Mpaka Home MAISHA HALISI YA MWIGIZAJI ANKO BENI SELENGO

  Рет қаралды 508,911

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 351
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
Tulojua leo serengo Ben jina lake halis abdul tujuane😂😂🕺
@allyjumaallyjuma692
@allyjumaallyjuma692 3 жыл бұрын
Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy
@dullamuso6955
@dullamuso6955 3 жыл бұрын
Namkubali Sana Serengo, nikimuona naona Sura ya Kanumba. Mungu akutunze Serengo
@giftgodson5603
@giftgodson5603 3 жыл бұрын
Kasema anaitwa selengo hiyo serengo umeitoa wapi?
@fatumahassan1371
@fatumahassan1371 3 жыл бұрын
@@giftgodson5603 🤣🤣🤣🤣 namshangaa
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 3 жыл бұрын
Ww kaka mtundu sn hua nikiangaliaga muvizako nachekaga sn daaah!!! Mungu akulinde pena sn
@mimij7868
@mimij7868 3 жыл бұрын
Yani kiukweli huyu mshkaji yupo vzr kiukomedi ,,,
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 3 жыл бұрын
@@mimij7868 sanaaaa tena sn
@alexkalonga3632
@alexkalonga3632 3 жыл бұрын
Ila Mbengo TV mnazingua sana mnakuwa kama Matapeli hivi, picha na mlotuwekea ni tofauti video tunayoiona!!! Nyie ni Matapeli tu wa MB za watu!!
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Na pia nashangaa nasubir kuon kijumba kizur kumbe 😎
@abdallahissa8323
@abdallahissa8323 3 жыл бұрын
Mi kwa sababu hiyo naji unsubscribe
@fisjaykitamuliko1183
@fisjaykitamuliko1183 3 жыл бұрын
@@abdallahissa8323 🤣🤣 ila kiukweli wamezinguwa
@wambuakasimu2431
@wambuakasimu2431 3 жыл бұрын
Watching from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 wanazingua kweli
@fatumahassan1371
@fatumahassan1371 3 жыл бұрын
Umeonaeee 😂😂
@esthernyambura625
@esthernyambura625 3 жыл бұрын
🙋🙋🙋👍💖💕💖💕💖👌💖hongera sana kwa movie unazo igiza kaka mkizungumzia kanumba wakati wote naishiwa nguvu alikua msani wa kufurahisha sana ila basi tu
@khamissalum9285
@khamissalum9285 3 жыл бұрын
Duuu mimi nilizani mkiristo kumbe musilamu allah akuweke
@saidkulwa8807
@saidkulwa8807 3 жыл бұрын
Daaah umeni kumbusha mbali sana aiseee.weee sister endelea na moyo huo huo wa kuwa kumbuka wakongwe wa Filamu pamoja na muziki
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 3 жыл бұрын
SERENGO, KADOKOA NYAMA🤣🤣🤣UPANDE WANGU NAKUKUBARI❤️.
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 жыл бұрын
Mashaallah Abduli mungu akulinde🙏🙏
@chazwilliam8882
@chazwilliam8882 3 жыл бұрын
Salengo ktk Interview ametulia kweli unaweza sema si yeye dah bigap sana brother nazikubali kazi zako
@estheronyoro1452
@estheronyoro1452 3 жыл бұрын
Mungu akulinde na family yako insha'Allah 🙏❤️
@TeamKRX
@TeamKRX 3 жыл бұрын
Jamani kumbe muislamu minnilizani mkiristo mashalah
@dcgcnyanza8877
@dcgcnyanza8877 3 жыл бұрын
Namkubali sana Ben blanco a,ka serengo
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Huyu muislam Babu yake mzee bwagu kigogo alikuwa anakaa zamani
@hassanmnimbo457
@hassanmnimbo457 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
Mie pia nimejua leo🕺😂😀
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 3 жыл бұрын
Nampenda sana uyu kaka ana show show of kbs katulia sn
@missmwayway4704
@missmwayway4704 3 жыл бұрын
Jamaniii kumbe ni mmakua mwenzangu Daaaahhh karibu kwetu Masasi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@none9575
@none9575 3 жыл бұрын
Hata mm mmakua lakin cjui pia yaongewaje hyo lugha hhhh
@missmwayway4704
@missmwayway4704 3 жыл бұрын
@@none9575 ooohh hujakaa kwetu Masasi ee
@nyotawauniquem7462
@nyotawauniquem7462 3 жыл бұрын
Mwenyewe ndio nimejua leo, kumbe mmakua mwenzangu
@josephmonteiro5677
@josephmonteiro5677 Жыл бұрын
Yes nimependa kutoka🇲🇿🇲🇿
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 жыл бұрын
Kumbe ww ni muislam miye nikajuwa mkristo masha allah😘😘😘😘😘🥰😘
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 3 жыл бұрын
Mnapendaga udini nyie
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 жыл бұрын
@@joycenicodemus.2232 hapana sijamaanisha ivo my miye nikajuwaga hilo ben ndiyo jina lake asaa napiya move zake nyingi yu nakakti ni mkrsto
@godblessjrtz.8652
@godblessjrtz.8652 3 жыл бұрын
@@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 3 жыл бұрын
@@salhamrisho8138 haya pouwa my.
@davidsika5292
@davidsika5292 3 жыл бұрын
@@joycenicodemus.2232 kweli kabisa udin umetawala kwa hawa watu
@dianahasagi1022
@dianahasagi1022 2 жыл бұрын
I love his character he plays all the way from 🇰🇪
@ashuraissak8561
@ashuraissak8561 3 жыл бұрын
Yani serengo unanikumbusa enzi zako na kanumba mliendana sana kama ndugu wa damu allah azidi kukuongoza inshaallah
@mariachuri7123
@mariachuri7123 3 жыл бұрын
😅 Serengo upo serious jmn kwenye interview,hata kucheka..hahaaa! Tofauti na ukiwa kwenye movie..big up then
@koletakilasa5988
@koletakilasa5988 3 жыл бұрын
Hongera sana aaaa
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 3 жыл бұрын
hi serengo boy much love from congo zaire
@godfreyraymond4464
@godfreyraymond4464 3 жыл бұрын
Namkubali sana Ben sikujua kama mmakua mwenzangu Jamaa
@aminaabdallah9117
@aminaabdallah9117 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee
@deewyzeeofficial3512
@deewyzeeofficial3512 3 жыл бұрын
NAMFAHAM KAMA SERENGO AU BLANCO 🔥🔥🔥🔥 NAKUKUBALI BROOO BIG UP SANA
@mayiahnoah2157
@mayiahnoah2157 3 жыл бұрын
Selenko God bless U wewe... Unanikumbusha kanumba walai....
@idrissamuhamedi3289
@idrissamuhamedi3289 2 жыл бұрын
Ank ben unajua sana wadau w kaskazn wmekumis sn broka 2nataka kz deile hongera sn
@hawwahawwa8533
@hawwahawwa8533 3 жыл бұрын
MashaAllah mi najua unaitwa Ben tu 😱
@SengekaSilvester
@SengekaSilvester 2 ай бұрын
Mungu akulinde serengo
@GahSjj-sj6ok
@GahSjj-sj6ok Жыл бұрын
Da brather nilifikili unaubili kanisani kumbe nishee mashalaah
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 жыл бұрын
Hungera sana serengo Abudul hamdi. Allaha. Akuhifadhi
@seifmohamedseif9467
@seifmohamedseif9467 3 жыл бұрын
Dah sikua na faham jamaa km ni muislam mashallah
@husseinjumaikunji622
@husseinjumaikunji622 3 жыл бұрын
Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi
@manyerereboniphace7989
@manyerereboniphace7989 3 жыл бұрын
Kwahio umeonyesha gari ziri nyumba kali alafu mnaonyesha vitu vingine uboya tu
@abdallaabedi2354
@abdallaabedi2354 2 жыл бұрын
Kwamm binafsi namjua kama vumbi vumbindu ile ya matron asee mlitisha Sana baast apunzishwe pema peponi Mzee wetu majuto.
@emmy85sweetie99
@emmy85sweetie99 3 жыл бұрын
Maashalah Abdul jina zuriiii sana unatakiwa ulitendee Haki
@faithwemamusic5266
@faithwemamusic5266 2 жыл бұрын
Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu
@NiderTV
@NiderTV 3 жыл бұрын
auncle selengo nmekupata na jamaa hhuyu hahahahahahaaha fire
@neemachendwa6827
@neemachendwa6827 3 жыл бұрын
Hongera sana kaka beni unafanya vizuri sana kwenye huba
@nassorhaji2637
@nassorhaji2637 3 жыл бұрын
Maashaallah very nice broo Allah SW akupe umri mfef
@geofreynjanga6794
@geofreynjanga6794 3 жыл бұрын
Sio mfef ni mrefu shekhe 🤣🤣🤣🤣😂😂
@rashidisereman6974
@rashidisereman6974 3 жыл бұрын
Mashallha Kaka Ben ongera Sana! Napenda Sana! Unavyo fanya kazizako!
@simondelefa880
@simondelefa880 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana ktk kaz zako Mwamba .pamban kaka
@alayoboyboy6846
@alayoboyboy6846 3 жыл бұрын
wee dem nakupendaga sana unasauti ya kibabe safi sana
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 3 жыл бұрын
Tom boy huyo
@aminasaid7657
@aminasaid7657 3 жыл бұрын
Mashaallah Jina zuri
@shabanially4794
@shabanially4794 3 жыл бұрын
Kwani msipoweka picha ya gorofa hatuangalii?
@asiaas6617
@asiaas6617 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣labda walidhani hatutaangalia
@mekeyamusa3523
@mekeyamusa3523 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mamalaozphilemon.8800
@mamalaozphilemon.8800 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 hawa wanapenda sana kuzigua .
@aidankakulu398
@aidankakulu398 3 жыл бұрын
Ni upuuzi wao tu huo jamaa yangu
@ibnnjoka7649
@ibnnjoka7649 3 жыл бұрын
🤣
@farijimartin7031
@farijimartin7031 3 жыл бұрын
Nakusubili sana pamoja sana💗💗💗
@munatwalib2808
@munatwalib2808 3 жыл бұрын
Mashaaallah mashaallah jina zuri
@suleimansalim8744
@suleimansalim8744 3 жыл бұрын
beni nakukubalii mchapaa kazii , lkn siku hizii ckuonii ktk movie, tupe vitu, napenda huna tafrani ya mitandao
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 жыл бұрын
Hongera san. Karosi kumbe ina watoto wawili hkeri😘
@OmanOman-ep7bw
@OmanOman-ep7bw 3 жыл бұрын
MaashaAllah kumbe wa kwetuu
@oredinondo7876
@oredinondo7876 3 жыл бұрын
Ben next time heshimu interview, simu weka silence.
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 3 жыл бұрын
Hongera sn, serengo! Ila mling'ara Sana kpnd Cha kanumba.ukweli ndo huo, ingawa nyie wote mnapendwa na cc mashabiki mbaka leo
@salumallynannume6724
@salumallynannume6724 3 жыл бұрын
Abdulhaliim, uko njema 😄😄. Naikumbuka movie yenu "jumba la maajabu".
@sautinassor2102
@sautinassor2102 3 жыл бұрын
Masha allah kumbe muislam
@nancymark698
@nancymark698 3 жыл бұрын
Daaah nampenda Sana huyu jamaa 😅😅😅
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 жыл бұрын
Heeee abduli ahmad masha Allah me najua naitwa benjamini
@fesalchambuso8023
@fesalchambuso8023 3 жыл бұрын
Umeonaee eeeh 🤣
@naimaislam552
@naimaislam552 3 жыл бұрын
Mi pia Ben ndio nimezoea yaaani
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 3 жыл бұрын
@Fatherjaytz ndio ttz kuwa sio muslam mtihan
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
@Fatherjaytz nimecheka,sema swali zuri hilo
@felistermilanzi5167
@felistermilanzi5167 3 жыл бұрын
Kumbe mmakua mwenzangu
@elishasamson77
@elishasamson77 3 жыл бұрын
Hongera selengo kwa kukomba mboga na jenipha
@bukheribukheri798
@bukheribukheri798 3 жыл бұрын
Ben Ben huyu jamaa anaweza sana
@neemazee1864
@neemazee1864 3 жыл бұрын
Mbego TV mimi naji Ansubscribe mana mmezidi uongo, iyo nyumba sasa iko wapi apo
