mtumishi wa Mungu bwana yesu asifiwe! lakini kwa vitabu vingi sana huyo mnyama aliyetoka baharini anahusishwa na roma empire chini ya papa, uingereza kahusikaje tena hapa?
@simonlukiko28502 жыл бұрын
Shusha NONDO HZO WASIO KUBALI WAKAE WATULIE TUNAO TAKA TUSIKILIZE
@hustlerchembes78610 ай бұрын
Bahari inamaanisha watu wengi yani ndani ya watu wengi ndo unatoka uoutawala ambao niwa papa
@devothangonyani15972 жыл бұрын
Asante sana
@kaginaelias53902 жыл бұрын
Pole saana hio utumwa unayo erezeya siyo utumwa waNabi Eliah halisi na Kama Israel hawahusike na utumwa wa Nabi Eliah, Huwa nii muwongo mutupu.
@user-ss5te9gh8r11 ай бұрын
Thank pastor
@wariobaKiginga3 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@florencenabintu92272 жыл бұрын
Mwalimu usijali watuwa wa afrika kuelewa nikazingumu Ila isikupeta busisi tuna kuelewa endelea nakazi mungu akutie nguvu.
@hustlerchembes78610 ай бұрын
Unajua maana ya mnyama au maana ya bahari ninini kibiblia
@christophernoboka47072 жыл бұрын
Amina sana mtumishi wa Mungu
@user-hw3wn8ms6j Жыл бұрын
Yesu akasema nakondoo wengine ni nao japo si wazizi hili nitawaleta wote kwangu kisha muwe kundi moja ktkt zizi moja. Ndiyo hao waislam, afu soma habari za ibrahim wale watoto wake wawili wote, mungu aliwabariki. 🤔🤔
@robertlyimo6362 жыл бұрын
Shida huyu anafundisha kwa kuangalia upepo unapoelekea
@emmanuelmutuku74349 ай бұрын
Gogu na magogu umetoa wapi ni freemason na
@loraumuhire47552 жыл бұрын
Ndio unasema ukweri, nakuunga mukono huo munaona kama queen 🫅 sio mwana damu, Mungu yepeke atusaidie
@anthoniosure54382 жыл бұрын
Nashauri unapofundisha usihusianishe na kufaulu au kutofaulu kwa Wakufunzi wengine. Na usijipe wewe uwezo wa kujua tafsiri ya moja kwa moja. Be neutral kuna kitu tutapata na kuelewa na hivyo itabaki juu yetu kuamua na ku-approciate yr nature
@safaridavid3342 жыл бұрын
Jamani, hapa kuna maswali mingi anaweza kutokeya kwa kila mtu anaye sikiliza mambo haya mutusaidie
@wilsonlugutu57472 жыл бұрын
Kama haujuwi unabii bora ukakaa kimya kuliko kujipalia moto wa jehanamu kutokana na huo upotoshaji wako manake unacho fundisha ni tofauti maandiko!!
@neemamalessa34492 жыл бұрын
Nena Eliya
@badruseif1318 Жыл бұрын
Huna lolote unafiq tu unakusumbua
@internationalzone43392 жыл бұрын
MAFUNDISHO YAKO YANAPOTOSHA WATU KUHUSU UNABIII HAPO SIJAKUELEWA JAMANI
@johnjulius69862 жыл бұрын
Hayo ni magundisho ya kisabato.
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Nondo nzito
@KiswagaAlan2 жыл бұрын
✍
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@enockabumba75132 жыл бұрын
Tukopamoja mtumishi
@wewa73292 жыл бұрын
Sasa kwanini mnajumlishaga kila namba ukiamua kuichanganua inaweza kuleta hio 666
@wewa73292 жыл бұрын
Hakuna ukweli apo kuna watu wamewahi had kutabiri mwisho wa dunia wakauza kila kitu lakini walichoambulia ni aibu
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Vitabu vya dini wametuletea hao2 wametuachia sisi saizi wameamia upande wa pili hawajui kama waliacha vimelea Africa tungebaki na Mila zetu hata kuumwa magonjwa ya ajabu tusingepata
@danielharuni18002 жыл бұрын
Huyu anafundisha mafundisho potofu sana hii sio tafsiri ya chapa 666 kibiblia huu ni upotofu wa mafundisho sana: huyu anaefundisha kuwa Kuwa Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo anamiliki kanisa na msikiti kwa wakati mmoja haya ni mafunuo ya Mungu yupi kama sio ya kuzimu? Tafsiri ya huyo mnyama wa ufunuo 13:1-18 sio hiyo anayoieleza huyu anayapotosha sana maandiko ni wa kupingwa akalishwe afundishwe ukweli wa neno la Mungu: Natamani mtu anikutanishe naye nimfundishe tafsiri sahii ya kibiblia juu ya jambo hili:
@januaryjohn40722 жыл бұрын
Ww ndio unapotosha watu, unabidi ufundishwe mafundisho ya biblia uelewe na sio Kama hivyo unavyokalilishwa, yesu hakuja kw ajil ya dini flan Bali akikuja kwa ajili ya watu wote ukiwa mkristo au muislam na umemkir kristo kuwa bwana na mwokoz wako umeokoka, na dini haitakupeleka mbinguni Bali Iman yako tu mtumish penda kusikiliza usikosoe bila hoja unawakwaza wengine. Bwana yesu asifiwe. Amen
@shafmbande3582 Жыл бұрын
Ww Bado upo brain washed
@germainpennant64392 жыл бұрын
mbona tanzania imetawaliwa na mwanamke? tufunilie ili nalo
@davidndaha96072 жыл бұрын
Kweli unajitahidi kudadavua mambo
@bluebeampilipilikichaa94862 жыл бұрын
Yaan O na R zoote ni 18??
@fredrickochieng6772 Жыл бұрын
So venye nilivaa mask tayari Nina alama ya 666 ya sheitani?
@loysamwel63082 жыл бұрын
Sisi tunafaidi wasimamu wanaombolesa
@mwassamwassa7264 Жыл бұрын
Kinachokupa shida wewe ni uongo wa kuchanganya mambo ya kwenye biblia na kulinganisha na kwenye Koran
@johnmwangi11312 жыл бұрын
Neno linasema 666 ni jina la kibinadamu sasa corona ni jina kibinadamu tuabie???
@habibukitwana15522 жыл бұрын
Ndy ni jina lakibinadamu siyo jina la binadamu
@annamsombe2316 Жыл бұрын
imendikwa hesabu ya kibinadamu not jin la kibinadamu.... “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita. ” - Ufunuo wa Yohana 13:18 (Biblia Takatifu)