Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake mola ampe khauli thabiti ndugu yetu
@itanzaniaAS23 күн бұрын
Gone too soon. Wangemleta tumzike ni Alichangia sana PATO LA TAIFA😢
@Afrikalove73623 күн бұрын
Wezetu wanakulia Tazania, wanatibiwa Marekani ,wanafia Marekani na wanazikwa Marekani.Tanzania nikuchuma tu hela lolote litakalo tokea wanamahali pa kukimbilia .Wengine na mimi kauparange tutakanyagana hapa hapa.
@ProsperUlungi23 күн бұрын
Sio watanzania hao wapo kwa niaba ya kutafuta
@shadrackkassale296823 күн бұрын
Hizi siasa na huu msiba unahusina nn sasa mbona mnapenda kuingiza siasa had at the wrong place
@WahidaHilaly23 күн бұрын
😢😢😢😢 pole sana Kwa familia
@judyngowi39123 күн бұрын
Tumekulia buzz, tutatibiwa buza , tutazikwa kwa Mpalange
@bakaribakari644423 күн бұрын
Kwani akizikiwa Marekani atafufuka na sisi tukizikwa kwa mparange ndio basi au?
@user-xh7xf2ki3r22 күн бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiuun pole kwa familia na walioguswa na msiba huu
@200Stella23 күн бұрын
Mungu ampokee kwa mikono miwili na amsamehe makosa yake yote.May you find peace.
@EmmanueliZani-ur9bi23 күн бұрын
Umechelewa, Mungu anaangalia neno lake, vile alivyosema, ndivyo atakavyofanya. Mungu anataka utubu dhambi zako mwenyewe, na uishi maisha matakatifu. Na siyo ukifa watu wakuombee hayo maombi ni sawa na kumpigia Mbuzi gitaa.
@Sarah_gerald21 күн бұрын
Amiin
@EdghaMoses-js8lj22 күн бұрын
Nenda baba msalimie Joseph Magufuli. baba yangu yule
Inna lillah wanna ilayhi rajeun 😭😭😭😭 Allah amsameh makoda yake anayoyajuwa na asoyajuwa, Allah amtanulie kaburi lake liwe na nuru na bustaan inayonukia na ampe kitabu chake cha mkono wakulia na amtarishie jannat firdaus donate na Mtume wetu Muhammad S.A.W 🤲 Ametangulia na sisi tupo nyuma yake Allah atupe khusnu khatma yarrab 🤲
@Didaskamili23 күн бұрын
Maisha yote ameishi Tanzânia na sisi wNayanga tumeguswa lakini ametuchoma nafsi kwa nini azikwe marekani na nyumbani Tanzânia?
@ezekieljacob579522 күн бұрын
Kaburi halina tofauti..je? Wanaoliwa na mamba ?? Makaburi yao yako wapi ??
@Teaching35622 күн бұрын
Ndo mtambue kuwa tz wanawaona ni kama hamna thamani yoyote.na angekuwa MTz afie marekani anazikwa huko huko uuuwiii!
@SKY-fk3fz22 күн бұрын
Innalillahi waina ilaihi rajiun, Allah amsameh madhambi yake
@jumamario-vr1mw23 күн бұрын
Pole sana
@aaa64sa1323 күн бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun
@johnlyochi721222 күн бұрын
Poleni
@DottoBusweru23 күн бұрын
pole ni
@HalimaKassim-yz3we23 күн бұрын
Daah 😢😢
@user-ns1dg4jd7q23 күн бұрын
Tangulia Manji kifo wewe 😭😭
@benancejohn119823 күн бұрын
Rest In Peace Tajiri 🕊️
@user-nv7jg6xc8l21 күн бұрын
Allah akosei innalillah wainnailah rajuun 🙏
@josephinejoseph391923 күн бұрын
😢😢😢
@AeshaSaid-pe3tn23 күн бұрын
Subuhannallah
@SalumMzee-cw8do19 күн бұрын
Ewe uliye danganywishwa na dunia una nguvu unajeuri hakika ya umaut unakuja Ghafla na kaburi ni sanduku la matendo yk Allah Akbar
@StevenMsagusa-mk8qd23 күн бұрын
RIP
@radojembe734723 күн бұрын
Dunia Mapito Inallilah wainalah rajuun
@ghhhhy181223 күн бұрын
Innalillah wa inailah rajun
@michaelloveness170523 күн бұрын
R. I. P
@setiseti528123 күн бұрын
Rip
@suhailaidarousahmed287922 күн бұрын
Innallillah waina illahi rajiun
@user-tt7cu2et1x22 күн бұрын
R.i.p😢
@user-bt6ep3yb2h22 күн бұрын
Kama baba yake aliamua kuwa raia wa marekani inakatazwa? Omba na wewe uwe raia wa marekani, Sweden nk huwezi kukatazwa, issue ya manji ni msiba, huna haja ya kulalamika Manji kuzikwa Marekani, unajua kuna watu duniani hapa husimanga maiti utafikiri wao ni mawe, hatari sana.Duniani hapa hatuwezi kujariwa woteee tuwe matajiri, ndiyo maana unakuta akina mo, bakharesa,tramp, rip mengi nk nao pia wana michango yao kitaifa.
@user-ui4oh8gf8n23 күн бұрын
Allah amrehemu
@ModextaModexta-on7mi22 күн бұрын
🤲🤲💔😭😭
@TumainiAkyoo22 күн бұрын
Rais wangu Magufuli alikuwa hakurupuki kwa hili la kuzikwa marekani ndilo linafungua akili sasa
@user-ml5tq8hj2x23 күн бұрын
Apumzike kwa amani
@noot-oe2mw22 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@user-bn9el8yv8o22 күн бұрын
inailahi wainailahi rajiuni
@mercylujwangana236823 күн бұрын
RIP MANJI
@neemapaschal137222 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajiun
@user-xd4lu1xl6c22 күн бұрын
Kwn anaishi marekani?
@SalimSalimu-z5c22 күн бұрын
Innaa lilahi wa Innaa ilahi Rajuun Allha Ampe Qauri
@sabinahobe347823 күн бұрын
Sorry kwani alikuwa ameshahamia Marekani? Na je ni muhindi au mwarabu? Rip
@florencemeza654022 күн бұрын
Pesa na mali zote tutaziacha tutendeni mema tu, unajilimbikizia malii utafikiri utazikwa nazo