EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA

  Рет қаралды 122,348

SAN TZ MEDIA

SAN TZ MEDIA

Күн бұрын

Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
#dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia

Пікірлер: 225
@LaurentLushingemasanja
@LaurentLushingemasanja 2 ай бұрын
Wasukuma gonga like tujuane🎉🎉🎉
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 3 ай бұрын
Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
👊
@NicolasiLuhende
@NicolasiLuhende 3 ай бұрын
😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Sahihi ☑️
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
🤝🇹🇿
@FredyKabotola
@FredyKabotola 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤​@@wadeelegbogun3015
@FrankoLugendo
@FrankoLugendo 2 ай бұрын
Mpina ❤❤❤❤❤ Mungu akutangulie sana ktk safari yako maisha
@Dominaevance
@Dominaevance 3 ай бұрын
Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 3 ай бұрын
Mashaalah mungu akulinde
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 ай бұрын
Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 ай бұрын
Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi
@hadijatwahadossa
@hadijatwahadossa 3 ай бұрын
Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea Mungu yupo pamoja na wewe
@DeusMbalamwezi
@DeusMbalamwezi Ай бұрын
Mungu akurinde kwa kujitoa kusema ukeri ! Mungu akupiganie sana tunaomba
@yayananajota5838
@yayananajota5838 2 ай бұрын
It's great Men, let him be and God bless him and protect him,
@Ambwene
@Ambwene 2 ай бұрын
Mpina ni Mwamba kuliko wapiga Makofi 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
@MzeeMkoloni
@MzeeMkoloni 3 ай бұрын
Viva LUHAGA MPINA
@PhilipoLeonard-q5w
@PhilipoLeonard-q5w 2 ай бұрын
Mpina apewe nchi, awe rais
@HanafiSaidi-v4g
@HanafiSaidi-v4g Ай бұрын
huyu jamaa nishida sana
@julianamasunga3458
@julianamasunga3458 3 ай бұрын
Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤
@manawamarco6511
@manawamarco6511 2 ай бұрын
viva luhanga mpina tunakuombea we ni jembe
@AmosKachatiro
@AmosKachatiro 3 ай бұрын
Nakukubali mheshimiwa
@gracesage989
@gracesage989 2 ай бұрын
Mpina Mungu akubariki usikate tamaa songa mbele Mungu yuko na wewe.
@ismailabdallah7853
@ismailabdallah7853 2 ай бұрын
Yani kwakweli naona mpina kua rais mwenye Maslayi ya nch mungu tutulindie kiongozi shupavu
@bahatidamiani561
@bahatidamiani561 2 ай бұрын
Viva Luhaga Mpina mzalendo wetu
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 2 ай бұрын
Mpina oyeee uko vizuri sana unatumia elimu yako vzr na una msimamo wewe mwanaume
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 2 ай бұрын
Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 3 ай бұрын
Viva mpina Wewe ni mwamba
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 3 ай бұрын
The great
@wanguwangu34
@wanguwangu34 3 ай бұрын
Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 3 ай бұрын
Mpina the Great
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 3 ай бұрын
Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 2 ай бұрын
​@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 2 ай бұрын
​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 2 ай бұрын
​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@asteriashios1852
@asteriashios1852 3 ай бұрын
Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Sahihi 🤝
@Haroonlguo
@Haroonlguo 2 ай бұрын
Www utakuwa mtetezi wetu mpina
@GraceShayo-mj3oc
@GraceShayo-mj3oc 2 ай бұрын
Mungu akulinde na mabaya yote , na Mungu atakuinua sana
@EmanuelSamuel-mt5wr
@EmanuelSamuel-mt5wr Ай бұрын
mpina yuko sawa
@KelvinZegega
@KelvinZegega Ай бұрын
Mpina na makonda wanauzalendo wa dhati kwa taifa lao 10:20
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf 3 ай бұрын
Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake
@DiscowKajojo-no2up
@DiscowKajojo-no2up 3 ай бұрын
Well done
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 2 ай бұрын
Mpina keep on
@hssanrubota3891
@hssanrubota3891 2 ай бұрын
Huyu ni Traule wa Tanzania
@josephheke9878
@josephheke9878 Ай бұрын
Lete part two
@Santzmedia
@Santzmedia Ай бұрын
🙄💭
@abdallahmakange6173
@abdallahmakange6173 2 ай бұрын
Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢
@EdwardKwiyanga
@EdwardKwiyanga 2 ай бұрын
Mpina ww ni kaka wa taifa mungu akutangulie
@deboniapeterkipake7391
@deboniapeterkipake7391 2 ай бұрын
Jambo la kuaminiwa kwamba uwezo wa Mpina ni mkubwa kulinganisha na spika Tulia, ujanja wa Hussein Bashe ni mkubwa sana unahitaji akili nyingi kama za Mpina.
@JohnShileMunisi
@JohnShileMunisi 2 ай бұрын
Mpina Ni mwiba was ccm hawajui tu.
@ChristinaWengae-ps5jr
@ChristinaWengae-ps5jr 3 ай бұрын
Hongera sana kaka yangu mung akusaidie
@francisboydmwakyusa230
@francisboydmwakyusa230 3 ай бұрын
Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.
@benjaminjackson8567
@benjaminjackson8567 Ай бұрын
Binadam huwa hataki ukweli daima ndo maana watu wapenda kuangali movie kuliko taarifa ya hanar
@J.Anyauba
@J.Anyauba Ай бұрын
wabunge waige kwa mpina ili bunge lirejeshe nguvu yake kwenye serikali
@Landisy
@Landisy 3 ай бұрын
Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
🇹🇿
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 3 ай бұрын
Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu
@awadhkannah6587
@awadhkannah6587 3 ай бұрын
Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?
@allymusira2153
@allymusira2153 3 ай бұрын
Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 2 ай бұрын
Kuagiza sukari nje co shida, shida ni utaratibu uliotumika kuagiza umefuata utaratibu?! Au ni kwa faida ya wachache!!!
@allyfutto8763
@allyfutto8763 3 ай бұрын
Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 2 ай бұрын
Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 2 ай бұрын
Hilo ndo bunge letu bwaana, hajasoma alicho kiwasilisha Mpina.
@RaphaelElikana
@RaphaelElikana 3 ай бұрын
Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote
@ChiefHeke
@ChiefHeke Ай бұрын
Nchi hii ukiwa mzalendo tu umekwisha
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 2 ай бұрын
Mpina ni mzalendo, wasimpeze.
@YahayaMussa-p5r
@YahayaMussa-p5r 2 ай бұрын
Mungu atakulinda mwehshimiwa mpina upo kwajili ya wanchi wanyonge na wasio wanyonge? Hkn Mt Amby anafanya kitu bila kuchungz nawrio wengi bungeni wapo Kwa juli ya maslhi Yao kwahy lazm upgwe mkwara ila usiogpe chcht mung yko naw!
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 2 ай бұрын
Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m Ай бұрын
uongozi kaz sana eti ndo kiongozi spika africa sijui ndo duniani yan kiongozi anauzalendo ila elimu yupo vizur ndo nn sasa
@amNANGUJI24
@amNANGUJI24 2 ай бұрын
Uingereza hakuna chuo kikuyu kinachitwa Scotland.
@InocentPius
@InocentPius 2 ай бұрын
True
@jamesmboneko2952
@jamesmboneko2952 2 ай бұрын
Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 2 ай бұрын
Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga
@GizibetLameck
@GizibetLameck 2 ай бұрын
Ukimo wa ccm umefika kwahali hii
@AnabElmi-kx6ml
@AnabElmi-kx6ml 2 ай бұрын
Luhaga mpina amekosea kufuta sheria angepaswa asubiri maelekezo ya spika hivyo sheria ifuate mkondo kumpa adhabu anayostahili
@Mpondi260bahati-iy3hi
@Mpondi260bahati-iy3hi Ай бұрын
sugu 2010 broh
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 3 ай бұрын
" lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
😆😆
@josephlorri431
@josephlorri431 2 ай бұрын
Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 3 ай бұрын
Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏
@OscarKasalile-u4k
@OscarKasalile-u4k 3 ай бұрын
Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.
@SilahMasima-pi7bn
@SilahMasima-pi7bn 2 ай бұрын
Wabeja xana luhaga.
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 2 ай бұрын
Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,
@AnithaLeonidas
@AnithaLeonidas 2 ай бұрын
Kwer ni mzarendo
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤Mpina
@epimackjohn461
@epimackjohn461 3 ай бұрын
MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .
@patiellulu6063
@patiellulu6063 2 ай бұрын
Chadema
@SaruniChristophersabaya
@SaruniChristophersabaya 2 ай бұрын
Nyie watanzania ni makuma sana ukweli unauma
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 2 ай бұрын
Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.
@LeonardSiasi
@LeonardSiasi 2 ай бұрын
Komaa 0:50
@evaristjoseph8151
@evaristjoseph8151 2 ай бұрын
Unajua nakuelewa sana mpina ?
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i 2 ай бұрын
Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi
@NasraNasra-l9q
@NasraNasra-l9q 2 ай бұрын
Matako yako
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i 2 ай бұрын
@@NasraNasra-l9q mwenyew mama piga kaz hakuna rais bora kutokea Tanzania anae fanya wajbu wake kam wewe
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m Ай бұрын
VIONGOZI NA KIONGOZI WAO SIO WAZALENDO MPINA KOSA LAKE LIKO WAP I HAPO YAN
@AnordErio
@AnordErio 3 ай бұрын
Wamebakia wachache sana hapa tanganyika
@abdallahmakange6173
@abdallahmakange6173 2 ай бұрын
Ccm tumewachoka sasa hondokeni muhiba sana
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 3 ай бұрын
MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Mhh....?
@JohnMilimo-c6b
@JohnMilimo-c6b Ай бұрын
wewe usituchafulie msukuma wetu
@SostenesMabala-tt8pt
@SostenesMabala-tt8pt 2 ай бұрын
Tukonae pamoja
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.
@KADALAtv255
@KADALAtv255 3 ай бұрын
Hivi kwa nini Mawaziri wamekuwa wakali dhidi ya Mpina?
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Msema ukweli
@KADALAtv255
@KADALAtv255 3 ай бұрын
@@Santzmedia Mungu atusaidie nchi hii
@MalandoJilala
@MalandoJilala 3 ай бұрын
Anawalenga na hii tanzania ukiongea ukweli unakuwa peke yako hii tanzania tunakoelekea yale ya kenya!!!!!!
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 3 ай бұрын
​@@Santzmediahana lolote mbona magu alimtumbua? Ana hasira kwa kunyang'anywa uwaziri, hana uzalendo wowote
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 3 ай бұрын
Ingawa Mimi simshabiki wake ila juzi nimeona ana ukweli fulani. inasemekana Alikuwa anafanya matibabu nje ya nchi wakati wa undwaji wa baraza la mawaziri​@@mussamalekela2107
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 3 ай бұрын
BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!
@BozaDizamile-u1d
@BozaDizamile-u1d 3 ай бұрын
Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
@msafiriomary893
@msafiriomary893 2 ай бұрын
Yure hawezi mpenda timu mgufuli
@yahayahussein3224
@yahayahussein3224 3 ай бұрын
Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 3 ай бұрын
😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona
@NICOLASISACK-kg3mi
@NICOLASISACK-kg3mi 2 ай бұрын
Yuko vzuri
@SamwelWalwa
@SamwelWalwa 2 ай бұрын
Mpina bana Hadi penarty
@TinahFrank
@TinahFrank 10 күн бұрын
Duuu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Uzalendo sio kutoa shutuma Kwa wenzio bila ushahid, Bunge sio sehem kuleta chuki, hasad, na wivu bila hoja, wako pale kuwakilisha Wananchi na kutunga Sheria sio majungu, adhabu aliopewa iwe fundisho Kwa wengine, leta hoja zenye mashiko sio mihemko, maana jamaa bado anaota awamu ya tano tu
@NdageKitahama
@NdageKitahama 2 ай бұрын
Ww ni pumba za mpunga hujui chochote maana Kama umeshindwa kuelewa hoja alizotoa mpina na ushahidi kautoa mbele ya bunge unataka ushahidi aina gani ww hata darasani unaonekana ilikuwa ziro
@JesusJesus-ny1sm
@JesusJesus-ny1sm 2 ай бұрын
Wapumbavu kama wewe ndiyo mmetufanya tuwe masikini maisha magumu Tanzania hii !!!! Km hujuwi kaa kimya, Pumbavu sana.
@zacharialtd9519
@zacharialtd9519 3 ай бұрын
Mbona miaka mnamuwekea michache sana
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Miaka gani Rafiki
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 2 ай бұрын
Mama yangu wanajipigia makofi tu daa!
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 3 ай бұрын
Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 2 ай бұрын
Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,
@eleminapeter6921
@eleminapeter6921 2 ай бұрын
Wezi tu wanabebana hawa
@Santzmedia
@Santzmedia 2 ай бұрын
🤩
@HabibuSaid-up5sn
@HabibuSaid-up5sn 3 ай бұрын
Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
😥
@joctanmtambi895
@joctanmtambi895 3 ай бұрын
Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu​@@Santzmedia
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 ай бұрын
ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 3 ай бұрын
Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????
@camilomassao8971
@camilomassao8971 3 ай бұрын
MZALENDO
@MalandoJilala
@MalandoJilala 3 ай бұрын
Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!
@BozaDizamile-u1d
@BozaDizamile-u1d 3 ай бұрын
NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI
@MartiniJohn-ew6us
@MartiniJohn-ew6us 2 ай бұрын
Mheshimiwa Mbunge Mpina tetea wafugaji na wakulima ndio walio kuchagua Mungu tu ndio asikufungie njia ya mbingu
@josephmadukashambalawokovu642
@josephmadukashambalawokovu642 3 ай бұрын
Bora kumkosea heshima spika kuliko kuwakose heshima wananchi, mpina tunamuelewa Sana wananchi
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
🤝
@RajabuSikabwe-rp1lj
@RajabuSikabwe-rp1lj 3 ай бұрын
Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma
@mosesfrancois752
@mosesfrancois752 3 ай бұрын
Yani Spika ni mwanasheria ,yani kasoma ili aje atufanyie hivyo kweli ...yani ukimsikiliza unatamani umuombee kwa Mungu ...angejua biashara za mama lishe zinavyoangaika na bei za sukari ...dah aya bwana ,mnyonge atasaidiwa na Mungu ngoja tusubiri
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Mpina tunakupenda sana
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,6 МЛН
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 47 МЛН
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 146 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 107 МЛН
WANASIASA 15 AMBAO RAIS MAGUFULI ALIWAPENDA SANA ENZI ZA UHAI WAKE
24:34
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 47 МЛН