No video

MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

  Рет қаралды 202,851

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 132
@mathalanally8367
@mathalanally8367 Жыл бұрын
Mashaallah layti kama asingetangazwa kama mtoto wa rais basi wengi wetu tusingemjua kwan watoto wa marais wengi kuwajua si jambo rahis ila mm kwa upande wng tu niseme Allah aibariki familia yao na awaepushie yote mabaya, amiin
@rasheedmbaraka7556
@rasheedmbaraka7556 Жыл бұрын
Hongera mama kwa malezi mazuri una bint mzuri sana na anaonekana ni mtu mkarimu sana..well done our President..SSH.
@victoriajoachim7271
@victoriajoachim7271 Жыл бұрын
Binti wa pekee hana mwingine wengine ni wa kiume 3 .
@yavuz5887
@yavuz5887 Жыл бұрын
MashaAllah very nice program thank you 🎉❤
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Sauti kama Mama 💞
@Boaz22
@Boaz22 Жыл бұрын
Yaani kabisa 💯
@KassimUmeya
@KassimUmeya Жыл бұрын
Alhamdulilah Mashaallah Mama Kajizaa Mwenyewe Mtupu, Allah Subhana Wataala Amjaalie Apate Tabia Ya Mama Inshallah Ameen Yaarabbil Alameen.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Hakufanana kafanana na mzee Hafidh wee mama alikuwa pambeee amrmkopi sauti kidogo
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 Жыл бұрын
Sauti y mamake kaibeba ,Maa shaa Allah
@SophiaMinja-no8dt
@SophiaMinja-no8dt Жыл бұрын
hongera umeongea vizuri sana
@imranyusuf5505
@imranyusuf5505 Жыл бұрын
Like mother like daughter mashallah
@newhopeonline5818
@newhopeonline5818 Жыл бұрын
Una Nidhamu sana safi, waislam Eneo la maadili mnajitahidi sana
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy Жыл бұрын
Asante sana. Karibu katika uislam
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 Жыл бұрын
Mashallah nimekukubali sana kama mamako yako mashallah ❤🥰🥰🥰🌹🇴🇲
@user-pp4rc7zc2d
@user-pp4rc7zc2d 6 ай бұрын
Bismillah Masha Allah bless ❤❤❤
@HamIslamicFoundation
@HamIslamicFoundation Жыл бұрын
Sauti kabisaa kama yake Mama Taifa Samia Suluhu
@HumoudMahmoud-dq3ff
@HumoudMahmoud-dq3ff Жыл бұрын
ukifuata maadil ya kiislam lazima uwe na kizazi bora kama hivi
@Swahili14
@Swahili14 Жыл бұрын
WOW she's so well spoken ❣️😇
@magretsamba5002
@magretsamba5002 Жыл бұрын
Anaongea kama Mama yake....Mungu azidi kukubariki mtoto wa mheshimiwa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mtoto wa pekee wa kike
@fatumakimaro3186
@fatumakimaro3186 Жыл бұрын
Safi sana sauti kama ya mama jamani
@SeleFundi-ym1bv
@SeleFundi-ym1bv 9 ай бұрын
Mtoto wa raisi yupo vizuri sana uku kwetu mtoto wa mjumbe wa myumba kumi tu tunakoma ongera sna Raisi Samia
@user-pq4jh3jy4x
@user-pq4jh3jy4x 27 күн бұрын
Mashaaalahhhhh
@SindiFRegis
@SindiFRegis Жыл бұрын
Wow! Mtoto wa Mheshimiwa Samia ni mrembo sana sana. Lakini pia ana malezi bora ya kiafrika. Nampenda sana. Ningekuwa na uwezo ningemwomba urafiki, ingawaje anaonekana huenda aliolewa. Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan.
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg 10 ай бұрын
Yes mke wa Mohammed mchengelw waziri w tamisemi
@robbyartsproduction7606
@robbyartsproduction7606 7 ай бұрын
We jamaa kazinzi eti urafiki ushatamani mzigo huo dadeki
@hermanarron5341
@hermanarron5341 Жыл бұрын
Safi sana anaongea fact Wala hajiskii it's like hajijui kuwa ni mtoto wa raisi well deserve 👏👏
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
Sana hana shida ALLAH amuhifadhi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Exactly! Hana mashauzi,,,
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
😂😂
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
@@khadijahali4837 kwema my kweli ndivo alivo hana majivuno nilikutana nae siku moja kama tuna urafiki ilikua nampenda kwa ajili ya ALLAH huyu dada
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@Awatee ooh kwl anaonekana hana majivuno, kmb mwezt na kuonana nae umewahi hongera my
@muna1744
@muna1744 Жыл бұрын
Watu mnasema kafanana na mama ake lakini sio kweli amefanana na baba ake
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 Жыл бұрын
Kama Mama, Hongera.
@selinalawala2270
@selinalawala2270 Жыл бұрын
Kweli hongera sana mama yetu Samia suluhu Hasani, umelea vema, huyu Binti Yuko vizuri, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mungu mbariki Rais wetu na familia, na nchi na raia wote.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 ай бұрын
Rais wangu ongera una bint mzuri❤❤❤
@gracemacha9357
@gracemacha9357 Жыл бұрын
Hongera unafanana na baba yako sana
@kissakayuni767
@kissakayuni767 Жыл бұрын
Hongera Sana mrembo wa Mhe. Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan upo vizuri Sasa
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Bismillah masha'allah 🥰❤️
@amanimgoba4139
@amanimgoba4139 Жыл бұрын
safii sana Umeongea vizuri
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 ай бұрын
Watanganyika acheni kujidharauni hivyo hivi lini mtajemiana? Kwa watoto wa nyumba kumi amekufanyia nini kama tutaendelea kuchukuana Watanganyika tutkufa omba omba kwa kweli. Kwa mama Saluuma mbona amendelea kuongea vizuri kwa wanawake wa kitanganyika? Watumwa kuwato katoka utumwa ni kazi kubwa sana.
@SalimMahdi-kx1dp
@SalimMahdi-kx1dp 4 ай бұрын
Wallahi mmungu Skype uzima naafya nakupenda saanaa kwaulivojistiri mwanamke wakislam unaheshima mmungu atakujaza dadangu
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 7 ай бұрын
Shirikianeni na wasaidizi wa sheria wanawake katika hiiii kazi ya kuilea jamiiii
@SamweliFelix-ij2pc
@SamweliFelix-ij2pc 7 ай бұрын
Mama nisaidie naomba unipepeleke studio pleasee
@jacksonmtonyore9871
@jacksonmtonyore9871 Жыл бұрын
Yko vzr Saana
@user-bu3ph8mx2b
@user-bu3ph8mx2b 10 ай бұрын
Hongera yake
@DottoMalago
@DottoMalago 3 ай бұрын
Mh Wañu,uje Bara pia,tunahitaji MIF
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah
@sabrinarashid7990
@sabrinarashid7990 Жыл бұрын
Mashalah wanu
@domimassawe7611
@domimassawe7611 Жыл бұрын
Sauti Kama ya prezooo🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 Жыл бұрын
Aliye muona Aunt sadaka jaman apite na like hapa.
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 Жыл бұрын
Mbona Kama kiswahili hawezi vizuri au anakaa mbali
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
🙄🙄🙄Kiswahili kip unachokitaka
@stevennenelwa3192
@stevennenelwa3192 Жыл бұрын
@@Awatee watu mnamajibu ya haraka kaah🤣😂
@tatotato506
@tatotato506 Жыл бұрын
​@@Awatee 😂😂😂😂😂😂
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
@@stevennenelwa3192 🤣🤣🤣Ndio nauliza kiswahili kip icho au vipo viswahili 3 siku hizi
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
@@tatotato506 🤣🤣🤣🤣💃
@yasintadavid1296
@yasintadavid1296 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😍😍❤️
@amanimgoba4139
@amanimgoba4139 Жыл бұрын
well spoken
@alhammwijuma2421
@alhammwijuma2421 Жыл бұрын
Good spoken that's very nice
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 ай бұрын
Kwa nini musiongele huko kwenu kwa nini Tanganyika ?
@SHABANIMGOMI
@SHABANIMGOMI 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 Жыл бұрын
Mtangazaji unatuangusha hujamuuliza kama kaolewa
@jacquelinesemu1347
@jacquelinesemu1347 Жыл бұрын
Ameolewa kitambo sana
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 ай бұрын
Tatizo hiyo midomo mnakula sumu. Siyo maadili ya kiafya
@cinterproductscinterproduc8606
@cinterproductscinterproduc8606 Жыл бұрын
Love her
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
Vipi yuko single?
@ferouzkeis6994
@ferouzkeis6994 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
@@ferouzkeis6994 nauliza bro mtoto wa bi mkubwa huyo
@abdillahamour234
@abdillahamour234 Жыл бұрын
Married
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
@@abdillahamour234 daah watu wanafaidi sana
@mathalanally8367
@mathalanally8367 Жыл бұрын
Hhhhhhh haiwezekan kua single
@jerrytone6919
@jerrytone6919 Жыл бұрын
Daaa pis kaliiiiii
@aminayussuf7215
@aminayussuf7215 Жыл бұрын
Unajiungaje kwenye hicho chama au umnawasaidia vipi hao watoto wa kike kama wetu Sisi mana tunahitaji pia
@abdillahamour234
@abdillahamour234 Жыл бұрын
Punguza unene dada WHA, utakuwa smart zaidi mungu akubariki
@ELIPHAZAMON-ex9zc
@ELIPHAZAMON-ex9zc Жыл бұрын
Unakoment ujinga huna kaz za kufanya
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@ELIPHAZAMON-ex9zc sio ushauri mbaya usimnenee vibaya hivyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Mhhhh
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Жыл бұрын
​@@ELIPHAZAMON-ex9zc ubYa uko wapi au kisa mtoto wa raisi shobo tu
@Swahili14
@Swahili14 Жыл бұрын
Umeongea utopolo I'm not fat but that's body shaming Size ya mwili wa mtu has nothing with their personality or soul💀
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 Жыл бұрын
HUYO NI UPUUZI 2 NA K7MEJIFICHA MENGI MNO TAFSIRIYAKENINI HAPO ,RAIA WALIA NA NYINYI MWA CHEZA NA HAKI YA RAIA ...
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 Жыл бұрын
Una siri nyingine tunaijua juu ya roho chafu. Wewe endelea na ushoga haya uachane nayo
@aminashaaban5846
@aminashaaban5846 Жыл бұрын
Maashallah dada wanu
@EMMA-oe9yt
@EMMA-oe9yt Жыл бұрын
Yupo single wajuba me nimemwelewa
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 Жыл бұрын
Mke wa mheshimiwa Mohammed Mchengerwa
@EbondoSounds
@EbondoSounds Жыл бұрын
😂😂
@KhubeybJandaal-uz4oo
@KhubeybJandaal-uz4oo Жыл бұрын
Malezi gani wote watovu wa adabu😂
@user-sw1dv1iq6h
@user-sw1dv1iq6h Жыл бұрын
Mamako anapotezea hali mbaya ya watanganyika😢😢
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 7 ай бұрын
Mpeleke mama ako
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 11 ай бұрын
Sasa ule ujinga wenu eti mwanamke hawezi kuwa kiongozi huyo samia anaongoza mmbwa pori au ni tamaa za dunia tu mbona hakukataa??
@salyali7807
@salyali7807 Жыл бұрын
Samia sio mpenzi wangu lakini kwa hili namsifu malezi aliomlea mtoto wake huyu
@user-fe1oh4ie2i
@user-fe1oh4ie2i 9 ай бұрын
Video
@user-lt6ti6lu6l
@user-lt6ti6lu6l Жыл бұрын
Mtangazaji niuliziye naye amisha olewa kama jimbo liko wazi mimi niko hapa ao nije kwa mama nitoe pesa, pesa siyo tatizo ntafikaaje kwa mama?
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 Жыл бұрын
Kaolewa na wazir wa utalii mchengerwa
@user-lt6ti6lu6l
@user-lt6ti6lu6l Жыл бұрын
@@khadijamwenda1851 ngombe ya maskini aizayi na ikizaa lazma mtoto awe chonga, amnashida kwamgaga nyumbani congo lazma ni mzibiti kama
@epifaniamzumbwe5159
@epifaniamzumbwe5159 Жыл бұрын
Cheee😂😂😂😂😂
@user-lt6ti6lu6l
@user-lt6ti6lu6l Жыл бұрын
@@epifaniamzumbwe5159 unaliya nini sasa na wakati sikuku wambiya wewe?
@HonesterMgombele-ln9wl
@HonesterMgombele-ln9wl Жыл бұрын
The same voice to your mother
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын
Hao ni ccm
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc Жыл бұрын
Hakuns jipya apo
@abdalaalmas2535
@abdalaalmas2535 Жыл бұрын
Tupe jipya wewe
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Жыл бұрын
Sauti Kama yule mtoa pesa kila gori
@glorytolord-vv6in
@glorytolord-vv6in 10 ай бұрын
EEH MUNGU muue huyu bibi afe na familia yake maana Tanzania TUNALIA
@AnuarMakame-iy2gy
@AnuarMakame-iy2gy 7 ай бұрын
Utaumia Sana lkn mama Bado ataendelea kuishi na familia yake, labda ufe wewe 😂😂
@AnuarMakame-iy2gy
@AnuarMakame-iy2gy 7 ай бұрын
Ukishindwa kuishi jinyonge ufe 😂🤣🤣
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 6 ай бұрын
Kafe wewe km yamekushinda sio uombee wenzako kifo
@salyali7807
@salyali7807 Жыл бұрын
Kiswahili cha zanzibar kimepotea kabisa... anazungumza kama mtu wa Tanganyika
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Yeah km Mie watu hukataa sitoki znz 😂 eti siongei km wao 😂 nchi hii dah Huwa nawaambia wengi wanaoongea vile ni watu wanaotoka shamba na pemba sie pale mjini hatuongei km wao huwa nawatolea mfano mtt aliyezaliwa dar na kukulia na mtt aliyezaliwa mtwara wahawez fanana lafudhi yao lkn wapi hawakubali mpaka mtu aone passport ndo anaridhika kwa kushangaa😂😂
@salyali7807
@salyali7807 Жыл бұрын
@@machetebogota4218 unanichekesha "hatuongei" lugha munaitupa... zanzibar hakuna kuongea kuna "kuzungumza sio kuongea"
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 48 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 27 МЛН
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 13 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
KOSA LA MAMA || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
2:00:01
kapaayathegreat films
Рет қаралды 4,3 МЛН
SIMANZI MAZISHI YA SHEIKH ANUAR KHATWIB MASHEIKH WAMLILIA
23:57
AL MUBAJJAL TV
Рет қаралды 19 М.
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 48 МЛН