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 5 ай бұрын
Hyu jmaa mm namfaham kma beni masanduku yaani kma unatka ucheke ,unatka kujifunza zarau, jeuri ,utemi hpa umefka
@JumaIddi-o6f
@JumaIddi-o6f 5 ай бұрын
Mm nkajua jina lake Ben
@bahlaoman6467
@bahlaoman6467 3 жыл бұрын
Una jina la Kaka angu Mashaallh
@davidoscooper237
@davidoscooper237 2 жыл бұрын
Kanumba kaondka na bongo movie hat mkikataa
@charlesndallo515
@charlesndallo515 3 жыл бұрын
What can I say is that, I appreciate you more
@omarbosiomar8608
@omarbosiomar8608 3 жыл бұрын
Mziwanda njoo tufanye maisha
@peteveprosper7186
@peteveprosper7186 3 жыл бұрын
Jamaa hana shidaa na hicho ki interview mna mdharirisha maisha magum sana
@saumuabdi1802
@saumuabdi1802 3 жыл бұрын
Mashaallah Abdul
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
Kwan aitwa abdul😀mashallah jina zur nalijua leo
@saumuabdi1802
@saumuabdi1802 3 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 mimwenyewe sijawahi juwa kama Muslim wallah nimefurahi
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
@@saumuabdi1802 tupo wengi
@rajabuwazir6948
@rajabuwazir6948 3 жыл бұрын
Nakukubali sana ktk jambo lako Allah akuhifadhi na familia yako
@victorkivuyo6126
@victorkivuyo6126 3 жыл бұрын
AISE UMRI UMEAONGA SI JUZI TU ULIKUWA CHALII , MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@habau_jr1755
@habau_jr1755 3 жыл бұрын
Mashaallah
@ladymuna4945
@ladymuna4945 3 жыл бұрын
Mm namjua kama Carlos 😂😂😂
@matovuasuman9148
@matovuasuman9148 3 жыл бұрын
#Huba
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 3 жыл бұрын
Manshallah napendaga uigizaji wako mkorofimkorofi
@davidelias6730
@davidelias6730 3 жыл бұрын
Siwafichi nilikuja kuangalia mjumba kilichonikuta naanza kukumbuka tu uncle selengo bongo jaman mnajua kula mb zetu🤣🤣🤣🤣
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hamissusinga4164
@hamissusinga4164 3 жыл бұрын
Ben branco nakubali mwamba
@elizabethverael1709
@elizabethverael1709 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 huo mjengo mzr ndo umewapiga picha au
@nicolaschan3785
@nicolaschan3785 3 жыл бұрын
Mwanangu Anko Selengoooo 🤣🤣🔥🔥
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 3 жыл бұрын
Ben mashaAllah Ila wew Dada unaitajika kuolewa badilika umekua sasa uwe mama wa family
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 3 жыл бұрын
Muoe wewe
@annajoseph9955
@annajoseph9955 3 жыл бұрын
Kwani wanaokua wote wameolewa
@galary8688
@galary8688 3 жыл бұрын
😂🤣😅
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Mimi naumwa tumbo siwezi Cheka Sana😂😂😂
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 жыл бұрын
Ivi unaanzaje kumpangia mtu usie na mchango wowote kwenye maisha yake namna ya kuishi? Mna moyo
@halimabianga2466
@halimabianga2466 3 жыл бұрын
Ukovizur san
@hindisaid2413
@hindisaid2413 3 жыл бұрын
Kumbe mjukuu wa Rajab hatia ambae alikua msanii pia redio Tanzania enzi hizo... Nilitegemea na lile jumba na mgari kwenye kava ni halisia
@happynkya9770
@happynkya9770 2 ай бұрын
Mpaka home ya zamaradi tv ishawapiga bao, maana anaenda mpaoa vyumban mpka jikon seblen kila mahali tunaona sasa nyie jaman
@sumisumi8181
@sumisumi8181 3 жыл бұрын
Mnano mwaka 2000 kaigiza kwenye " MAISHA" pamoja na Dr cheni , shwebe,muongo Mchugu,lina ,max,doki etc ..kitambo mno from North Dakota USA
@rukiasadiki9992
@rukiasadiki9992 3 жыл бұрын
Typing bhana😜
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 3 жыл бұрын
Mwaka uo mm nko tumboni hhhh
@petermaro9852
@petermaro9852 3 жыл бұрын
Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.
@Henryphd355
@Henryphd355 3 жыл бұрын
Namkubaliiii saaana
@mamumariam7582
@mamumariam7582 3 жыл бұрын
Nakubali kazi yako
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 3 жыл бұрын
Masha"Allah Masha"Allah zamwizi ni 40 kingwendu hahaha kali sana
@saudambinga3832
@saudambinga3832 3 жыл бұрын
Serengo Yuko vzr Sana🇴🇲
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 3 жыл бұрын
Weee dem jirekebishe maisha hayendi hivyo
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 3 жыл бұрын
Maajabu ya leo ni baada ya kumjua kama Ben ni Abdull maana nilijua ni Benedictor
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
Tupo wengi😂
@shuusalumu8618
@shuusalumu8618 3 жыл бұрын
Benedictor ni jude kwenye hubba
@OmanOman-ep7bw
@OmanOman-ep7bw 3 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 mm pia nilijua jina lake alisi
@vailetadam3366
@vailetadam3366 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 3 жыл бұрын
Manshallah
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 3 жыл бұрын
@Kamikazi Salma unakosea kuandika hapo hakuna N yaani sio manshallah bali ni Masha Allah au Mashallah!
@fatmabhai2812
@fatmabhai2812 3 жыл бұрын
Wee selengo kitanda kimvulugika.😀😀😀😀😀
@hamzaathumani7475
@hamzaathumani7475 3 жыл бұрын
Nakuelewa sanna ben blanco
@ayshaaysha2165
@ayshaaysha2165 3 жыл бұрын
Mashaallah uko vzr
@niokoemahenge4312
@niokoemahenge4312 3 жыл бұрын
Majibu mazuri sana serengo kanumba ludi duniani muone serengo wako huku anatia huruma anakukumbuka kanumba
@salmawangu2589
@salmawangu2589 3 жыл бұрын
Wakusini hatuna kuiga maisha hapo tu tunajikubali bhn ... mashallah kaka Abdul
@gracenapella4063
@gracenapella4063 3 жыл бұрын
Kabisaaa 🤣
@sottithomas9443
@sottithomas9443 3 жыл бұрын
Sema hapo kwa kanumba angekubali tu kuwa jamaa alimpa jina na kumfanya ajulikane.
@hilalyhashim2194
@hilalyhashim2194 3 жыл бұрын
Wameanza pamoja hao tokea wapo kaole walikua wanaigiza wote itv
@sottithomas9443
@sottithomas9443 3 жыл бұрын
@@hilalyhashim2194 ni kweli ila kuanza pamoja siyo sababu maana hata shuleni kuna wanafunzi waliweza kuwaelekeza wenzao waliopo darasa moja. Licha ya kuanza pamoja lakn kanumba alimtambulisha Ben kwenye game
@iranangole7007
@iranangole7007 3 жыл бұрын
Ben kumbe mmakuwa mwenzangu
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 3 жыл бұрын
Abduli Ahmad Saalim MashaAllah
@hamadimwechiwa9835
@hamadimwechiwa9835 3 жыл бұрын
Kumwambia mama wawatu rasta kama pweza ilieparalaizi ache
@ramabwagizo3974
@ramabwagizo3974 3 жыл бұрын
Kiukweli hiyo picha ya gorofa na gar ndo ilonivutia niangalie
@atanasjisonge2538
@atanasjisonge2538 3 жыл бұрын
Nakukubali sanaa mzee
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 3 жыл бұрын
Uncle Ben 😘😘😘
@ramsybreezy9861
@ramsybreezy9861 3 жыл бұрын
Kali sanaa hii
@reginapeter5546
@reginapeter5546 3 жыл бұрын
Hongera brother
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 3 жыл бұрын
Beni mlizi na akina sophia nakumbuka big up bro nakukubali🤲🔥
@666richking3
@666richking3 3 жыл бұрын
Mtalaam huyo sana anajua mpaka anaudhi
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 22 МЛН
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
MPAKA HOME: Uwoya kusindikizwa  na  wasanii wa Bongo Muvi Kwenda Rwanda
36:35
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI MTANGA UTAPENDA
16:30
Mbengo Tv
Рет қаралды 239 М.
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 22 МЛН