Mwaka gani msimu wa 4huu anarudia makosa hayo hayo
@selemanmcharazoАй бұрын
Mzize mchezaji mzuri hana shida
@michaelthobias9967Ай бұрын
Mzize ni yule yule ni mzize Mimi sioni badiliko lolote
@AsifuSuleАй бұрын
Umr unamruhusu tumemkuza wenyewe aachwe hapa hapa atafunga tu
@0badiaMwasongwe-rt1wrАй бұрын
Watu wanamuangalia mzize kwa uvivu au kwakutakaa afunge tuu lkn mzize hata kama hajafungaa anaumuhimu sanaa kule mbele anakaba, Anaspeed anawawekaa mabeki ktk presh muda wotee
@abrahamchengula8137Ай бұрын
MNAWACHAMBUZI WA MPIRA WAZURI LAKINI JEMEDARI NI MPOTOSHWAJI ANAAMINI KATIKA MAWAZO YAKE YEYE NA SIO UHALISIA NA MATARAJIO.MKIENDELEA KUMTUMIA HUYO KAMA MCHAMBUZI WASAFI WATAWAACHA MBALI SANA HAPO PAUL MKAINA HANS RAFAEL NA WENGINE WAPO SAFI SANA