BIG UP tu pamoja Zanzibar bila mamlaka kamili tutazidi kudhalilikaaaaa ❤ LOVE my country Zanzibar
@margarethpolepole74387 ай бұрын
Mohd pole Hussein hamumuwezi aneleta Maendeleo ya hali ya juu Zanzibar
@user-gd2xj3xd1b3 ай бұрын
Pole kwako kwakuona ujezi wa Hussein mwinyi ni maendeleo tembea ukaone maendeleo kwa wezetu pia hao wezetu na maendeleo walio nayo wanapigania uhuru na demokrasia pia huijui Zanzibar ww @@margarethpolepole7438
@SudiKhamisiАй бұрын
Mungu afanye wepesi ten tusha wachok ccm
@OmerSuley-gl7go10 ай бұрын
Huyu mzee nampenda sana ❤
@zanzibarboyzanzibar50910 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Muumba wa vyote tunakuomba Zanzibar iwe free na itoke kwenye makucha ya hawa Matapeli wanaojiona wana Nguvu zaidi
@hafidhkhamis7319 ай бұрын
Allah awe nasi tuko pamoja an hakuna lisilokuwa na mwisho ao ccm mwisho wao utafika tu inshaaAllah
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Hafidhi hizo ni ndoto za alinacho acha kazi ufanye kazi kuishinda Ccm baada wakongwe walishakubaliana kuungana wewe wewe kidagaa una nini tena utabaki na kelele za chura hazimkatazi ngombe kunywa maji ccm oyeeeee kazi inaendelea Hussein Mwinyi chapa kazi hao njaa za kutakq utumwa zinawasumbua
@user-qo8uj1ym4m10 ай бұрын
Munaamika wakuu wetu wa vyama mola awape nguvu hivyo hivyo daima
@saidjuma791510 ай бұрын
Mhe omo inshalah tupo na ww inshalah kukomboa zanzibar ki ufupi tushachoka ndo hatujui la kufanya sahivi zanzibar kurudi kwenye mamlaka ni muhimu sana
@margarethpolepole743824 күн бұрын
@@saidjuma7915 Ahsante sana Rais Hussein mwinyi kwa kuifanya Zanzibar njema na inapendeza kila kona wasikusumbue hao wqnaotaka utumwa kila siku na uroho wa madaraka Siasa mchwzo mchafu hawana kabila hao utashinda kwa kishindo na wewe Omo kula kuku tu Siasa mchezo mchafu Ccm oyeeeee Act Wazalendo oyeeeee Hussein Mwinyi chapa kazi
@AaAa-vm8bb9 ай бұрын
Huwezi kusherehekra mauaji ukapata neema ndani yake hili mulijue twende tu hadi tufike asante bw. Othman kwa maneno matamu na yenye faida
@margarethpolepole74383 ай бұрын
AAAA wewe mnyanwezi acha kelele wewe hiyo Zanzibar ni yako humo kuna kila sina ya watumwa hakuna hata mwenye Zanzibar yake nahisi wewe umezaliwa 2000 hujui lolote wewe ni bendera yafuata upepo hakuna mnzanzibar kamili njoo Tabora nikuobyeshe warabu wanyamwezi huna lolote kazi kubwabwanya tu
@alialamoudi972910 ай бұрын
Zanzibari ni nchi iliharibiwa NA ungereza NA marekani NA wayahudi kwa sababu ya uslaam wao NA wanahaki kuihifathi dini ya mungu wao NA kila mtu huko akhera moja moja peke yake ataulizwa alicho kitenda duniani NA atapewa kitabu chake kwa kulia au kushoto tutaulizwa tu umetetea dini yako umetetea nchi yako au umeunga kutawaliwa NA wakrsto
Powerful speech ❤❤❤ LOVE MY COUNTRY ZANZIBAR NEVER GIVE UP ZANZIBAR ❤❤❤
@alifoum675810 ай бұрын
That's significant milestone
@salyali780710 ай бұрын
Very powerful speech... excellent job OMO
@abdikhamis375810 ай бұрын
.ĺ
@user-ry1pe3tu5s8 ай бұрын
MH HONGERA UMEMWAGA RADHI ZA UKWELI ,,,SAFI SANA
@AbdallahJuma-wb8lq2 ай бұрын
Wazanzibar,tunataka,viongozi,wanamnahii
@arthurbertluanda339010 ай бұрын
Mashaalah no kukata tamaaaa
@kassim12623 ай бұрын
Ccm hawalijui hili au ndio maslahi kwnz nchi baadae duh inasikitisha wanajiita wzalendo lkn wanaiua nchi
@user-jf7is4fk2v10 ай бұрын
sio rahisi bila ya katiba mpyaaaaaa piganieni katiba huru na haki kwanza
@rayamgeni977210 ай бұрын
Tunakuombea kwa Allah mkombozi wetu.
