Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University

  Рет қаралды 65,078

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Dr. Frank Minja ni Mtanzania Daktari bingwa wa Radiology aliyesoma Harvard University.
Hii ni historia yake fupi
#ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni

Пікірлер: 178
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 жыл бұрын
Jamaa mtu humble sana anaongea kwa heshma na unyenyekevu Mungu amlinde
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
Sana sana..na hachanganyi.Kiswahili kimenyooka..Mungu akutunze kaka.@EBM asante kwa kazi njema ..Kazi nzuri sana kaka EBM👏🏾👏🏾👏🏾
@homeandaway2811
@homeandaway2811 2 жыл бұрын
Very humble guy, msomi kwelikweli, akili imetulia, wala haringiii, Kiswahili fasaha sana👌👌👌
@myamwezmyamwez8669
@myamwezmyamwez8669 2 жыл бұрын
Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.
@hermentmrema6537
@hermentmrema6537 2 жыл бұрын
Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana
@abbyadams8691
@abbyadams8691 2 жыл бұрын
Hiyo miaka 9 ulikuwa huko kusoma au ulikuwa unafanya nini? Na sasa unafanya kilimo cha mazao gani? Asante
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 2 жыл бұрын
Vzr sana kama ulichokipata utagawana na wengine na mungu atakubariki sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Big Up kwako
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Nice
@allahisone6386
@allahisone6386 2 жыл бұрын
Mungu Akurahisishie
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 жыл бұрын
Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
😁😁😁
@saidiamanzi5286
@saidiamanzi5286 7 күн бұрын
Dr. Minja uko vizuri sana na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wetu wa sasa. Huna makuu, uko wa kawaida sana, Kiswahili kimenyooka utadhani unaishi Bongo miaka yote. Walio wengi wakiinukia kidogo tu wanajifanya Kiswahili wamesahau. Hongera sana Doctor Minja.
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 жыл бұрын
Mungu awabariki Watanzania wote wema mlioko nje na Mungu aibariki Tanzania
@minormine4417
@minormine4417 2 жыл бұрын
Amen! Kwa kweli mtumuombee!
@fatumamuya7296
@fatumamuya7296 2 жыл бұрын
Amiin
@batulii1248
@batulii1248 2 жыл бұрын
Amini
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 жыл бұрын
Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 жыл бұрын
Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore. Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!
@levinekalikuela4916
@levinekalikuela4916 2 жыл бұрын
Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!
@AnasAli-xe6pg
@AnasAli-xe6pg 2 жыл бұрын
Safi sana hio ndio maana ya usomi. Unaongea lugha yako kwa ufasaha. Big up bro!
@annatemu5902
@annatemu5902 2 жыл бұрын
Hongera nyingi kwake Dr Minja, nimefurahia sana hii interview.Asante sana EBM
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 2 жыл бұрын
Mwalimu wangu Dr. Minja, Neuroradiologist. Hongera sana. Emory University, Atlanta.
@abasisapi5474
@abasisapi5474 2 жыл бұрын
Dr. Unamiss ugali? Unga wa ugali upo huko, wamarekani wanautumia kama dressing kwenye samaki wa kukaanga. Ulizia super markets!
@zawadikessy2098
@zawadikessy2098 2 жыл бұрын
wooh good yupo peace
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@abasisapi5474 kunakilakitu vyote ivo ulivovitaja vipo
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Woow. Very excited
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Hongera Dr. Ni mfano mzuri kwetu sote. Asante EBM pia kwa kuturushia hii video🤛
@kikalarashid9003
@kikalarashid9003 2 жыл бұрын
Doctor yuko vizuri sana! Yani serikali itafute namna ya kuwachanfanya hawa watu wa ughaibuni wafaudishe wenzao huku. Doctor anaonekana mtu mzuri sana.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 11 күн бұрын
Serikalo hii ya hoyeeeeeee
@ChedieliMrutu
@ChedieliMrutu 3 күн бұрын
Safi sana nimeipenda umetulia sana. Mungu aendelee kukuinuia.
@hassankhatib4991
@hassankhatib4991 3 күн бұрын
Hongera Sana Dr. Minja baba mtarajiwa wa Rais wa Marekani mrithi wa Baraka Obama kutoka Uchagani, Tanzania. Hongera Shemegi
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 17 сағат бұрын
Acha masifa na ushamba wewe so what
@benedictaustard5583
@benedictaustard5583 2 жыл бұрын
Nimependa sana hii Interview!. Asante EBM!
@agustinomatefu4277
@agustinomatefu4277 11 күн бұрын
Hongera sana Dr.Minja Kwa kweli upo mnyenyekevu sana Umetulia Sana ...na Unajua unachofanya Kila La Kheri
@Mubarak552
@Mubarak552 2 жыл бұрын
Dr. Minja hongera Sana kwa kazi nzuri mnafanya huko, nilikuwa naomba December tukutane Moshi kuhesabiwa hakikisha unafika
@demariwa7606
@demariwa7606 2 жыл бұрын
Wote, mtangazaji na Dr.Minja, mmegusa maisha yetu.Mahojiano mazuri sana, hongera Dr.Minja.
@angelinashirima5299
@angelinashirima5299 3 күн бұрын
Glory to God .Vema sana soo humble.🙏❤️
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 жыл бұрын
Kaishi marekani miaka kibao, ila kiswahili kimenyooka na hachanganyi, sasa visanii hewa vya bongo hata kenya havijawahi kufika vihoji uone
@benedictormwalugaja5314
@benedictormwalugaja5314 2 жыл бұрын
Aaah you know what this and that😂😂😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Tena bongo amesoma Tanganyika international school
@georgeosmund727
@georgeosmund727 2 жыл бұрын
Na badok Tz alisoma IST shule ya kishua
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 жыл бұрын
@@georgeosmund727 hapo sasa
@sadih5333
@sadih5333 2 жыл бұрын
Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 жыл бұрын
Hongera Dr, mungu akulinde, nafurahi unawasaidia Watanzania na jumuia kwa jumla.
@jandreamk
@jandreamk 2 жыл бұрын
Hongera Dr. Nimejifunza kitu . Ahsante kwa EBM kwa interview hii 👍🏽
@daniellyimo378
@daniellyimo378 2 жыл бұрын
Kijana uko vizuri sana.mungu akubariki sana baadaye uje tusaidia Muhimbili.
@madimj5022
@madimj5022 2 жыл бұрын
Very humble, tisha sana kaka mkubwa mungu aendelee kukupa moyo huohuo 🙏
@journeywithjesus
@journeywithjesus 2 жыл бұрын
Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.
@patrinraura1397
@patrinraura1397 11 күн бұрын
Dr Minja Hongera sana "RUWA NAKUTARAME"Nimekusikiliza sana Hujapoteza ile lafudhi ya ASILI yako kama "MCHAGGA" maana sikusikia unachanganya Lugha kama baadhi ya wenzako.
@peterswai391
@peterswai391 2 жыл бұрын
God bless more brother 🙏 Dr minja your very humble 🙏💪 , I learn something , Dodoma Tanzania
@josephmchila6467
@josephmchila6467 Жыл бұрын
Ongea kiswahili. Wewe
@kuhususheria4408
@kuhususheria4408 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kasoma top University duniani and he is still humble - Yale, Havard etc heshima kwake aisee
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Duuuh!!! Very excited Daktari. I wish to get connection jmn. I wish bt God will help me.
@annatemu5902
@annatemu5902 2 жыл бұрын
Kaka anaongea kiswahili kimenyooka vzr,.mnyenyekevu,Mungu azidi kumbariki sanaaa
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 жыл бұрын
Wako wengine ati wamesahau kiswahili kimechanganyika na kizungu nusu nusu, kwa mfano (mjomba aitwa mchomba) sio mchezo.
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 15 күн бұрын
Hongera sana Dr.Minja Mungu akubariki
@pceodhc
@pceodhc 3 күн бұрын
Congratulations 🎉 way to go!
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 2 жыл бұрын
Hongera sana for great achievement
@Myplusbee
@Myplusbee 2 жыл бұрын
Miaka 27 ughaibuni!! Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza! Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA! Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza! PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 жыл бұрын
Watu wanaulimbukeni sana kaka,washamba tu
@rickrosswabongo4116
@rickrosswabongo4116 2 жыл бұрын
Hapo kwa Harmonize ndo umeua kabisa😅Imebidi nitafute moja ya interviews zake nicheke kwanza😅
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 6 күн бұрын
@@rickrosswabongo4116😂😂
@johngibson3089
@johngibson3089 2 жыл бұрын
Asante EBM. Hongera sana Dr
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana Dr. Minja , kupanuka kwa mawazo kunatuangusha sana
@erastokimaro8954
@erastokimaro8954 Күн бұрын
Hongera sana Dr. Minja Mungu akubariki sana, lakin Tanzania kuna wagonjwa wangependa ujekuwatibia maana madaktari bigwa ni wachache hapa tz, je utawasaidiaje?
@ayramaa1619
@ayramaa1619 2 жыл бұрын
Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid . Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .
@misschagga8042
@misschagga8042 2 жыл бұрын
Kaka rudi utusaidie watanzania wenzako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Жыл бұрын
Pesa anayolipwa USA TZ hawawezi kumlipa yaani Nasemea Muhimbili
@makibadatela7865
@makibadatela7865 2 жыл бұрын
Hongera Classmate Muhimbili Allumni 1988 na Upanga.
@mussaelia8693
@mussaelia8693 2 жыл бұрын
Hongereni sana seniors
@254interiorkenya5
@254interiorkenya5 2 жыл бұрын
Keep it up my brother I will meet you one day
@jumahamis227
@jumahamis227 2 жыл бұрын
Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.
@Winstonfying
@Winstonfying 2 жыл бұрын
Safi sana, pia Hongera sana Daktari
@kamanda007
@kamanda007 2 жыл бұрын
Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha
@choggysly3541
@choggysly3541 2 жыл бұрын
Take a hint 😂😂😂
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 13 күн бұрын
​@@choggysly3541Hapo sasa😅😅
@mohamediomari1614
@mohamediomari1614 2 жыл бұрын
Nakubali sanaa kaka, na mim naendaaa marekan sooo jamn in shaa Allah
@mhudumuonline9060
@mhudumuonline9060 2 жыл бұрын
Congratulations nafurahia jinsi huyu jama Dr minja alivyo soma kweli akili ni mali.
@ufahamuzaidi2343
@ufahamuzaidi2343 2 жыл бұрын
Great sessions we are inspired alot from 🇹🇿
@hajjmohd3602
@hajjmohd3602 2 жыл бұрын
Yeye kakaa marekani miaka yote hio na anaongea kiswahili fasaha tu ww wajidai kizungu uchwara ongea kiswahili ustuchnganye😀😀
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Andika kiswahili tu 😁
@hajjmohd3602
@hajjmohd3602 2 жыл бұрын
@@ahz6907 😀
@hildakinyunyu4314
@hildakinyunyu4314 2 жыл бұрын
Hongera sana so inspiring
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Wooow. Alisaidia mNo wskati wa COVID 19. HONGERAH Dr. Minja.
@bas2823
@bas2823 Жыл бұрын
U DIG IT!👌👏🤝👍🏽 SUPER GREAT👌 KEEP UP👌 ALWAYS PROUD OF U N OTHERS LIKE U!👌!
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 2 жыл бұрын
Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power
@upendomamuya7238
@upendomamuya7238 Жыл бұрын
Huwezi kupesha na serikali ya Marekani kama wewe sio rai wao, Labda ujilipie au upate scholarship.
@muhigwasiniibagiye6587
@muhigwasiniibagiye6587 2 жыл бұрын
Nice one big up Dr Minja
@Mazoea
@Mazoea 2 жыл бұрын
Ongera zake jamani Kumbe tunawatu muhimu Marekani hiii
@omarimsangi4075
@omarimsangi4075 Күн бұрын
hongera dr kw kiswahili kizuri
@bas2823
@bas2823 Жыл бұрын
I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL IN SCHOOL! MY DAUGHTER HOLDER OF PHD. IN MEDICAL SCIENCE SHE SPECIALISE IN STEMS CELLS IN DIABETICS!👌👏🤝👍🏽👍🏽
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Hı kaka zangu.Naomba msaada mm nına mıaka 49 nataman mtoto naomba msaada wa matıbabu nıpete mtoto.Mungu atawabarıkı.
@mussaelia8693
@mussaelia8693 2 жыл бұрын
Fika hospitali ya karibu utapata pa kuanzia
@paulinemaswai8937
@paulinemaswai8937 2 жыл бұрын
Hongera Doc.
@lukelopatrick3187
@lukelopatrick3187 2 жыл бұрын
Asante kwa kutujuza zaidi
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 жыл бұрын
Kati ya kitu wachaga walijaliwa ni unyenyekevu ndo maana wamefanikiwa sana sisi akina nanii sasa tumebaki kusema wachaga wanapenda hela,
@mariandesario6468
@mariandesario6468 2 жыл бұрын
Hasa kwenye biashara wananyenyekea sana wateja,
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 жыл бұрын
@@mariandesario6468 kabisaaa
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 7 ай бұрын
Kweli Mungu amekuinua sana, hongera kijana
@Sppah697
@Sppah697 2 жыл бұрын
Ndugu mtangazaji hujui tofauti na matumizi ya la le li lo lu na ra re ri ro ru! Aibu kuuliza maswali ya nguoni!
@oxwad3836
@oxwad3836 2 жыл бұрын
Kweli navutiwa sana kuona interview kama hizi ... uzidi kubarikiwa Mr EBM . 🇹🇿
@dottomarikatv780
@dottomarikatv780 3 ай бұрын
Mungu amlinde
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Anaonyesha ni mwnyaji mzuri wa pombe kali
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 13 күн бұрын
Wewe uko kwenye fani gani ndugu hata ugundue unywaji wa mtu unayemuona kwa mbali na kwa mara ya kwanza? Au ndio mmoja wa wale viboko vya wachawi?😊
@kiligrit
@kiligrit 5 ай бұрын
Huyu jamaa ni msharp, very sharp brain
@wanyoikenaftali4114
@wanyoikenaftali4114 2 жыл бұрын
Very humble God bless
@mwajomberobert
@mwajomberobert 2 жыл бұрын
hongera sana Dr.
@mhudumuonline9060
@mhudumuonline9060 2 жыл бұрын
Napenda sana kuishi marekani na haya mambo mahojiano nipe fursa nikufanyie kazi.
@muhimbesingh4468
@muhimbesingh4468 Жыл бұрын
I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 2 жыл бұрын
Hongera Dr Minja.
@annamayengela7100
@annamayengela7100 Жыл бұрын
Am in tz....yaan huyu Dr. Yuko humber Mungu amtunze kwa manufaa yake
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 2 жыл бұрын
Bado anaongea Kiswahili vizuri hongera daktari
@rosemkude4804
@rosemkude4804 2 жыл бұрын
.
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Nawafuatılıa sana sana kwa kwel mnatusaıdıa sana kutuelımısha
@mbolikop6419
@mbolikop6419 13 күн бұрын
Kaka anauelewa mpana na busara nyingi. Mungu aendelee kukuweka tujifunze zaidi toka kwako.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 11 күн бұрын
Watu km hao Tanzania hawatakiwi tunataka watu wanaosema hoyeeeee ndiooooo
@sylvestercharles3585
@sylvestercharles3585 2 жыл бұрын
Hata Dr Shika naye alikuwa Dr ughaibuni vilevile 😁😁😁😁
@JosephSimiyu
@JosephSimiyu 4 күн бұрын
Pongezi ndugu Daktari
@willjames1332
@willjames1332 2 жыл бұрын
Doctor oyeeee
@robertmgogosi8448
@robertmgogosi8448 2 жыл бұрын
Safi sana Doctor
@mferekemwanyika6832
@mferekemwanyika6832 2 жыл бұрын
Hongera Dr enedelea hivyo
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 жыл бұрын
Uje Tanzania Mwigulu nchemba akutoze tozo, tozo hongera kaka🤣😂
@marcominja8850
@marcominja8850 2 жыл бұрын
Hongera sana brother.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Hongera sana ndugu.
@simplifiedchemtutorials8573
@simplifiedchemtutorials8573 2 жыл бұрын
So inspiring
@Josh_1194
@Josh_1194 2 жыл бұрын
Hawa ndo wenye passion asee
@Thegossipermediatz
@Thegossipermediatz 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 2 жыл бұрын
Huyu anayeuliza maswali hajui namna nzuri ya kuuliza
@marthakimia4075
@marthakimia4075 2 жыл бұрын
Wewe mtoto wa Mwalimu Minja?
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 5 ай бұрын
Unapenda Sana pombe Kali kijanaa
@vom84
@vom84 2 жыл бұрын
Kubeba box ndio nn
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 17 күн бұрын
andika kitabu cha radiology dr
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 2 ай бұрын
Big up
@JobJohnson-gp1qz
@JobJohnson-gp1qz 3 ай бұрын
Uko vzr mkuu
@deejeydaev
@deejeydaev 2 жыл бұрын
Bora amecheka kidogo maana nikajua ni mtu wa u_serious
@DiscoverWalkingTours
@DiscoverWalkingTours Ай бұрын
Yaani mi nipo ulaya miaka 23 kiswahii changu hakijanyooka
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Hongera saaana
@KukuBata-y7f
@KukuBata-y7f 16 күн бұрын
Jitihada wajadah
@thobiasthomas2269
@thobiasthomas2269 11 ай бұрын
Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents
@vom84
@vom84 2 жыл бұрын
Kubeba box ndio nn? Au ni kaz gan hiyo kaka EBM
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 7 ай бұрын
Napenda unavoongea kiswahili bila kuchanganya na lugha za kigeni ,angojiwa harmonise hapo tungekoma kwa kizungu
@saadamwadini4657
@saadamwadini4657 2 жыл бұрын
Mwambaaa kiswahili kizuriii
DAKTARI MTANZANIA AFUNGUA KITUO CHA AFYA MAREKANI
6:00
VOA Swahili
Рет қаралды 3,9 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 89 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 407 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 89 МЛН