WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...

  Рет қаралды 195,839

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 409
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@africanuskimario1409
@africanuskimario1409 Жыл бұрын
Hongerababa
@EliudMahali-v9d
@EliudMahali-v9d 3 ай бұрын
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 Жыл бұрын
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Uyo bangi zinamzumbua
@fatmakiponda8170
@fatmakiponda8170 Жыл бұрын
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
@leonardkinanda3284
@leonardkinanda3284 Жыл бұрын
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
@salumntulo1589
@salumntulo1589 Жыл бұрын
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
@Hellen-i2y
@Hellen-i2y 7 ай бұрын
Tunakuheshimu na tunakupenda kwa kutumia taaluma yako kutetea watu.
@SimonMwita-k8s
@SimonMwita-k8s 6 ай бұрын
Huyu anasitahili kua kiongozi wa bunge atete wanainchi
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 Жыл бұрын
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
@gasperswai6963
@gasperswai6963 Жыл бұрын
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
@josephgitagano4533
@josephgitagano4533 Жыл бұрын
Excellent Advocate.
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Жыл бұрын
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 Жыл бұрын
Hongela Sana
@felixsamford4168
@felixsamford4168 Жыл бұрын
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
@JacklineAviannah
@JacklineAviannah Жыл бұрын
Wow so good 💪🏻💪🏻
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 6 ай бұрын
Hiki kichwa ni muhimu sana kuingia Bungeni kikitokea Jimbo lolote. Wanaokubali hili wekeni like hapa.
@MwajSibonja-t5o
@MwajSibonja-t5o 5 ай бұрын
kweli kabisaa
@noelkipera6581
@noelkipera6581 Жыл бұрын
Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka
@EleziaNzowa-el7gi
@EleziaNzowa-el7gi Жыл бұрын
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 Жыл бұрын
Yupo na kazi maalumu
@wanatangawaja6397
@wanatangawaja6397 Жыл бұрын
Mwenyezimungu akuzidishie
@bonifasimichael1320
@bonifasimichael1320 Жыл бұрын
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
@EmmanuelElias-b4b
@EmmanuelElias-b4b 5 ай бұрын
Asante sana kaka angu kwakusema ukweli na BIBULIA itakusimamia maana Haki zako zimeifaziwa na ao wasamee bule awajui walitendalo kazi Yao nikwenda kinyume na kazi zao Asante kaka kwa kuwapa ukweli na Mungu akubaliki.
@HarunaRashid-c5i
@HarunaRashid-c5i Жыл бұрын
Uko vizur sana hongera
@ABASSISELEMANI
@ABASSISELEMANI 4 ай бұрын
MUNGU akulinde akupe maisha marefuu🎉🎉
@_don777
@_don777 Жыл бұрын
Kama umeona Genius Gonga like
@enockmbise
@enockmbise 8 ай бұрын
Kweli wangu.
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz 6 ай бұрын
Hiki kichwa ni shida,alie nao mpaka alipwe stahiki zake,Vijana someni mpaka ukutane na kibao kinachosomeka no School ahead 🙌
@SalmanFarhad-j2h
@SalmanFarhad-j2h 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@godsson5954
@godsson5954 Жыл бұрын
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын
Brilliant discussion learned counsel.
@Wezeshwauweze
@Wezeshwauweze Жыл бұрын
Mungu akulinde peter
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw Жыл бұрын
Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.
@GalusChikawe
@GalusChikawe Жыл бұрын
I'm on ..
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 Жыл бұрын
Smart sana
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 3 ай бұрын
M/Mungu Atakusimamia kk Peter Madeleka,,kwa Kazi Nzr Unayofanya
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 6 ай бұрын
Ukijua sheria raha sana
@SephaniaMsigwa
@SephaniaMsigwa 6 ай бұрын
Kusoma rahaa jaman🎉🎉🎉🎉❤❤
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 Жыл бұрын
Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi
@samwelkessy9129
@samwelkessy9129 Жыл бұрын
Safi sana kaka
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 5 ай бұрын
You're a genius
@hassanjalikazi6754
@hassanjalikazi6754 4 ай бұрын
Kaka mungu akulinde sana utakua mtumkubwa sana kaka
@hamisinamulya8810
@hamisinamulya8810 Жыл бұрын
Bright man,mungu akubaliki
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 Жыл бұрын
Wana sheria bwana
@RehemaKiangi-nz9gt
@RehemaKiangi-nz9gt 4 ай бұрын
Hongera sana wakili msoni P MADELEKE
@ShabaniSudi-d1x
@ShabaniSudi-d1x Жыл бұрын
Brilliant man
@MelisaMerdad
@MelisaMerdad 4 ай бұрын
Mungu akutanguliye
@mgegebrand
@mgegebrand Жыл бұрын
Salute kwako Wakili
@musanzowa8988
@musanzowa8988 Жыл бұрын
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
@Kawamala91
@Kawamala91 5 ай бұрын
Luka 3:14 [14]Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.
@ChiefNgosyemo-l6i
@ChiefNgosyemo-l6i 5 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu madeleka
@abelclement8983
@abelclement8983 5 ай бұрын
Nakumbka sana tukiwa somewhere kama part time workers, msimamo wako naulewa SS, bravo🎉🎉🎉🎉🎉
@furaha7154
@furaha7154 Жыл бұрын
Ok sawa
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 Жыл бұрын
Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up
@godwineliya4686
@godwineliya4686 3 ай бұрын
Safi sana Wakiwa 10 kama Hawa Nnchi lazima ibadilike
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 Жыл бұрын
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
@DonardSalum
@DonardSalum 3 ай бұрын
Hatari
@budaganzagabulu1756
@budaganzagabulu1756 5 ай бұрын
Good 👍
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
Knowing the law is a part of protection.✌️
@simontamba2189
@simontamba2189 Жыл бұрын
Thats why they don't teach from childhood Coz they will not rule us
@MichaelMahizi-r2d
@MichaelMahizi-r2d 4 ай бұрын
Hongera tupambanie kaka
@Paulinawilliam-n8f
@Paulinawilliam-n8f 6 ай бұрын
Nami nimekupenda hii daah had raha ,, Mungu aendelee kukufunika wasikuone wewe ila wakutane na malaika wa zamu
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g 5 ай бұрын
Kweli jeshi la police sikuhizi yani nikama jehanamu safi sana kaka hiyo sio kazi lana
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g 5 ай бұрын
Hongela kaka mungu tubaliki mpaka nakizazi chako ubalikiwe unjuwa haki za binadamu sio Police wa siku hizi wanatumika vibaya maana imekuwa kalaha kupiga watu wao kuteka watu wao kuuwa watu wao . Kubaka wao yani imekuwa jeshi la police. Ni kama wayahudi jehanamu yani mpaka sasa hatuna imani napolic tena wamekuwa izraeli mtoa loho
@meckitilidatushabe
@meckitilidatushabe Жыл бұрын
Big up bro
@amswhlnd
@amswhlnd 5 ай бұрын
Madeleka Respect kwako kaka uko vzr sana
@SalumSeiph-rn6ho
@SalumSeiph-rn6ho 5 ай бұрын
Dah hatari sana...Mungu tusaidie tujue kusoma
@HamisSaid-uc5jm
@HamisSaid-uc5jm Жыл бұрын
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 3 ай бұрын
Safi saaana
@YusuphSadallah-um4sp
@YusuphSadallah-um4sp Жыл бұрын
Fact ✌️
@AbdallahKimolo
@AbdallahKimolo Жыл бұрын
Kama unajua ni raha sana hongera zako
@PtransJulius
@PtransJulius 5 ай бұрын
umetisha kanda ya ziwa.