@MohammedSaid-cz2od8 ай бұрын
Kwa uwezo wa allah hapaharibiki kitu ishaallah
@user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын
ALLAH AWALAANI WAO NA VIZAZI VYAO VINAVYOKULA HARAMU.MALIPO DUNIANI AKHERA HESABU.
@abdulrahmansalim977310 ай бұрын
VYAMA VINABADILISHWA KAMA CHAI. IPO WAPI C.U.F 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Waulize wakuu wa CCM
@kassimhaji114110 ай бұрын
Yuko pamoja mm na Zanzibar na Zanzibar na mm ewe mola tusaidie tuwe huru
@msabahaali75810 ай бұрын
njaa hii hatuna haja ya kampeni tuko nawe OmO
@aishaaisharagp93819 ай бұрын
Zanzibar mnailindavkunann cc wenyewe tunajeshi lakutosha cc kulima tunalima kilakitu nasilazima vyakula vitoke kwenu maana hamtupi buree tunanunuwa kwapesa zetu
@abdalahgunda13194 ай бұрын
Narudi kuwakumbusha vyama sio sulisho kwa wananchi sababu watu wamechoka na kusikiliza sera ya vyama vusivyotejelezeka watu wanaangalia mtuu ktk chama ndio maana nccr ilikufa ndio maana cuf Iko taababani sababu hakuna watu mazubuti lakini ikitikea mtuu mazubuti ktk chama basi chama hupata nguvu
@kaslali20398 ай бұрын
Dunia ya leo si ya kusemana Alie na mwana aombe salama Kwetu kuliroa kwao kushazama
@ahmedalbalooshi85187 ай бұрын
Kusemana kwa kukosoana bila matusi ni wajibu wa kila mwananchi,kwani mabaya na mazuri yaanikwe
@hamadKhamis-p6k4 күн бұрын
Na nyie viongozi wetu hatutaki ahad zisizotekelezeka hatutaki ten hewala km marehemu maalim huruma hailei mwana tunatk vitendo sasa apa hachomoki mtu mara hii ata kuwa mtu kanaijenga Dunia mzima hii hamna kukaa ten ccm madarakani mwisho wao ni mara hii hao
@nunumrisho65484 ай бұрын
Imekula kwako😊
@AliSalim-yu4mo2 ай бұрын
Na kwako pia tutakula
@khatibal-zinjibari695610 ай бұрын
ZANZIBAR YA KALE NA UISLAM 1) ZANZIBAR ilikuwa ni nchi pekee ya Kiislam kwa Afrika Mashariki na Kati. 2) ZANZIBAR ilikuwa ni Kitovu Cha Mafundisho ya Kiislam kwa Afrika Mashariki na Kati. 3) ZANZIBAR ilikuwa ni Makao Makuu ya Pan-Islamism na Islamic Modernism kwa Afrika Mashariki na Kati. 4) ZANZIBAR ilikuwa maarufu Duniani kwa sababu ya Uislam na Kiswahili, yenye Lugha ya Qur'an kwa Uislam Duniani. SASA ZANZIBAR HAINA DINI.
