No video

MRISHO MPOTO ALIVYO MLIZA MTOTO WA LOWASSA, WIMBO WA MAJONZI ALIO UIMBA

  Рет қаралды 309,417

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 189
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 6 ай бұрын
Mjomba unajua sana alafu unajua tena. Asante kwa kumuombolezea Lowassa wetu
@nurdinmvellah4032
@nurdinmvellah4032 6 ай бұрын
kipenz chamm lowasa, umeenda bila ndoto yako kutimia, mungu hakutaka na kazi yake Haina makosa . umetimiza ambacho mungu alikuleta duniania. roho yako I mikononi mwa Mungu Amen
@cecyliamosha370
@cecyliamosha370 6 ай бұрын
Mungu akupe pumnziko la milele Mzee wetu Lowasa,poleni sana Wana familia
@tuzonyava8306
@tuzonyava8306 6 ай бұрын
Jamani ivi ninani anaekubali kusifiwa kila siku?? Hizi nisifa za mwisho kwani akisha ingia tu kaburini nawatu wakaligeuzia kaburi kisogo basi kilakitu kinakua kimesahaulika😢😢😢 Pumzika kwa amani Lowasa
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 6 ай бұрын
Pumzika kwa amani mzee wetu lowasa,Mungu ailaze roh yako mahal pema pepon Mungu akusamehe yote uliyokosea hakika wewe ni mwanadam,unakosea pia Tutakukumbuka kwa mengi sana.😢
@user-ik5kz6gh7n
@user-ik5kz6gh7n 6 ай бұрын
Mungu akulaze sehem takatifu ya pendo lake umusalimie magufuli mwambiye bado tunampenda na kumukumbuka nawe tutakukumbuka daima
@ruthjapheth174
@ruthjapheth174 6 ай бұрын
Sisemi.uongo lowasa nilikua nampendaa ni baba asiyrkua na majivuno siku zoe ongea yake ilikua ya kistaarabu pumxika kwa aman acha upate heshima zako ulikua hujikweziii
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c 6 ай бұрын
Hakika kazi ya Mungu Haina makosa. Nenda kipenzi cha Watanzania. Vita umevipiga , mwendo umeumaliza na Imani umeishinda.
@ElishaKasekwa-vo2eg
@ElishaKasekwa-vo2eg 6 ай бұрын
😭😭Tuko kwenye dunia ambayo walio kufa hupokea maua mengi kuliko walio hai,, hii ni kwa sababu majuto yana nguvu kuliko shukrani✍📌 inaumiza saana,, itoshe kusema nenda ulale salama kiongozi wetu, japo tumekupa maua mengi baada ya kufikwa umauti😭😭😭😭😭
@user-bx1eo2wc4h
@user-bx1eo2wc4h 6 ай бұрын
Kwakweli😢😢
@user-he5by2hk6p
@user-he5by2hk6p 6 ай бұрын
Ni kweli kabisa na matusi na kebei juu daaah
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 6 ай бұрын
Kwani anasikia?aliyekwisha kufa hana hijala tena.
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 6 ай бұрын
Mngeyasema haya kubla hajafa ,wakati walimwita fisadi wanadamu baanaa!
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 6 ай бұрын
Kwahiyo wasimpe maua? Wewe unawapa maua wangapi?
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 6 ай бұрын
Mashahallah lkn Anaweza cn mpoto
@user-lu8xw8ho4e
@user-lu8xw8ho4e 6 ай бұрын
Yote anajua mungu watanzania tutakuombea kwamungu lala salama mamba
@nathanmalangalila9791
@nathanmalangalila9791 6 ай бұрын
Maneno yake/ujumbe wake unamtoa mchozi lila anayemkumbuka Lowasa kwa utendaji wake,ni kweli Lowasa alimrithi Sokoine kwa mema mengi.RIP Edward.
@DenisPiter-pn2gj
@DenisPiter-pn2gj 6 ай бұрын
Uzuri sana mzee
@rumanyikajoe7038
@rumanyikajoe7038 6 ай бұрын
Mpoto on fire. Sanaa, kwake haijarishi ni wakati gani?
@joellenasiramolell-nq8jy
@joellenasiramolell-nq8jy 6 ай бұрын
😂😂😂 Tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi yetu, Pumzika kwa Amani
@barakamazigo4840
@barakamazigo4840 6 ай бұрын
Pumzika kwa aman mzee wetu lowasa hakk mwendo umeumaliza
@Ghkingdom-qc6cg
@Ghkingdom-qc6cg 6 ай бұрын
UNAPOISHI HUWA UNAKUWA UNA UNATENGENEZA HISTORIA UNAPO KUFA HUWA NDIPO HISTORIA YAKO INA ANDIKWA KWA ULICHO FANYA KWA WATU UMEFAULU KUISHI MZEE LOWASA RIP😭😭😭😭
@user-pe3jq4ti8c
@user-pe3jq4ti8c 6 ай бұрын
😭😭Poleni sana kwa msiba huo😭😭Mungu amlaze Mahalia. pema peponi😭😭😭 DOCTOR. EDWARD NGOYAI LOWASSA .mwendo ameumaliza😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu awa saidie
@denismasao520
@denismasao520 6 ай бұрын
Mi naona mpoto anagomba siyo njia nzuri ya kufariji
@ElliamaniLembirika
@ElliamaniLembirika 6 ай бұрын
Daaaah pumuzika Kwa amani baba yangu ila itoshe kusema tupo dunia ambayo walio kufa upewa maua 🎉 mengi kuliko walio hai😭😭😭😭
@JaneMagabilo
@JaneMagabilo 6 ай бұрын
Naomb, ❤ameci.yanga 0:00
@didah6553
@didah6553 6 ай бұрын
Mwezimungu akulaze mahali pema peponi .akusamee makosa yako uwe mtu wa peponi amina yaarab
@wybzokizzy4416
@wybzokizzy4416 6 ай бұрын
Mrisho always touches hearts ❤
@Mjboylucas
@Mjboylucas 6 ай бұрын
😂😂😂😂burian kiongozi lala salama tulikupenda mungu amekupenda zaid
@user-vx6fx8lv6i
@user-vx6fx8lv6i 6 ай бұрын
Poleni Sana jamii nzima
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 6 ай бұрын
Sasa badara ya kuimba nyimbo za kuwafariji muna waimbia nyimbo za kuwa liza wasanii mungu ana waona
@zenazulu370
@zenazulu370 6 ай бұрын
Ndio yote sawa hata wakilia ni sawa wamefiwa
@lazarotarimo608
@lazarotarimo608 6 ай бұрын
RIP Mzee Lowasa,Mungu Akipumzishe Mahali Pema Peponi!Ameen.
@user-mg1rt6br1q
@user-mg1rt6br1q 6 ай бұрын
Kuna watu hapo kipindi anahamia chadema walimsema kwa maneno ya hivyo sana,sasa Mungu kampenda zaidi hutosikia kwenye hotuba ya marehemu Kama aliwahi kuhama chama dah Ulale mahari pema peponi shujaa wa Tanzania
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 6 ай бұрын
Mambo ya vyama ni ya hapa duniani tu ndugu.yasikusumbue saana.
@user-lu8xw8ho4e
@user-lu8xw8ho4e 6 ай бұрын
Upinzani kweri ni vita kweri mrimjua. Ila samia mama mungu anamakusudi nawewe ikomboe tanzania mungu anamakusudi na wew
@user-gr7bx2fy4m
@user-gr7bx2fy4m 6 ай бұрын
😢😢😢😢ooh lowassa rudi rudii💔😭😭😭😭😭😭😭 hii nyimbo inatouch maini adi firigisi uwii r .I.p lowassa
@user-qe6xw1id7z
@user-qe6xw1id7z 6 ай бұрын
Dah! Inauma sana ila hamna namna,pumzika Kwa aman Jemedal wetu
@MathayonkindaManela-fq4uo
@MathayonkindaManela-fq4uo 6 ай бұрын
My country 🇹🇿🇹🇿
@user-kv5du4go3s
@user-kv5du4go3s 6 ай бұрын
Mungu 🙏 muraze malehem lowasa mahali Pema peponi Amina
@user-rj3db5jy7h
@user-rj3db5jy7h 6 ай бұрын
R.I.P baba yetu mpendwa tulikupenda ❤ lakini mungu kakupenda zaid pole san mam mjane na wanafamilia wote😂😂😂😂
@user-me6hm3su2i
@user-me6hm3su2i 6 ай бұрын
God's love more lowasa
@user-pv5qz8fw5y
@user-pv5qz8fw5y 6 ай бұрын
Turi kupenda sana msalimie mzee wetu Magufuli hakika dunia niwapitaj
@SophiRamadhani
@SophiRamadhani 6 ай бұрын
Poleni familia ya Lowasa poleni Watanzania
@lukagulagekidehele4379
@lukagulagekidehele4379 6 ай бұрын
Hakika Lwasa mzalendo wa kweli umekwenda moja kwa moja tungali tunakuhitaji tusiyethamini vyeo wala madaraka, bali utu. Ole wao walio wa vyeo, tuone wadumu milele duniani.
@hamzajoeli2431
@hamzajoeli2431 6 ай бұрын
Munguu amlazee mahali pema peponiii
@SalumMfaume-on2ks
@SalumMfaume-on2ks 6 ай бұрын
aende tu
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 6 ай бұрын
Msiba huu au danc
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 6 ай бұрын
Dansi 😂😂 yan wabongo noma
@CareenLukumay-xn3zb
@CareenLukumay-xn3zb 6 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi
@sosomokobiasharamgaya3020
@sosomokobiasharamgaya3020 6 ай бұрын
Ishi ulaumiwe 😢kufa usifiweee,RIP LOWASA
@user-pv7sk3se8n
@user-pv7sk3se8n 6 ай бұрын
Kila nafsi itaonja umauti safari njema baba yetu🤲tuakuombea dua
@bahatilaizer8706
@bahatilaizer8706 6 ай бұрын
😭😭😭 lala pema peponi Baba Wetu Huna pingamizi Kwa watanzania
@user-wp3bt6lg7v
@user-wp3bt6lg7v 6 ай бұрын
Pumzika kwa amanii baba ukimwona magufuli mwambie tunalia kila tukikumbuka uwepo wake katka dunia hiii😭😭😭🙏
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 6 ай бұрын
Hapa tumesha sahulishwa kutambua nn! Maana ya kifo!! Maana sijui tunacho kitafakar hapa ni kifoo!! Ngomq?? hatujui tuendako wala hatuujui ugumu wake huko tuendako 50:6 yeremia inna lillah wa inna ilaih raajiun😭😭😭😭😭
@user-zi6rn1gr3h
@user-zi6rn1gr3h 6 ай бұрын
Lala salam Jaman Lowassa 😭😭😭😭😭Arusha tutakkumbuka kwa ukarim wako
@user-uv3wn4wc9m
@user-uv3wn4wc9m 6 ай бұрын
Poleni TU tuko pamoj
@user-nf6qw1kk4d
@user-nf6qw1kk4d 6 ай бұрын
Pumzika kwa amani shujaaa polen sana wanafamilia ila msihuzunike sana kaz ya Mungu haina makosa ametangulia tu tutaonana baadae kuweni namatumain
@alfredbyangwamu9821
@alfredbyangwamu9821 6 ай бұрын
LAKINI HIVI VYA KUFUNGA NYWELE NYUMA KAMA WANAWAKE NA ZA USUSI KAMA WANAWAKE WAKATI NI WANAUME HAVITUBARIKI!!!
@user-ov7ve1gc7h
@user-ov7ve1gc7h 6 ай бұрын
Pumzika kwa Amani baba Mungu mlaze panapostahili
@swafiya254
@swafiya254 6 ай бұрын
Angeenda tu Samia 😢😢
@user-vr1ne9ix8j
@user-vr1ne9ix8j 6 ай бұрын
Hapa duniani kila kiumbe kilicho umbwa na Allah kitaonja umauti
@user-gl8zm4mx6k
@user-gl8zm4mx6k 6 ай бұрын
each spirit will taste death,,, innalillah wainnalillah Raajun , tulitoka mavumbin na huko tutarud tena tangulia baba tupo nyuma yako tutaonana baadaye, still rest in paradise
@yohanaibrahim4128
@yohanaibrahim4128 6 ай бұрын
Sisi sote ni marehemu watarajiwa tukumbuke hilo
@user-kd9iq6zu6n
@user-kd9iq6zu6n 6 ай бұрын
Mumshauri Nurueel juu ya baadhi ya mapambo yaendane na matukio hapo ni msibani machain ya nn!!? Half dancing hiyo sio mahala pake
@LifaNdege-jc8ny
@LifaNdege-jc8ny 6 ай бұрын
Rest in peace our dady lowasa
@marthamungure1777
@marthamungure1777 6 ай бұрын
Asante kwa kusema ukweli
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 6 ай бұрын
Tanesco mpaka kwenye msiba mna kata umeme Tena kwa waziriiii😭😭😭😭😭
@user-qj8yw8ys6g
@user-qj8yw8ys6g 6 ай бұрын
sifa nyingi wanakupa baada ya kufa kwa nini hizo sifa hamjampa enzi ya uhai wake mungu akulaze mahali pema Mpendwa
@NaphySky-oq5sy
@NaphySky-oq5sy 6 ай бұрын
Very sad pumzika kwa amani my Dady lowasa
@godfreysadu7209
@godfreysadu7209 6 ай бұрын
Alafile alafile tu hata ukimba na kulia kzi ya mungu haina makosa
@ManassehJoseph-rz7nj
@ManassehJoseph-rz7nj 6 ай бұрын
Yaani hii nchi dah mpaka ufe ndio usifiwe dah na kutungiwa nyimbo mh
@subiramtoro603
@subiramtoro603 6 ай бұрын
Daaaaah pumzika kwa amani rowassa Ahsante mrisho kwa nyimbo nzuri 😭😭😭
@danielmlambo6961
@danielmlambo6961 6 ай бұрын
Kiongozi pekee aliyeniliza baada ya kunyang'anywa ushindi nikawa tayari kwa loloye ambalo angeamua kutuelekeza kufanya
@nathanmalangalila9791
@nathanmalangalila9791 6 ай бұрын
Ana kipaji cha amina yake.
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 6 ай бұрын
Jmn muwe mnaimba nyimbo za Mungu,,illi iwe faraja Kwa familia😅
@samniza1763
@samniza1763 6 ай бұрын
Ni haki yake kupata matibabu kwa mchango alioutoa na bad treatment mlizompa.
@Baruu-vh3xu
@Baruu-vh3xu 6 ай бұрын
Mpoto salute
@bigambopaul
@bigambopaul 6 ай бұрын
Still Rest in Peace 😢
@eliudmwaipopo2295
@eliudmwaipopo2295 6 ай бұрын
Golden Leader Rest in Peace Honor Lowasa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 6 ай бұрын
inna lilahi wainnaa ilaihi rajiuun maiti anaburudishwa wakati hapo anahangaika na ya akhera hana habari ya dunia anaona kama kazaliwa akafariki hajui haamini kama kaishi miaka mia moja
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 6 ай бұрын
Mashahallah kumbe Alikaa miaka miamoja duuh Mashahallah mungu Ampumzishe kwa Amani
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 6 ай бұрын
@@user-kp6lz7zs1w siwaleo warioba mwenzwe
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 6 ай бұрын
Yani angekua ktk imani yetu tulishaa anza na kusahau msiba.
@ameenaameena422
@ameenaameena422 6 ай бұрын
Miaka 70 bhana
@thabitimkufi7388
@thabitimkufi7388 6 ай бұрын
Yaani acha tu
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 6 ай бұрын
Tusikufuru Mungu kavuna Mavuno yake mwenyewe sisi ni mbegu tyuu
@user-db3pi5qg1g
@user-db3pi5qg1g 6 ай бұрын
Wasanii imbeni nyimbo za faraja sio za kuwaliza wafiwa
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 ай бұрын
Duniya ukiiwacha ndo unapata sifa sio Tanzania pekee acheni kejeli. Ukiona sawa sifu ukiona vyenginevo sepa
@VickyMkwawa
@VickyMkwawa 6 ай бұрын
Pumzika kwa Aman LOWASA
@makrinakomba7767
@makrinakomba7767 6 ай бұрын
Rest easy mzee wetu,,,ulipambana sana
@hoithamacha1503
@hoithamacha1503 6 ай бұрын
Anakipaji hiyo ndia ofisi yake
@user-yg8kj8mu7l
@user-yg8kj8mu7l 6 ай бұрын
😂😂😂kwamapenzi ya
@ggemmadarigemma-rt5sf
@ggemmadarigemma-rt5sf 6 ай бұрын
Mmh ila alipokua mzma akigombea walimsema vbaya leo kafarik anapewa sifa lakn tayar haoni hasikii 😢😢😢pumzka salama ..
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 6 ай бұрын
Ndio binadam tunavyoamrishwa mtu akifa hatutakiwi kumsema vibaya
@suzysam6002
@suzysam6002 6 ай бұрын
Ndio Tanzania yetu
@user-lx8ep6zm6e
@user-lx8ep6zm6e 6 ай бұрын
Mpoto mnafki hata tukimuuliza kinamliza nini atajibu kinafiki,tuwe was kweli huyu lowasa alifanya nini tz zaidi ya wizi tu,mpoto acha unafki nilikua na kuheshimu ila leo neo nimejua wewe na watanzania wenzio ni wanafki mno,na mmefika hapo mmelipwa pesa wala hamjakwenda bure
@sophiabanana2309
@sophiabanana2309 6 ай бұрын
Mwanzilishi wa shule za kata ni yeye pia maji toka ziwa viktoria ni yeye mazuri ni mengi aliyofanya.
@judejudithjudie8940
@judejudithjudie8940 6 ай бұрын
Duh,lowasa alifariki lini
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 6 ай бұрын
Ingekuwa inawezekana kurikod ningetuma voice vp mumsifie mtu hakishakufa na sio hakiwa hai we mrisho unamwambia hamke kweri mbona unakashifu kunamtu hafe kisha hamke ebu mkamsitiri
@mcback4384
@mcback4384 6 ай бұрын
TANESCO kama Kawa nao wameingiza vocal yao 😢 inawezekana hata wao ndio waliomuua baada ya kukata umeme muhimbili
@aqbizyaugust8919
@aqbizyaugust8919 6 ай бұрын
Mpoto ni mnafki
@jackegidi1583
@jackegidi1583 6 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 6 ай бұрын
Ulikua na hekima rest papa I personally loved you
@siriyangu4724
@siriyangu4724 6 ай бұрын
Innalilai wainna illah rajiun poleni 😢
@imransule6429
@imransule6429 6 ай бұрын
Inalilah wainailah rajiuun
@lamackjoh2976
@lamackjoh2976 6 ай бұрын
Kuna Wana wapo hapo wanaselfika tu🥲
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 6 ай бұрын
Alafu midume wanaume wa Dar kazi sana
@joss.nkilio.3537
@joss.nkilio.3537 6 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani Mzee wetu😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-sl7kl7om6q
@user-sl7kl7om6q 5 ай бұрын
Niktakie maish mena tgun tozzy tmkmc Sana sumbawanga
@user-vr1ne9ix8j
@user-vr1ne9ix8j 6 ай бұрын
Kikubwa kuombeana dua ili kua na mwisho mwema
@ExcitedBabyKittens-ov2jh
@ExcitedBabyKittens-ov2jh 6 ай бұрын
😂R i p shujaa
@user-cp7fv4iu5o
@user-cp7fv4iu5o 6 ай бұрын
Pumzika kwa amani kipenzi cha watanzania
@happynkya9770
@happynkya9770 6 ай бұрын
daaah pumzika kwa amani lowasa
@user-hn1ey8wi8h
@user-hn1ey8wi8h 6 ай бұрын
Inalilah wainailah rajuun
@EmmanuelMlonganile-wl1dz
@EmmanuelMlonganile-wl1dz 6 ай бұрын
Ibaki tu kusema rest in peace our leader 😢😢😢😢
@user-rx6zz6sx8c
@user-rx6zz6sx8c 6 ай бұрын
Dunia mapito pumzika kwa amani Lowasa😢
@officialshelomwangole256
@officialshelomwangole256 6 ай бұрын
Aisee
@farajamoses9085
@farajamoses9085 6 ай бұрын
R.i.p my super hero 😢
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 6 ай бұрын
Namkumbuka ulijitoa muhanga wwe ili Tanzania ibaki salama kujitoa uwaziri mkuu 😭😭😭😭
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 160 М.
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 9 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
BabaJoan
Рет қаралды 270 М.
Tanzania All Stars - Lala Salama (Magufuli) Official Video
11:01
Wasafi Media
Рет қаралды 12 МЛН
Israel Mbonyi - Yeriko
12:03
Israel Mbonyi
Рет қаралды 1,7 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 9 МЛН