Tulojua leo serengo Ben jina lake halis abdul tujuane😂😂🕺
@allyjumaallyjuma6923 жыл бұрын
Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy
@dullamuso69553 жыл бұрын
Namkubali Sana Serengo, nikimuona naona Sura ya Kanumba. Mungu akutunze Serengo
@giftgodson56033 жыл бұрын
Kasema anaitwa selengo hiyo serengo umeitoa wapi?
@fatumahassan13713 жыл бұрын
@@giftgodson5603 🤣🤣🤣🤣 namshangaa
@lucyhusein40433 жыл бұрын
Ww kaka mtundu sn hua nikiangaliaga muvizako nachekaga sn daaah!!! Mungu akulinde pena sn
@mimij78683 жыл бұрын
Yani kiukweli huyu mshkaji yupo vzr kiukomedi ,,,
@lucyhusein40433 жыл бұрын
@@mimij7868 sanaaaa tena sn
@alexkalonga36323 жыл бұрын
Ila Mbengo TV mnazingua sana mnakuwa kama Matapeli hivi, picha na mlotuwekea ni tofauti video tunayoiona!!! Nyie ni Matapeli tu wa MB za watu!!
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Na pia nashangaa nasubir kuon kijumba kizur kumbe 😎
@abdallahissa83233 жыл бұрын
Mi kwa sababu hiyo naji unsubscribe
@fisjaykitamuliko11833 жыл бұрын
@@abdallahissa8323 🤣🤣 ila kiukweli wamezinguwa
@wambuakasimu24313 жыл бұрын
Watching from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 wanazingua kweli
@fatumahassan13713 жыл бұрын
Umeonaeee 😂😂
@esthernyambura6253 жыл бұрын
🙋🙋🙋👍💖💕💖💕💖👌💖hongera sana kwa movie unazo igiza kaka mkizungumzia kanumba wakati wote naishiwa nguvu alikua msani wa kufurahisha sana ila basi tu
@khamissalum92853 жыл бұрын
Duuu mimi nilizani mkiristo kumbe musilamu allah akuweke
@saidkulwa88073 жыл бұрын
Daaah umeni kumbusha mbali sana aiseee.weee sister endelea na moyo huo huo wa kuwa kumbuka wakongwe wa Filamu pamoja na muziki
Huyu muislam Babu yake mzee bwagu kigogo alikuwa anakaa zamani
@hassanmnimbo4573 жыл бұрын
😂😂😂😂
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Mie pia nimejua leo🕺😂😀
@mariamjuma41363 жыл бұрын
Nampenda sana uyu kaka ana show show of kbs katulia sn
@missmwayway47043 жыл бұрын
Jamaniii kumbe ni mmakua mwenzangu Daaaahhh karibu kwetu Masasi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@none95753 жыл бұрын
Hata mm mmakua lakin cjui pia yaongewaje hyo lugha hhhh
@missmwayway47043 жыл бұрын
@@none9575 ooohh hujakaa kwetu Masasi ee
@nyotawauniquem74623 жыл бұрын
Mwenyewe ndio nimejua leo, kumbe mmakua mwenzangu
@josephmonteiro5677 Жыл бұрын
Yes nimependa kutoka🇲🇿🇲🇿
@salhamrisho81383 жыл бұрын
Kumbe ww ni muislam miye nikajuwa mkristo masha allah😘😘😘😘😘🥰😘
@joycenicodemus.22323 жыл бұрын
Mnapendaga udini nyie
@salhamrisho81383 жыл бұрын
@@joycenicodemus.2232 hapana sijamaanisha ivo my miye nikajuwaga hilo ben ndiyo jina lake asaa napiya move zake nyingi yu nakakti ni mkrsto
@godblessjrtz.86523 жыл бұрын
@@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.
@joycenicodemus.22323 жыл бұрын
@@salhamrisho8138 haya pouwa my.
