Mungu ni mkuu...mimi ni mkristo bt nimejua waislamu ni watu wa upendo sana. Watanzania kwa jumla hongera kwa upendo wenu. Mungu awazidishie. From Kenya
@maximumtvonline4 жыл бұрын
Saaana Wana upendo wa ajabu na moyo wa kusaidia sana
@CuteFlora4 жыл бұрын
Haya jamani kidogo tulichonacho ...sadaka sio lazima kiwe kikubwa ila pia sisi waislam tunasema ukitoa ujue unajiandalia amali Njema leo na kesho akhera...hata una mia 5 toa jaman huwezi jua kesho na wewe utaamkaje...tu muombe allah atuepushe na maradhi na awaponye wote aliwapa mtihani wa maradhi🙏🏾
@makulaikuku69094 жыл бұрын
Amiiin
@hjhj62304 жыл бұрын
Amiin
@naamohamed99644 жыл бұрын
Amiiiiin
@dottnatt71104 жыл бұрын
Amiin inshaaAllah
@salamazuberi72984 жыл бұрын
Asante mungu
@azizajimmy47394 жыл бұрын
Alhamdulillah mwenyez mung atakufanyia wepes Inshaa'Allah penye nia pana njia kikubwa subra na uvumilivu. 💖
@nailasaid49184 жыл бұрын
Asalamu alaykum warahmatuAllahi. Mashallah, Mashallah nimependa sanaa imani yako M/Mungu akuzidishie Imani na iwe ponyo yako yarrabbi. 💞
@maryamahmed24534 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR, SUBHANALLAH,Jana I tujifunze kwa dada yetu kwa kumkumbuka ALLAH.Tuombe maghufira daima.
@zitoniebrahem31744 жыл бұрын
mungu azid kumfanyia wepes aweze kupona
@sulemohd48124 жыл бұрын
Utapona tu amini mungu yeyendioatakuponyesha
@sabahhassan71674 жыл бұрын
Masha allah mpenz mng azd kukutangulia
@rahiyaomari95854 жыл бұрын
Mashallah Allah ni mwema kwa waja wake Allah azidi kukuafu in shaa Allah
@rithakuyala99514 жыл бұрын
Asante BABA wa mbinguni kwa kumuona mwanao BABA ukazidi kumtendea akapate kufanya shughuli zake mwenyewe 🙏🙏🙏🙏
@theceefamily77643 жыл бұрын
Dada tembelea nabii geordavie yuko kisongo arusha kanisa litwaalo ngurumo ya upako,kwani kwa Mungu yote yawezekana,usiangalie dini bali angalia uponyaji tu,akuombee na utapokea uponyaji@Kenya
@mrsliverpool42354 жыл бұрын
Alhamdulillahi Mungu ni mwema. Barikiwa maximum TV
@maximumtvonline4 жыл бұрын
Amen..
@sarahadam45353 жыл бұрын
Kwani ugonjwa wake umegundulikani nini?..MSA?
@kassimukipingu53433 жыл бұрын
Nimekupendea tu umesoma hata dawa unazitaja ipasavyo.
@hamidajuma39094 жыл бұрын
Kwajili ya Allah utapona inshaallah
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
On call plus ni ya diabetes
@roseatieno66913 жыл бұрын
Dada atumie na dawa ingine mzuri sana itwayo kama oestocare, ni nzuri sana na viungo kama joints tena ni supplement na ata chuchumaa kiraisi sana na ni bei rahisi tuu .
@ukhtymwana49983 жыл бұрын
Allah atazidi kukuwezesha utapona
@omarsharifa56064 жыл бұрын
Zahir Allah akufungulie milango ya pepo kakangu mungu akulindee akupe umri insha'Allah 🤲🤲🤲🤲🤲
@maximumtvonline4 жыл бұрын
Amen..Asante sana
@yvonnemhadu36984 жыл бұрын
Huyu dada nahisi Kama hajaridhika kwakweli na Kama itakua ni kweli nafsi yake haijakubali matokeo basi atazidi kujiuma Ila zaidi tunamuombea kheri tu mungu ampiganie amuinue
@faridaessa78444 жыл бұрын
Mungu mkubwa utapona kwa uwezo wake
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin
@emilyibraimo50324 жыл бұрын
Amin
@zaynabhadoso47834 жыл бұрын
Alhamdulillah mungu ni mwema
@gloriamwanjali93714 жыл бұрын
Hongera kwa improvement. Nadhani angeenda hospital ya serikali gharama ingepungua aghakhani ni gharama kama huna uwezo. Napaamini sana Muhimbili.
@theceefamily77643 жыл бұрын
Mungu ni mkuu,Amina@Kenya.
@jangombeboys45364 жыл бұрын
Home Team
@reenyaysher76394 жыл бұрын
Daktari hawez kuprove kupona ni wewe imani yako ndio itakupona dada weka imani sana doctor ni binadamu kama wewe sasa usimtumain doctor bali mtumain na kumwamini Mungu pekee
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Maa shaallah mungu mkubwa🤗
@saadiaali56094 жыл бұрын
Mifupa haina maji ndio inasuguwana kwahio kunywa supu za mifupa hasa ukipata ya mbuzi itakuwa vizuri sana na mboga za mchicha na mabenda
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Alhamdulillah, mungu atakuafu inshaallah
@mariamothman74044 жыл бұрын
Kua na imani asilimia zote utapona kwa uezo wa Allah kwake hakuna nishindikanalo mdogo wangu 🙇☝
@abumoyo53414 жыл бұрын
Mashallah Mungu yupo pa1 na ww dada
@akilamussa37243 жыл бұрын
Pole utapoa inshaallah
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Sweety dada vp mambo. Alhamdulillah Allah Akbar, Insha Allah utapata nafuu kwa uwezo Allah . 💕💕❤😍
@rukiaosman84164 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Alhamdulilah Allah atazidi Kukupa afya yaarabi My ❤️ sister
@rukiaosman84164 жыл бұрын
Utapona inshallah Jikaze dadangu utapona Kwa uwezo wake Allah inshaallah
Apate zunguo kwa shekhe atapata hata dawa za kujipaka miguu na allah atamponya
@aishahajji94613 жыл бұрын
Nikweli kuna mafuta yakujipaka
@sabahhassan71674 жыл бұрын
Nimekupenda bure vile unaiman dhabiti inshaa Allah naamin utapona kwawezo wa Allah iman yk ndio kupona kwko my.
@gmwanaabc74924 жыл бұрын
Allah atakusaidia utakua sw inshallah
@kiri58073 жыл бұрын
hebu nenda kwa wachina pigachuku
@mwahijura73533 жыл бұрын
pole sana dada allah atakuponya kwa uwezo wake usikate tamaa inshallah
@asdxsa10084 жыл бұрын
Pole sana dada mungu yuko na wewe
@olivaluvanda45243 жыл бұрын
Dada tumia mafuta na maji ya upako ya kwa mwamposa usiangalie dini hakika utapona
@felistaseleki7204 жыл бұрын
Mungu akuponye mdogo wangu.
@faridaessa78444 жыл бұрын
Usijali tupo pamoja mdogo wangu
@gftonesmo83114 жыл бұрын
MUNGU wew hujawah kushndindwa
@zawadikasimkasim55024 жыл бұрын
Usijali utapona zidi kumuomba mungu
@estherponda7904 жыл бұрын
Utapona tu dadangu we endelea kusali,halafu usikose kujisugua na mafuta ya karafuu
@evasaimon21014 жыл бұрын
Iyo meza ya tv imenikumbusha mbali enzi ya akina bishanga Dr cheni bi ambiliki
@zakwani8854 жыл бұрын
Alhamdu lillah M mungu atakupa shifaa
@evasaimon21014 жыл бұрын
@@zakwani885 pole Sana mpendwa wangu Kama nimekukwaza naomba unisamehe sana
@neemadangote40614 жыл бұрын
Pole Dada
@jamilasalimvilog67524 жыл бұрын
Allah azidi kukupa nguvu
@mamuually55794 жыл бұрын
Jamani mungu na mithihani yani uwe unatembea kisha ghafla urudy mtoto uanze kufanya dee,,,,,yarab tuongoze waja wako
@maryharold8384 жыл бұрын
Mungu mkubwa aisee
@aisatahaisatah26124 жыл бұрын
Insha Allah my
@salehkhalfan14734 жыл бұрын
Mqzowezi yakutembea kwa miguu ndio mazuri zaidi
@ains11224 жыл бұрын
Mimi mkenya ila nawaomba wa Tanzania smami3ni huyu Dada jameni tumeiona jezi za yanga na simba Ile Hali mlivyo zinunua 30000/- huyu Dada akutumia elfu 10 tu kiasi ya kiwanja kimoja mbona atapata matibabu jameni tumshikeni mkono
@mamukassim40754 жыл бұрын
Ndio mazoez mazuri lakin jitaid na mazoezi ya miguu
@khadijahali48374 жыл бұрын
Utapona mamy kuwa na subra
@mwakahassan87424 жыл бұрын
ALLAH atazidi kukusaidia dada angu eka iman utapona hakuna ajuae sir ya Allah jitahid kuvuta nyiradi na kusoma Quran sura unazo cjui nampnda sanaa uyu dada kazur Maa shaa Allah
@jasminjuma63904 жыл бұрын
Allah atakupa takhfifu inshaa allah taala
@sikuzanibusanya64234 жыл бұрын
Mungu yupo utapona Ameen
@جنيتكينيا4 жыл бұрын
MashaAllahu .Allahu akibaru mungu azidi kukupanguvu inshaAllah
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Pole mrembo mwenzangu utapona🙏
@naamohamed99644 жыл бұрын
Mtihan pole mpendwa
@rehemaaithumani30764 жыл бұрын
Pole Sana Allah akufanyie wepesi inshaallah utapona
@husnanyamvula23724 жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawe utakuwa Sawa daa
@jamilarajabu994 жыл бұрын
Asante mungu ila mtangazaji upo vizr unajua kuongea na mtu yani kunamuandishi anaweza kumuoji mtu mpk ukashangaa 💪💪💪💪💪
@roseatieno66914 жыл бұрын
Pole dada utapona katika jina la mwenyezi Mungu . Hebu jaribu pia na dawa ya oestocare inaongeza fluid kwa viungo sana sana magoti ikisagana yaani ni supplement, dawa hiyo itakusaidia and it's very cheap . Hii ni testimony yangu mana mi pia niliumwa hivo nikatumia madawa na matibabu ya gharama kali sana , sasa ikabaki niende operation lakini dactari mmoja aliniambia nisikubali kwenda sasa aliniandia hizo dawa , kwa sasa niko sawa nachuchumaa chooni , natembea vizuri niko sawa kabisaaaa .
@zainaramadhan77694 жыл бұрын
Mungu mkubwa inshaaallah utapona kwa nguvu zakee
@manahiljamal80534 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Allah azid kumuongoza
@shamimhayat76374 жыл бұрын
Alhamdulilah
@halishmwarua29574 жыл бұрын
Mashallah mungu hakupona in sha Allah subra daa na dua na kuswali Allah hataleta shufaa Amiin
@zitoniebrahem31744 жыл бұрын
innshallh
@ahmedalrahbimmmh28494 жыл бұрын
Tafadhali tunaomba maendeleo yayule dada mweny mimba na mdoqo ake jomn yule alokua anajiuza
@maximumtvonline4 жыл бұрын
Tunamsubiri ajifungue..
@rayaalhabsi17254 жыл бұрын
Alhamdulilah Rabbil Aalamiin Mwenye Enzi Mungu azidi kukusaidia zaidi allahumma ameen yaarab
@ashahaji67864 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah Allah azidi kumpa shifaa
@shoarimahege27553 жыл бұрын
Mungu atakuponya yote mapito
@rehemaothman21854 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakujaalia utapona Dada
@nasranassor67964 жыл бұрын
Dadangu huo ni ugonjwa wa bardi na umechelewa kupata tabibu mwenye kugundua dawa za hospitali zitakuletea madhara mengine.hayo mafuta ya dawa ndio yatakudaidia kueka viungo sawa.
@makulaikuku69094 жыл бұрын
Anazipatajee sasa
@haskao774 жыл бұрын
Hukuona video ya kwanza, amehangaika mpaka kwa waganga. Sasa afanyeje? Bora atumie hizo dawa za hospital maana zinamsaidia
@nasranassor67964 жыл бұрын
@@haskao77 niliiona ndio nikasema hakupata matabibu wanaojia huo ugonjwa Huo c ugonjwa wa waganga Wala c uchawi huo ni ugonjwa wa bardi unataka daktarijuzi wa miti shamba Kama kwetu uswahilini kuna madktari wa magonjwa Kama hayo tu ya mifupa kupooza.
@nasranassor67964 жыл бұрын
@@haskao77 na huu ugonjwa wa bardi uko Mara 2 unaweza kupooza viungo ama mdomo ukaenda upande sasa huku kwetu mtu akiona dalili Kama hizo haraka anakimbia kwa tabibu anapewa dawa za mizizi za kuchemsha Kisha anakunywa na mafuta ya kujichua yaliochànganya na dawa Kali za bardi na sumu ya ugonjwa huu ni kuchomwa sindano. Sasa yy hakupata anaeujulia akashuhulikiwa mapema amepata waganga tu matapeli.
@nasranassor67964 жыл бұрын
@@haskao77 na pia ugonjwa huu ukianza kutumia dawa zake kuna baadha ya vyakula unazuia usile maana vinazidisha Kama nyama ya ng'ombe,kondoo,maboga na venginevyo mpaka upone kabisaa.
@reginamjema17394 жыл бұрын
Wow my God is gudoooh
@yasintaswahasni47474 жыл бұрын
Mashaallah mungu atakujaalia utapona kabisa
@hijahsaidy15624 жыл бұрын
Mungu mkubwa
@aishahela17354 жыл бұрын
Polesana habibty
@agnesgervas80704 жыл бұрын
Mungu n mwema utapona t sali sana hakuna linalomshinda yy
@aminaally91564 жыл бұрын
Kwan bila kuandika huo urembo wala usom hapati msaada achen hizo hkn binadam mbayaa