MTANZANIA MWENYE IQ KUBWA ALIVYOTEKA MJADALA WA DIRA YA MAENDELE 2025 2050

  Рет қаралды 43,470

NJB TV NEWS

NJB TV NEWS

Күн бұрын

Пікірлер: 221
@husnmjuba4978
@husnmjuba4978 2 ай бұрын
Ahsante kwa jitihada zako japo, Hizi presentation zote zishafanyika nchini japo kwa mtimdo tafauti na huo . Hapa Tanzania kinachotugharimu ni kukosa uadilifu na Ufisadi umekua mkubwa.
@judicalosika7642
@judicalosika7642 2 ай бұрын
Hakika Hakika Hakika Hakika
@edgarrich9895
@edgarrich9895 2 ай бұрын
Punguza wivu Kaka mpongeze tu kafafanua vyema
@anuarymyekakimolo4785
@anuarymyekakimolo4785 2 ай бұрын
Yeye anatyeleza ufisadi akili Gani hiyo, akili ya kifala anataka jamaa achangie hoja kuhusu ufisadi??? Ambao kila siku unazungumzwa? Wivu tu na uzwazwa​@@edgarrich9895
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 2 ай бұрын
Huenda hajafanya research, Nani hajui kuwa China inauza kwetu sana kuliko sisi? Labda kununua technolojia ndio itatutoa
@JacobJamesMasangula-oo6pt
@JacobJamesMasangula-oo6pt 2 ай бұрын
Jamaa anajua, apewe mauwa yake🎉
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 2 ай бұрын
Tatizo ni implementation ya hayo mambo mazuri. Viongozi wetu wanawaza uchaguzi na namna ya kuhakikisha Watanzania wanabaki maskini ili watawaliwe vizuri.That's all!
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
Yeah ndio hali halisi 😂
@gangmore9091
@gangmore9091 2 ай бұрын
Sifa y mgombea ajuwe kusoma na kuandika 😂😂 wasomi wapo mtaan Tanganyika na wa Tanganyika wamelala
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 2 ай бұрын
Huyu jamaaa utafikiri amesoma uchumi, very worth ideas
@rebmanwillbard7464
@rebmanwillbard7464 2 ай бұрын
Very good point zako baba
@kwisa4899
@kwisa4899 2 ай бұрын
Huyu jamaa anazungumza vitu vikubwa na watu wenemapokeo madogo akiwemo na huyo mwenekiti
@hybrid603
@hybrid603 2 ай бұрын
Genius Brother from Shinyanga land❤
@hassankurwa464
@hassankurwa464 2 ай бұрын
Jamaaa ana akili kubwa sana sana. Sijui Nchi hii tunafeli wapi?
@alexmnogi1822
@alexmnogi1822 2 ай бұрын
Watu kama hawa niwakuwapa nafasi yakulisaidia taifa letu sema ndovyo mara nape Kawa wazir wa snaa..😂😂😂
@YohanaRichard-e6p
@YohanaRichard-e6p 2 ай бұрын
Asante kwa uwezo wako katika kuhuisha fikra zilizo kufa na kuleta mtazamo Chanya kwa maendeleo ya taifa letu
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
Nchi haitaki watu wenye uwezo wa akili inataka watu poa poa na machawa😂
@fredrickandrew798
@fredrickandrew798 2 ай бұрын
Hii ni akili kubwa, hongera sana Kosmas, nimekuelewa.
@JosephMagina-m9t
@JosephMagina-m9t 2 ай бұрын
vizuri sana brow asante kwa kufikikilia vizuri
@apiovlwiwa9619
@apiovlwiwa9619 2 ай бұрын
Hongera sana, mawazo mazuri. Sema asidharau sana vyuo vyetu vya ndani.
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 2 ай бұрын
Cosmas is a brain we need this person
@waltergodwin2529
@waltergodwin2529 2 ай бұрын
Uyu jamaa kwa jinsi nilivomsikiliza ukimpa ata wizara atafanya vzr saana
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 2 ай бұрын
Ni Rahisi sana kuongea, ila usimsahau Mhongo
@waltergodwin2529
@waltergodwin2529 2 ай бұрын
@@officialyohanamalisa1873 no matter how it is but the guy anajua kujenga hoja. Wakina muhongo au bashe walikuaga watu ila mfumo umewabadilisha
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 2 ай бұрын
Jamani kumekuwa hali ya kuwachukia watu wanaoonekana extraordinary na kuwatendea vibaya.Tukikosa watu kama Hawa lazima tutakuja kutawaliwa.
@VianeMakarious-lt3is
@VianeMakarious-lt3is 2 ай бұрын
Jamaa liko vzr sana.
@jameskivelege6721
@jameskivelege6721 2 ай бұрын
Nimependa mchango wako Makune,upo vizuri
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
Hongera sana, viwanda watu wanadhubutu.mfano vya kombe Kali. Tunaviua wenyewe. Wakina Elon musk wako. Skyline and logistics. Ni kampuni ya tz. Ambayo potential yake taifa letu halijavuna.
@kimeajuma3267
@kimeajuma3267 2 ай бұрын
Huyu jamaa yupo vzr sana
@andrewkwayu2797
@andrewkwayu2797 2 ай бұрын
Mawazo mazuri. Serikali sikivu kazi kwake!
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
SAFI SANA , HAYA NDIYO MAMBO YA MSINGI KWA MANUFAHA YA TAIFA
@paul1985ization
@paul1985ization 2 ай бұрын
Kuna watu wanaweza kuisaidia hii nchi lakini hawaonekani. Huyu jamaa atazamwe ana kitu kwa maslahi ya nchi
@mathiasmuhochi435
@mathiasmuhochi435 2 ай бұрын
Hongera Cosmas....nimekuelewa, good idea Kwa maendeleo ya Taifa
@edisonkashaija4067
@edisonkashaija4067 2 ай бұрын
Huyu mheshimiwa napendekeza sana ateuliwe kuwa mbunge alafu ateuliwe kuwa waziri wa Elimu😊
@petronyereresaliboko4047
@petronyereresaliboko4047 2 ай бұрын
Yes of course yes
@zaveriamduda
@zaveriamduda 2 ай бұрын
Genius 😂
@davisnitu890
@davisnitu890 2 ай бұрын
Jamaa anajua sana, vitu alivyosem vyote ndo walivyotumia mataifa yalio endelea, mf japana, China, russia na uwingereza, mpinduz ya viwanda hayaji iviivi lazima tutengeneze mazingira
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 2 ай бұрын
"Anaweza akaja Farao asimjue Yusuf",,,nimecheka sanaaa😂😂😂😂😂
@JosephmwitaJosephmwita
@JosephmwitaJosephmwita 2 ай бұрын
Huyu jamaa mmmhh😢 ni moto kwelikweli,,Mr makune namkubali
@sondajohn1371
@sondajohn1371 2 ай бұрын
Jamaa yangu hongera kwa matamanio yako lakn utakufanayo2 nazaid utafkuzwa kaz
@Egbethelneus-wj3bq
@Egbethelneus-wj3bq 2 ай бұрын
Viongoziii tayaliii wanàweza wasimwelewe huyuuu mwamba
@jamesmhangwa9672
@jamesmhangwa9672 2 ай бұрын
Good good!
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 2 ай бұрын
Powerful
@godwinmungure7369
@godwinmungure7369 2 ай бұрын
Huyu ndio genius sasa
@makambakoonlinetv7971
@makambakoonlinetv7971 2 ай бұрын
Hongera sana brother,hayo pia Mama Samia anayafanya kwa bidii kubwa ndio maana anajitahidi kubadili safu ya kumsaidia kwa ufanisi.
@FrankasamisyeMwaiswasu
@FrankasamisyeMwaiswasu 6 күн бұрын
Wewe ndo bwege raisi anaihabu nchi we unapongeza!
@AbdulJumanne-xr2qj
@AbdulJumanne-xr2qj 2 ай бұрын
Genius👁️
@AlphanSamwi
@AlphanSamwi 2 ай бұрын
Ttzo wahusika wanayafumbia macho mambo ya msingi hawaoni wala hawasikii,
@peterbalyagati7834
@peterbalyagati7834 2 ай бұрын
Maoni mazuri,maoni yangu mambo 2, nimetafautiana na wewe, swala la viwanda, vigezo na mashariti ya kukuza viwanda mfano umeme, rasilimali watu, sheria gandamizi kuhusu viwanda, hazikupi kufanya kazi kwa huru
@edwardmwoleka4298
@edwardmwoleka4298 2 ай бұрын
Rudia kumsikiliza utagundua hujamelewa, katoa elimu yenye madini tupu, na hoja yako inatiba ndani ya maoni yake, Sema anapaswa kupewa Platform ya kusikika zaidi na zaidi.
@Mwana-k2g
@Mwana-k2g 2 ай бұрын
Pinga hoja Toa maoni Yako SEMA nini kifanyike..acha ungese mamaae zako
@msofegobless8596
@msofegobless8596 2 ай бұрын
Mzee ameongea ila amesahau kuanzisha kiwanda tanzania nishuhuli.serekali imeweka utitiri wa kodi na mlolongo wa vibali
@elisantebenjamin2613
@elisantebenjamin2613 2 ай бұрын
Huyu ndungu ana mambo mengi mazuri ambayo nahisi hata hapo haikua sehemu sahihi ya madini yake nikama anahitaji sehemu nzuri zaidi ambapo kuna wasomi na wenye mamlaka na maamuzi ya nchi ili hizo nondo zisipotee bure. Atafutwe na chombo kama SnS amwage madini wakubwa wayapate juu kwa juu #SnS au Clouds Tv #Good morning
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 2 ай бұрын
Hi sio sehem sahihi aisee
@desolz3809
@desolz3809 2 ай бұрын
Aisee wanging'ombe wamepata afisa biashara kwa kweli daaaaaaaah....
@Seif-re5lq
@Seif-re5lq 2 ай бұрын
Hii ikifuatiliwa na kuboreshwa tutafika mbali sanaa
@apolinaryprimus5542
@apolinaryprimus5542 2 ай бұрын
Full pack!!!
@danielshimora5315
@danielshimora5315 2 ай бұрын
Mpango mzuri Sana 2025_2050, watanzania tuelimike tuache polojo. Twende Kwa vitendo Mama Samia Hoyee,
@desolz3809
@desolz3809 2 ай бұрын
😂😂😂
@kikalarashid9003
@kikalarashid9003 2 ай бұрын
Maoni mazuri sana aisee
@westerntanganyika
@westerntanganyika 2 ай бұрын
Msukuma akielimishwa umelielimisha taifa
@albertomwapinga4565
@albertomwapinga4565 2 ай бұрын
Hongera sana ndugu
@saviomlelwa
@saviomlelwa 2 ай бұрын
Huyu jamaa ana maono na ushauri mzuri sana kuhusu nchi. Apewe nafasi kubwa katika nchi anaweza akaleta mabadiliko makubwa kwa mawazo iliyonayo kama ana commitment nzuri. Ni mtu muhimu.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 2 ай бұрын
Kama na yeye hajawa mwizi kama wezi wengine kwani hayo anayoshauri unafikiri hawayajui wanajua saana ila wameshikwa na mapepo ya wizi na hofu ya Mungu imewatoka hata apewe sasa hivi hamna atalofanya ujikaa na wezi na wewe utakuwa mwizi vile vile Mama anatia Imani masikini kasema wizi mpaka kachoka hakuna hata aliyekamatwa Mama yeye kasema watendaji walitenda kimya mpaka leo
@michaelambangile3632
@michaelambangile3632 2 ай бұрын
Kichwa chake kiko smart.
@gulalakitinya7615
@gulalakitinya7615 2 ай бұрын
Positive ideas to a system which does not need them. These ideas have been presented a many times in the past but the system which was to utilise for economic growth so that the country could have made developments fell in the deaf ears, thus the best brains this country has end up unutilised.
@ConradMbuya-hl7nq
@ConradMbuya-hl7nq 2 ай бұрын
Mawazo chanja sana haya.Je, tuna masikio na nia ya kuyatekeleza?
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 ай бұрын
Ahsante kwa presentation nzuri sana! Mengi ya aliyoyaongea yalishafanyiwa utafiti na tafiti hizo zinaozea kwenye shelves. Tatizo la nchi hii ni hizi zinazoitwa awamu za utawala. Kila awamu inakuja na mipango yao na ku abandon yote ya awamu iliyotangulia. Mfano Mkapa alikuwa na mkakati wa kupunguza umasikini MKUKUTA,, Kikwete akaja na mkakati wa uchimbaji na matumizi ya gesi katika mkakati wa kukuza uchumi na sera ya kilimo. Aliyefuatia kaja na uchumi wa viwanda.. Kwa sasa ni vigumu kujua ni kipi kati ya sera kipa umbele ni kipi? Shida yetu si potential thinkers na planners bali potential implementers! 16:23
@geofreyngogo6665
@geofreyngogo6665 2 ай бұрын
Nimevutwa sana na hoja yake kuhusu kuwekeza kwenye viwanda badala ya kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina lakini hofu yangu ni kwamba hatuna mkakati madhubuti wa kuwaandaa vijana ili wasiwe kikwazo kwa wenye maono na mitaji. Kukosekana kwa uaminifu kunakochangiwa na tamaa ya utajiri wa haraka usiotokana na jasho lao kumekuwa ni kisababishi kikubwa cha viwanda na biashara nyingi kufa. Jambo lililo dhahiri ni kwamba ufisadi unaosikika miongoni mwa wenye dhamana ya kuhakikisha tunagawana keki ya taifa kwa usawa ni kichocheo kikubwa cha tabia hii mbaya miongoni mwa vijana wa kitanzania.
@KhamisChaz-td4nz
@KhamisChaz-td4nz 2 ай бұрын
Hawa ndio watu wa kupewa nafasi kwenye kamati kuu ya maendeo Taifa mawazo kama haya ni dhahabu watanzania tumefanywa machinga wa kuuza bidhaa za wazungu faida wanapata wao halafu bado tunakwenda kukopa kwao
@sportsxtz
@sportsxtz 2 ай бұрын
Mama samia hear this man
@judicalosika7642
@judicalosika7642 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@legacytrainingservices
@legacytrainingservices 2 ай бұрын
Jamaa alifaa kuwa mshauri wa Rais katika masuala ya Biashara na uwekezaji coz anavitu ambavyo kikifanyiwa implementation kinaweza kusogeza taifa kutoka point moja kwenda nyingine. Ila kutokana na mifumo yetu ilivyo hakuna mtu atamconsider wala kuona logic yyt kwa kile alichokizungumza, ila kama angekuwa anazungumza mambo ya uchawa mapema sana angekuwa amepewa platform mpk kwa decision makers.
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 2 ай бұрын
Kumbe watu wenye upeo na mayo wa uzalendo bado wapo shida ni kuwa ona na kuwa tumia
@godfreyngowi6434
@godfreyngowi6434 2 ай бұрын
Huyu jamaa achukuliwe alisaidie Taifa kwenye huu mpango
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 2 ай бұрын
Ndiyo kalisaidia kwa kuwekwa afisa biashara wa wilaya
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 2 ай бұрын
Mbona kama mchangiaji kamzidi sana uwezo mwenyekiti wa kikao
@eliazalgwambie6316
@eliazalgwambie6316 2 ай бұрын
Huyu jamaaa, kama watakuelewa
@amanipgodfrey8543
@amanipgodfrey8543 2 ай бұрын
Smart
@petersawa2352
@petersawa2352 2 ай бұрын
Ni hoja ya msingi sana
@SHIJADAVIS
@SHIJADAVIS 2 ай бұрын
Imekuwa ni kawaida walioko kwenye nyasifa huwa hawachangii lakini huyu bwana amesema ukweli. Kuna kitu nimejifunza kitu kikubwa.