@davidsika52923 жыл бұрын
@@joycenicodemus.2232 kweli kabisa udin umetawala kwa hawa watu
@dianahasagi10222 жыл бұрын
I love his character he plays all the way from 🇰🇪
@ashuraissak85613 жыл бұрын
Yani serengo unanikumbusa enzi zako na kanumba mliendana sana kama ndugu wa damu allah azidi kukuongoza inshaallah
@mariachuri71233 жыл бұрын
😅 Serengo upo serious jmn kwenye interview,hata kucheka..hahaaa! Tofauti na ukiwa kwenye movie..big up then
@koletakilasa59883 жыл бұрын
Hongera sana aaaa
@Farajahelene230313 жыл бұрын
hi serengo boy much love from congo zaire
@godfreyraymond44643 жыл бұрын
Namkubali sana Ben sikujua kama mmakua mwenzangu Jamaa
@aminaabdallah91173 жыл бұрын
Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee
@deewyzeeofficial35123 жыл бұрын
NAMFAHAM KAMA SERENGO AU BLANCO 🔥🔥🔥🔥 NAKUKUBALI BROOO BIG UP SANA
@mayiahnoah21573 жыл бұрын
Selenko God bless U wewe... Unanikumbusha kanumba walai....
@idrissamuhamedi32892 жыл бұрын
Ank ben unajua sana wadau w kaskazn wmekumis sn broka 2nataka kz deile hongera sn
@hawwahawwa85333 жыл бұрын
MashaAllah mi najua unaitwa Ben tu 😱
@SengekaSilvester2 ай бұрын
Mungu akulinde serengo
@GahSjj-sj6ok Жыл бұрын
Da brather nilifikili unaubili kanisani kumbe nishee mashalaah
@anitanahimana21153 жыл бұрын
Hungera sana serengo Abudul hamdi. Allaha. Akuhifadhi
@seifmohamedseif94673 жыл бұрын
Dah sikua na faham jamaa km ni muislam mashallah
@husseinjumaikunji6223 жыл бұрын
Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi
@manyerereboniphace79893 жыл бұрын
Kwahio umeonyesha gari ziri nyumba kali alafu mnaonyesha vitu vingine uboya tu
@abdallaabedi23542 жыл бұрын
Kwamm binafsi namjua kama vumbi vumbindu ile ya matron asee mlitisha Sana baast apunzishwe pema peponi Mzee wetu majuto.
@emmy85sweetie993 жыл бұрын
Maashalah Abdul jina zuriiii sana unatakiwa ulitendee Haki
@faithwemamusic52662 жыл бұрын
Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu
@NiderTV3 жыл бұрын
auncle selengo nmekupata na jamaa hhuyu hahahahahahaaha fire
@neemachendwa68273 жыл бұрын
Hongera sana kaka beni unafanya vizuri sana kwenye huba
@nassorhaji26373 жыл бұрын
Maashaallah very nice broo Allah SW akupe umri mfef
@geofreynjanga67943 жыл бұрын
Sio mfef ni mrefu shekhe 🤣🤣🤣🤣😂😂
@rashidisereman69743 жыл бұрын
Mashallha Kaka Ben ongera Sana! Napenda Sana! Unavyo fanya kazizako!
@simondelefa8803 жыл бұрын
Nakuelewa sana ktk kaz zako Mwamba .pamban kaka
@alayoboyboy68463 жыл бұрын
wee dem nakupendaga sana unasauti ya kibabe safi sana
@zenadaudzena28493 жыл бұрын
Tom boy huyo
@aminasaid76573 жыл бұрын
Mashaallah Jina zuri
@shabanially47943 жыл бұрын
Kwani msipoweka picha ya gorofa hatuangalii?
@asiaas66173 жыл бұрын
🤣🤣🤣labda walidhani hatutaangalia
@mekeyamusa35233 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mamalaozphilemon.88003 жыл бұрын
🤣🤣🤣 hawa wanapenda sana kuzigua .
@aidankakulu3983 жыл бұрын
Ni upuuzi wao tu huo jamaa yangu
@ibnnjoka76493 жыл бұрын
🤣
@farijimartin70313 жыл бұрын
Nakusubili sana pamoja sana💗💗💗
@munatwalib28083 жыл бұрын
Mashaaallah mashaallah jina zuri
@suleimansalim87443 жыл бұрын
beni nakukubalii mchapaa kazii , lkn siku hizii ckuonii ktk movie, tupe vitu, napenda huna tafrani ya mitandao
@anitanahimana21153 жыл бұрын
Hongera san. Karosi kumbe ina watoto wawili hkeri😘
@OmanOman-ep7bw3 жыл бұрын
MaashaAllah kumbe wa kwetuu
@oredinondo78763 жыл бұрын
Ben next time heshimu interview, simu weka silence.