@ahmedalbalooshi85187 ай бұрын
Wala maadili hamna
@khatibal-zinjibari69567 ай бұрын
KUPINDUA MAADILI YA KIISLAM @ahmedalbalooshi8518 SWADAKTA. Kwa sababu lengo la Mapinduzi sio kuondosha Utawala wa Kiarabu kama inavyopotoshwa bali Vita Dhidi ya Uislam na Maadili yake. MAPINDUZI KWA MUUNGANO 1) Misahafu ilichomwa na Mingine kutupwa Baharini. 2) Wanafunzi waliharamishwa kusoma Surah al-Fatiha na Surah al-Ikhlas kabla ya kuingia Darasani. Na wakalazimishwa kwaya ya kumsifu Mkiristo Nyerere kabla ya Darasani. 3) Mafundisho ya Uislam na taarekhe ya Zanzibar yalifutwa. Kinyume chake utaitwa "Mdini." 4) Akiwa Mgeni Rasmi Siku ya Baraza la Eid, Beit al-Ajaib Rais Julius aliwaambia Waislam wa Zanzibar kuwa Nchi Haina Dini. Hiyo ni Utawala wa Mfalme Julius kwenye Biblia. Aliwataka Wakiristo wasichanganye Dini na Siasa katika Nchi: a) Ingawa Wimbo wa Taifa unaomba Mungu aibariki Tanzania isiyo na Dini. b) Pia Wanasiasa wanawataka Mashekhe waiombee Nchi yao isiyokuwa na Dini. 5) Na Kiswahili Cha Zanzibar kinapinduliwa kwa kuondosha maneno yenye asili ya Kiarabu: a) Zanzibar kubatizwa kuwa Tanzania Visiwani. Ni tafauti na Visiwa vya Kilwa na Mafia. b) Darasa la Tisa kubatizwa kuwa Didato Cha Kwanza. WALITAKA KUBADILI QUR'AN Ali Hassan alikuwa Rais lakini Julius Nyerere Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Mgeni Rasmi Dodoma. Kwa vile Serikali ya Muungano inaongozwa na CCM, viongozi walisema Qur'an ibadilishwe😂 Lakini Waislam wa Zanzibar walipinga kwa kulinda Qur'an, walijeruhiwa na kuuliwa.😂 Sheikh maarufu Nassor Bachu alipelekwa jela na Mwandishi wa BBC Mh. Ali Saleh alitupwa jela kwa kutangaza tukio hilo. HITIMISHO LAKINI SIO MWISHO Bila shaka Maadili ya Waislam wa Zanzibar yametoweka kwa sababu ya kuacha Mwongozo wa Qur'an. (Qur'an; 25:30).
@AbuuImraan-alghafr-azinjibar8 ай бұрын
Acheni ujinga nyinyi acheni kuwafitinisha watu kwa siasa zenu
@BernadethaSimba-qi4dw9 ай бұрын
Na ss tunaomba dua kwa M/ Mungu aepushe na ipo siku itafika hicho unachosema kitafutwa tu hata huku tunakeleka kila mtu ale chake kashiba kalala njaa shauli yake tunakuomba tuonyeshe huo mkataba wa kudhibitiwa nyie zanzibar
@margarethpolepole74387 ай бұрын
OmoWewe nenepa tu hamna kitu hapo Ccm iko juu sanaaaa zanzibar kimaendeleo wewe kula tu urefu wa kamba yako Rais Hussein Mwinyi humuwezi anachapa kazi vizuri sana
@kassim12623 ай бұрын
Tunahitaji znzbr htuhitaji kazi
@margarethpolepole74383 ай бұрын
@@kassim1262 ulie tu huna Zanzibar wewe siajabu mnyamwezi msukumq mmakonde Muha nk kule kote kulikopita waarabu wewe mtumwa tu huna cha Zanzibar yetu naneno yako ya kufuata mkumbo msimsumbue Mwinyi muacheni aiguze Zanzibar kama Dubai huyo mchapa kazi mtumwa wewe usiyetaka kukombolewa kwa warabu
@Rukaiya-lt3hm24 күн бұрын
Anachapa kazi kweli sukari 3400 mchele 2500 tumpe hongera kwa uchapa kazi huo
@AbdulNassir-jk1jf6 ай бұрын
Kama walivyo pinduwa nanyi mupindue ndo mtapata madaraka si kwa sera
@user-ok9vr5jj6r9 ай бұрын
Asnte omo wape vidonge vyao hao 😂😂
@aliamour49708 ай бұрын
Wewe user ukitaka toa aibu za watu toa zako kwanza usojielewa
@user-gb5vz6wm2q9 ай бұрын
Mnatupanga tu hakuna uchaguzi wa haki Tanzania
@hamadKhamis-p6k4 күн бұрын
Ccm Hana njaa Wala Hana shida haya ni mwanachama Gani huyo wa ccm anaesaidiwa kwenye shida mtu pa kukaa Hana ama wew ni ccm hebu waangalien ccm Wana shida Wana njaa zindukeni nyie wenzetu tuungane tuwe kitu kimoja tupiganie haki kwanza tuishi vizur hatuna Raha maisha magumu mtu akiamka Cha kukila Hana ama wew unajiita ccm umjinga wew
@MuhidiniMohamedi-rx9gb10 ай бұрын
Seemababa
@user-su6kn2xo1b8 ай бұрын
Jino kwa jino haki
@C-uj4np6 ай бұрын
Sawaaaaa 🎉❤😂😊
@emilbocco589510 ай бұрын
Sawa Zanzibar kamili na Tanganyika kamili we are ok with That, jitayarisheni kuanzisha jeshi lenu maana tunatumia pesa nyingi kuilinda zanzibar, pia mjifunze kulima maana chakula kinatoka bara, pia mjifunze kulipa umeme maana smz ina madeni makubwa ya umeme kutoka bara
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Kwani kabla ya muungano waZanzibari walikuwa wakilala na njaa?.Waache wenyewe watatafuta mbinu za kuishi.Nyie musishuhjulike
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Umeme tutafuta,kuanzia tutatumia taa za asili,usijale kaka.
