Pole sana dada,shukuru Mungu upo nyumbani naumefika salama,ubalozi watanzania sio wakuutegemea hata kidogo yaliotukuta sisi sitaki kuongea sn mana ninafamilia inanitegemea.
@zanzibarhome60495 сағат бұрын
Hatari sana aisee. Sema huyu dada mvumilivu mnooo, mashaallah awe pole sana ndo changamoto za utaftaji🎉🎉🎉🎉
@ukhutfatumah11544 сағат бұрын
Allah azid kukupa subra ivyo ivyo aise wewe ni mpamanaji na nusu 😢aiss nakupa mau yako dada
@aseelaisaa4283 сағат бұрын
Sad sad sad sad .walllah .Allamdullilah uko salama
@ZeinabAbdallah-d2t4 сағат бұрын
Pole sna dda
@IvanMocha3 сағат бұрын
Ila joha ana mwisho mbaya huyu mama, maaana watu wengi wanamlalamikia sana
@bintmrisho35262 сағат бұрын
Kwan jokha ni yupi yule bi jokha wa ubalozin au jokha mwengine
@GhreebZam2 сағат бұрын
@@bintmrisho3526sie mwengine
@SofiyaSur3 сағат бұрын
Duu pore sanaa dadaangu
@UmmyJumaa3 сағат бұрын
Pole sana jamani napenda unavyosimulia
@fatmaalnabhani3609Сағат бұрын
Oman hamna malalamiko illa kwa wa Tanzania tu maneno mengi ya lawama dohh😮😮
@naifathassan2607Сағат бұрын
Wewe nae huyu siyo shaghara na pia oman sio mbaya watu ndio wabaya
@MariJunuior3 сағат бұрын
Uyo anashindwa kuongea ukweli..kwamba Ile jela walipelekwa ilikuwa ni jela inayodili na magresheni kesi tu sio kesi za uwalifu
@IvanMocha3 сағат бұрын
We nae ni migration sio ulichokiandika,alafu acha kujifanya ujuaji sana Wewe mkweli sema ukweli wewe
@bintmrisho3526Сағат бұрын
Ukwel gan aongee sasa mpuuzi we
@caliphel-mafadhy24873 сағат бұрын
Nimefatilua hii story .....so ni wazi wabaya ni Watanzania waliopo Oman na sio waarabu. Ss musiwaseme vibaya watu. Na pia tujifunze kuchukua mikataba na kuwashitikisha wanasheria Tanzania kabla kuondoka. Na pia kasema yy nwenyewe sio watu wote wabaya Cha muhim maagent wa ki Tanzania na mabosi wa Tanzania waache utapeli