“NDUGU WAZIKA JAMBAZI ALIYECHOMWA MOTO WAKIDHANI NI MIMI, MZIMU”

  Рет қаралды 43,391

Millard Ayo

Millard Ayo

28 күн бұрын

Пікірлер: 147
@StellaJohn-dz6gv
@StellaJohn-dz6gv 21 күн бұрын
Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
@aishamussa853
@aishamussa853 21 күн бұрын
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
@jacklinesimon7544
@jacklinesimon7544 21 күн бұрын
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
@samkoka3
@samkoka3 21 күн бұрын
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
@WinifridaFidelis
@WinifridaFidelis 21 күн бұрын
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina 21 күн бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
@allymdoka8634
@allymdoka8634 21 күн бұрын
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 21 күн бұрын
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
@Gml-wi5nv
@Gml-wi5nv 21 күн бұрын
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@JacksonMabeyo
@JacksonMabeyo 14 күн бұрын
Dar Pole sana mwangu mimi mpaka leo najua haupo ila baada ya kunitumia hii interview ndo nmeamin upo Mungu ni mwema.asee nafurahi
@JaliaMuro
@JaliaMuro 21 күн бұрын
Mungu ni mwema hongereni sana moi
@user-mr5yf1hp7t
@user-mr5yf1hp7t 21 күн бұрын
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 21 күн бұрын
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
@Djso26
@Djso26 21 күн бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@saadaperec2706
@saadaperec2706 14 күн бұрын
me bado najiuliza huyo jamaa aliempa boda aendeshe baada ya mwenzie kupata ajali hakufanya taratibu hata za kutafuta watu wake wakaribu wajue ndugu yao kapata ajali yani inashangaza sana
@SamwelDickson-zh5gj
@SamwelDickson-zh5gj 21 күн бұрын
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
@Kiganja
@Kiganja 21 күн бұрын
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao?
@user-qk1iv2is9f
@user-qk1iv2is9f 21 күн бұрын
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 21 күн бұрын
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
@everlyne8595
@everlyne8595 21 күн бұрын
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 16 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН