Рет қаралды 20,463
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
NI mshtuko! Hicho ndicho kilichotokea kufuatia tukio la hivi karibuni lililojiri Kinondoni jijini Dar, baada ya wanandugu kuhakiki mwili wa aliyedaiwa kuwa ni ndugu yao ( Lutavi Michael Joseph) ukiwa mochwari na kuthibitisha kuwa ni yeye na baadaye kumzika kwa heshima zote DESEMBA MWAKA 2016, lakini kwa namna ya kushangaza,miezi michache baadaye, ‘marehemu’ anaibuka nyumbani na kuzua taharuki.
“Wakati wa kuaga mwili, tuliamua tusiufunue kwa kuwa alikaa hospitali muda mrefu, hivyo ndugu wengine hawakupata nafasi ya kumuona kisha tukamzika kwenye Makaburi ya Kinondoni.
“Cha ajabu siku ya Jumanne (JULAI 2017), Lutavi akabisha hodi, akaingia na kunikumbatia, watu wote tulishtuka, lakini baada ya kumhoji tunaamini ni yeye, tuliyemzika siye.
Bibi wa ‘marehemu’ huyo anasimulia.
Ni kisa cha ajabu lakini ni kweli! Wamehojiwa na Kelvin Shayo wa GLOBAL TVONLINE, babu,bibi na mchungaji wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .