Mungu akubariki uu ktk Mungu wa kweli ndivyo inatakiwa kweli
@mbelechimakobola8835Ай бұрын
Yes kikosi chenu tumeshakielewa sana, ndicho kimebeba watu wanaotetea maslahi ya Mungu tanzania na ulimwenguni pote, songeni mbele, chapeni injili SANA Amina!
@christianchando7041Ай бұрын
Mlelwa leo umeongea kama mtu mzima kiroho, hizi ni point tupu. Mungu wa mbinguni akubariki sana na akibariki hiki ulichoongea
@PatsonKyandoАй бұрын
Huna heshima wewe kijana,hao unaowasema wako bize kufanya kazi waliopewa na Mungu siyo Kusema wengine vibaya Sikushangai kwa sababu ndicho umefundishwa na aliyekufundisha
@simonmwavipa1368Ай бұрын
Ubarikiwe
@ShadrackMwita-q3d24 күн бұрын
Wewe kua kwanza dogo ungejua hao watu, wewe na magembe nani anauchungu na kanisa,wewe umetumiwa
@CharlesMbunda-og5tnАй бұрын
Kosa lenu Mlelwa, Ni KULAZIMISHA KILA MHUBIRI AROPOKE KAMA NYIE!!! Huo ni ubinafsi ambao siyo wa kikarama. Bali wa ukabila!!! Na ni dhambi. "WATU WASEMAO SIMAMA PEKE YAKO, USINIKARIBIE MIMI, KWA MAANA MIMI NI MTAKATIFU KULIKO WEWE..." (Isaya 65:5).
@barakahhawu2324Ай бұрын
99.9% wahubiri wanachangia watu kuharibika hapa duniani Wanawavuruga Sana waumini . Nimekupata mtumishi
@user-yj5es1jw8cАй бұрын
Matuni ,Nani anakufundisha bwana mdogo
@user-mx4tx1mm2dАй бұрын
Kama umeelewa kosa lako ni vizuri ,Mch maghembe ni mtu mzima sana pia amepigania injili sana kuna mambo anafanya ambayo si lazima yawe wazi nyie kuyaelewa
@georgekyando885Ай бұрын
Mpaka ukosolewe ndipo useme ukweli wenzio tulikushangaa sana kwa kauri zako kwamba eti akina Mwakasege wanalipotoa neno tulikuona kama una shida ya afya ya akili omba radhi kijana upone.
@HelbethMlelwaАй бұрын
Umesikiliza hiyo clip?? Na ile ya kwanza ulisikiliza. Kuhusu Mwakasege hiyo haibadiliki, hapa ninayemzungumzia ni Magembe, wala sio Mwakasege.
@user-lh5rx6yf1gАй бұрын
Mbona nyinyi mlihubiri uongo, mlisema biblia imetoa sababu mbili za kuvunja ndoa pamoja na namna ya kumsamehe mtu. Mmeelezwa lkn hatuoni hata yoyote kwa maana hiyo mnahukumu kwani mnafanya mnayowakataza wengine wasifanye.