Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
@aishamussa85321 күн бұрын
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
@jacklinesimon754421 күн бұрын
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
@samkoka321 күн бұрын
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
@WinifridaFidelis21 күн бұрын
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@SinemaZaChina21 күн бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
@allymdoka863421 күн бұрын
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
@user-xk7vy4gb6g21 күн бұрын
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
@Gml-wi5nv21 күн бұрын
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@JacksonMabeyo14 күн бұрын
Dar Pole sana mwangu mimi mpaka leo najua haupo ila baada ya kunitumia hii interview ndo nmeamin upo Mungu ni mwema.asee nafurahi
@JaliaMuro21 күн бұрын
Mungu ni mwema hongereni sana moi
@user-mr5yf1hp7t21 күн бұрын
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
@ruqaiamohammed34521 күн бұрын
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
@Djso2621 күн бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@saadaperec270614 күн бұрын
me bado najiuliza huyo jamaa aliempa boda aendeshe baada ya mwenzie kupata ajali hakufanya taratibu hata za kutafuta watu wake wakaribu wajue ndugu yao kapata ajali yani inashangaza sana
@SamwelDickson-zh5gj21 күн бұрын
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
@Kiganja21 күн бұрын
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao?
@user-qk1iv2is9f21 күн бұрын
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@magrethmbuma304521 күн бұрын
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
@everlyne859521 күн бұрын
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu