Katika mnyukano huu mkali juu ya Muungano, Ismail Jussa anapambana na Sweetbert Nkuba kwenye kipindi cha Maoni Mbele ya Meza ya Duara cha Redio ya Ujerumani.
Пікірлер: 52
@RashidMabrook2 ай бұрын
Asante kiongozi mkomavu kaka yetu Ismail Jussa Ladhu Allah akuhifadhi kwa kumsomesha Nkuba sheria ya Muungano
@StafordndongweNdongwe2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤qqqqqqàqqà
@natafutamatatizo43822 ай бұрын
ETI TANGANYIKA IMEMEZWA NA ZANZIBAR🤣🤣🤣🤣LEO NIMEAMINI KUWA WATANGANYIKA NI MISUKULE👀👀😂
@ndimimaskati36412 ай бұрын
Muungano ni Ukoloni wa Tanganyika , Tanganyika ni kuitawala Zanzibar , Wazanzibari hawana HAKI ya kumchaguwa kiongozi wanayemtaka, wanalazimshwa kwa mtutu wa Bunduki.
@Skomi-0nedayyes2 ай бұрын
Hiyo Tanganyika iko wapi inayo tawala ? Ukweli ni kwamba baada kufanyika muungano wa mchongo nyerere aliifuta Tanganyika na akafuta na katiba ya Tanganyika ili kumziirishia Karume kuwa teali wao ni Taifa moja, lakini karume akumaanisha ilo na akuwa teali kwa ilo ndomana alibaki na Zanzibar yake na uraisi wake na kufanya ivyo karume aliofia asije akatorewa mazima madarakani ndomana akuwa amefuta utambulisho wake kama alivyo fanya Nyerere Tanganyika.
@sayidabdillah85052 ай бұрын
Hii ni miaka ya shida Miaka ambayo Zanzibar inakuwa katika mdomo wa tanganyika Hatuna kauli Zanzibar, hatuna mbele ,hatuna maendeleo na hatuna kauli yoyote shida tupu kwaetu Zanzibar
@kisa60222 ай бұрын
Utambulisho bila ya nguvu Shilingi ipi lkn huwezi kuitumia faida gani kuwepo hio shilingi
@godsonmosi84282 ай бұрын
Jusa nimekuelewa sana
@hamilsaleh-zo3hp2 ай бұрын
Hakuna amani 1 msidanganyane, Ila sina shaka kuvunjika kwa muungano, tena watauvunja watanganika wenyewe.
@sayidabdillah85052 ай бұрын
Ww mtanganyika unatufanya sis km watoto vile unampa pipi kisha unachukuwa cha kwake yaani sis wazanzibar tugaiwe na tanganyika kisha ndio tuambiwe tunafaidika
@rahimahamad10162 ай бұрын
kuungana rahisi lakin kujitoa ni ngumu kwani kinachonganganiwa ni nini? Zanzibar tunahitaji uhuru wetu
@AhmedAlawi-rd8fw2 ай бұрын
Nkuba huelewi chochote nyamaza zanzibar hata rais wake hatambuliki ni sawa na mkuu wa mkoa maana yake hatambuliki ni kuzugana tu
@RamaKimbeu-tw4po2 ай бұрын
TUACHE UMIMI UBINAFSI KWERI NI MBAYA SANA TAZAMA HOJA HIZI KIUMAKINI KINASUMBUA UBINAFSI
@HasaniBakari-yx5yg2 ай бұрын
Jamani tusipigizane kelele kama kweli sote tunauhitaji muungano huu uendelee basi yatupaswa kukaa chini na kurekebisha pale kwenye mapungufu hapo tu nchi mbili je ingekua Afrika nzima tuungane sindio ingekua balaa mimi nilichokiona tuondoe ubaguzi na kiongozi awe mmoja
@martinkisha63072 ай бұрын
Wanao mpinga lisu hawafatii haya hata viongozi wa serikali hawayaoni haya
@HudayjumaTaalib2 ай бұрын
Lazma uonemzur hebuivyo v2 tupeni siye half nyinyi mkae watup kama sisi
@hamilsaleh-zo3hp2 ай бұрын
Muungano muungano, mavi tu! Muungano gani
@kisa60222 ай бұрын
Eti Zanzibar kuna raisi Huyu ni rahisi kwa watanganyika sio raisi kwa wazanzibar
@KhamisiSalimu2 ай бұрын
Kila mtu kwao hatutak mungano tuachieni,
@abubakarishariff84892 ай бұрын
Warabu ndio wanawadanganya wazanzibar wakati warabu wenyewe wanafiki tu wenyewe awasaidiani wanapigwa tu na wamagharib itakuwa nyinyi Zanzibar jitoeni
@leonardleoni54272 ай бұрын
Ismael jussa umeuelezea kinagaubaga muungano. Elimu sasa itolewe kwa kila raia aweze kujua manufaa na mapungufu ya muungano na pia kuwe na kura ya turufu kuangalia ni wapi wanauhitaji huu muundo wa muungano
@HudayjumaTaalib2 ай бұрын
Jusa anajua nandomana waltaka kumuwa
@HudayjumaTaalib2 ай бұрын
Mungano huu unatakiwa ujadiliwe mana tangu uwanze wa2 wing wameshkufa sasa kunavzaz vipya lazma mungano uwewksasa
@CharafimalisalimoAli-qw3hk2 ай бұрын
alisema shekhe ilunga ALLAH amrahamu. kua zanziba kwa sasa ni mkoa wa bara .na rais wazanziba ni mkuu wa mkoatuuu.
@eliajimmy952 ай бұрын
Anayeng'ang'ania huu muungano kwa sasa ni Samia suluhu Hassan Mzanzibari mwenzenu sio nyerere tena.
@HudayjumaTaalib2 ай бұрын
Sisi zanzbar hatuna haja namungano kwan lazma
@sayidabdillah85052 ай бұрын
Nafasi za kazi munachukuwa wenyewe ,polisi,Jessica,usalama zote ni zenu tanganyika Ubaguzi munawo watanganyika,munatubagua hatataki Zanzibar imetawaliwa na tanganyika Tanganyika haijapoteza sifa yake Tupeni sisi hayo mamlaka kisha nyinyi tanganyika chukuweni mamlaka ya Zanzibar kuwa tanganyika
@pavillioncry52412 ай бұрын
Lissu na jussa ni baba mmoja mama mmoja kwenye akili
@jamesriwatuvana95612 ай бұрын
MAMLAKA TATU NDIO SULUHISHO, BILA HIVYO HAYAEESHI HAYAAAA
@issacklyandala70232 ай бұрын
Kama kuvaa koti nakizibabao
@bedamassawe81072 ай бұрын
Mimi sitaki mungano
@adamyussuf16782 ай бұрын
Tumechokana na muungano huu tuachanei tupumue jamaniii
@aproniamasatu58102 ай бұрын
Mimi mwenyewe sipendi kuungana na wazanzibar na kutoka moyoni siwapendi ( na tuko wengi kama mimi )
@abubakarishariff84892 ай бұрын
Libya walikuwa wapumbavu kama ivi sasa wanakuita ata iyo Zanzibar ikikataa muungano ndio itapata nini
@Skomi-0nedayyes2 ай бұрын
Nasi pia tunaitaji Rais wetu wa Tanganyika atakae ismamia na kulinda maslahi ya Wananchi wa Tanganyika pamoja na Rasirimali za Tanganyika, nasio kuifuja Tanganyika yetu kama afanyavo kiongozi wa muungano wa sasa. Kwa upande wa Zanzibar hoja zao azi make sense maana Tanganyika ndo inayo athirika zaidi ya Zanzibar kwa sababu viongozi wote wakuu ni wa muungano na wa Zanzibar tu lakini hakuna viongozi wa Wakuu wanayo iwakilisha Tanganyika kwa namna yeyote ile kwamaana ata Rais aliyopo ni Rais wa muungano na siyo Rais wa Tanganyika, ivyo nasi tunatamani kuwepo kwa serikali ya Tanganyika hili ilinde rasilimali zetu zisiwe tena mali ya muungano.
@AbdulRahmanAliy-sr7gw2 ай бұрын
Ndo mana wtu wanataka serekali 3 na iyo ndy itaeka uhuru pande zote 2
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Je muungano usipokuwepo je mtafaidika?yaani wenye nguvu wanaungana nyie wadhaifu mnapambana ili muachane
@stephenndagalla81832 ай бұрын
Muandaaji wa "mnyukano" hakuwa makini kwa kuteua wahusika wa "kunyukana' kimantiki. Jussa anaongea kwa hoja nyoofu zinazo thibitika kimantiki. Nkuba anatoa porojo tu. Z'bar ni jirani zaidi (kimipaka) kwa T'nyika kuliko Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi?? Waz'bari ni wana udugu zaidi na Watang kuliko Wamasai, Wajaluo Wakurwa walioko Kenya/Tang?? Nkuba anasema; Z'bar inatambulika Kimataifa!! Mbona Z'bar haina kiti ktk UN na Mashirika mengine ya Kimataifa?? Lkn ni vzr Nkuba ameielewesha Dunia fikra finyu CCM ilizonazo juu ya Muungano.
@hilalkhalfan14522 ай бұрын
Hata yoyote, hakuna mbara hata mmoja angeweza kuvunja ukweli wa jussa
@abdalakombo15952 ай бұрын
Muungano ni wa waafrika wa Tanganyika na Zanzibar kwa hivyo kuna watu kama Jusa haumhusu
@stephenndagalla81832 ай бұрын
Kwa nini Jussa asihisike na Muungano?? Kwani Tang. hakuna watu wenye asili ya Wahindi, wazungu nk? Ondoa fikra finyu za ubaguzi wa rangi??
@gangmore90912 ай бұрын
Mungano wa Africa mbona Tanganyika inakaa nchi nyingine zisijiunge na Mungano uwo hebu amkaa or Mtanganyika wewe mana ndio munatetea huu ujinga😅
@rahimahamad10162 ай бұрын
Wewe mwenyewe asili yako huijui.
@sayidabdillah85052 ай бұрын
Muungano ni dubwaa tuliloleteewa na wazungu chini ya usimamizi wa nyerere, alikuwa remoted kutoka kwa magharibi
@ommymehmed88802 ай бұрын
Duh bado kidg nikutukane ..kumbe ni abdala kombo🤣🤣haya
@HudayjumaTaalib2 ай бұрын
Tatzo tanganyka hawatki kuta2a kero zamungano
@RamaKimbeu-tw4po2 ай бұрын
Ndugu jussa KUMBUKA ndege WA rangimoja uluka pamoja Zanzibar na bala ni wamoja
@mbeguofficial66462 ай бұрын
SIKUHIZI COMMENTS ZA WATU ZIMEPUNGUA KWA KIASI KIKUBWA SANA!!!!
@sayidabdillah85052 ай бұрын
Usalama sio hoja Hatujaona vita kati Zanzibar na tanganyika Zanzibar ilikuwepo kabla tanganyika na hatajona vita kati ya nchi hizi Wanaleta ujanja wa kututalisha na tanganyika tuu
@1961nungwi2 ай бұрын
Usalama unao ongelewa hapa ni ule wa zamani wakati wa vita baridi. Kuiacha Zanzibar ilikuwa inaleta hatari ya "Cuban Crisis" ya miaka hiyo. Kwa Sasa, hoja hiyo umepungua nguvu baada ya ukuta wa Berlin kuanguka Mwaka.