Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. Milioni 425 Marekani arejea nyumbani

  Рет қаралды 649,363

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Benjamin Fernandes ni Mtanzania ambaye ameingia kwenye headlines katika mitandao mbalimbali baada ya kuhitimu Masters kwenye Chuo Kikuu cha Biashara kinachotajwa kuwa Namba moja Duniani, Stanford, Marekani.
Benjamin anayo hii story nyingine baada ya kukataa ofa za kufanya kazi kwenye makampuni makubwa ambayo yalikuwa tayari kumlipa hadi Tsh. 425m kwa mwaka kama angekubali kufanya kazi akiwa Marekani.

Пікірлер: 902
@benedictmwaluko1617
@benedictmwaluko1617 5 жыл бұрын
Benjamin mzalendo wakweli gonga like Kama kweli umamkubali Benjamin kuwa mzalendo wa nchi yetuu
@robarttomyd2982
@robarttomyd2982 4 жыл бұрын
Benedict Mwalukoyesuni jibu LA mamboyote
@doriakenda7567
@doriakenda7567 3 ай бұрын
We fala hoi nchi Haina uzalendo viongoz wanajilimbikizia Mali Yan kafanya uboya huyo jamaa kukataa kukaa marekan
@pastordaudhamad6396
@pastordaudhamad6396 7 жыл бұрын
hongera sana Benjamin Fernandes,kwa upande wangu nimejifunza vitu vizuri sana, na umeinua sana kitu kikubwa sana ndani yangu.. ninayo maono, kupitia ulichokisema Nimefanikiwa.
@nurakanik1394
@nurakanik1394 5 жыл бұрын
hongera sana ndugu yangu umeonyesha uzarendo mkubwa wanaokulaumu achanao niwashamba tena.washamba endelea kuipenda nchiyako
@ezekielmahalu4224
@ezekielmahalu4224 Жыл бұрын
Hongera sana B kwa uzalendo wako hakika utafika mbali. Mungu akubariki sana
@user-nd9ns4zw9k
@user-nd9ns4zw9k 3 ай бұрын
Ila nchi yetu wasom ndio wajinga wetu
@jacquilinemahumbi5950
@jacquilinemahumbi5950 6 жыл бұрын
Benjamin Nakupenda Mungu akubariki watanzania igeni Tabia hii k
@oscaryona6013
@oscaryona6013 5 жыл бұрын
Asante sana Benjamin umenifungua kitu akilini mwangu
@godblessemanuel8869
@godblessemanuel8869 7 жыл бұрын
Mwanzoni niliposikia umekata hizo offer niliona umakosea but nilipokusikiliza nimekuelewa sana Kaka. Big Up!!!
@petereliyamagola6061
@petereliyamagola6061 7 жыл бұрын
Safi sana Ben, ushauri wangu kwako kuhusu hayo makampuni ya nje waambie kama wanataka kufanya kazi na wewe waje wafungue buashara/ branches hapa Tanzania halafu wewe uyasimamie huku ukiinufaisha nchi yako kiuchumi na pia kutoa fursa kwa Watanzania wenzako kupitia makampuni hayo. Ubarikiwe sana, Pia Mshike sana Yesu Kristo.
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 жыл бұрын
*Peter Eliya* yes umeongea point my
@petereliyamagola6061
@petereliyamagola6061 7 жыл бұрын
Saumu Hassan Asante sana Dada Naona hiyo itasaidia wengi
@PrinceEddyCool
@PrinceEddyCool 7 жыл бұрын
this is the greatest idea bro, rather than what the guy thought. ni kuwashaur wafngue makampuni Tz ayasimamie na pia watanzania wangept ajira. na kama ni uendo wa nchi ungeonekana hapo maana nchi ingefaidika kiuchumi. ila upendo wa maneno utasaidia nin.
@allyhamad7999
@allyhamad7999 7 жыл бұрын
Peter Eliya , Point nzuri
@fatmanasser6829
@fatmanasser6829 7 жыл бұрын
Peter Eliya mmmmmmh amshike nani mmmmmhh hongera kaka yangu mie
@makapaabdallah7937
@makapaabdallah7937 6 жыл бұрын
nimepata kitu. hongera sana kaka benja. ipo siku tutakutana mzarendo mwenzangu na kuifikisha mbali nchi yetu
@Mrero1971
@Mrero1971 2 жыл бұрын
Aisee...hii interview ilikuwa top notch. Mmefanya vizuri sana kum-highlight Benjamin. Ataenda mbali sana. Kudos!
@rachelmisoji4675
@rachelmisoji4675 6 жыл бұрын
Siko tanzania lakini naipenda nchi yangu, nikiulizwa natokea wapi, nawajibu Tanzania
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Onyesha vitendo siyo bla bla
@mrsjuma100
@mrsjuma100 7 жыл бұрын
Huyu anaetoka marekani alofanya kazi na kina Bill Gate haongei kiingereza kwenye interview. kaongea kiswahili japo kwa shida. Wangekuwa wale kina mawigi na mikorogo na shepu feki ungesikia "u know ze sing is"
@sofiyusufu7414
@sofiyusufu7414 7 жыл бұрын
mashuea salim 😁😁😁😁
@jemahenry3825
@jemahenry3825 6 жыл бұрын
mashuea salim umenichekesha
@trapboy3835
@trapboy3835 6 жыл бұрын
mashuea salim 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@dicksonvitus7181
@dicksonvitus7181 6 жыл бұрын
saf ben
@imaraimara4975
@imaraimara4975 6 жыл бұрын
mashuea salim 😂
@EREVUKATV
@EREVUKATV 5 жыл бұрын
huyu jamaa anaakili ndefu sana, kwakweli huna majivuno unajitambua sana nimekuelewa sana kaka, thank u much
@flaviousbenedict6489
@flaviousbenedict6489 5 жыл бұрын
Nimejifunza kumsikiliza Roho Mtakatifu wa Bwana maana mama ni mchungaji na baba pia. Uenda kuna maono waliyaona juu ya kijana wao. Hongera sana. Alafu na Ben ana hofu ya Mungu, hongera sana
@shadrackvallence3519
@shadrackvallence3519 7 жыл бұрын
Hongera sana Benjamini. Noted. 1.Kufanya kile ninachokipenda. 2.Kuweka malengo. 3.Kufanya kazi kwa bidii. 4.Kuanza na kuheshimu mwanzo mdogo.
@ibrahimoswald5309
@ibrahimoswald5309 6 жыл бұрын
ongera sana benja umenijenga kuakili jah bless u brother
@abdullykadirdhulfiqaar1312
@abdullykadirdhulfiqaar1312 7 жыл бұрын
exactly hawa ndio wanaojielewa huku katika universe congrats Benjamin Fernandes
@bongoraahchingani5381
@bongoraahchingani5381 5 жыл бұрын
Abdullykadir Dhulfiqaar hongera mungu nimwema👏
@emilydavidmdoe3552
@emilydavidmdoe3552 5 жыл бұрын
hongera sana Asante kwa kazi nzuri unayoifanya,wewe Ni Mtanzania wa aina yake,barikiwa
@furbenj7405
@furbenj7405 Жыл бұрын
Nice is true tumeona moyo wako na jinsi unampenda Mungu safi sana tumeona matokeo na bidii perfect
@Watema23
@Watema23 7 жыл бұрын
Benja, wa ambie wa ndungu zetu wa afrika kuhusu mdaa ni muhimu sana. Nipo marekani, Atlana,Georgia.
@maddymreta2369
@maddymreta2369 4 жыл бұрын
Kwahyo kama upo atlanta marekani unatusaidiaje
@johannesmligiliche6714
@johannesmligiliche6714 7 жыл бұрын
Great Mind Think Big Poor Mind Think nothing big Up Bro i Get You Well
@fatumasaimon5387
@fatumasaimon5387 7 жыл бұрын
exactly
@janemlyuka5694
@janemlyuka5694 7 жыл бұрын
nimekuelewa sn benja upo vizuri
@debohamisi5735
@debohamisi5735 7 жыл бұрын
Johannes Mligiliche
@DrElizabethHLemaND
@DrElizabethHLemaND 7 жыл бұрын
Nimekupenda. Nakuelewa na utafanya mambo makubwa sana. tena ukiwa kwenye Uhuru kamili. big up
@lulyehomadale9009
@lulyehomadale9009 7 жыл бұрын
genius huwa hawaweki pesa kipaumbele
@wasingyakirivwa4681
@wasingyakirivwa4681 4 жыл бұрын
Mimi nataka Rdcongo, vraiment tes propos me donnes courage de travailler dur. Mungu akubariki kaka
@innocenttemba4066
@innocenttemba4066 6 жыл бұрын
Mungu akubariki sa na sana Tusaidie vijana tu Motivate Help Us Man.
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
Amin bro Benjamin Siri ni yesu ,,Mungu
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 6 жыл бұрын
benja mungu akubaliki sana niwachache mno
@bernadyahimba4279
@bernadyahimba4279 3 жыл бұрын
Maslahi ya nchi kwanza kwa hilo nakupongeza Bwana Fernandes 👏👏👏👏👏👏👏
@subirajohn9984
@subirajohn9984 7 жыл бұрын
Hongera Sana Kaka Benjamin, ni vijana wachache Sana wenye moyo kama wako. Umekuwa mfano wa kuigwa na nimejifunza mengi kupitia uamuzi wako. Tunakuombea na Mungu azidi kukubariki wewe na kizazi chako. Wabarikiwe wazazi wako pia. Mungu ubariki Tanzania, Mungu ubariki Africa.
@husseinmussa7440
@husseinmussa7440 7 жыл бұрын
This guy is smart..
@ibnmasoud8151
@ibnmasoud8151 5 жыл бұрын
He is good yko real sana kweny maisha na anathamin san nchi yke na kilichonvutia zaid anapta shda sna kweny kuongea kiswahil lkn anajtahd kweny kusimama na uzalendo Keeps up Benjamin (One Love Tanzania)
@neemamsafiri3129
@neemamsafiri3129 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Benjamin,Mungu anataka uwe sababu ya mageuzi makubwa ya kiuchumi nchini,hasa kwa vijana.safi sana.
@majaliwachamphene6976
@majaliwachamphene6976 6 жыл бұрын
You're among the heroes and great people ever seen, especially for this generation
@amourmtungo623
@amourmtungo623 7 жыл бұрын
Kuishi Ulaya au Marekani kwa muda wa miaka mitano hadi ishirini sio tatizo. Kama moyo wako na hisia zako zote ziko juu ya nchi yako, huo ndio uzalendo halisi. Kuishi nje ya nchi watu wengi hufanya hivyo kwa ajili ya elimu na mtaji wa maisha. Mambo yakijiseti watu hurudi nyumbani. Ni muhimu kwa serikali ya Tanzania kuwakubali wananchi wake wanaoishi nje kwa kukubali kuwapa dual citizenship. Sio jambo jipya au geni nchi nyingi zimeshafaidika na mfumo huo kwa miaka mingi sasa. Tusiwe waoga jamani there's nothing to lose. To live is to learn from others. Welcome home yoo, big up..👍😁.
@gulilamwambungu5546
@gulilamwambungu5546 6 жыл бұрын
Benja hongera sana .Mungu akuzidushe akuongezee hekima na maisha marefu
@paulndege9625
@paulndege9625 7 жыл бұрын
This guy is smart. hongera na hakika utafika mbali sana. kupitia hii clip kuna kitu nimejifunza
@tanzaniakwanza9564
@tanzaniakwanza9564 7 жыл бұрын
Una mawazo mazuri Benjamin Pongezi kwako: tatizo kubwa huku Tanzania vijana wengi wasio na ajira wanalalamika hawana mtaji wa biashara wengine ata hilo wazo la biashara tu hawana lakini ukichunguza wanatumia sii chini ya 14,000/= Tshs. kwa mwezi kwa kununua bando, ela ambayo kama ingetunzwa kidogokidogo ingeweza kutumika kama mtaji baada ya muda fulani, ukizingatia vitu wanavyovifanya mtandaoni full time havina maslahi yoyote kiuchumi na katika kuinua maisha yao ya sasa na baadaye inabidi tuamke Tz hasa vijana. shukrani Brah Millard Ayo kwa taarifa.
@mariammariam6307
@mariammariam6307 5 жыл бұрын
Ben hongera sana unaupeo wambari sana kiakiri mungu anakitu ndani yako kuhusu taifa lako kaka
@wendelnkumburu903
@wendelnkumburu903 5 жыл бұрын
HONGERA BENJA MAKUFULI UNAKIONA KICHWA HICHO KINAFAA
@naymlip2956
@naymlip2956 7 жыл бұрын
hongeraa kwa uzalendo,, hata kutumia lugha ya kiswahil pekee ni uzalendo angekua mwingnee apa ungesikia u know am ,,,,,,,
@sofiyusufu7414
@sofiyusufu7414 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@modernboy401
@modernboy401 6 жыл бұрын
hahaaa really
@hassanmwasangala1849
@hassanmwasangala1849 5 жыл бұрын
Nampongeza mzalendo huyu
@hassanmwasangala1849
@hassanmwasangala1849 5 жыл бұрын
Naomba ya huyu mzalendo
@onicahschools3148
@onicahschools3148 5 жыл бұрын
@@modernboy401 😗
@patricklary8239
@patricklary8239 5 жыл бұрын
Binafsi Benjamin nimemuelewa vizuri sana lakini nimejifunza kitu kuhusu wamarekani. Marekani ni taifa ambalo linathaminj sana watu ambao ni very genius na creativity katika kulinda heshima ya nchi kwa kujua umuhimu wa watu kama Benjamini kwaajili ya kuleta maendeleo kwa kizazi kijacho ktk taifa na ndio maana hawaoni hata hasara kukupa uraiya kwa gharama yoyote sababu wanajua umuhimu wa mtu kama Benja ktk taifa so Hongera kaka kwa uzalendo.
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 7 жыл бұрын
daaaa! one day yes. I LOVE U TANZANIA
@rachelmisoji4675
@rachelmisoji4675 6 жыл бұрын
Safi Sana, tutarudi nyumbani na sisi umekuwa mfano kwetu
@silaonesmo1322
@silaonesmo1322 7 жыл бұрын
Fernandes umeni inspire kuwa strong kwa kile nnachofanya sa hii I'm so proudly kuona Tz tunabaadhi ya Vijana wanaupeo mkubwa kias hiko ..settle Tz coz we ni Asset kubwa ktk Nchi hii Thank you
@jojigeorige85
@jojigeorige85 7 жыл бұрын
Dah kuna watu 46 wamedislike hichi alichoongea Ben! Ila huyu jamaa amenifanya nijifikirie mara mbili. Nipo Tanzania lakin sidhani kama nnao huo upendo kwa nchi yangu kwa kiwango hicho! Kwa sasa itabid nijifunze zaidi kuipenda nchi hii kwa dhati, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha naweka malengo ya kua mlipa kodi mkubwa baada ya miaka 10-15 ijayo kwa kuanza kuzitambua fursa na kutekeleza makengo kwa hatua na kwa vitendo. Thanks Ben for making me redefine myself
@hamisirashidi3518
@hamisirashidi3518 5 жыл бұрын
Huyujamaa nimemkubali sana anajua unapojikuba mkubalinamwenzio kwanza BG up brother
@johnpurkei3070
@johnpurkei3070 5 жыл бұрын
Hongera sana ndugu yetu, mtanzania mwenzangu kwa kuwa mshindi. Tumefurahia utatuwakilisha sana. Utatuwakilisha Wa Tanzania wote.
@myself4128
@myself4128 6 жыл бұрын
Welcome home bruv! Ur a brainy kid! So useful for the country which is now developing so fast! Ur such an amazing asset
@jimmymangao5698
@jimmymangao5698 7 жыл бұрын
Benjamin, binafsi ninekuelewa na nakubaliana na wewe tatizo sio kulipwa mshahara mkubwa nje bali ni kuwajengea waTanzania msingi wa kujali na kufanya kazi nyumbani...hongera na niajifunza kutoka kwako pia ahsante
@gracejoseph8506
@gracejoseph8506 7 жыл бұрын
congratulations fernandis,your very bright, wachache wenye akili tumeshakuelewa,ila wenye upeo mdogo watazid kufikiria kufanya kaz kwa ajil ya pesa, kumbe pesa inatakiwa ifanye kaz juu yako, god bless u, dumisha uzalendo
@khajikalangwa6388
@khajikalangwa6388 6 жыл бұрын
Grace Joseph g
@khajikalangwa6388
@khajikalangwa6388 6 жыл бұрын
Grace Joseph b
@khajikalangwa6388
@khajikalangwa6388 6 жыл бұрын
Grace Joseph h
@raidondecko6420
@raidondecko6420 5 жыл бұрын
Mkianza na kingeleza malizien na kingeleza mnachanganya changanya
@mabulamlimbu3177
@mabulamlimbu3177 5 жыл бұрын
We c mtanzania tupishe cc wenye nchi we nenda kwenu ulaya
@lizety199
@lizety199 7 жыл бұрын
just like Moses in Bible. He left all riches of Egypt to deliver his own people.
@monicaashery1
@monicaashery1 6 жыл бұрын
True Nationalist and how patriotic? Asante sana na Mungu akubariki.
@godfreymdahila6352
@godfreymdahila6352 4 жыл бұрын
Daaah kumbe mchungaji ana mtoto mkubwa hivi mungu barikii yy na kanisa lake ambalo liko mbezi jogoo agape gonga likeee kama huna wajuwa wazazi wa benjamin
@zanzibaronlytv3470
@zanzibaronlytv3470 7 жыл бұрын
jamaa hataki awe m2mwa kwa kampun ziczofaidisha TANZANIA ,boy nakukubal
@emanuelpawa9424
@emanuelpawa9424 5 жыл бұрын
BUSNA tv
@neychibu2127
@neychibu2127 7 жыл бұрын
I blv in u najua utakuwa na sababu na mungu akuongoze kwailo
@mabulamlimbu3177
@mabulamlimbu3177 5 жыл бұрын
Wewe ni mtanzania lugha yakigeni yanin
@mahadimatsawily5809
@mahadimatsawily5809 5 жыл бұрын
Very nice video. Nimejifuza mambo kadhaa, Naona we have something in common. Thanks MillardAyo and thanks Benjamin
@liberatuskatabazi1941
@liberatuskatabazi1941 7 жыл бұрын
Nimependa uzalendo ulio nao Ben umekuwa mfano mzuri, thanks for inspiration for Tanzanian na kweli unachosema tunatakiwa tuwe wazalendo, tumwamini Mungu, tusikate tamaa kwa Jambo lolote na kufanya kazi kwa Bidii! Nimeipenda sana talk yako
@eliahinnocent9419
@eliahinnocent9419 7 жыл бұрын
good example, great thinker
@simonkamkolwe6392
@simonkamkolwe6392 7 жыл бұрын
you have motivated me broo
@drew9753
@drew9753 3 жыл бұрын
This guy his a legend very smart
@hassankurwa464
@hassankurwa464 5 жыл бұрын
Daaaa umenigusa sana. Inawezekana kwenye kusikia. Una vision ambayo watu wengi inawasumbua. Muda ni hela muda ni kitu muhimu sana
@madamchristina4389
@madamchristina4389 7 жыл бұрын
hongera sana kaka nimepata kitu kutoka kwako Mungu akuongoze tunatakiwa kujiamini na kusimamia malengo yetu
@marcostephano6413
@marcostephano6413 7 жыл бұрын
Madam Christina mzma mrembo
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 7 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kwanzia Leo namm naweka malengo
@nchiyaahadi93
@nchiyaahadi93 5 жыл бұрын
Yaani tanzania ingepata wazalendo wa aina hii tungekuwa mbali nmekukubali sana kk wew ni mtu wa pekee sana mungu akubariki.
@rosemarymnzeru3121
@rosemarymnzeru3121 7 жыл бұрын
am glad that u always remember ur country as I am one of Tanzanians am proudly of u
@MyDeogratius
@MyDeogratius 7 жыл бұрын
Very Good Benjamin; it only needs critical thinkers to understand what u just did; milioni 400 per year ni milioni 33 per month; hela ambayo some people can earn per week, others per day, just use the potential knowledge u have to bring more for our country Tanzania; me too am on my way back to give it all to my country. . #Tanzania kwanza
@shebbytz7111
@shebbytz7111 7 жыл бұрын
bongo bahat mbaya. sijawah ona kama ww bongo,,,, you are the one. much respect. have a long live.
@fatmakungu2160
@fatmakungu2160 4 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Kwa kujijali na kujua thaman ya elimu yako
@edsonuhale
@edsonuhale 7 жыл бұрын
life is about choices...choose wisely your decions you make and you will successfully meet your dreams. Benjamin comes from a wealthy family...money to him will never be a motivation. I love the fact that he knows that and he wants to help people realise their dreams in their own direction or perspective and only he encourage them. The act of refusing great jobs that he explained at the cost of only waving a Tanzanian flag is very wrong. If he really wanted to help young Tanzanians; he would have worked for 4 years and save money of which he would have come back and invest in his country and create jobs or just donated to charities and foundatuons here in Tanzania and help people. I truly love his whole attitude and God bless you for being that humble very intelligent too.
@josephloy2841
@josephloy2841 6 жыл бұрын
maisha ni kuwa na idea sio pesà, we kama unatafuta pesa ujue utàchewa ,kwani money is at a reward after solving some one problems,so find how to solve people s problems to be rewarded,
@michaelkivaria6011
@michaelkivaria6011 7 жыл бұрын
Nyumbani tayari kuna pesa hakuna wasiwasi ila ingekuwa mtoto wa mkulima hiyo hela hakuna kuacha uzalendo afu unakuja huku wakina chenge wanapiga madili.......i respect ur decision
@jesuslove2205
@jesuslove2205 7 жыл бұрын
unaakili kubwa sana bro. Mungu akubariki Sana. ntakutafuta Mugu akipenda
@onlysiyetv1314
@onlysiyetv1314 7 жыл бұрын
Tatizo watanzania wanapenda pesa kuliko ndugu na maana wana Comments zao za ujinga Big up brother Benjamin wazo lako wakitokea watanzania kama wewe Tutaenda mbali
@gfreymc1833
@gfreymc1833 7 жыл бұрын
Aisee huyu kama kunakitu anacho cha ziada kwani yupo positive sana nimfano wa kuigwa
@azizianta6625
@azizianta6625 4 жыл бұрын
Nakukbali
@oscararetas5777
@oscararetas5777 6 жыл бұрын
nikavuta soksi juu haya twende.... mm nmevuta hadi miguu yenyewe bado aitaki kwenda😢😢😢
@rosemarymlaki2270
@rosemarymlaki2270 5 жыл бұрын
Safi
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 5 жыл бұрын
Aretas Osca hahahaha uwiiiii utaniuwa wejamaa.
@machuiizack-pt7uc
@machuiizack-pt7uc Жыл бұрын
Hongera mkuu, maisha huja Kwa jitihada, bidii na maono. Nimekuelewa
@tinamgeni2562
@tinamgeni2562 6 жыл бұрын
hongera sana kaka mungu akubariki
@dorisgoldon7987
@dorisgoldon7987 7 жыл бұрын
hongera Benjamin ni wachache sana wenye view yako ,wengi hawajakuelewa wa nashangaa tuu
@rwizamtugwarwiza9022
@rwizamtugwarwiza9022 7 жыл бұрын
kumbe ni mwaka sawa 35 million kwa mwaka pesa ya kawaida hiyo
@aishamohd9852
@aishamohd9852 7 жыл бұрын
Doris Goldon Kabisa dorice.... yn kuna watu wanacomment bila hata kuelewa nn ameongelea
@jacobmbaru8720
@jacobmbaru8720 7 жыл бұрын
Rwiza Mtugwa Rwiza sio kwa mwaka n million 35.4 kwa mwez
@jacobmbaru8720
@jacobmbaru8720 7 жыл бұрын
Rwiza Mtugwa Rwiza sio kwa mwaka n million 35.4 kwa mwez
@mgayaatanas4991
@mgayaatanas4991 6 жыл бұрын
asante mungu akulinde
@reignsupreme7741
@reignsupreme7741 7 жыл бұрын
All the money is made between the lines,This guy is a blessed soul, and a great resource to our country my dream is to one day work with people with such vision
@MyDeogratius
@MyDeogratius 7 жыл бұрын
true
@mercyzephania5507
@mercyzephania5507 7 жыл бұрын
Weed Matters it will remain a dream...if you do not act on it..life has taught me to always grab any chance you get
@michaelalbertus8672
@michaelalbertus8672 5 жыл бұрын
Reign Supreme naona kama mnaongea mazuri kwa nchi yetu atakama utafanya mazuri kiasi gani utaonekana haufai
@happythomas5026
@happythomas5026 7 жыл бұрын
Benjamin Mungu akulinde , hujisikii na Elimu yako Kama angekuwa mwingine hata kiswhili asingeongea, pili unampenda Mungu sana, Nimekupenda bure kaka yangu, unahekima ya Mungu
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 7 жыл бұрын
Only somebody a patriot like you who do what you have done. Welldone my boy!!!!! God bless you
@zuenaful
@zuenaful 7 жыл бұрын
Design Thinking Skills is everything for sure.
@augustinemtelya5853
@augustinemtelya5853 5 жыл бұрын
you''re young by age but great in mind thinking.
@yasinkahin3100
@yasinkahin3100 7 жыл бұрын
baada ya kuangalia baadhi ya comment imenibidi nichangie kidogo maana naona kuna watu hapa hawajui nn kinaendelea dunia kwasasa, kwasababu tu ww uko ktk position ya chini kimaisha haimaanishi nchi unayoishi ni bure kabisa. Tanzania ni moja kati ya nchi zenye opportunity for growth kama una right idea. huyu kijana ana vision na anaijua tanzania so si mda mrefu atakua bilionea sasa hapo utafananisha na mshahara wa kuajiriwa?
@alinebutoyi3911
@alinebutoyi3911 3 жыл бұрын
Huyu anaitaji kua raisi wa Tanzania 🇹🇿 kwakua ameipenda inchi yake sana I pray for you that one day you will be a president of Tanzania
@brianmarv
@brianmarv 7 жыл бұрын
Quite encouraging and humble. Nimependelea jinsi ametushawishi vijana na kumpatia Yesu sifa.
@spiyerharoun1670
@spiyerharoun1670 7 жыл бұрын
NIMETUMIA MUDA MWINGI KUKUSIKILIZA BENJAMIN NIMEFURAHI SANA MTAZAMO WAKO UPO VIZURI PIA NASEMA ASANTE KWA SABABU NIMEJIFUNZA BAADHI YA TENZI ZAKO NIMEJIFUZA MAMBO NISIYO YAJUA
@tumajoseph7686
@tumajoseph7686 7 жыл бұрын
hongera aisee bwana mkubwa ... utakua hukupewa taarifa kuwa huku kunanamba tunajitahidi kusomeshwa kwa lazima
@hemedsaid3372
@hemedsaid3372 7 жыл бұрын
wewe sio mtanzania hata kiswahili hujui nitawaita watu wa immigration
@charugamba218
@charugamba218 6 жыл бұрын
Kijana nimekuelewa vizuri sana. Malengo ,mipango na mawazo mazuri uliyo nayo ukiyaweka kwenye vitendo na Mungu wa mbinguni akakunyooshea mkono, hakika kipato chako kwa mwaka kitakuwa zaidi ya million 400 kwa mwaka na hao wenye mawazo mgando acha waseme wawezavyo atamia maono yako ila zaidi sana yaweke kwenye vitendo na amini wengi wataajiriwa nawewe na pia utakuwa mlipa kodi mzuri wa nchi hii na jamii itanufaika na uwepo wako Tanzania na kila akuonaye atakwita heri wewe na wazazi wako na nchi yako pia. Nakutakia kilala heri na kila lililojema na hatimaye ufanikiwe katika mambo yako yote.
