kumbe Tz kuna wameru pia waaah uchawi wa ajabu haitawaiisha Africa 🙏🇰🇪🇪🇺
@davidkitomary51742 жыл бұрын
Ndugu muandishi, next time salimia Mshili kwa heshima tafadhali.
@amanimusenyi82172 жыл бұрын
Kabisa asee
@mc-shaulinsingeristmsomi39032 жыл бұрын
Inaskitisha sana pale ambapo waafrika wasiojielewa kuita asili zao uchawi na kuzilaani ,,,iih inaonyesha kwa kiwango kikubwa watu ni watumwa wa kifkra,,,amkeni waafrika msijifanye mnajua sana dini wakat zimeletwa na meli tuh...
@rahabnkya82762 жыл бұрын
Ninamshukuru MUNGU SANA, mzee Sumari!! Umesema serikali haiwezi KUJUA tatizo la Mawe! KUMBUKUMBU ya mgogoro ha Elerai. Kuna MTU analia!
@Worldunite2 жыл бұрын
Afrika tushakuwa watumwa,yaani imani za asili zinaitwa "ushirikina" na imani zilizoletwa na wageni tunaziita "dini", kwanini mnapenda kushusha thamani za imani zilizokuwepo toka jadi??? Ina maana mababu zetu walikuwa washirikina???? Kwanini nazo msiziite "imani za jadi"
@mankambise20002 жыл бұрын
Nakuelewa sana yaani nachukia sana watu wanavyochukulia tamaduni
@ayububakari99422 жыл бұрын
@@mankambise2000 kurushwa mawe pasipojulikana siyo tamaduni !! na kama ni tamaduni ni tamaduni ya nani !!??
@chrismassawe3262 жыл бұрын
@@ayububakari9942 hahaha ni tamaduni ya kurusha mawe mbona hujiulizi unaweka vocha kwa simu unapiga kwa mtu yupo mbali kwa nn sio uchawi pia ..ila hayo ni full uchawi tofauti ukisasa
@Worldunite2 жыл бұрын
@@ayububakari9942 yawezekana kuna miiko/matambiko fulani ya jadi yamepuuzwa ndo maana, sbb huenda ni mizimu ya mahala hapo yamekasirika
@chazy7ya2162 жыл бұрын
Iyonimilatuu kituinakwishaaa
@timboxlee9192 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wa wameru,umeongea vzr Sana
@emmanuelmaige22122 жыл бұрын
Saboko maila umefika mbali MUNGU hutenda kwa wakati wake, hawahi Wala hachelewi.yeye hafananishwi na kitu chochote
@emilianannko1392 жыл бұрын
Wazee wakishakutana kwny mringaringa mambo yataisha tuu.....tatizo meru dhuluma za ardhi zimezidi ....au wapasue chungu ila watu watanyooka
@jullymshashu8562 жыл бұрын
Chungu c watu wataisha ata wasiohusika
@scolajoseph8402 жыл бұрын
@@jullymshashu856 na ndo chenyew wanavyosema mpka kweny tarh 15 asipojitokeza mtu imekula
@jullymshashu8562 жыл бұрын
Lkn naonaga matangazo ya kuvunja chungu kabla ñgoja tuone
@sashahauke20322 жыл бұрын
Hata mimi nilisema itakua itakua mtu kamzulum mwenzie hamjui wameru nyie weeee
@sabokomaila18272 жыл бұрын
Aiseee dah
@mwanadamtz12982 жыл бұрын
Mwamposa ukowapi inamaana husiki vilio vya watuu. Gwajimaaeee tafadharii. Oyaaa KUHANI MUSSAA EHEE TWENDEZETU KULE UKA NYOOSHE MAMBO. Ila bebeni Element
@chazy7ya2162 жыл бұрын
Akunakitu apo iyonimila tuu mawe yanatoka aridhini yenyewe
@MtuSafi2 жыл бұрын
😀😀Iman kitu kibaya sana sasa hao uliowataja si wasanii tu..{wapigaji wa ushirikina} Labda kama mnataka waganga mana wale wanatumia nguvu za giza hawana upako hata mmoja wao pale.
@mc-shaulinsingeristmsomi39032 жыл бұрын
Iyo ni Mila ya muafrika amna ataeweza kuzuia zaid ya wazee wa mila
Nikweli Hili swala lipelekwe kimila yesu kashindwa
@jesusiscomingback48962 жыл бұрын
Pole wewe ndio umeshindwa!! Yesu hajawahi shindwa kamwe katazame kaburi lake kama yupo Ila mwanadamu aka Mila aka waganga mpaka Leo hamjawah shinda Mauti poleni.. Yesu NI yeye Yule Jana Leo na milele mawe sio kitu hata alitembea juu ya maji sembuse mawe
@sabokomaila18272 жыл бұрын
@@jesusiscomingback4896 Africa tushakuwa watumwa yesu hakuwepo henzi za mababu wetu walifanya mila zao kwa mambo yao na walifanikiwa kwa nini kaenda mchungaji kashindwa nakapigwa mawe
@MtuSafi2 жыл бұрын
@@jesusiscomingback4896 tulia na wewe sasa muite yesu wako akamlize..Kwani aliekwambia mila ni uchawi ni nani?
@ankotemba73692 жыл бұрын
Mpuuzi sana
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣EtyesukShindwa ww mchokozi😂😂😂
@Zainab-sq1tc2 жыл бұрын
Kwahy hayo mawe sio nyumb moja mtaa mzima
@bujoratv99872 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hYHYi51tiLaKj68 FAHAMU MALIKIA QUEEN ELIZABETH HUSHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA MARA MBILI KWA MWAKA..