw Mungu atakulipa kwa sabb watu wanatumia vitu vyenye ma madhara lkn hakuna wakuwatetea
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice. Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu Mungu ATUSAIDIE.
@petermakubi
@petermakubi 5 ай бұрын
Ko unakula nini ndg
@simaimati4447
@simaimati4447 5 ай бұрын
Nielekeze na mimi unachokula. Mana mi sioni kingine
@LaurentMagesa-iv5yt
@LaurentMagesa-iv5yt 2 ай бұрын
Asante prof, wewe ni miongoni mwa wasomi wenye tija na hazina ya Taifa letu.asante kwa elimu yako ya afya.
@MaryMsokwa-b9f
@MaryMsokwa-b9f 11 ай бұрын
Asante Prof kwa ushauli ni nzuri sana na endelea mimi nafuata nadha i na wengi
@SalumYasinichambo-fk7lx
@SalumYasinichambo-fk7lx 7 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu DK wetu, Na Allah ampe moyo wa huruma zaidi mama yetu mpenzi mh .rais samia she luhu Hassan kukupa kazi bora zaidi
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 11 ай бұрын
Kweli dokta anatoa elimu nzuri sana sana japo kuna watu wanakejeli elimu anayotoa yaani tunafanya utani kwenye kila kitu inasikitisha utani wa dini mpaka kwenye afya
@reginas1832
@reginas1832 11 ай бұрын
Asante sana Dr. Janabi kwa hii elimu. Mungu akubariki
@williamkapama8744
@williamkapama8744 Ай бұрын
Mungu akubariki utusaidie pf tuishi maisha marefu
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 11 ай бұрын
Asante dr. Kwa ushauri. Mimi nipo tayari kubadilisha lifestyle.
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 11 ай бұрын
Apewe maua yake Le professor mm namkubali sana
@Loisndossi9877
@Loisndossi9877 11 ай бұрын
Prof.,thank you Sir .My God bless you man of God.
@irenemichael
@irenemichael 8 сағат бұрын
Uko vizuri mzee🙏
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 11 ай бұрын
Ubarikiwe sana dr kweli kula ovyo kunazeesha unakula masukari mengi mawanga mwisho unakuwa manyama uzembe
@PhilibetLadislaus
@PhilibetLadislaus 11 ай бұрын
Kwa nini kitengo cha lishe kimefungwa.
@dork8749
@dork8749 11 ай бұрын
Ubarikiwe Prof.
@msabahaali758
@msabahaali758 11 ай бұрын
binafsi mzee amebadisha maisha yangu namuelew sana mzee ana nia njema na anatoa sadaka kubwa kwenye jamii
@zara.smithwick
@zara.smithwick 23 күн бұрын
The best health nutrition lifestyle and diseases channel... Dr, do you do podcast talks? Be nice if you'd try to incorporate English, You belong to our African community and this way you'll be able to reach a wide range of audience. Humanity need to hear this knowledge about lifestyle related diseases and how to avoid them early in life! Meanwhile I do enjoy and benefit from your Swahili trainings. God bless you Prof!
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 11 ай бұрын
Allah atulinde na maradhi dr MashaAllah antoa elimu vizuri ,ningefurahi zaidi angelinganisha elimu yake na kitabu kitakatifu cha quran
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 11 ай бұрын
Ukiwa bado huna panapo kuwasha Unaweza jua huyu mtaalam ana chekesha usiombe yakukute ya sikie kwa jilani yako. Fata maelekezo
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 11 ай бұрын
Daah kaka Emmanuel umesema kweli
@Kanyawela
@Kanyawela 11 ай бұрын
Asanten sana je Kahawa tunywe kiasi gani
@gracemacha9357
@gracemacha9357 4 ай бұрын
Mungu akulinde Docta wetu
@allyfutto8763
@allyfutto8763 11 ай бұрын
Janabi yupo sawa mlo mmoja kwa siku ni kitu kinacho fuatwa na wengi waliohamka mimi ni mmojawao kwa miaka7 na tangu hapo sijawahi kurudi hospitality nashangaa watu wanamuona kama kituko wataofaidika ni watakaomfuwata na elimu ya LISHE ni Dhahabu 🇹🇿
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 10 ай бұрын
Tatizo mazoea
@Ochoabuilderslimited
@Ochoabuilderslimited 9 ай бұрын
Kwenda hospital ni swala la Mungu kakaa Shukuru sana Mungu kwa kutokufika huko Kunawatu hata mlo mmoja kuupata ni kipengele lakini wanaumwa kila siku... Wanashindia matembele yasiyo na mafuta matunda na vyakula kama hivyo lakin wanaumwa kila siku
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 ай бұрын
​​@@OchoabuilderslimitedMungu amempa mtu akili , acha kumpakazia Mungu kwasababu yakukosa kwako kuitumia akili yako sawa sawa
@venancemeshack3709
@venancemeshack3709 Ай бұрын
Huyo Dr wako mwenyewe anatumia miwani ya macho
@samwa9496
@samwa9496 Ай бұрын
​@@venancemeshack3709miwami ni msomi alie bobea kuangalia karatasi, computer, kucheza viungo vya binaadamu na umri alio nao acha kuongea tu
@susanpetershio3196
@susanpetershio3196 11 ай бұрын
Mungu akubariki Prof. Usichoke kutushauri
@twahaayubu8686
@twahaayubu8686 11 ай бұрын
Hizo Mada Zako ni Nzuri Nakuomba Tunga Kitabu ch Kiswahili itakuwa Umeacha Urithi Mzuri Kizazi na Kizazi Mwenyezi MUNGU akubaariki
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 11 ай бұрын
Watanzania wengi hatusomi vitabu acha atuambie kwa mdomo tunamuelewa kuliko kuandkiwa kitabu acha mambo ya kiAmani
@Winford-f4l
@Winford-f4l 10 ай бұрын
Comment makini kuliko zote 🤝
@tunkuh661
@tunkuh661 10 ай бұрын
Yeap kwa faida ya vizazi vijavyo itapendeza hizo nondo ziwekwe kwenye docomentary
@JoyceHaule-o8c
@JoyceHaule-o8c 6 ай бұрын
Kweli
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 5 ай бұрын
Hasa tena hili ndilo litalotusaidia, sisi wengi
@mwanaimamsangi971
@mwanaimamsangi971 10 ай бұрын
Doctor Mungu akuweke nimeacha soda nashukuru Mungu
@hanspop6961
@hanspop6961 11 ай бұрын
Asante Prof kwa Darasa
@SilajiKigufa
@SilajiKigufa 11 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu d.r upo sahihi kabisa ,endelea kuelimisha Jamii ya Watanzania
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv Ай бұрын
Ndani ya Doctor namwona Mungu kabisa ,Mungu akubariki mwenye masikio na Asikie
@marymremi1051
@marymremi1051 11 ай бұрын
Asante ubarikiwe abarikiwe aliekusomesha
@shukurusimba9866
@shukurusimba9866 2 ай бұрын
Thanks 🙏🏿 so much for your advice
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 5 ай бұрын
Dr wangu pambe nakukubali sana
@stafordchamgeni8430
@stafordchamgeni8430 11 ай бұрын
Watanzania tusiwe wabishi faida za kuwa na maprofesa ni hizo tujivunie kuwa na wasomi wetu wenye mioyo ya kutuelim8sha. Na mambo ya ubishi juu ya maisha yetu siyo tija kabisa.
@jestinamwakilungu1486
@jestinamwakilungu1486 3 ай бұрын
Asante Professor Janabi
@gracemacha9357
@gracemacha9357 2 ай бұрын
Aksante docta kunielekeza sihitaji kuzeeka kabisa nna majukumu mengu ya kuhubiri Injili
@janetmbwana553
@janetmbwana553 3 ай бұрын
Asante sana doctor
@niahmosha4146
@niahmosha4146 11 ай бұрын
Yaani Ur very good hakika unatuelimisja saan
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 7 ай бұрын
Mungu wangu uwe nasi siku zote amina tanzania 🇹🇿
@fatmasoud
@fatmasoud 5 ай бұрын
Asante Dr mm nimefuata maelekezo yako nimeweza kupunguza uzito kutoka 82kg hadi 62kg kwa muda wa miez sita kwa sasa najiamin nina rangi mzur shep mzur kwa kweli asante
@abemaabihudi3547
@abemaabihudi3547 5 ай бұрын
Umefanyaje ndugu kupunguza❤uzito
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 4 ай бұрын
😂 hata mimi nimezidondosha kilo 10 kutoka 74 hadi 64 kwakuwa nina urefu wa sm 164 hivyo niko ktk standard
@Nyanda_Jr
@Nyanda_Jr 11 ай бұрын
Clouds mmemsikia Daktari acheni mambo yenu ya kufanya dhihaka mnapotosha jamii
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og Ай бұрын
Allah akulinde kwa huduma unayotupatia
@mbenamdudu7856
@mbenamdudu7856 11 ай бұрын
Mzee Yuko sawa ana nyoosha huu kwele japo Kila kifo kina Sababu
@vibetz9991
@vibetz9991 11 ай бұрын
Sikuhizi Kila niki taka kula chipsi au kunywa soda, natokewa na sura ya huyu jamaa😢😢😢
@crispakyando8854
@crispakyando8854 11 ай бұрын
Mungu tusaidie tu
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 11 ай бұрын
AISEE tunafakamia tu
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 11 ай бұрын
Aisee kama ulikuwepo hata mimi hivohivo, afu nikimwona mtu anakunya soda namhurumia sana na nikiona mtu anakula chumvi ile ya pemben mwa sahani ya chips au nyama had nashtuka kama vile mtu kaniwekea barafu ktk uti wa mgongo😂😂
@TheresiaZimlinda-x4f
@TheresiaZimlinda-x4f 11 ай бұрын
Hahahaha 😂nimecheka kwa sauti
@TheresiaZimlinda-x4f
@TheresiaZimlinda-x4f 11 ай бұрын
Dr swali langu ni kwamba je tatizo la presha huwa linapona?
