Kaa Hapa Episode 9 Diamond

  Рет қаралды 81,653

MrishoMpoto

MrishoMpoto

Күн бұрын

Пікірлер: 176
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 6 жыл бұрын
Kila siku nasemaga huyu diamond ni mwili mdogo lakini akili bahari kama nawewe unamkubali chibu usione aibu acha uteam acha acha majungu kama mtu anajua anajua tu like nyingi kwake please👏👏
@deus3766
@deus3766 4 жыл бұрын
kabisa mimi pia namkubali huyu dogo.
@miracleayoub4195
@miracleayoub4195 6 жыл бұрын
Kama unamkubali Chibu Dee Twende like hapa
@mrishompoto
@mrishompoto 6 жыл бұрын
Uko vizuri sana @Miracle Ayoub
@miracleayoub4195
@miracleayoub4195 6 жыл бұрын
MrishoMpoto ni kazi yangu kuhakikisha nafatilia kipindi kizuri zaidi kama hiki Hongera sana
@mrishompoto
@mrishompoto 6 жыл бұрын
Nashkuru sana Miracle kwa ushirikiano endelea kutufuatiia hapa hapa na usubscribe sasa hapo chini
@miracleayoub4195
@miracleayoub4195 6 жыл бұрын
MrishoMpoto tupo pamoja Mjomba Kipindi kizuri @mjomba Hongera
@mrishompoto
@mrishompoto 6 жыл бұрын
Mjomba mjomba nashukuru sana tunapambana
@darisimauridi8183
@darisimauridi8183 6 жыл бұрын
My favourite artist in the world diamond platnumz mfalme wa mbugan tisha shanaaa
@middobraves3740
@middobraves3740 6 жыл бұрын
Mchizi anafanya kaz hilo ndo ambalo najifunza kutoka kwake anajituma xana
@marjanmahrez5465
@marjanmahrez5465 6 жыл бұрын
Chibu nakukubal jinsi unavyoongea kwa busara respect to u
@alcantaraahmed9818
@alcantaraahmed9818 6 жыл бұрын
Huyu jamaa anazungumza maneno unayasikia na kuelewa...hit like kama unaamini hivo...
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 6 жыл бұрын
Ndo maana wanakuandama sana maan , saf
@alisaidi7583
@alisaidi7583 6 жыл бұрын
Mrisho mpoto unajitahidi sana kufanya kila jambo vijana waamke hongera sana pia hongera mr simba bwana ee we ndo simba original yani ndo basi tena diamond diamond diamond yan unan'gara kama jina lako
@simpletv2708
@simpletv2708 6 жыл бұрын
Dahhhh wcb4life Yani nilitaman mahojiano yasishe waraiii makini San hyu ndugu
@suleimanali3716
@suleimanali3716 6 жыл бұрын
Diamond unajua kujibu mashwali, si lile senge
@mrchainz4524
@mrchainz4524 6 жыл бұрын
You are so GENIUS CHIBU
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 6 жыл бұрын
Dah! Simba maneno yako na life style yako ni sawa na Elimu ya chuo kikuu,nimejifunza mengi kupitia kwako Ubarikiwe,pia mjomba umebuni kipindi bora zaidi ya vpnd vyote TZ
@bekarpaul
@bekarpaul 6 жыл бұрын
dah, kiukweli na kiuharisia kila nnaposikiliza interview za diamond huwa najihic km nimeshafanikiwa tayari, anajua kushauri anajua kumfanya mtu ajihic ni wa thamani kuliko anapojifikiria. mungu akuongoze ktk kila unachokifanya bro kiwe na mafanikio zaidi na zaidi.
@lastseen6815
@lastseen6815 6 жыл бұрын
Clouds media walitaka kukupoteza lkn naona watapotea wao manake wasafi tv sio ya nchi hii
@asallymbwego5906
@asallymbwego5906 6 жыл бұрын
Watuache WCB miaka 100%
@fatumamachemba9887
@fatumamachemba9887 6 жыл бұрын
asante mpambnaji wangu
@mossesmatechi9022
@mossesmatechi9022 6 жыл бұрын
Huyu ni wa Forever 🙌🙌🙌
@vivianminja6332
@vivianminja6332 6 жыл бұрын
Jaamani ukifanya intavyu na chibu hutamani iishe💥💥🔥🔥
@richiedexter6302
@richiedexter6302 6 жыл бұрын
JE UMEJIFUNZA NINI LEO...TOA COMMENT. Mimi nimepata haya; 1) 4:35 "Matusi nayageuza nayafanya yawe hela; yani kama wewe ukiniambia siwezi hiki kitu, naenda kukifanya kusudi nikuonyeshe kwamba nakiweza" 2) 4:55 "Kila mtu ana mtazamo wake" 3) "Unajua watu wengi wanapenda kufatilia tamthilia kama za movie; tengeneza maisha yako yawe kama tamthilia watu wakufate" 4) 21:35 "Kila kitu kinawezekana ila tu unakipa mda wa kufikiria; mjomba, mwanadamu kwa siku lazima ajipe walau lisaa 1 la kuwaza maisha yake" 5) 20:49 "Kidogo ulichonacho unakitumia vipi kiwe na manufaa kwako na kwa jamii" 6) 5:38 " Mimi sijafika hapa kirahisi nime-hustle sana. Ukizungumzia hao vijana ama watu ambao wana usingizi mchache ni mimi. Yaani mimi naweza nikalala saa 10 nikaamka saa 2 asubuhi; nimezidisha sana masaa 4 ndio nimelala" 7)"Hakuna maendeleo pasipo kufanya kazi; mi nafanya sana kazi...mimi nafanya kazi kikweli kweli" 8) "Imeandikwa lazima iwe ngumu ili wawe nayo wachache. Kwa hiyo usikubali kuwa kwenye group la wale WENGI wanaokubali kufeli; kuwa group la wale WACHACHE wanaofanikiwa' 9)"... Na hakuna kilicho rahisi, hata usiku lazima giza liingie ndio nyota zionekane; ukiona kiza kinatanda sana ujue karibu kunapambazuka" 10)"Hakuna maisha yaliyo mepesi; kila kitu kina ugumu. Watu wanadhani unapokuwa MTU FULANI ndio kuna wepesi...NDIO UGUMU UNAONGEZEKA" "THANKS"
@mrishompoto
@mrishompoto 6 жыл бұрын
Mjomba mjomba uko vizuri sana nimependa ulivyochambua point tupu moja moja safi sana mjomba @Richie Dexter
@richiedexter6302
@richiedexter6302 6 жыл бұрын
MrishoMpoto Asante sana mjomba. Nimependa ubunifu. Ni kipindi kizur sana na unauliza maswali vizur sana. Tuletee na wengine zaidi ili tuendelee kujifunza.
@nyangejr0753
@nyangejr0753 6 жыл бұрын
Mjomba mpoto chonde chonde mimi nakuomba sana tuletee na alikiba ili tufahamu pia na yeye anauwezo gani wa kujieleza ilo jambo ninaloliitaji sana NASEEB ABDUL JUMA ISAACK a.k.a DIAMONDPLATNUMZ Kwa kujieleza nimempa asilimia 100
@subiramagembe227
@subiramagembe227 6 жыл бұрын
Richie Dexter 😂
@dorcasgitari8278
@dorcasgitari8278 6 жыл бұрын
Richie Dexter ahsante man.
@madini4913
@madini4913 6 жыл бұрын
Kama unamkubali Simba Mondi gonga like
@aleyslaim4935
@aleyslaim4935 6 жыл бұрын
Mond nimekulewa mkuu
@omegajustin9926
@omegajustin9926 6 жыл бұрын
Hahahahahaaa Mjomba unamuelewa Chibuu mpaka raha, safi sana bonge la lnterview.
@novatimtui124
@novatimtui124 6 жыл бұрын
Mjomba mrisho mpoto mbunifu sanaa
@omegajustin9926
@omegajustin9926 6 жыл бұрын
Chibudi Chibudeee haalaaaaa, songa mbele icon wetu toka Tz kurudi nyuma mwiko na wasahau
@charityjoseph6745
@charityjoseph6745 6 жыл бұрын
hata kama kajiunga we inakuhusu....
@christinarichadi7993
@christinarichadi7993 6 жыл бұрын
daaa diamond umeniongezea kufikili kwa upya tena daaa nakukubali sana
@moshimongelwa7795
@moshimongelwa7795 6 жыл бұрын
Kama. Unakubali Simba usisite gonga like
@shabanimemashabani937
@shabanimemashabani937 6 жыл бұрын
nimejifunza kitu kutoka kwa bro
@fatumamachemba9887
@fatumamachemba9887 6 жыл бұрын
jamaàaà uhu namkubali adi naisi shida
@brendaduncan8121
@brendaduncan8121 6 жыл бұрын
I love this Man🤗
@chusedangote2927
@chusedangote2927 6 жыл бұрын
Mjombaa hichii kipindii ni kizurii sanaa hongeraa
@athanastheonest6728
@athanastheonest6728 6 жыл бұрын
Simba mwenye mziki wake
@adolfmjungu4000
@adolfmjungu4000 6 жыл бұрын
natamani kuwa kama wewe mrisho mpoto
@mrishompoto
@mrishompoto 6 жыл бұрын
Pambana sana mjomba @Arafati
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 6 жыл бұрын
Anza kutembea bila ya viatu utakua umeanza hatua moja😀😀😀
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 6 жыл бұрын
Samahani mjomba nimetania😀😀😀
@jemedary6271
@jemedary6271 6 жыл бұрын
arafati mjungu inawezekana
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 жыл бұрын
MrishoMpoto 😅🤣😂😂🙂 anataka kuwa kama wewe na wewe utakuwa nani
@fadhiliabiudi1244
@fadhiliabiudi1244 6 жыл бұрын
chibu ake ...toa #yai brooo
@chapeesalum3162
@chapeesalum3162 6 жыл бұрын
Me nataka kuimba @simba
@sergeishimwe3969
@sergeishimwe3969 6 жыл бұрын
ana sauti nzuri
@salumuhaji4182
@salumuhaji4182 6 жыл бұрын
Pongezi zimwendee pia Mrisho Mpoto a.k.a mjomba naye ni mbunifu wa burudani, Salute kwa Diamond platinum ushauri wangu mm muweke Mungu karibu yako bado ukiwa kijana
@zachariamishai7258
@zachariamishai7258 6 жыл бұрын
Hiki kipind ni 🔥🔥 sana... 🙌
@nakafuirene4258
@nakafuirene4258 6 жыл бұрын
nakupendaga bule nakikubwa unajuwa kujieleza safi kabisa
@SuperKibwana
@SuperKibwana 6 жыл бұрын
one of the best show ever. Hekima na busara kwa wingi, utanashati, ujasiriamali, mtazamo wa maisha kwa ujumla. Yaani kipindi kimetulia saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana.
@mrchainz4524
@mrchainz4524 6 жыл бұрын
Unaongea point tupu tu km msomi vile
@hoseanobocka4533
@hoseanobocka4533 6 жыл бұрын
Ali Chainzy Diamond kama ,msomi tena zaid ya msomi mm naona hyu jama serikali imtumie
@misalabacharles2728
@misalabacharles2728 6 жыл бұрын
Mjomba ndo Legend wa Tanzania
@simpletv2708
@simpletv2708 6 жыл бұрын
Japokuw unatow madini lakini watu hatar hawashugurik nayo wao wanang'ang'ania ujinga TU na hauchuji ng'o MTU asiekuw n roho mbaya bhan hanashidaaaaaa!!
@fabianfrank8642
@fabianfrank8642 6 жыл бұрын
Sauda Ally et ehh mtazamo Wang mama
@malpesaomar9568
@malpesaomar9568 6 жыл бұрын
Simbaaaaa
@ngowated3657
@ngowated3657 6 жыл бұрын
watching from Kenya.
@ibrahimibrahim2238
@ibrahimibrahim2238 6 жыл бұрын
Jitu Baya 👌
@jeanmalilo2465
@jeanmalilo2465 6 жыл бұрын
Huyo ndo simbaaa
@moshimongelwa7795
@moshimongelwa7795 6 жыл бұрын
Navyo kupendea ahuna majigambo
@rivaldoshirima4966
@rivaldoshirima4966 6 жыл бұрын
Kipindi kizur....congrat Kaka Mboto...tuletee Alikiba kaka...
@martinezsiwale4419
@martinezsiwale4419 6 жыл бұрын
Mwalimu wa hii bongo fleva ili kuwafundisha namna ya kupata pesaa this is chibu evara
@callmangumbo1552
@callmangumbo1552 6 жыл бұрын
Kwanza Hongera mjomba, pili samahani kama nitakukwaza tatu nilikuwa nakaushauri kidogo mjomba, "mjomba Pindi unapouliza swali tafadhali wacha mtu ajibu mpaka mwisho kisha umuulize lingine, Maana umekuwa ukishamuuliza, hajamaliza kujibu, umeuliza lingine, akhsante
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 жыл бұрын
Mpoto Anabahati haishi Marekani, Hayo Mavazi yake Angeeleweka Kivingine sana!
@wilsonwizzo2483
@wilsonwizzo2483 6 жыл бұрын
daaaah simbaaa anajua sanaa
@melkiadgangai5271
@melkiadgangai5271 Жыл бұрын
Diamond Platnumz, Tanzania One wa muda wote
@newAfrikaTV
@newAfrikaTV 6 жыл бұрын
Big up Diamond #hata usiku lazima kiza kiingie ndio nyota zionekane " that is a tweetable quote... kipindi kizuri sana "mjomba" i used to listen your song "Adela" , i loved it !
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 6 жыл бұрын
You the best and will always be @Mond........and that's why I like watching your interviews...you speak points and facts
@mapenzimatamu5289
@mapenzimatamu5289 6 жыл бұрын
Huyu anaongea positivity
@halidyndete3577
@halidyndete3577 6 жыл бұрын
Daaah mjomba wewe ni mbunifu kwa kipindi iki wewe ni moto pia simba ongela kwa darasa
@alsharifudaddy2575
@alsharifudaddy2575 6 жыл бұрын
Lisaa limoja la kufikiria kwa cku.
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 6 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kukumbuka mtoto wako wa Kwanza Mwanza
@wilsonwizzo2483
@wilsonwizzo2483 6 жыл бұрын
huyo ndo C.E.O
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 6 жыл бұрын
Diamond on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@robertraphael9354
@robertraphael9354 6 жыл бұрын
No shida kudadeki alikiba hawez kuwa na akili za mondi.
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 4 жыл бұрын
Gd- sanaa MjombA
@subiramagembe227
@subiramagembe227 6 жыл бұрын
kwel chibu..hapo umeongea..napenda kuona life yako mzee baba.
@vivianminja6332
@vivianminja6332 6 жыл бұрын
simbaaaa😘😭🙌🙌🏃💥💥🔥🔥🔥
@kizaabwe726
@kizaabwe726 6 жыл бұрын
Ndo simba uyo
@frankyotham9398
@frankyotham9398 2 жыл бұрын
Hii interview nilikuwa naitafuta Sana
@emmanuelimbanga
@emmanuelimbanga 6 ай бұрын
Mjombaa ❤❤❤
@sizzyzed510
@sizzyzed510 6 жыл бұрын
Mjomba umenichekeshaaa..ila kaka Naseeb una wise words God bless you
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 4 жыл бұрын
Mjomba huyu jamaa fanyeni mufanye.. Mpe interview nyengine.
@mwinyimadk.longwa6327
@mwinyimadk.longwa6327 6 жыл бұрын
Upo vzr xn
@zakayomollel7778
@zakayomollel7778 6 жыл бұрын
hiyo ni kweli simbaaaa watabaki na labda
@winniemwasenga
@winniemwasenga 6 жыл бұрын
SIMBAAAAAAAAAAAA
@zyaadtrue8526
@zyaadtrue8526 6 жыл бұрын
Kuch kuch hota hae ..my best movie...tunaendanisha...naona..@diamond platinumz
@King_Shark360
@King_Shark360 6 жыл бұрын
kweli brooo weka ukweli wako bayana hata mungu hupenda hivo mondi kaza brooo hakika muziki wetu uko mbari sana
@martinedavison9737
@martinedavison9737 6 жыл бұрын
Diamond kweli we ninoma saana maisha marefu kwako broo kweli unatixha xana
@raphaelkanoni3453
@raphaelkanoni3453 6 жыл бұрын
Big up Mond Unajua Sana Bro❤ Hiv tunaomba utujibu swali hili"unasomaga vitabu vya aina gani"?
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 6 жыл бұрын
Daaah,lazma mwana mke anajiweza,hakuweka live...
@godkanuya3618
@godkanuya3618 6 жыл бұрын
hhahhaahah
@philoteuslwena3082
@philoteuslwena3082 6 жыл бұрын
bonge la show mzee wa pekupeku... kaza buti na ongeza juhudi
@amalflores8919
@amalflores8919 6 жыл бұрын
wenye kujigamba na vocals wamesikia
@kingkala9843
@kingkala9843 5 жыл бұрын
Nice bro
@hassanrashid5599
@hassanrashid5599 6 жыл бұрын
Noma sana jamaa yuko vizuri
@mapenzimatamu5289
@mapenzimatamu5289 6 жыл бұрын
Yule mwenzake angelalamika
@josephmateru8892
@josephmateru8892 6 жыл бұрын
Bonge La Kipind Mjombaaaa tisha Sanaaaa
@kakamau0384
@kakamau0384 6 жыл бұрын
Diamond platnumz 💎💎💎 you are great artist from Tanzania no one like you brother
@brajurajise4583
@brajurajise4583 6 жыл бұрын
Safi sana mjomba nimeitamani hii sana
@RamSimiyu123
@RamSimiyu123 9 ай бұрын
❤it's good
@hawahawae6442
@hawahawae6442 6 жыл бұрын
jaman niambien mrisho mpoto kavaa nnkanzu au dera
@josephmateru8892
@josephmateru8892 6 жыл бұрын
Ukizingatia Dangote Ndani Ya Nyumba Chibu deee Lps Dendaaa Mnyamaaa Simbaaaa Tisha sanaa
@edwardpaulo3351
@edwardpaulo3351 8 ай бұрын
Hii Niya mwaka gani sasa
@mr.piellenoposzi3302
@mr.piellenoposzi3302 6 жыл бұрын
Kak diamond are u a hero ma bro god continue to help u to blessing u
@godkanuya3618
@godkanuya3618 6 жыл бұрын
diamond platinumz ni kweli anaenda kutumbuiza world cup ...........mbona kwenye list kule haonekani
@frnkkayange4376
@frnkkayange4376 6 жыл бұрын
God Kanuya yup bong hap aend wap?
@jemedary6271
@jemedary6271 6 жыл бұрын
God Kanuya yupo
@faumash831
@faumash831 6 жыл бұрын
😂😂😂😂aki baba tee nakufananisha na mtu flani najua akuku danger himself bt cha msingi ni ati unapenda wanao n that’s the spirit daddy 😍😍
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 жыл бұрын
Mashaallh
@edgarmsabila4470
@edgarmsabila4470 6 жыл бұрын
Best for eve Mr diamond
@esteritohdavid3814
@esteritohdavid3814 6 жыл бұрын
Umeongea point diamond ur no one bro
@chandengao8795
@chandengao8795 6 жыл бұрын
Kaka mpoto wewe genius kubwa kwako
@alexplatnum4762
@alexplatnum4762 6 жыл бұрын
ww diamond cjui tukupe jina lipi? hapa #TANZANIA sisi wabongo jamaniiiii!!!!!!
@guccij3549
@guccij3549 6 жыл бұрын
Live vjana wa weng wanaamin kufankiwA mbkA ucHaw.......
@dorcasgitari8278
@dorcasgitari8278 6 жыл бұрын
Mrisho Mpoto ni icon wa kwangu I say.
@arnoldponera8032
@arnoldponera8032 6 жыл бұрын
Duuuh mond unani espire mm sanaaa
@mangonmangon936
@mangonmangon936 6 жыл бұрын
rion
@roseirungo1950
@roseirungo1950 6 жыл бұрын
Mangon Mangon lion 👈👈👈
@millicentauma2753
@millicentauma2753 6 жыл бұрын
Nice movie, thanks for uploading.
Kaa Hapa Episode 7 Diamond
27:21
MrishoMpoto
Рет қаралды 86 М.
Nilijua HARMONIZE ni Mtoto Laini Laini Tu - Mrisho Mpoto
18:22
TimesFMTZ
Рет қаралды 338 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 58 МЛН
Diamond Platnumz alivyowaacha hoi wanachuo Nairobi kwenye THE TREND
28:08
Mrisho Mpoto Ft Harmonize -  Nimwage Radhi (Official Music Video)
4:23
MRISHO MPOTO AMNYANYUA RAIS BILA UWOGA
10:44
MrishoMpoto
Рет қаралды 7 М.
Diamond Platnumz - Mombasa Concert (12th October 2014)
48:44
Diamond Platnumz
Рет қаралды 828 М.
TAKE ONE EXCLUSIVE NA DIAMOND PLATINUM part 1
12:25
cloudstvtz
Рет қаралды 185 М.
Sizonje - Mrisho Mpoto ft Banana Zorro (Official Video)
5:38
MrishoMpoto
Рет қаралды 1 МЛН
Mrisho Mpoto X Harmonize - Nimwage Radhi (STUDIO SESSION)
18:00
Harmonize
Рет қаралды 754 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН