Ahsante kwa jitihada zako japo, Hizi presentation zote zishafanyika nchini japo kwa mtimdo tafauti na huo . Hapa Tanzania kinachotugharimu ni kukosa uadilifu na Ufisadi umekua mkubwa.
@judicalosika76422 ай бұрын
Hakika Hakika Hakika Hakika
@edgarrich98952 ай бұрын
Punguza wivu Kaka mpongeze tu kafafanua vyema
@anuarymyekakimolo47852 ай бұрын
Yeye anatyeleza ufisadi akili Gani hiyo, akili ya kifala anataka jamaa achangie hoja kuhusu ufisadi??? Ambao kila siku unazungumzwa? Wivu tu na uzwazwa@@edgarrich9895
@officialyohanamalisa18732 ай бұрын
Huenda hajafanya research, Nani hajui kuwa China inauza kwetu sana kuliko sisi? Labda kununua technolojia ndio itatutoa
@JacobJamesMasangula-oo6pt2 ай бұрын
Jamaa anajua, apewe mauwa yake🎉
@sebastianmwantuge55972 ай бұрын
Tatizo ni implementation ya hayo mambo mazuri. Viongozi wetu wanawaza uchaguzi na namna ya kuhakikisha Watanzania wanabaki maskini ili watawaliwe vizuri.That's all!
@ahz69072 ай бұрын
Yeah ndio hali halisi 😂
@gangmore90912 ай бұрын
Sifa y mgombea ajuwe kusoma na kuandika 😂😂 wasomi wapo mtaan Tanganyika na wa Tanganyika wamelala
@mwasoprince34592 ай бұрын
Huyu jamaaa utafikiri amesoma uchumi, very worth ideas
@rebmanwillbard74642 ай бұрын
Very good point zako baba
@kwisa48992 ай бұрын
Huyu jamaa anazungumza vitu vikubwa na watu wenemapokeo madogo akiwemo na huyo mwenekiti
@hybrid6032 ай бұрын
Genius Brother from Shinyanga land❤
@hassankurwa4642 ай бұрын
Jamaaa ana akili kubwa sana sana. Sijui Nchi hii tunafeli wapi?
@alexmnogi18222 ай бұрын
Watu kama hawa niwakuwapa nafasi yakulisaidia taifa letu sema ndovyo mara nape Kawa wazir wa snaa..😂😂😂
@YohanaRichard-e6p2 ай бұрын
Asante kwa uwezo wako katika kuhuisha fikra zilizo kufa na kuleta mtazamo Chanya kwa maendeleo ya taifa letu
@ahz69072 ай бұрын
Nchi haitaki watu wenye uwezo wa akili inataka watu poa poa na machawa😂
@fredrickandrew7982 ай бұрын
Hii ni akili kubwa, hongera sana Kosmas, nimekuelewa.
@JosephMagina-m9t2 ай бұрын
vizuri sana brow asante kwa kufikikilia vizuri
@apiovlwiwa96192 ай бұрын
Hongera sana, mawazo mazuri. Sema asidharau sana vyuo vyetu vya ndani.
@tumainielmaruwa31482 ай бұрын
Cosmas is a brain we need this person
@waltergodwin25292 ай бұрын
Uyu jamaa kwa jinsi nilivomsikiliza ukimpa ata wizara atafanya vzr saana
@officialyohanamalisa18732 ай бұрын
Ni Rahisi sana kuongea, ila usimsahau Mhongo
@waltergodwin25292 ай бұрын
@@officialyohanamalisa1873 no matter how it is but the guy anajua kujenga hoja. Wakina muhongo au bashe walikuaga watu ila mfumo umewabadilisha
@chalokalunde94292 ай бұрын
Jamani kumekuwa hali ya kuwachukia watu wanaoonekana extraordinary na kuwatendea vibaya.Tukikosa watu kama Hawa lazima tutakuja kutawaliwa.
@VianeMakarious-lt3is2 ай бұрын
Jamaa liko vzr sana.
@jameskivelege67212 ай бұрын
Nimependa mchango wako Makune,upo vizuri
@GodfreyOsward2 ай бұрын
Hongera sana, viwanda watu wanadhubutu.mfano vya kombe Kali. Tunaviua wenyewe. Wakina Elon musk wako. Skyline and logistics. Ni kampuni ya tz. Ambayo potential yake taifa letu halijavuna.
@kimeajuma32672 ай бұрын
Huyu jamaa yupo vzr sana
@andrewkwayu27972 ай бұрын
Mawazo mazuri. Serikali sikivu kazi kwake!
@ikulunimahalipatakatifu76422 ай бұрын
SAFI SANA , HAYA NDIYO MAMBO YA MSINGI KWA MANUFAHA YA TAIFA
@paul1985ization2 ай бұрын
Kuna watu wanaweza kuisaidia hii nchi lakini hawaonekani. Huyu jamaa atazamwe ana kitu kwa maslahi ya nchi
@mathiasmuhochi4352 ай бұрын
Hongera Cosmas....nimekuelewa, good idea Kwa maendeleo ya Taifa
@edisonkashaija40672 ай бұрын
Huyu mheshimiwa napendekeza sana ateuliwe kuwa mbunge alafu ateuliwe kuwa waziri wa Elimu😊
@petronyereresaliboko40472 ай бұрын
Yes of course yes
@zaveriamduda2 ай бұрын
Genius 😂
@davisnitu8902 ай бұрын
Jamaa anajua sana, vitu alivyosem vyote ndo walivyotumia mataifa yalio endelea, mf japana, China, russia na uwingereza, mpinduz ya viwanda hayaji iviivi lazima tutengeneze mazingira
Hongera sana brother,hayo pia Mama Samia anayafanya kwa bidii kubwa ndio maana anajitahidi kubadili safu ya kumsaidia kwa ufanisi.
@FrankasamisyeMwaiswasu6 күн бұрын
Wewe ndo bwege raisi anaihabu nchi we unapongeza!
@AbdulJumanne-xr2qj2 ай бұрын
Genius👁️
@AlphanSamwi2 ай бұрын
Ttzo wahusika wanayafumbia macho mambo ya msingi hawaoni wala hawasikii,
@peterbalyagati78342 ай бұрын
Maoni mazuri,maoni yangu mambo 2, nimetafautiana na wewe, swala la viwanda, vigezo na mashariti ya kukuza viwanda mfano umeme, rasilimali watu, sheria gandamizi kuhusu viwanda, hazikupi kufanya kazi kwa huru
@edwardmwoleka42982 ай бұрын
Rudia kumsikiliza utagundua hujamelewa, katoa elimu yenye madini tupu, na hoja yako inatiba ndani ya maoni yake, Sema anapaswa kupewa Platform ya kusikika zaidi na zaidi.
Mzee ameongea ila amesahau kuanzisha kiwanda tanzania nishuhuli.serekali imeweka utitiri wa kodi na mlolongo wa vibali
@elisantebenjamin26132 ай бұрын
Huyu ndungu ana mambo mengi mazuri ambayo nahisi hata hapo haikua sehemu sahihi ya madini yake nikama anahitaji sehemu nzuri zaidi ambapo kuna wasomi na wenye mamlaka na maamuzi ya nchi ili hizo nondo zisipotee bure. Atafutwe na chombo kama SnS amwage madini wakubwa wayapate juu kwa juu #SnS au Clouds Tv #Good morning
@officialyohanamalisa18732 ай бұрын
Hi sio sehem sahihi aisee
@desolz38092 ай бұрын
Aisee wanging'ombe wamepata afisa biashara kwa kweli daaaaaaaah....
@Seif-re5lq2 ай бұрын
Hii ikifuatiliwa na kuboreshwa tutafika mbali sanaa
@apolinaryprimus55422 ай бұрын
Full pack!!!
@danielshimora53152 ай бұрын
Mpango mzuri Sana 2025_2050, watanzania tuelimike tuache polojo. Twende Kwa vitendo Mama Samia Hoyee,
@desolz38092 ай бұрын
😂😂😂
@kikalarashid90032 ай бұрын
Maoni mazuri sana aisee
@westerntanganyika2 ай бұрын
Msukuma akielimishwa umelielimisha taifa
@albertomwapinga45652 ай бұрын
Hongera sana ndugu
@saviomlelwa2 ай бұрын
Huyu jamaa ana maono na ushauri mzuri sana kuhusu nchi. Apewe nafasi kubwa katika nchi anaweza akaleta mabadiliko makubwa kwa mawazo iliyonayo kama ana commitment nzuri. Ni mtu muhimu.
@mossyfimbo35772 ай бұрын
Kama na yeye hajawa mwizi kama wezi wengine kwani hayo anayoshauri unafikiri hawayajui wanajua saana ila wameshikwa na mapepo ya wizi na hofu ya Mungu imewatoka hata apewe sasa hivi hamna atalofanya ujikaa na wezi na wewe utakuwa mwizi vile vile Mama anatia Imani masikini kasema wizi mpaka kachoka hakuna hata aliyekamatwa Mama yeye kasema watendaji walitenda kimya mpaka leo
@michaelambangile36322 ай бұрын
Kichwa chake kiko smart.
@gulalakitinya76152 ай бұрын
Positive ideas to a system which does not need them. These ideas have been presented a many times in the past but the system which was to utilise for economic growth so that the country could have made developments fell in the deaf ears, thus the best brains this country has end up unutilised.
@ConradMbuya-hl7nq2 ай бұрын
Mawazo chanja sana haya.Je, tuna masikio na nia ya kuyatekeleza?
@sylvestercameo62632 ай бұрын
Ahsante kwa presentation nzuri sana! Mengi ya aliyoyaongea yalishafanyiwa utafiti na tafiti hizo zinaozea kwenye shelves. Tatizo la nchi hii ni hizi zinazoitwa awamu za utawala. Kila awamu inakuja na mipango yao na ku abandon yote ya awamu iliyotangulia. Mfano Mkapa alikuwa na mkakati wa kupunguza umasikini MKUKUTA,, Kikwete akaja na mkakati wa uchimbaji na matumizi ya gesi katika mkakati wa kukuza uchumi na sera ya kilimo. Aliyefuatia kaja na uchumi wa viwanda.. Kwa sasa ni vigumu kujua ni kipi kati ya sera kipa umbele ni kipi? Shida yetu si potential thinkers na planners bali potential implementers! 16:23
@geofreyngogo66652 ай бұрын
Nimevutwa sana na hoja yake kuhusu kuwekeza kwenye viwanda badala ya kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina lakini hofu yangu ni kwamba hatuna mkakati madhubuti wa kuwaandaa vijana ili wasiwe kikwazo kwa wenye maono na mitaji. Kukosekana kwa uaminifu kunakochangiwa na tamaa ya utajiri wa haraka usiotokana na jasho lao kumekuwa ni kisababishi kikubwa cha viwanda na biashara nyingi kufa. Jambo lililo dhahiri ni kwamba ufisadi unaosikika miongoni mwa wenye dhamana ya kuhakikisha tunagawana keki ya taifa kwa usawa ni kichocheo kikubwa cha tabia hii mbaya miongoni mwa vijana wa kitanzania.
@KhamisChaz-td4nz2 ай бұрын
Hawa ndio watu wa kupewa nafasi kwenye kamati kuu ya maendeo Taifa mawazo kama haya ni dhahabu watanzania tumefanywa machinga wa kuuza bidhaa za wazungu faida wanapata wao halafu bado tunakwenda kukopa kwao
@sportsxtz2 ай бұрын
Mama samia hear this man
@judicalosika76422 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@legacytrainingservices2 ай бұрын
Jamaa alifaa kuwa mshauri wa Rais katika masuala ya Biashara na uwekezaji coz anavitu ambavyo kikifanyiwa implementation kinaweza kusogeza taifa kutoka point moja kwenda nyingine. Ila kutokana na mifumo yetu ilivyo hakuna mtu atamconsider wala kuona logic yyt kwa kile alichokizungumza, ila kama angekuwa anazungumza mambo ya uchawa mapema sana angekuwa amepewa platform mpk kwa decision makers.
@athanaskipeto5722 ай бұрын
Kumbe watu wenye upeo na mayo wa uzalendo bado wapo shida ni kuwa ona na kuwa tumia
@godfreyngowi64342 ай бұрын
Huyu jamaa achukuliwe alisaidie Taifa kwenye huu mpango
@wechemakambo21822 ай бұрын
Ndiyo kalisaidia kwa kuwekwa afisa biashara wa wilaya
@manish-fp1fb2 ай бұрын
Mbona kama mchangiaji kamzidi sana uwezo mwenyekiti wa kikao
@eliazalgwambie63162 ай бұрын
Huyu jamaaa, kama watakuelewa
@amanipgodfrey85432 ай бұрын
Smart
@petersawa23522 ай бұрын
Ni hoja ya msingi sana
@SHIJADAVIS2 ай бұрын
Imekuwa ni kawaida walioko kwenye nyasifa huwa hawachangii lakini huyu bwana amesema ukweli. Kuna kitu nimejifunza kitu kikubwa.
@mbwanakiting71802 ай бұрын
Maneno maneno tuuuuuu
@MsangoDiesel2 ай бұрын
Huyu mshua kaongea ukweli njombe iko nyuma Sana shida ya makabila4 na umimi
@stevenmengo83562 ай бұрын
Hiviii kaka Costco huko Njombe unafanya nini? Unatakiwa uwe wizarani una tunga sera au vyuoni una toa shule. NONDO NZITO SANA HIZI
@smallscaleminingsupplies96702 ай бұрын
Kaka kweli una nondo ila hapo inaonekana hao raia hawakuelewi
@mwaka432 ай бұрын
Kweli kabisa Mkuu, tufanye zoezi la ku-like na ku-share hii Clip ili iende na kuwafikia watu wengi!!!
@piusgadau63282 ай бұрын
tumemuelewa sisi watazamaji kumbuka sisi ni wengi kuliko hao...
@suleimanjokoro2 ай бұрын
Du, professor ha comment kwenye presentation ya mwanafunzi wa "Yale University" kwa sababu ana pelea mno!!!😂😂
@gloriamichael79352 ай бұрын
Huyu bro ni afisa biashara wanging'ombe yuko vzr
@FidelisiKidungu2 ай бұрын
KATIBA MPYA KATIBA MPYA KATIBA MPYA KATIBA MPYA Habari za Dira zitatuondoa kwenye Agenda ya KATIBA MPYA NI SASA
@eaglecrown11012 ай бұрын
Amen
@paulbaharia4102 ай бұрын
Kumbe bado tunahazina ya wasomi na wenye uelewa mzuri kama huyu ndugu jamani tuwatumie wawezekulinogesha Taifa letu pendwa.
@FrankasamisyeMwaiswasu5 күн бұрын
Tungekuwa na Raisi mwenye akili ya jinzi hi tungefika mbali,lakini hatunabahati mbaya tunatawaliwa viongozi ambaboa wanawaza kuwanyonya wananchi!!!!!
@gilbertshirima26842 ай бұрын
Hii nchi yetu ina watu na zaidi ya watu
@zidatv11222 ай бұрын
Akili kubwa
@furahiniyouthschools60222 ай бұрын
Ndugu ana ufahamu mkubwa sana...aisee huyu ni hazina. Ila sasa wenye kukalia viti hawatamtaka huyu
@TM-zs3rm2 ай бұрын
Nakuunga mkono iwe hivi kwa copper pia. Badala ya kuwapa nguvu wawekezaji wa nje na kutudharau wa ndani.
@Mkorajr2 ай бұрын
Yaani ninavyolifahamu taifa langu, Sidhani km wanaweza kufanyia kazi ushauri wako!!Majukwaa mengi yamefanyika,mawazo mengi mazuri yanatolewa Kwa mifumo mbali mbali Ila yanatekelezwa Kwa uchache sana!!!
@Samalextz2 ай бұрын
❤
@nabosedward48362 ай бұрын
Asilimia kubwa ya masukuma yaliyo soma ni magenius
@lucymsheshi58712 ай бұрын
😢serikali ya kijani itatuma maoni makali kama hiiii
@judicalosika76422 ай бұрын
Huyu ndugu yupo VIZURI SANA
@FrancisgalusMbonde2 ай бұрын
Huyu atakuwa mwanafunzi wake profesa kitila mkumbo.binfsi somo lake nimemuelewa sana
@samwelshepa84432 ай бұрын
Nchi inawezekana kuendelea lakini kama viongozi mamluki na mfumo wa ufisadi ukiondolewa.
@ahmed-shakirmwamba49922 ай бұрын
Elimu ya msingi / Sekondari ni mbovu sana na duni sana ndio maana hatuwezi kupata watu wenye fikra mbadala. Wasomi wa Tanzania hawawezi hata kujieleza kimataifa. Ili kuwa na fikra tofauti nilazima turejeshe somo la Kiingereza ili kila Mtanzania aweze kujieleza kifasaha na aweze kupanua wigo kimawazo. Fikra za chama kimoja pia zinachangia mawazo mgando. Lazima kuwe na fikra mbadala.
@kilianakitanda9470Ай бұрын
Huyu jamaa angepewa kitengo sasa shida ofisin wamewekwa machawa tu hawana akili hata Moja wanawaza kupiga tu.
@georgedamas70972 ай бұрын
Tatizo la Watanzania kama awa ukishawapa tu nafasi nyeti aweze kuifanyia kazi kulingana na uwezo wake mkubwa, baada ya muda tu wanabadilika na kuanza kulamba asali...
@anuarymyekakimolo47852 ай бұрын
Mamake 3mil Vs 200mil
@mohamedhussein35832 ай бұрын
Nimemuelewa vizuri huyu jamaa katika maeneo ya kodi na ujenzi wa viwanda. 1. Hakuna mtu masikini asiyeweza kulipa Kodi Ili hali anapumua mtu alipe kqa kiwango chake
@amonmethod2 ай бұрын
We are poor because we were poor😂
@shabaniathumani17892 ай бұрын
Kumbe chuo cha yudom na mlimani na vyuo vya kata duuu wenyewe tunalinga 😅
@usembiphonedar56322 ай бұрын
Dira ya maendeleo bila KATIBA MPYA ILIYO BORA ni viini macho kwa wananchi! Msisahaulishe wananchi ajenda ya katiba mpya kwa makongamano ya kuchukuwa maoni ya dira ya maendeleo huku mnakataa kuleta katiba mpya! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwanza ndipo mje na hiyo mipango ya maendeleo! Bila katiba mpya iliyo Bora hakuna maendeleo kwa Taifa, maendeleo yatabaki kwa kikundi cha watu wachache waliyoshika madaraka ya Nchi! Tupatie katiba mpya kwanza msitudanganye na dira ya maendeleo bil katiba nzuri!
@bezalelmbijima81822 ай бұрын
Siku hizi hatujali juu ya blocks za kuegemea ili kuandaa wataalamu wetu! Huwezi kufanikiwa kiuchumi kama utakumbatia Uswahiba badala ya facts! Watanzani hatutumii tafiti na hasa siku hizi ambazo tunashabikia sanaaa ideological perspective kuliko facts. Ideological perspective ni kama ndoto za Kinjikitile ambaye aliongoza watu wakemee risasi za wajerumani zigeuke maji. Tudhamilie kuikomboa Nchi kiuchumi sio kuhaza fikira watoto wetu kuwa mahouse girls au vibarua Uarabuni.
@chrismassawe29392 ай бұрын
Huyu jamaa yupo sahihi kila mtu alipe kodi ni sheria na hata kwa Mungu Yesu aliagiza kaisari apewe na Mungu apewe cha kushauri serikali iweke kodi rafiki isizidi 10/% na kila anaepata kipato alipe na sheria iwe kali ikiwa ni pamoja na kuwafunga watu jela wasiolipa kodi
@elishamwaitebele2 ай бұрын
Wakuu wa nchi huyu jamaa bado yupo njombe mpaka sahizi
@HamisLeo2 ай бұрын
Huyu jamaa nimuweke wizara gan ili aweze kutunga sera na mipango ya kulikomboa taifa kiuchumi, naomba mawazo ya wanainchi ili nimuweke awe katibu wa wizara au wazri.
@novathmsanyamsanya77022 ай бұрын
Sehemu aliyo delivery haya mazo siyo sahihi,
@tumainielmaruwa31482 ай бұрын
Mh Mwigulu huyu tukimuweka wizara ya fedha lazima PH yako ukarudie huyu anaweza leta mabadiliko makubwa sana
@aloycebabene62392 ай бұрын
Huyu ni msomi ila anaweza zaidi siasa kuliko kuanzisha kampuni.