Sh 7.5 bilioni kutumika ujenzi wa awamu ya kwanza ya viwanja vya nanenane Dodoma

  Рет қаралды 8,856

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Serikali imetenga Sh 7.5 bilioni kwaajili ya awamu ya kwanza ya ujenzi wa viwanja vya kisasa vya maonyesho ya nanenane jijini Dodoma yanayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 01, 2024 ambapo mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa maonyesho hayo atakuwa Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango na kilele kinatarajiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni rasmi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe leo Jumanne, Juni 04, 2024 jijini Dodomba ambapo ameeleza kuwa kaulimbiu ya maonyesho hayo kwa mwaka huu ni chagua viongozi bora wa serikali za mitaa kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Пікірлер: 11
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 28 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 7 МЛН
Epic Reflex Game vs MrBeast Crew 🙈😱
00:32
Celine Dept
Рет қаралды 8 МЛН
Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia
25:57
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Newsthink
Рет қаралды 1,7 МЛН
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 22 М.
10 Most Impressive Mega Projects in Tanzania
11:07
Explore with Bertin
Рет қаралды 8 М.
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 28 МЛН