Hongera sana kijana wetu waziri bashungwa ktk usimamizi wa miradi ya kitaifa na pia tunampongeza sana kaimu meneja wa tanroad dodoma injinia Colman Gaston Kwa uzalendo wake wa kujituma kusimamia miradi hii ya kitaifa Kwa weledi mkubwa hongera sana Kwa kweli waziri bashungwa anapaswa kumuangalia huyu na kijana na kuwa meneja kamili badala ya kaimu Ili kumpa motisha na Ari ya kufanya kazi
@abuuramadhan80936 ай бұрын
Bashungwa atolewe tu anakugharimu mama samia
@bezalelmbijima81825 ай бұрын
Angepewa Nyanza bila shaka mradi ungeshaisha tena kwa kiwango
@eddechriss26646 ай бұрын
Tuonyesheni pia picha za mradi ulipofikia sio maneno pekee
@kikalarashid90036 ай бұрын
Barabara ya mzunguko dodoma imefikia wapi??
@bezalelmbijima81825 ай бұрын
Unasomewa tu risala kama amelipwa kwa nini mradi uwe asilimia hizo? Tembea na wataalamu wako mheshimiwa ujionee mwenyewe mbo mzunguko mdogo tu.
@abuuramadhan80936 ай бұрын
Katika wazir mzigo ni huyu mama kwann unamlea bashungwa utendaji hamna kitu kila siku yupo mitandaon kutuma video barabara zinapigwa zipo chini ya viwango
@victorjames37306 ай бұрын
Mbona hatuoni picha ya mradi wenyewe 😢
@AbduliMaulidi5 ай бұрын
Jinga hawa
@Optionxll_Playz16 ай бұрын
Na balabala za watembea Kwa miguu mbona Hakuna na kuwekwe lakini ya baisekeri na Pikipiki
@abuuramadhan80936 ай бұрын
Bashungwa atolewe hajielew
@modestwenceslaus96 ай бұрын
Wewe ndiye unayefaa kwenye hiyo nafasi Kama akitolewa😮😮
@dullahomar63775 ай бұрын
Wewe ndio hujielewi
@abuuramadhan80935 ай бұрын
@@modestwenceslaus9 mirad mingi ya barabara imemshinda wakandarasi wanafanya wanavyotaka