@odettevianney3026
@odettevianney3026 11 ай бұрын
Prof nimefuatisha mawaidha yako yamenisaidia sana mfano intermittent fasting, kupunguza sukari yaani hata kuzeeka kumepungua! Nakupa maua yako Prof. Ubarikiwe sana
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 2 ай бұрын
Asante san dr
@reginajoel3785
@reginajoel3785 11 ай бұрын
asante kwa masomo,,
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Ай бұрын
Prevention is better than cure.❤ Muhimu sana kujichunga afya
@MusaMarco
@MusaMarco 5 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu tuendelee kuchuma elimu toka kwako 9:03
@Binzakaria5
@Binzakaria5 5 ай бұрын
Prof uishi siku nyingi elimu yako inamanufaa sana 🤝
@EkelyNkanda
@EkelyNkanda 7 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@dinachitungo8795
@dinachitungo8795 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
We are lucky to have such a person🎉
@machongomika1206
@machongomika1206 11 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@mpegesaaswile6581
@mpegesaaswile6581 9 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu,siku hizi watu wakiambiwa watembee na mtu mwenye UKIMWI wapewe 5000000[5M] wanakubali.baadaye mambo yakiaza kubadilika wanaanza kujuta.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Ubarikiwe
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 5 ай бұрын
Pfs janab yupo sawaa .ukimsikiliza utapata faida. Yaa.afya yako ❤❤❤❤.prfs.janabi
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 7 ай бұрын
Umenisaidia sana
@faithmusembe7399
@faithmusembe7399 29 күн бұрын
Doctor na kukubali sana
@bakarimusa6297
@bakarimusa6297 9 ай бұрын
Mashaallah mungu atakulipa
@annalyimo4143
@annalyimo4143 10 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
Congrats.🎉❤
@OswardWilson-gx2hy
@OswardWilson-gx2hy 11 ай бұрын
Dr asantee
@OswardWilson-gx2hy
@OswardWilson-gx2hy 11 ай бұрын
Asante Dr
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Ай бұрын
Matibabu bei kubwa muhimbili kunamda nafuu hata india masikini wasaidieni figo kisafisha laki na samanini muogopeni mungu wahurumieni wanyonge muogopeni mungu mkiwasaidi masikini nchi mungu ataifungulia baraka nchi itapata neema nchi itapata amani viongozi mungu atakulindeni na kila aina ya mitihani
@mhenitv
@mhenitv 5 ай бұрын
Dr Janabi yupo sahihi kwa asilimia zote ,,,,,Fainali uzeeni
@alexmahenge3817
@alexmahenge3817 5 ай бұрын
Nakuelewa mnooo mkuu
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 4 ай бұрын
Dr barikiwa mnoo nimedondosha kilo 10 kutoka 74 hadi 64 kwakuwa uref wangu ni sm 164 hivyo niko ktk standard, kweli kula kula hivyo ni kukaribisha maradhi na kifo , kalikuwa kananitoka katambi nimekafyeka kote😂😂, dr pokeaaaa🎉🎉🎉🎉🎉 yako
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 9 ай бұрын
Asante
@DorcasPoul
@DorcasPoul 8 күн бұрын
Nikweli kabisa endelea kutufundisha
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 4 ай бұрын
Big up
@nangatv9218
@nangatv9218 9 ай бұрын
Mukali sana
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 11 ай бұрын
Yaani watz mna dharau sana"mnapewa elim kwa faida yenu"unamponda kisa mlevi na unavuta sigara
@emmanueljoshua903
@emmanueljoshua903 11 ай бұрын
Golden Star...
@zulfakimolo
@zulfakimolo 2 ай бұрын
Naomba kuuliza hata matunda ya sukari haifai naomba kujua
@priscajoseph261
@priscajoseph261 11 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa ona watu wanavyo dhihaki wakati ni elimu nzuri kabisa.
@thomaslunyenza3507
@thomaslunyenza3507 4 ай бұрын
Nikweli hata mimi nilikuwanajua magonjwa hayo niya wazee. Lakini ngoja nianzie leo kutengeneza uzee wangu wenye afya tele. Naanza leo dokta. Tena namshukulu Mungu aliyesababisha wewe ukawepo duniani, na kukupa maarifa mengi
@jamesgeofrey8692
@jamesgeofrey8692 11 ай бұрын
Heavy Talk
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 10 ай бұрын
Nimekuelewa
@MaikoRashku
@MaikoRashku Ай бұрын
Tunajivunia kuwa na mtu wa maana Kama huyu professor, nashukuru MUNGU kwa kuipa Tanzania professor janabi
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
Paschal cassian UNIKUMBUKE Video Official.Musc
6:14
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 2,4 М.
ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO
13:16
ZamaradiTV
Рет қаралды 16 М.
AFYA: SABABU 10 ZITAKAZOFANYA FIGO ZAKO KUFA-JANABI
9:03
Mchumi Digital
Рет қаралды 145 М.
UNABII WA 2025 KUNA  RAIS ATAFIA MADARAKANI...
28:54
Haleluya Tv
Рет қаралды 273 М.
NJIA TANO ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene.
11:58
Victor Mwambene
Рет қаралды 113 М.
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН