Habri njema sanaa hii,japo haijapewa jukwaa kuu kama ilvyo kwa hbr za nyoka na chawa. Mungu ibariki Tanzania
@StevenPeter-sg7zo20 күн бұрын
Hongera sana kwake ila tatizo ni kwamba watu kama hawa wanakuja alafu baada ya muda unashangaa huwasikii tena na hujui kinachoendelea sijui shida inakuaga nini
@user-wk7gh5it3v22 күн бұрын
Serikali ilitakiwa watu kama hawa wapewe support kubwa sana
@conganyoyo319522 күн бұрын
Hongera sana kaka 🔥🔥,sio like robot la mchongo limetengenezwa na wasauz,bunge liwapa vbari af ww mbongo unaacha,😭😭😭.hii nchi mpe jamaa kipaumbele
@omeraJR22 күн бұрын
Kijana wetu anaitaji support kubwa BRAVO✌🏾✌🏾
@abdullahmanalex230622 күн бұрын
Sio Tanzania watamkamata hautamsikia tena watasema anahatarisha usalama
@Lifemotivation717122 күн бұрын
@@abdullahmanalex2306 kweli kabisa kaka bola hata ayo mambo angefanyia mbele angesapotiwa lakini hapa balaaa kaka
@emmanuelkiserere352310 күн бұрын
hongera bro
@homecraft22722 күн бұрын
Kichwa sana huyu jamaa ni classmate wangu majengo sec, kichwa sana huyu ndugu akiwa shule ya msingi alishatengeneza Fm radio akiwa marangu. Sikumbuki jina ya radio yake ilikuwa inaitwaje😅
@vianmarcel81822 күн бұрын
Sure hiyo stori yake ya radio niliisikia around 2006/7 katika kijiji cha Mbahe Marangu moja.. Big up kwake
@abuugubi931222 күн бұрын
Hongera sana ndugu
@user-lp4jj6uu1r22 күн бұрын
Mungu akusimamie
@khadijarashidy930422 күн бұрын
Hongera kwake
@januarysabena312821 күн бұрын
big up Tanzania 2naweza mbona
@axdomician478522 күн бұрын
Safi sana serikali embu mpeni saport huyo mwenzetu
@farajakwilasa47122 күн бұрын
Elimu ya vipaji yanatakiwa sana kiviwanda ❤❤❤❤❤❤❤❤
@IsayaMorange-wb5ek20 күн бұрын
Tunahitaji ubunifu kama huo na zaidi kikubwa vijana tuamke tufanye kazi kwa ajili ya maendeleo
@ezekiakiwovele779422 күн бұрын
Hongera
@roi255422 күн бұрын
Maashaallah bro❤
@emmanuelmush673211 күн бұрын
Safi kabisa
@dullahtechtz342221 күн бұрын
Nice
@khalidjmfaume22 күн бұрын
Bora hata huyu anaonekana yupo serious,sio wale walio tengeneza robot 😂
@wisemanfromzerotohero97022 күн бұрын
Ila muwe makini wazungu hawatopenda ili kwa hiyo musichikombe na kujigamba watamumaliza i wish wangemuprotect pamoja na yule aliyefanikiwa kugunduwa dawa za ukimwi
@kwisa489922 күн бұрын
Hakuna cha ajabu hapo huko juu kuna satellite zaidi ya 1000
@ProDJayOnDecks22 күн бұрын
@@kwisa4899 Sio 1000 tu kuna zaidi ya Satellites 10k kabisa..
@wisemanfromzerotohero97021 күн бұрын
@@kwisa4899 hizo zaidi ya 1000 za kitanzaniya ao za wazungu????kuwa muelewa wazungu hawataki Wa Afrika waendeleye zaidi yao
@user-yy6gf4my9f22 күн бұрын
Wa kenya mpo na kiengereza chenu
@DannyRose-gq3qe21 күн бұрын
Wewe na hio kichwa Yako inakaa panga unafikiria Kenya Haina satellite?? ebu Fanya utafiti ujue Kenya iliunda satellite ya kwanza lini
@jumahassan27321 күн бұрын
Safi sana ila bongo kwa roho mbaya ata viongozi awatamjali kwa ubunifu mzur aliofanya brother
@abdallahdataguy21 күн бұрын
kweli kabisa 😂
@r14kgroup6822 күн бұрын
Safi sana
@paulhema571322 күн бұрын
Big up..kk..Kaz mzur sana...ngoja na mm nisome kwa juhud...niwe na knowledge ya kutosha..😂
@dannywillson587421 күн бұрын
VIONGOZ WETU WANAWAPOTEZA WATU MAKIN KAMA HAWA
@user-ye4iy8jy2z22 күн бұрын
Good news ndo maana sns mnakuq bora kila kukicha hope mtaendelea kuchukua matunzo kede kede insha Allah wa kwanza leo like hapa kumpongeza sns
@achawanunetv116722 күн бұрын
Wewe nae kwani ulikuwa aujaisikia hii habari kwenye Média zingine?
@user-ye4iy8jy2z22 күн бұрын
@@achawanunetv1167 mh acha wivu au kisa hatujaingia kwa channel yako na hata iweje sitoangalia channel yako maana unaonekana huna adabu na subscribers wewe nakwambia tena acha wivu utafika mbali
@user-ye4iy8jy2z22 күн бұрын
@@achawanunetv1167 we jamaa unawivu usiokua na maendeleo kwan mpaka ninangalie kwenye media yako alafu cha ajabu media yako unaiita acha wanune sa we kinachokununisha nini kua mstaarabu utafika mbali
@mwakimedia29122 күн бұрын
Akamatwe mara moja
@benjagaspar530422 күн бұрын
Hatareee🔥
@Manyara-Jr22 күн бұрын
mataifa makubwa yakimuona yanamuiba. apewe ulinzi mtakuja kunishukuru badae..
@ce-0822 күн бұрын
😂😂😂
@mustafamsati959922 күн бұрын
Au ndo hii ilioanguka juu ya paa hapa nyumbani? Maana nimeskia kishindo
@hanspop696122 күн бұрын
Watu kama hawa Wakushikwa Mkono wenye Glove ili Tufaidi Matunda
@cmantz883722 күн бұрын
Mhh bongo haya
@daudimaniseli75922 күн бұрын
MUNGU AMSIMAMIE ATIMIZE MALENGO YAKE NA ASAIDIE NCHINI...
@timetravellor536722 күн бұрын
Ata robot tungepewa tenda tu tungeteneza
@achawanunetv116722 күн бұрын
Hongera sana kwake ila wawe makini isije ikawaangukia watu
@user-is5pr5wf6c22 күн бұрын
Kinacho nisumbua kila siku selikali watu kama hawa nashangaa haijui umuhim wao
Uyo jama nimuzaliwa wa D.R.C Congo sio mu Tanzania
@aminata370222 күн бұрын
Kwenye video anasema ni mzaliwa na mkazi wa Tanzania.Acha bange ww bakongo
@officialwinaboy22 күн бұрын
Mim namujuwa ndiyo mana nasema ivo anaka tanzania lakini siomu tanzania nimu congo kama ujanielewa uliza mababu zako wanajua nini ilipitikana vitaya congo wata kuabia nusuya tanzania inaja wa Congo
@user-iq3pe4sf2h22 күн бұрын
Apewe ulinzi
@stateofart108922 күн бұрын
Hii satellite imerushwa wapi? Tanzania hatuna uwezo wa kurusha satellite...
@salumualoyce562022 күн бұрын
Hiyo siyo Sattelite ni mfano wa Sattelite.
@EK-kp2np21 күн бұрын
Wivu 😟
@braystuskibassa384222 күн бұрын
Hongera zake
@abdullahmanalex230622 күн бұрын
Watampoteza soon
@FahadAbubakari22 күн бұрын
Hayo mambo ya zamani Nani aliepotezwa wakati hayo majaribio yake yalipewa kibali
@paschalfausitine710822 күн бұрын
Kijana sapoti muhimu isije ikawa kama masudi kipanya , 😂.
@SaidKawela-qy5wv22 күн бұрын
Aloo noma kweli africa inaugumu wake
@user-sr8tc8ke6q22 күн бұрын
Humsikii tena huyu selikali ikimuona
@mancholotrasco835022 күн бұрын
Unakuta mtu kama huyu hata mwaliko wa ikulu hapati alafu bi mdanga anaenda ktk show ya harmonize