Mmh!kuna viraa hatukatai lakini hiyo hati iliyoandikiwa hiyo mas haf ni kati ya hati zipi katika hivo viraa? Muitazame vizuri hiyo mas haf, kosa ya hiyo mashaf imeandikwa kwa hati ya lahaja ya kimoroco na wala si kwa hati ya warsh. Niwaombe t na nyie mukarejee vizuri aina za viraa na khatwi zake halafu muje mutuelimishe tena.
@samirhumud74083 ай бұрын
Wew soma dini mbona misahafu hiyo ipo kibao nchi tofauti ,imeandikwa kwa kiraa cha Arshi.Tatizo tz tunasoma misahafu ya aina 1 tu
Maalim hio lengo kubwa ni kizazi kijacho ili kianze kujikonfuse wenyewe kwa wenyewe ili lengo Lau la kuchafua lifanikiwe. Jiulize mbona lugha Yao haina vitu kama hivo?
@mohdkhatib2233 ай бұрын
Kukomfyuz vipi wakati hivyo visomo vipo tangu enzi za mtume saw
@samirhumud74083 ай бұрын
Kwani kuna kizazi hawaruhusiwi kusoma ?
@hassanmitayo18753 ай бұрын
Maswahaba walisoma Quran iliyoandikwa kwa hatyi ya wapi? na kwa nini tusifuate hiyo?, mnatuchanganya na usomi wenu, maana ukijiuliza maswali mengi hauingii akilini
@mwanamkemuislamutv93692 ай бұрын
Tatizo elimu..mtu akielimika basi hawi na mshangao kama huu.
@rayaalhabsi17253 ай бұрын
Inayo makosa Kwa sababu misahafu yote ina juzuu 30 mbona huo una juzuu 60
@samirhumud74083 ай бұрын
Soma dini acha kukurupuka.Hamna kosa 60 ni hizb na wala si juzuu.Juzuu 1 ina hizbu 2.
@mwanamkemuislamutv93693 ай бұрын
Ikiwa unajuzuu sitini hebu twambie ni juzuu ipi na ipi imeongezeka na sura zipi zimeongezeka ndani ya hizo juzuu 30 nyengine??
@rayaalhabsi17253 ай бұрын
@@mwanamkemuislamutv9369 tuwa ulize wao walio sema ina juzuu 60