Ndoa ziheshimiwe na watu wote, familia mjifunze kuheshimu mke na mume mmoja akiondoka aliyebaki aheshimiwe vinginevyo ndio majanga kama haya yanawakuta mauaji, matusi mwisho wake ni kuumiza watoto wasio na hatia
@JohnsonBagambi7 ай бұрын
Tatzo tunakosea wote ndo maana unaambiwa kosea vyote sio kuoa au kuolewa
@ecabelmwai34743 ай бұрын
Umemaliza shida ni tamaa
@madamedna1237 ай бұрын
Ni kweli Mabilionea wengi Magari yao yanasajiliwa kwa Majina ya Kampuni na siyo Majina yao binafsi. Mara nyingi wanafanya hivyo ili kulipa nguvu Kampuni iweze kukopesheka kwa kuwa na dhamana kubwa.
@JacklineNamundengozi11 ай бұрын
There is still light at the end of the tunnel god is in control don't lose hope.
@salminasalim563011 ай бұрын
Baba yetu alie mbinguni mfanyie wepesi huyu mama atoke ashinde kesi aruhusiwe kurudi nyumbani aungane na watoto wake
@IMANWILLIAM-bl2ui11 ай бұрын
Sheria ifate mkondo kama kaua wepesi hatouona
@RoseJohn-js7kb11 ай бұрын
@@IMANWILLIAM-bl2uikabisa yani Kwa jinsi alivyomuua Aneth vile Anet akiwa na mtoto mdogo
@aminakasim119811 ай бұрын
Anywengwe tu ukiua,pia,uawaa angekuwaa saudiaangeshauawaa
@RozRoz12-d4d7 ай бұрын
Uyu mama gaidi
@FloraKida-j9f7 ай бұрын
Msimuhukumu Mungu mwenyewe anamjuwa muuwaji na kuna siku itajulikana. Acha Mungu amtetee huyu mama. Ingekuwa ni yy Mungu asingeruhusu aachiwe, damu ya mtu sio mchezo yy mwenyewe asingekuwa kama alivo kuuwa sio kabisa.
@DavalsonMarlony11 ай бұрын
mtoto wa mama uyoo nachukia za Sana watu wanao tengaga baba zao uwo Ni upimbi
@JohnsonBagambi7 ай бұрын
Inauma sana matoto mengi yana akili ya mende baba ndo mtafuta mali akifka maali akatafuta joto la pembeni unakuta ugomvi wa mama na baba matoto yanaingilia
@AngelaPeter-x2r11 ай бұрын
Acha kabisa mungu apendi
@Mjeda-q1m11 ай бұрын
Yaanimarehemu amiliki Gali moja alafu aitwe bilionia msuya kweli wewe mtoto nyoko mala sabini unamsaliti baba yako
@nathankihiyo619411 ай бұрын
Eti gari moja tu🤣🤣 huo ni uwongo
@aminakasim119811 ай бұрын
Hivi,wanajua kuna mungu kweli hawaaa mmmmmmmh yaan
@justice6077 ай бұрын
Ametoka tayari
@fideamtenga21211 ай бұрын
Mungu attatenda haki tuu
@joycerichard927411 ай бұрын
Mungu wa mbinguni mkumbuke huyu mama
@aminakasim119811 ай бұрын
Amkumbukeee na nini sasa naa damu ilomwagikaa
@SaraJinalangu3 ай бұрын
@@aminakasim1198 una lolote Leo mnapenda kuhukumu
@aminakasim119811 ай бұрын
Na huyo mamaa anachekaa tu
@ChristopherDeograthias11 ай бұрын
Eeeeeeeehatare
@munguhashindwijambo268111 ай бұрын
Huyu siyo ridhikie huyo ukiua ndugu yangu siwezi kukutetea hata kidogo
@knowledgeispower111811 ай бұрын
Kibatala moto unakusubiri ,tubu achana na hiyo kazi ya kishetani ya kumtetea muuwaji ..A lawyer is the first criminal
@getrudalufega977011 ай бұрын
Usihukumu
@goodlucktarimo617011 ай бұрын
Una uhakika ni muuuaji acha kiherehere ulikuwepo akiuwa