@JuliusMtunguja
@JuliusMtunguja Жыл бұрын
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
@GodfreyErene
@GodfreyErene 5 ай бұрын
Mungu akutunze madeleka the man of God
@asalitamu5182
@asalitamu5182 Жыл бұрын
Safi
@alexurassa
@alexurassa Жыл бұрын
Nimekuelewa sana madeleka
@godsonkilua7738
@godsonkilua7738 Жыл бұрын
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwanangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu
@mohdsaid-f5u
@mohdsaid-f5u 6 ай бұрын
Hongera hon,peter madereka, ubhebhe nsukuma jaga kubhutongi nkoyi kunu tulitulwa duhu amarungu na benabho abhapoilisi baritubonela gete
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
😁😁 nimewapiga chini
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Жыл бұрын
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 Жыл бұрын
Madeleka mungu akulinde
@MsigwaTelly
@MsigwaTelly 5 ай бұрын
Uko sahihi
@Abdallahkinyogori-r4n
@Abdallahkinyogori-r4n 4 ай бұрын
Maisha ktk utetezi
@Abdallahkinyogori-r4n
@Abdallahkinyogori-r4n 4 ай бұрын
Utetezi ktk haki.kutoa hofu kudai haki
@elisaabraham-xr5zj
@elisaabraham-xr5zj Жыл бұрын
Hongera kaka
@askofkibwe6106
@askofkibwe6106 Жыл бұрын
Sheria ya kweli ni ya Mungu t
@YamunguJohn-w6b
@YamunguJohn-w6b Жыл бұрын
Nakukubali
@josekinyamagoa-sv4jh
@josekinyamagoa-sv4jh 4 ай бұрын
Br ungekua unawapa namba watu ili wakionewa mahakamani kuwatetea. Ila kama awajakosea.
@doreenkweka3869
@doreenkweka3869 4 ай бұрын
Nitasema -Ney
@damaka_
@damaka_ Жыл бұрын
education
@GodloveSwai-xt1sf
@GodloveSwai-xt1sf 5 ай бұрын
Naomba namba ya simu wakili peter Madeleka
@DausonShensherwa
@DausonShensherwa Жыл бұрын
Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki
@VictorLyombo
@VictorLyombo Ай бұрын
Naomba namba ya mheshimiwa wakili msomi madereka
@zawadjose5440
@zawadjose5440 Жыл бұрын
Ure so smart nakutafuta
@johngibson3089
@johngibson3089 Жыл бұрын
Asante Wakili
@zakayomasingoti9238
@zakayomasingoti9238 Жыл бұрын
This is fact
@saidiotham7508
@saidiotham7508 5 ай бұрын
mungu atakulupa kaka Peter madeleke
@officialsharifa
@officialsharifa 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AbdallahDotto-ik4ni
@AbdallahDotto-ik4ni Жыл бұрын
Yes BIG up madeleka
@DaudiKaguo
@DaudiKaguo Жыл бұрын
Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 6 ай бұрын
Hii ndiyo Africa Wanaojua wanasakamwa
@mulhayurary4034
@mulhayurary4034 Жыл бұрын
Allah atamsimamia
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 5 ай бұрын
Jamaa linajua😂
@mkoma49
@mkoma49 Жыл бұрын
nimependa apo kwenye neno la Mungu
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 6 ай бұрын
❤❤
@mynameisindicated
@mynameisindicated Жыл бұрын
Congrats
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Жыл бұрын
Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu
@askofkibwe6106
@askofkibwe6106 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@mohdchuma78
@mohdchuma78 5 ай бұрын
Mia mia
@HussenManengelo
@HussenManengelo Жыл бұрын
Kweli kabisa
@HajiMsuya-i2e
@HajiMsuya-i2e 5 ай бұрын
👍
@IhoyeGeorge-b9t
@IhoyeGeorge-b9t Жыл бұрын
Mmmh
@yudaaraphati9673
@yudaaraphati9673 Жыл бұрын
😅😅😅 nahapa ipoo😅😅 14:56
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН