Beka umeokota dodo chini ya mpera,unamwanamke mzur na mwenye akili sana mashallah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@khadijasaleh8987 күн бұрын
Beka una mwanamke mzuri sana hongera💕
@miniee_134Күн бұрын
Ila ndo amuoe sasa
@ukhutfatumah11544 күн бұрын
Allah akuvushe salama happy wangu najua hapo unayopitia katika hali hii
@hellenalex95417 күн бұрын
My favorite couple 🥰
@MuniraShughuli-kc7vj6 күн бұрын
Kuzini tu tu muogopeni Mungu jamani na moto wakw😭
@user-pu6pr5jt4n6 күн бұрын
Muoe tu mtoto happy karembooooo❤❤❤❤❤
@elizabethbigilwa68224 күн бұрын
Wewe bi. Dada Mungu mmoja mtangazi Acha mambo yako
@rajah93286 күн бұрын
Ukwel vile mnavyopendna watu wengi wanapenda couple yenu 100%. Beka wacha bangi zako Ndoa muhimu sana Dini zote
@GladnessSamson-xk2ii2 күн бұрын
Hii couple naipenda mnooo❤
@Rachel-94tz6 күн бұрын
Happy,usimwache Mungu kwaajil ya kituzbali acha kitu kwaajil ya Mungu,IMAN NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU,SHIKILIA IMAN AKO,,maan hata mbinguni hutoenda na mmeo,Bali nafsi Ako na IMAN AKO ndo itakuponya
@nahlahassan-fd6le5 күн бұрын
Weww uislam ndio dini ya haki izo dini nyengine zoote haramuu
@Rachel-94tz5 күн бұрын
@@nahlahassan-fd6le Masha Allah,,ko ukiwa muislam tu pepo yako!??
@Mtoto-ig5vw4 күн бұрын
@@nahlahassan-fd6le😂😂😂
@user-pu6pr5jt4n6 күн бұрын
Mhm hapo mtihani.wakaka oeni wadada wa dini yenu .mpate kumjua mungu.wakristo ni wakristo,na waislam waislam.sasa mnachnganya dini afu kumbqdilshq mtu dini ataka mafunzo hasa apate kuingia miguu yte.sasa beka dini ya kislaqm imekukalia kushoto utaweza kumfundsha kweli happy.na happy kanaelekea kana khofu ya mungu.
@DM.22006 күн бұрын
Umeongea kweli aisee au wafungr ya bomani ili kuondoa utata kila mtu kwake ila shida tena itakuja kwa watoto😢
@miniee_134Күн бұрын
Kweli kabisaa 💯💯💯happy ataishia kupenda zaidi dini yake ya kikristo kwasababu beka mwenyewe dini ya kiislamu kashasema hapendi vitu hivyo,, Astaghfirullah, Allah awafungulie wote wawili mioyo Yao na waikubali na kuuipenda dini ya kiislamu.
@rukiaiddyyahaya95065 күн бұрын
Beka unazingua😢😢😢 sana mwanamke amejitoa kwa lolote lakini unapuuzia
@Mtoto-ig5vw4 күн бұрын
Waowane kiislam alaf after apo kila mtu abaki kwenye dini yake basi 😊
@shakila39823 күн бұрын
Atakuwa ameenda kinyume, Mwenyezi Mungu hafanyiwi njaja
@KassimAlly-xp4dzКүн бұрын
Allah hachezewi
@user-wu8qe4fv4j6 күн бұрын
Nawapenda
@Kabwela7766 күн бұрын
Mkuu kuwa na akiba ya maneno hawajui wewe wanawake wa kitanzania wanawake wengi wanyenyekevu sana wakati wa uchumba ila ukimuowa wengi uwa wanabadilika kabisa
@Mimy_keys5 күн бұрын
Eti Nimebadilisha Dini Ila bado nna ka Ulokoke mana sijawahi kwenda maskini 🥹 Kama Pete imechukua myaka 10 Ndoa jee!!! Mpaka aniowe lililililiiiiiii 😂😂😂😅😅😅
@mohammadoman89636 күн бұрын
Huyo mwanamke hafai inamaana mama yake ni adui wa dini yetu ya kislaam kwa mie akae na mwanaye tu huyo mtoto wake
@Shuu.A6 күн бұрын
Huyu mwanamme kwani unamuona mzima hana lolote
@clustermqsir98406 күн бұрын
Wewe ndio adui wa hiyo dini
@user-ih6ng6sf6o3 күн бұрын
❤❤❤
@MwanaidiSephu7 күн бұрын
Nice😊
@jacquelinekennedy57406 күн бұрын
Presenter wakike try to be proffesional in just a good way .. kuna vitu unaongea they don’t have to be said there kama hapo kweny kubadili dini
@user-hi8le2vb7z6 күн бұрын
DAKIKA YA 9 NDO UKATHIBITISHA KUWA UNACHOKIFANYA NI HARAMU😊
@user-pu6pr5jt4n6 күн бұрын
Ushungi na nguo mikono kaoshi😂 yan waz😢 Ila ushungi umekupendezaa
@Naju6456 күн бұрын
Mwanaume anaonekana mjanjamjanja huyu atamzalisha paka watoto5 naasimuoe uislam haina Pete hiyo Pete zuga tu
@AsdDsa-fi5qk6 күн бұрын
Bs ukiona ivo ata beka haswa Li
@Kabwela7766 күн бұрын
Naona huyu mwanamke anataka ndoa tu Na awe na uhakika na watoto wake watatunzwa Na apate mtelemko mjini ila huyu fala mwanaume inaonekana amependeza zaidi , mwanamke ni mrangi, mnyaturu, mwiraqw, mchaga au makabila ya tanga au mpare?
@PrincessHellen-pg1oy7 күн бұрын
😂 happy jamani hembu kua na msimamo kwenye dini unatuchanganya 😮
@ashamahadi52816 күн бұрын
Ss mtapambana upate ndoa mbona mnazaa watoto mama anaangalia tu kuwa na msimamo.
@HazinaElisha4 күн бұрын
Akitaka aache kuhama na limimba lakee hilo
@salwamohammed47877 күн бұрын
Subuhanna allha😢😢
@KassimAlly-xp4dzКүн бұрын
Mtihani mkubwa sn wa2 hawajielewi unazaa njee ya ndoa tena kwa makusudi
@Kabwela7766 күн бұрын
Huyo mwanamke ni kabila gani ?
@Kabwela7766 күн бұрын
Huyo mwanamke ni kabila gani ? Mwanamke anaweza kuliwa na wala usijue mkuu kuwa Na akiba ya maneno na mwanamke wa kitanzania kutaka kuolewa na wewe haimaanishi anakupenda mara ameona yuko mkono salama kiuchumi 😅
@khamisrubea50835 күн бұрын
Acha kutoa vipete nenda kwao katoe mahari tangaza ndoa usiri usiri na watoto ndo wanakuja ao
@subrynerysegerow13235 сағат бұрын
Mamako hapendi uislam lakin anapenda unavyozaa na kijana wa kiislamu bila kuolewa eeh 😂
@marthasonia50053 күн бұрын
👍👌
@sarastephano34093 күн бұрын
Huyu dada nampenda anamisimamo
@Rahima-kv6mn2 күн бұрын
Angekuwa na Msimamo angebeba mimba nyingine apo wote awajielewi wamekutana pipa na mfuniko 😏
@KassimAlly-xp4dzКүн бұрын
Msimamo gani alokuonesha ukavutiwa nao
@DM.22006 күн бұрын
Fungeni ndoa ya bomani kiishe kila mtu abaki na dini yake coz wanaweza funga ndoa kiislam na dada akabaki kwenda church itakua haina maana ya kubadilisha din
@salmahalfani63074 күн бұрын
Waislamu hatuna ndoa ya bomani ni uzinzi tu kama ni bomani ni Bora waendelee kazini hivyohivyo na uzinifu wao. Wasihadae walimwengu bure.
@khalsasalim79307 күн бұрын
Happy wala usijilaumu kuwa haujawahi kuenda mkitini wala kuswali uka jiona ww sio muislam kuna watu wamezaliwa waislam na hawapajui msikitini. Beka kama ulimbadilisha mtt wawatu dini inabidi umfundishe na umuelekeze
@lenniefei67106 күн бұрын
Kweli ila swala ndio nguzo ya Imani, na wala sio tu kuenda msikitini pekee
@mpalazotz77537 күн бұрын
Mtihan huo
@user-wu8qe4fv4j6 күн бұрын
Waiwane ila kilamtuue abakiye ku dini yake
@KassimAlly-xp4dzКүн бұрын
Yani huyu mwanamke hajielewi kabisa ukiona mwanamke au mwanaume anabadilisha dini kwasababu ya mapenzi bc ujue wana mapungufu ya akili wote wawili m2 habadilidhi dini kwasababu ya mapenzi anabadilisha kwasababu ya kuamini dini alokua sio sahihi na kuamua kwenda dini nyengine
@hanifaa14876 күн бұрын
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@najmasaid70573 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wanakuchefua
@RuwaidaBakar4 күн бұрын
Mundesley dini huyo dada uislam ndiyo dini yahaki
@Kabwela7766 күн бұрын
Wanawake hawana dini wanabadilisha dini kabisa
@alphredinaalphonce70435 күн бұрын
Imeandikwa wap ndugu
@ukhutfatumah11544 күн бұрын
Muone huyu fuvu lake ebu tuheshim kidg jamn 😢
@Kabwela7764 күн бұрын
@@ukhutfatumah1154 hamna dini nyie hamna misimamo kwenye maslahi kokote mnaolewa Na dini mnabadilisha sababu maisha yenu ni watu tegemezi sana bila uwepo wa sisi wanaume nyie si lolote kabisa !
@user-ot3te6mj7bКүн бұрын
Sio wanawake wote ni wale watamaa na wasio jielewa, kuna kijana mkiristo anataka kuniowa mm tena akasema atakubali kuwa Islam lakn mm bdo moyo wangu aujaridhia maan ajatambua muhimu wa dini yangu yy anajali mapenz... so usisime wanawake atuna dini ni hawo wasio jitambua na tamaa zao.
@Kabwela776Күн бұрын
@@user-ot3te6mj7b huyo ni mwanaume mbwege tena mwanaume akibadili dini kwa ajili ya mwanamke huyo sio mume wa kuowa mwanaume ni kichwa Na mwanamke ndio anafuata dini ya mwanaume kamwe siwezi kufanya upuuzi huo kubadili dini kwa ajili ya mwanamke kwanza mwanamke hawezi kukuheshimu ukibadili dini kwa ajili yake , upuuzi huo ni wanaume wapuuzi wasiojielewa ndio wanafanya
@Rose-ue2ho6 күн бұрын
Mwanamme anaweza kuowa mwanamke wa kikiristo si haram lakini mwanamke hawezi kuolewa na mkiristo.
@clustermqsir98406 күн бұрын
Hehehe...kwahyo mwanamke hana dini??? Haramu iwe haramu tu 😂😂😂😂
@masumbukojames51345 күн бұрын
Ubàguzi wa waziwazi
@ce-085 күн бұрын
Hajapenda huyo
@khamisrubea50835 күн бұрын
Si ubaguzi ila mwanamke atazidiwa nguvu na mwanamme ndo mana uislamu umekataza
@shakila39823 күн бұрын
Inakatazwa usitupotoshe, Qur'an inasema msiwaoe wanawake washirikina, Qur'an 2 :221 inasema, WALA MSIWAOE WANAWAKE WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MJAKAZI MUUMINI NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, WALA MSIWAOZE MABINTI ZENU KWA WANAUME WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MWANAUME MTUMWA NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, HAO WANAITIA KWENYE MOTO, NA .MWENYEZI MUNGU ANAITIA KWENYE PEPO,NA MAGAFIRA KWA IDHINI YAKE, NAE HUZIBAINISHA AYA ZAKE KWA WATU ILI MPATE KUKUMBUKA, Hiyo ni Qur'an bishana, inakataza pande zote mbili kwani atakushawishi umfate,