@alijuma76748 ай бұрын
Huyu jamaa anaakili za mende ,mana hafahamu historia. Tanganyika haikuwa na serikali bali Zanzibar Alitawala kote huko lkn la pili ni kichwa maji .Zanzibar haikuanza 1964 ,ipoooo years and year ni dola kongwe sana
@ahmedalbalooshi85188 ай бұрын
Tokea awali ,Zanzibar haikuwa na jeshi,kwa sababu nyingi,moja wapo ni kuwa hawakuwa na adhma ya kuvamia nchi jirani,na ukiongezea hapo,wananchi wake walikuwa wa amani na upendo.Kwa upande wa chakula, wana uwezo wa kujilisha kama walivokuwa wakila hapo awali.Usisahau mamilioni ya fefha za kigeni zilizochukuliwa na kuhamishwa huko kwa waporaji.
@emilbocco58958 ай бұрын
Muungano una ubaya wake pia una uzuri wake, kama hutaki kurekebisha mapungufu unataka uvujike sisi hatuna shida. Ila hata ndoa lazima mapungufu yatokee, huwezi vunja kabla ya kujitahidi kurekebisha huu ni muungano wa nchi na watu si muungano wa vitabu,
@user-qp8rs7yu9f10 ай бұрын
Hata ushinde hawakupi hawa labda upindue
@kinkybanjukome21710 ай бұрын
M.mungu ndio atawapindua kwa Allah hakuna kisichowezekana na wala hakuna Cha milele isipokuwsa Allah ndio wa milele iko siku
@nailamohd-wn6sb10 ай бұрын
@@kinkybanjukome217naaam 🙌🙌
@muzneali474710 ай бұрын
TATIZO LENU KUSHINDWA HAMKUBALI HATA UCHAGUZI UWE WA HAKI VIPI MADHALI MKISHINDWA MTASEMA UCHAGUZI HAUKUWA WA HAKI HAMUWEZI KUKUBALI KUSHINDWA
@cath-ef7wd10 ай бұрын
Lini mlishinda ?? Kenge wewe
@muzneali474710 ай бұрын
@@cath-ef7wd HAPO NDIO MWISHO WAKO WA KUFIKIRI SIWEZI KUKULAUMU MAANA KWENYE AKILI ZAKO NDIO KUMEKAA MAVI NA SEHEMU YA MAVI NDIO ZIKO AKILI ZAKO KWA HIYO SEMA UTAKAVYO
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Sujui kama uluwahi kumsikia Ali Karume,mtoto wa hayati Rais wa kwanza wa Zanzibar,alitamka hadharani kuwa CCM hawajahi kushinda toka 1995 huko Zanzibar.
@jaffaralimakame15339 ай бұрын
KWANI UNASEMAJEEEEEEE
@muzneali47479 ай бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 YUKO WAPI HUYO BA ALI YEYE CHUKI YAKE HAKUUPATA URAIS HIVI ANGEKUWA RAIS ANGEYASEMA HAYO?? MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI HIVI KIPINDI HIKI CHA UTAWALA WA RAIS HUSSEIN MAENDELEO HAMUYAONI?? CHUKI BINAFSI HAZIFAI UKWELI USEMWE
@fakihdarusi438510 ай бұрын
😂😅😅😅😂😂😂 ILE 2015 NDIO KINGEELEWEKA ILA HUKO MBELE KELELE TU😊😅😅😂😂😂😂
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Fakih,ingeeleweka vipi wakati Wabara walikwisha teremsha majeshi ambao walipewa amri ya kuhakikisha CCM washinde,kwa hali yeyote.
UNASEMA NINDOTO ZA MCHANA KWELI NDUGUYANGU! RUDI KWAMUNGU HATA WAZUNGU WAMECHOKA AFRIKA MAGHARIBI HUWAONI WEWE !
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Hizi sio ndoto ni mauno ya wazawa
@margarethpolepole743810 ай бұрын
Nyie wasaka tonge Urais hampati kamwe wee kaa na maridhiano tu nyie ni ccm namba 22 kuleni ruzuku tu maana ni sheria ya dunia kuwa upinzani ni lazima kuwa chama chochote kilichopo mdarakani pale kinapokosea kisahihishwe nchi za Ulaya zinaweza lakini kwa Tanzania wapinzani wote ni wasaka tonge tu
@msabahaali75810 ай бұрын
jidsnganye sisi tunasonga mbele
@salimsharif649310 ай бұрын
Mbwa ww
@margarethpolepole743810 ай бұрын
@@salimsharif6493 mbwa mwenyewe nshenzi kabisa
@muzneali474710 ай бұрын
Kazi kutia watu chuki mioyoni mwa watu
@cath-ef7wd10 ай бұрын
Wewe unamaradhi ya BT
@ahmedalbalooshi85189 ай бұрын
Hizi sio chuki bali ni ukweli,labda kwa umri wako huyafaham
@omarissamashaallahpresiden29207 ай бұрын
Una banduliw
@cath-ef7wd7 ай бұрын
Kwa kuwa unajaza kapu lako la tumbo ndo mana unasema hivo.Anasema ukweli...chuki mtu hatiwi inakuja kutokana na dhulma anofanyiwa.Acha ujinga
@ahmedalbalooshi85187 ай бұрын
Chuki twaziona zikitekelezwa na zaidi ifikapo vipindi vya uchaguzi.Wananchi hawasahau hayo kwani ni majaraha yanayo toneshwa mara kwa mara.
@pavillioncry524110 ай бұрын
Tanzania nzima sijaona upinzani wa kuishinda ccm Navona wapinzani njaa tuu
@salyali780710 ай бұрын
Kakojoe ukalale huna mpango
@yussuphsaleh76710 ай бұрын
@@salyali7807huyu jamaa vipi kwani ccm inshinda uchaguzi? Hebu mwambie ukweli kila mwaka wanapora huku mukiwauwa watu
@nailamohd-wn6sb10 ай бұрын
@@salyali7807😅😅 akalale
@user-ml9sv2kr5e9 ай бұрын
WEWE OTHUMAN MASOUD MUONGO HAYO MANENO YAKO DHAMANA UNAYOIJUWA WW KUOA WAKE WENGI NA KUACHA BILA KOSA HUNA MPANGO WOWOTE
@salyali78079 ай бұрын
Jamaa umechanganyikiwa ?
@aliabdalla92978 ай бұрын
Hebu taja aibu yako
@RajabJuma-qx6ry5 ай бұрын
Madhila si unayafanya wewe Othman unakula neema za seif baada ya yeye kufa ACHA kuwa miongoni mwa waongoza dola ndo utakuwa msafi au ndo unakula kwa urefu wa kamba Yako?
@MohdSuleiman-fw2un10 ай бұрын
BIG UP tu pamoja Zanzibar bila mamlaka kamili tutazidi kudhalilikaaaaa ❤ LOVE my country Zanzibar
@faustinebahenobi341210 ай бұрын
Afu nashangaa nyie wazanzibar hiki ndo kilikuwa kipindi chenu cha kuwa na mamlaka kamili angalia ss Raisi wetu uku tanganyika ni mzanzibar alitakiwa ahakikishe ana andika historia ya kutupatia katiba mpya maana ni faida kwake yeye kma mzanzibar rakini namshangaa