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 ай бұрын
Maneno maneno tuuuuuu
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 2 ай бұрын
Huyu mshua kaongea ukweli njombe iko nyuma Sana shida ya makabila4 na umimi
@stevenmengo8356
@stevenmengo8356 2 ай бұрын
Hiviii kaka Costco huko Njombe unafanya nini? Unatakiwa uwe wizarani una tunga sera au vyuoni una toa shule. NONDO NZITO SANA HIZI
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 2 ай бұрын
Kaka kweli una nondo ila hapo inaonekana hao raia hawakuelewi
@mwaka43
@mwaka43 2 ай бұрын
Kweli kabisa Mkuu, tufanye zoezi la ku-like na ku-share hii Clip ili iende na kuwafikia watu wengi!!!
@piusgadau6328
@piusgadau6328 2 ай бұрын
tumemuelewa sisi watazamaji kumbuka sisi ni wengi kuliko hao...
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 2 ай бұрын
Du, professor ha comment kwenye presentation ya mwanafunzi wa "Yale University" kwa sababu ana pelea mno!!!😂😂
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 ай бұрын
Huyu bro ni afisa biashara wanging'ombe yuko vzr
@FidelisiKidungu
@FidelisiKidungu 2 ай бұрын
KATIBA MPYA KATIBA MPYA KATIBA MPYA KATIBA MPYA Habari za Dira zitatuondoa kwenye Agenda ya KATIBA MPYA NI SASA
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 ай бұрын
Amen
@paulbaharia410
@paulbaharia410 2 ай бұрын
Kumbe bado tunahazina ya wasomi na wenye uelewa mzuri kama huyu ndugu jamani tuwatumie wawezekulinogesha Taifa letu pendwa.
@FrankasamisyeMwaiswasu
@FrankasamisyeMwaiswasu 5 күн бұрын
Tungekuwa na Raisi mwenye akili ya jinzi hi tungefika mbali,lakini hatunabahati mbaya tunatawaliwa viongozi ambaboa wanawaza kuwanyonya wananchi!!!!!
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 2 ай бұрын
Hii nchi yetu ina watu na zaidi ya watu
@zidatv1122
@zidatv1122 2 ай бұрын
Akili kubwa
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 2 ай бұрын
Ndugu ana ufahamu mkubwa sana...aisee huyu ni hazina. Ila sasa wenye kukalia viti hawatamtaka huyu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 2 ай бұрын
Nakuunga mkono iwe hivi kwa copper pia. Badala ya kuwapa nguvu wawekezaji wa nje na kutudharau wa ndani.
@Mkorajr
@Mkorajr 2 ай бұрын
Yaani ninavyolifahamu taifa langu, Sidhani km wanaweza kufanyia kazi ushauri wako!!Majukwaa mengi yamefanyika,mawazo mengi mazuri yanatolewa Kwa mifumo mbali mbali Ila yanatekelezwa Kwa uchache sana!!!
@Samalextz
@Samalextz 2 ай бұрын
@nabosedward4836
@nabosedward4836 2 ай бұрын
Asilimia kubwa ya masukuma yaliyo soma ni magenius
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 2 ай бұрын
😢serikali ya kijani itatuma maoni makali kama hiiii
@judicalosika7642
@judicalosika7642 2 ай бұрын
Huyu ndugu yupo VIZURI SANA
@FrancisgalusMbonde
@FrancisgalusMbonde 2 ай бұрын
Huyu atakuwa mwanafunzi wake profesa kitila mkumbo.binfsi somo lake nimemuelewa sana
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 2 ай бұрын
Nchi inawezekana kuendelea lakini kama viongozi mamluki na mfumo wa ufisadi ukiondolewa.
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 2 ай бұрын
Elimu ya msingi / Sekondari ni mbovu sana na duni sana ndio maana hatuwezi kupata watu wenye fikra mbadala. Wasomi wa Tanzania hawawezi hata kujieleza kimataifa. Ili kuwa na fikra tofauti nilazima turejeshe somo la Kiingereza ili kila Mtanzania aweze kujieleza kifasaha na aweze kupanua wigo kimawazo. Fikra za chama kimoja pia zinachangia mawazo mgando. Lazima kuwe na fikra mbadala.
@kilianakitanda9470
@kilianakitanda9470 Ай бұрын
Huyu jamaa angepewa kitengo sasa shida ofisin wamewekwa machawa tu hawana akili hata Moja wanawaza kupiga tu.
@georgedamas7097
@georgedamas7097 2 ай бұрын
Tatizo la Watanzania kama awa ukishawapa tu nafasi nyeti aweze kuifanyia kazi kulingana na uwezo wake mkubwa, baada ya muda tu wanabadilika na kuanza kulamba asali...
@anuarymyekakimolo4785
@anuarymyekakimolo4785 2 ай бұрын
Mamake 3mil Vs 200mil
@mohamedhussein3583
@mohamedhussein3583 2 ай бұрын
Nimemuelewa vizuri huyu jamaa katika maeneo ya kodi na ujenzi wa viwanda. 1. Hakuna mtu masikini asiyeweza kulipa Kodi Ili hali anapumua mtu alipe kqa kiwango chake
@amonmethod
@amonmethod 2 ай бұрын
We are poor because we were poor😂
@shabaniathumani1789
@shabaniathumani1789 2 ай бұрын
Kumbe chuo cha yudom na mlimani na vyuo vya kata duuu wenyewe tunalinga 😅
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 2 ай бұрын
Dira ya maendeleo bila KATIBA MPYA ILIYO BORA ni viini macho kwa wananchi! Msisahaulishe wananchi ajenda ya katiba mpya kwa makongamano ya kuchukuwa maoni ya dira ya maendeleo huku mnakataa kuleta katiba mpya! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwanza ndipo mje na hiyo mipango ya maendeleo! Bila katiba mpya iliyo Bora hakuna maendeleo kwa Taifa, maendeleo yatabaki kwa kikundi cha watu wachache waliyoshika madaraka ya Nchi! Tupatie katiba mpya kwanza msitudanganye na dira ya maendeleo bil katiba nzuri!
@bezalelmbijima8182
@bezalelmbijima8182 2 ай бұрын
Siku hizi hatujali juu ya blocks za kuegemea ili kuandaa wataalamu wetu! Huwezi kufanikiwa kiuchumi kama utakumbatia Uswahiba badala ya facts! Watanzani hatutumii tafiti na hasa siku hizi ambazo tunashabikia sanaaa ideological perspective kuliko facts. Ideological perspective ni kama ndoto za Kinjikitile ambaye aliongoza watu wakemee risasi za wajerumani zigeuke maji. Tudhamilie kuikomboa Nchi kiuchumi sio kuhaza fikira watoto wetu kuwa mahouse girls au vibarua Uarabuni.
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 2 ай бұрын
Huyu jamaa yupo sahihi kila mtu alipe kodi ni sheria na hata kwa Mungu Yesu aliagiza kaisari apewe na Mungu apewe cha kushauri serikali iweke kodi rafiki isizidi 10/% na kila anaepata kipato alipe na sheria iwe kali ikiwa ni pamoja na kuwafunga watu jela wasiolipa kodi
@elishamwaitebele
@elishamwaitebele 2 ай бұрын
Wakuu wa nchi huyu jamaa bado yupo njombe mpaka sahizi
@HamisLeo
@HamisLeo 2 ай бұрын
Huyu jamaa nimuweke wizara gan ili aweze kutunga sera na mipango ya kulikomboa taifa kiuchumi, naomba mawazo ya wanainchi ili nimuweke awe katibu wa wizara au wazri.
@novathmsanyamsanya7702
@novathmsanyamsanya7702 2 ай бұрын
Sehemu aliyo delivery haya mazo siyo sahihi,
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 2 ай бұрын
Mh Mwigulu huyu tukimuweka wizara ya fedha lazima PH yako ukarudie huyu anaweza leta mabadiliko makubwa sana
@aloycebabene6239
@aloycebabene6239 2 ай бұрын
Huyu ni msomi ila anaweza zaidi siasa kuliko kuanzisha kampuni.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 81 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 9 МЛН
RASMI, TANZANIA IMEREJEA GIZANI KITAIFA NA KIMATAIFA
27:22
SK Media Online TV
Рет қаралды 66 М.
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 55 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 81 МЛН