@princeemmamunda4286
@princeemmamunda4286 6 жыл бұрын
Hongera sana kwa level hiyo nzuri sana pia nashukuru Kwa ushauri wako mzuri kwetu vijana zaidi Mungu akubariki Kwa kuendelea kumshika Bwana Yesu hiyo kati ya point ulizozisema imekuwa big pointi be bless
@topmanenos3963
@topmanenos3963 5 жыл бұрын
Ebana uzarendo ni muhimu sana dah amenifungua sana mzee nampongeza sana 👏👏mungu akuzidishie imani ya kuwa mtanzania tuitangaze nchi yetu nakupenda sana brother mungu yupo pamoja nasi
@cosmascharles5034
@cosmascharles5034 7 жыл бұрын
Benjamin please naomba contact yako brother. I realy be inspired with your inspirational words indeed. Tafadhali sana naomba kupata mawasiliano yako tu na hapo ndipo tutaongea vizuri.
@ezekielmassawe9464
@ezekielmassawe9464 7 жыл бұрын
jambo zuri na kuigwa na kila mtanzania
@assahalex4672
@assahalex4672 7 жыл бұрын
Uko vizur sana Ben niwachache sana watanzania wazalendo wa nchi
@christopheritungi1228
@christopheritungi1228 6 жыл бұрын
He is a greater thnker. Big up kijana.
@davidmihambo3051
@davidmihambo3051 7 жыл бұрын
huyo kijana baba yake ana miliki agape television na ni mchungaji kwahiyo hayo maamuzi hajayafanya kwa kukurupuka inawezekana tayari kashatengea nafasi kwenye kazi za baba yake pia hiyo 425 milion ni kwa mwaka which is 35milion kwa mwezi ukipiga na kodi hapo inabaki 29milion na maisha ya marekani sio sawa na bongo kule maisha yapo juu so kapima kaona ni heli arudi bongo. ila kama asingekuwa na hizo fursa kutoka katika familia yake asingeacha hiyo pesa.
@dennischarles8524
@dennischarles8524 7 жыл бұрын
david mihambo ,kweli
@athumanmwangati1250
@athumanmwangati1250 5 жыл бұрын
Huyo kijana anajielewa wangekuwa wahaya hatakuongea husionge hongea nae na halingi na hana tamaa ni muzarendo
@sopaaphilipo9410
@sopaaphilipo9410 5 жыл бұрын
Kweli
@colethacharles548
@colethacharles548 5 жыл бұрын
Hiyo kazi waniite Mimi daaah,huyo mjanja baba yake kamuahidi atamlipa zaidi ya hiyo ,injili inalipa kuliko chochote hapa dunianii
@jojigeorige85
@jojigeorige85 7 жыл бұрын
Watu wengi waliocomment negatively nadhani hawakumaliza dakika 25:36 za hii clip. Huyu bwana kapita silicon valley, jiko la mabilionea vijana wajasiliamali duniani, kishaishi na ndoto potential billionaires wa silicon valley. Humu kasema wazi kishaanza projects mbalimbali na financial services providers na it companies ambazo anaeza kufanya projects humu akapata hizo 425m kwa mwezi tu na si kwa mwaka ila wengi tuna closed minds kwamba angevuta mshahara ajiripue aachane na potentials zilizopo ndani ya nchi yenye GDP. annual growth rate ya 7% !. Ni kweli kwamba sisi kwa sababu hatujabahatika kupata first class education toka kwa waalimu bora kabisa duniani ndio maana hatuna entrepreneurial eye kama aliyonayo huyu jamaa. Nimuonavyo hapa ni kwamba anatetemeka mwili mzima kila akitembea nchi hii kuona fusra ambazo sisi macho yetu hayazioni kabisa kwa sababu hatuna hayo macho. Ninawaasa, pia ninajiapiza hata mimi, nikisikia huyu jamaa ana kongamano la vihana kutambua fursa naenda kuhudhuria, na ninawaomba na nyie sote tuende, he is a potential billionaire believe me or not...silicon valley sio mchezo pale achilia mbali hicho chuo alichosoma MBA. Tena naikumbuka dissertation yake wakati anakusanya data kwenye questionnaire yake facebook.
