Acheni habari za upumbuvu kwenye hatua hii hakuna point ni hatua ya mtoano simba sio wa kwanza kufanyiwa fujo katka nchi hizi za kiarabu caf hawajahi fanya action yoyote
@michaelmhina36137 сағат бұрын
Acheni ukanjanja
@NasibuAlban9 сағат бұрын
Acha uongo na ushamba poit3 kwenye mtoano?
@pambaboniface119959 минут бұрын
Mbona Yanga walifanyiwa fuko lakini hakuna chocolate kilichofanyika?
@juliaschacha3832 сағат бұрын
Acheni Wana Uto a.k.a 🐸🐸🐸🐸wasije wakazimia Mnyama akipewa hizo point.