@dickaugustino22143 жыл бұрын
Hongera sn, serengo! Ila mling'ara Sana kpnd Cha kanumba.ukweli ndo huo, ingawa nyie wote mnapendwa na cc mashabiki mbaka leo
@salumallynannume67243 жыл бұрын
Abdulhaliim, uko njema 😄😄. Naikumbuka movie yenu "jumba la maajabu".
@sautinassor21023 жыл бұрын
Masha allah kumbe muislam
@nancymark6983 жыл бұрын
Daaah nampenda Sana huyu jamaa 😅😅😅
@makulaikuku69093 жыл бұрын
Heeee abduli ahmad masha Allah me najua naitwa benjamini
@fesalchambuso80233 жыл бұрын
Umeonaee eeeh 🤣
@naimaislam5523 жыл бұрын
Mi pia Ben ndio nimezoea yaaani
@heyumi23403 жыл бұрын
😁😁😁😁
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@Fatherjaytz ndio ttz kuwa sio muslam mtihan
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
@Fatherjaytz nimecheka,sema swali zuri hilo
@felistermilanzi51673 жыл бұрын
Kumbe mmakua mwenzangu
@elishasamson773 жыл бұрын
Hongera selengo kwa kukomba mboga na jenipha
@bukheribukheri7983 жыл бұрын
Ben Ben huyu jamaa anaweza sana
@neemazee18643 жыл бұрын
Mbego TV mimi naji Ansubscribe mana mmezidi uongo, iyo nyumba sasa iko wapi apo
@HafidhOmar-rs4ty5 ай бұрын
Hyu jmaa mm namfaham kma beni masanduku yaani kma unatka ucheke ,unatka kujifunza zarau, jeuri ,utemi hpa umefka
@JumaIddi-o6f5 ай бұрын
Mm nkajua jina lake Ben
@bahlaoman64673 жыл бұрын
Una jina la Kaka angu Mashaallh
@davidoscooper2372 жыл бұрын
Kanumba kaondka na bongo movie hat mkikataa
@charlesndallo5153 жыл бұрын
What can I say is that, I appreciate you more
@omarbosiomar86083 жыл бұрын
Mziwanda njoo tufanye maisha
@peteveprosper71863 жыл бұрын
Jamaa hana shidaa na hicho ki interview mna mdharirisha maisha magum sana
@saumuabdi18023 жыл бұрын
Mashaallah Abdul
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Kwan aitwa abdul😀mashallah jina zur nalijua leo
@saumuabdi18023 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 mimwenyewe sijawahi juwa kama Muslim wallah nimefurahi
@rehemasalim45903 жыл бұрын
@@saumuabdi1802 tupo wengi
@rajabuwazir69483 жыл бұрын
Nakukubali sana ktk jambo lako Allah akuhifadhi na familia yako
@victorkivuyo61263 жыл бұрын
AISE UMRI UMEAONGA SI JUZI TU ULIKUWA CHALII , MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@habau_jr17553 жыл бұрын
Mashaallah
@ladymuna49453 жыл бұрын
Mm namjua kama Carlos 😂😂😂
@matovuasuman91483 жыл бұрын
#Huba
@sarahmwaluko24803 жыл бұрын
Manshallah napendaga uigizaji wako mkorofimkorofi
@davidelias67303 жыл бұрын
Siwafichi nilikuja kuangalia mjumba kilichonikuta naanza kukumbuka tu uncle selengo bongo jaman mnajua kula mb zetu🤣🤣🤣🤣
@zenadaudzena28493 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hamissusinga41643 жыл бұрын
Ben branco nakubali mwamba
@elizabethverael17094 ай бұрын
😂😂😂😂😂 huo mjengo mzr ndo umewapiga picha au
@nicolaschan37853 жыл бұрын
Mwanangu Anko Selengoooo 🤣🤣🔥🔥
@nzitogondwe99763 жыл бұрын
Ben mashaAllah Ila wew Dada unaitajika kuolewa badilika umekua sasa uwe mama wa family
@emmanueljoseph25763 жыл бұрын
Muoe wewe
@annajoseph99553 жыл бұрын
Kwani wanaokua wote wameolewa
@galary86883 жыл бұрын
😂🤣😅
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Mimi naumwa tumbo siwezi Cheka Sana😂😂😂
@nilansaid29273 жыл бұрын
Ivi unaanzaje kumpangia mtu usie na mchango wowote kwenye maisha yake namna ya kuishi? Mna moyo
@halimabianga24663 жыл бұрын
Ukovizur san
@hindisaid24133 жыл бұрын
Kumbe mjukuu wa Rajab hatia ambae alikua msanii pia redio Tanzania enzi hizo... Nilitegemea na lile jumba na mgari kwenye kava ni halisia
@happynkya97702 ай бұрын
Mpaka home ya zamaradi tv ishawapiga bao, maana anaenda mpaoa vyumban mpka jikon seblen kila mahali tunaona sasa nyie jaman
@sumisumi81813 жыл бұрын
Mnano mwaka 2000 kaigiza kwenye " MAISHA" pamoja na Dr cheni , shwebe,muongo Mchugu,lina ,max,doki etc ..kitambo mno from North Dakota USA
@rukiasadiki99923 жыл бұрын
Typing bhana😜
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Mwaka uo mm nko tumboni hhhh
@petermaro98523 жыл бұрын
Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.
@Henryphd3553 жыл бұрын
Namkubaliiii saaana
@mamumariam75823 жыл бұрын
Nakubali kazi yako
@duniawadunia48243 жыл бұрын
Masha"Allah Masha"Allah zamwizi ni 40 kingwendu hahaha kali sana
@saudambinga38323 жыл бұрын
Serengo Yuko vzr Sana🇴🇲
@Stanbul.Y3 жыл бұрын
Weee dem jirekebishe maisha hayendi hivyo
@DonMooSTUDIO_Express3 жыл бұрын
Maajabu ya leo ni baada ya kumjua kama Ben ni Abdull maana nilijua ni Benedictor
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Tupo wengi😂
@shuusalumu86183 жыл бұрын
Benedictor ni jude kwenye hubba
@OmanOman-ep7bw3 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 mm pia nilijua jina lake alisi
@vailetadam33663 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kamikazisalma52093 жыл бұрын
Manshallah
@fatmazullu49333 жыл бұрын
@Kamikazi Salma unakosea kuandika hapo hakuna N yaani sio manshallah bali ni Masha Allah au Mashallah!
@fatmabhai28123 жыл бұрын
Wee selengo kitanda kimvulugika.😀😀😀😀😀
@hamzaathumani74753 жыл бұрын
Nakuelewa sanna ben blanco
@ayshaaysha21653 жыл бұрын
Mashaallah uko vzr
@niokoemahenge43123 жыл бұрын
Majibu mazuri sana serengo kanumba ludi duniani muone serengo wako huku anatia huruma anakukumbuka kanumba
@salmawangu25893 жыл бұрын
Wakusini hatuna kuiga maisha hapo tu tunajikubali bhn ... mashallah kaka Abdul
@gracenapella40633 жыл бұрын
Kabisaaa 🤣
@sottithomas94433 жыл бұрын
Sema hapo kwa kanumba angekubali tu kuwa jamaa alimpa jina na kumfanya ajulikane.
@hilalyhashim21943 жыл бұрын
Wameanza pamoja hao tokea wapo kaole walikua wanaigiza wote itv
@sottithomas94433 жыл бұрын
@@hilalyhashim2194 ni kweli ila kuanza pamoja siyo sababu maana hata shuleni kuna wanafunzi waliweza kuwaelekeza wenzao waliopo darasa moja. Licha ya kuanza pamoja lakn kanumba alimtambulisha Ben kwenye game
@iranangole70073 жыл бұрын
Ben kumbe mmakuwa mwenzangu
@zainabmaulidi98463 жыл бұрын
Abduli Ahmad Saalim MashaAllah
@hamadimwechiwa98353 жыл бұрын
Kumwambia mama wawatu rasta kama pweza ilieparalaizi ache
@ramabwagizo39743 жыл бұрын
Kiukweli hiyo picha ya gorofa na gar ndo ilonivutia niangalie
@atanasjisonge25383 жыл бұрын
Nakukubali sanaa mzee
@aminathaabubakarmasoud5653 жыл бұрын
Uncle Ben 😘😘😘
@ramsybreezy98613 жыл бұрын
Kali sanaa hii
@reginapeter55463 жыл бұрын
Hongera brother
@ucjvvjcjjvih99343 жыл бұрын
Beni mlizi na akina sophia nakumbuka big up bro nakukubali🤲🔥