@shamiruismail4931
@shamiruismail4931 7 жыл бұрын
nimemuelewa nimekuelewa
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald 7 жыл бұрын
joji georige sure
@tegucigalipamaswe6542
@tegucigalipamaswe6542 5 жыл бұрын
+top tv Mr.umefanya vyema Sana na wewe ni mfano Wa kuigwa watanzania Mara nyingi uwa tunaishia njiani kimawazo tunaangalia kufanikaiwa kwa muda mfupi bila kuangalia chanzo cha mafanikio yanayodumu kwa muda mrefu ,ongera Mr benyamin
@bakarmussa6517
@bakarmussa6517 5 жыл бұрын
kama hao wapo wengi zenji kijiwe 4
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
joji georige,, Huyu tatizo hana njaa hapo nakubaliana naye kakiri kwamba hana shida lkn kaka hebu fikiria watu wanaweka bond nyumba ili m2 amalizie kusoma ama kukopa unadhani anafanya yite hayo ili iweje maisha haya kaka yng ww kama una mwanao umemsomesha kwa tabu sana halafu huna ki2 hohehaye utakubali mwanao akatae opportunity kama hii HAHAHAAA Lazima umwachishe RADHIIIIIII....
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 7 жыл бұрын
Nimekupenda sana Kaka. umeona mbali sana na utafika mbali kwa namna umeona
@nicholausmwalugi5026
@nicholausmwalugi5026 5 жыл бұрын
Hongera sana na Mungu akuongeze Maisha braza pia nimejifunza kitu.
@fadithalali6186
@fadithalali6186 7 жыл бұрын
ukopoa sana mm nimtanga mwenzako
@MrSoftBrains
@MrSoftBrains 7 жыл бұрын
Kijana kichwa sana, nimefanya nae bizness namuelewa na namuheshimu sana. Great mind na anampenda Yesu.
@sevenlongo2899
@sevenlongo2899 7 жыл бұрын
All ways positive mind grow! Keep it up Ben!
@msoffeonlinebrokes2812
@msoffeonlinebrokes2812 5 жыл бұрын
Mazara tuwasiliane tafadhali kunabiashara nataka tuifanye my contact 0716001410 nipo dar es salaam naitwa msoffe
@saidbahati2346
@saidbahati2346 4 жыл бұрын
Upo njm san bro
@blessedstudiostz3812
@blessedstudiostz3812 7 жыл бұрын
mungu akubariki sana Ben mungu amekupa akili za tofauti sana kwani ni vijana wachache wanaokumbuka kwao mungu azidi kukupa akili nyingi sana na akupe maisha marefu ili uweze kuwasaidia watanzania
@davidmzia5446
@davidmzia5446 7 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Ndugu tena Sana kwa uzalendo wako hakika Mungu hatakuacha kamwe ww ni wa thamani na thamani yako ni heshima mbele za Mungu ubarikiwe benjamini Mimi kijana mwenzako nakuunga mkono
@frankdegang8245
@frankdegang8245 7 жыл бұрын
daaah huyu jamaa anaakili sana yaaan!! big up sana broo
@nasibmagogo4797
@nasibmagogo4797 6 жыл бұрын
Frank de gang osecporn
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 7 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Pesa ni kitu cha kupita Mpende sana Yesu
@erickcassian3167
@erickcassian3167 7 жыл бұрын
Gideoni Mathew amina
@worldlytech.8991
@worldlytech.8991 7 жыл бұрын
Patriotism. Salute brother
@mariamkombo5325
@mariamkombo5325 7 жыл бұрын
hongera kwa upendo ulionao kweli wa kurudi nyumbani mungu mkubwa hatokuacha
@bremo3241
@bremo3241 7 жыл бұрын
Mungu akutangulie akuzidishie
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 7 жыл бұрын
wengi hawakuelewa sasa kwa uzalendo wako familia yakitanzania ilikusomesha watumikie wa Tanzania JEHOVA awe nawe kijana
@rwizamtugwarwiza9022
@rwizamtugwarwiza9022 7 жыл бұрын
Mie nimemwelewa
@jonaskilomba4094
@jonaskilomba4094 7 жыл бұрын
ongera Sana Benjamin Mimi binafsi nimekuelewa
Aliyekataa Milioni 400 Amshauri Rais Magufuli Anavyobaguliwa
31:04
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 85 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
SSUSA: Masanja Mkandamizaji
36:57
Swahili Society America
Рет қаралды 1,1 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН