MUDA HUU WAUMINI WA KIBOKO YA WACHAWI WAGOMA KUONDOKA KANISANI HAPO WADAI WANATAKA WAJUE MWISHO

  Рет қаралды 12,625

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 151
@user-ic8dz9mw7e
@user-ic8dz9mw7e Ай бұрын
Imeniuma sana kiboko ya wachawi kufungiwa 😭😭 wangemuonya tu, jipe moyo mtumishi hii ni vita tu,itaisha
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 Ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@user-jl2br6ye2w
@user-jl2br6ye2w Ай бұрын
Jipe moyo baba.kazi Yako ni njema mungu atakupigania utashinda.na kanisa litaendelea
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
Jaman Kila mtu na Iman yake " mm binafsi bado sijamkubali kiboko y wachawi lkn alimponya mama angu mdg alipalalaiz kabisa kabisa sio uongo had anajisaidia hapo hapo ila kufikishwa pale kaombewa na kainuja had Leo anafua anafanya Kaz zake vzr tu
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Mungu utendee miujiz bab kwa mtumishe wangu afunguliwe
@user-el8rp6pd5q
@user-el8rp6pd5q Ай бұрын
Mungu wa mbinguni atapigana na hii vita . Watasema mengi lakini mungu ndio msemaji wa mwisho na hili litapita baba yetu tunakupenda na tunakuombea sana
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 Ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@AnnaSamo-em1gt
@AnnaSamo-em1gt Ай бұрын
Wachungaji wanampiga vita Kiboko ya wachawi wanakosea sana, waige waislam hawawezi kusemana kwenye media kwa sababu ya misingi walioachiwa na mtume Muhammad. Wakristo tuna shida sana.
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
Sasa ww unasema waislam hawaseman ushawah ona padri anamsema padri mwenzake? Kuwa mkristo sio dhehebu Moja hayo na madhehebu tofaut tofaut
@JosefuSwai
@JosefuSwai Ай бұрын
Makani kama haya yafungiwe watu wakafanye kazi siyo kutegemea miujiza miujiza feki hata kwa waganga mambo kama haya yapo
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Ай бұрын
Kwa hiyo mtu akiwa mwakilishi wa shetani ajaye kama malaika wa nuru aachwe aangamize siyo hakuna kanisa la wachawi bali tuna kanisa la kumtangaza Yesu
@corrolesscps
@corrolesscps Ай бұрын
@@JosefuSwai. Inawezekana Jamii ni Wachawi sana Tz, wachawi nao sio watu Wazuri hata MUNGU wa mbinguni hawataki, Biblia inasema, usimuache Mwanamke mchawi akaishi, na mambo yao ni ya Gizani sio Nuruni, ukrona hivyo Michawi iache uchawi kutwa kuumiza wwnzao tu sio Maendeleo hayo Yaani Wafrica watu weusi Mhhhh,!!! Wakati wenzao weusi hawadhuliani , weusi Mwenzake kanunua kitu kizuri wivu anawaza kumroga 🤮🤮🤮 Inaonekana Amewagusa hao watu wa Giza kwenye Jamiii 🤮🤮🤮🤮 na Mauchawi yao
@user-lq7vm5yr1f
@user-lq7vm5yr1f Ай бұрын
Ndyo. Hii ni vita ya wachungaj Hakuna kngne.
@HeppyRafaeli
@HeppyRafaeli Ай бұрын
Wapendwa Watumishi weghine acheni uchochezi wa Kumshambulia Mtumishi mwenzenu kwa Vile tu Mungu amempa Maono ya kusaidia wenye tabu shida na matesoo!! kaeni kwa Amanii tafuteni ushirikiano na yeye na nyie mjazwe nhuvu zaidi na Roho Mtakatifu. Mungu sio wa mapiganoooo yafadhalini acheni Uchawii
@HeppyRafaeli
@HeppyRafaeli Ай бұрын
Mungu sio Wa vita sio wa Fitina na sio wa Chuki wala Sio wa Fitina na Wivu. Hapana Mungu Wetu ni waamani kwa sisi wote
@AnnaSamo-em1gt
@AnnaSamo-em1gt Ай бұрын
Pastor Dominick Mungu yupo kaza utashinda na wataona nguvu ya Mungu ndani yako
@JosefuSwai
@JosefuSwai Ай бұрын
Mungu yupi
@user-rq3ic3mt2j
@user-rq3ic3mt2j Ай бұрын
Shetani naye yupo
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 Ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@elizabethmalenga5221
@elizabethmalenga5221 Ай бұрын
Kiboko ya wachawi Hana shida na mtu, ni vita ya sadaka tu.
@ThedoNdunguru
@ThedoNdunguru Ай бұрын
Ee Mungu tunaomba uendelee kuwadhalilisha wachawi.kwa kumrudisha mchungaji wetuuu
@JustineSanga-r9e
@JustineSanga-r9e Ай бұрын
Naipongeza selikali yangu kwa umakini wake Asante sana
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 Ай бұрын
Waumin wamuombe mungu. ata petro alifungwa kanisan malaika wakamtoa.nashaangaa kuna wa Kristo wanampiga Vita.
@NaomiAgreey
@NaomiAgreey Ай бұрын
Dominika Hana matatizo ni hila za waovu tu na watu wasiomjua mungu ,Rais watu Hana usiyakubali tunakupenda Sana mama muache dominic atuhudumie Dunia ni ya mungu sio ya mwanadam mama turudishie huduma, kwa nabii wetu dominic,
@user-wv9wc6yr1u
@user-wv9wc6yr1u Ай бұрын
Mwenyezi MUNGU ndy jibu lako mama na sio kiboko ya wachawi tujihathari sana na haya tuyaonayo
@RehemaKasanga-vu5nj
@RehemaKasanga-vu5nj Ай бұрын
Kama Unajijua Wewe ni Mtumishi wa MUNGU wambinguni Acha kupiga vita Mtumishi mwenu Vita hiyo si Yake vita ni Ya Bwana Yesu
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Mama wanaosema mitumishe wa mungu nitapeli niwachawi ndio maana wanasema nitapeli wameharebiwa uchawi waho
@FfFf-yb9cp
@FfFf-yb9cp Ай бұрын
Hio ni vita anavyofanyiwa mtumishi kwasababu watu hawataki kuona mazao na matunda mema na ndio maaana wanakupinga mawe lakin mungu ndiye anajuwa.
@user-rc9je9kp1e
@user-rc9je9kp1e Ай бұрын
Mungu akusaidie kiboko ya wachawi tunakuhitaji hata wengine
@NathaliaMgimba
@NathaliaMgimba Ай бұрын
Mungu aliye tenda miujiza yote hapo kanisani (CAC) ,ninaamini kiboko ya wachawi atarudi tu.MUNGU wetu halali wala hasinzii
@FelistarJeremiah-r3b
@FelistarJeremiah-r3b Ай бұрын
Mwanadamu Kila mmja ata ongea lake Ila mungu ndio anajua ukweli Kati yetu mi coni Kama nivizuri kumfungia mtu kanisa ,, Kama ni sadaka pia mtu alazimishwi kutoa na kuwa watu mbn hamfuati mtu kwake ye anaomba mungu afanye
@MeshersHashrun
@MeshersHashrun Ай бұрын
Mungu pigania ili swala mtumish wetu arudi
@Saidmathayo-uv4gj
@Saidmathayo-uv4gj Ай бұрын
Makanisa ya pentecoste pamoja na TAG kuombea mtu hat mwenye mafua hawawez Kila kanisa hata watu mia hawafikish wivu tu machaw wakubwa
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 Ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@OlivaBoni
@OlivaBoni Ай бұрын
Mkombozi wetu atarudi aendelee na Kaz yake, watu wachache wanafanya hivo ili aaibike lakin mungu atamwinua zaidi, sisi wanadamu hatutaki mwenzetu awe juu tukiona anakuja kasi tunatafuta gogo aanguke apate aibu mungu atamsaidia na tunamwombea
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 Ай бұрын
Hivi ninyi watanzania Mnaamini wachawi ila kuamin Mungu kupitia watumishi wakehawezi kifanya mambo makubwa
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Wataseme mengi laminitis mungu nimsemaji wa watu waake
@AnnaSamo-em1gt
@AnnaSamo-em1gt Ай бұрын
Shida watanzania wengi ni wachawi ndio maana wanampiga vita Kiboko ya wachawi. Alafu uhuru wa kuabudu uko wapi Tanzania??
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 Ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Huyu alikuwa anaona mbali sana. Huyu kiboko ya wachawi alikuwa anaona mambo makubwa sana. Niliona ile dada anaomba mtoto wake aombewe anaumwa alikuja na mume wake kumbe huyo dada kazaa na kaka yake wa damu. Huyu mtumishi alikuwa anaona deper vibaya sijawahi kuona nabii anaona kama huyu
@AdamJonas-sx4mi
@AdamJonas-sx4mi Ай бұрын
Huyu mtumishi wa Mungu hana kosa kabisa lakini Mungu aliyeiweka huduma hiyo ndani yake atamupigania. Atatoka. Hiyo vita ndo ile ya wa kina Petro kuwekwa gerezani na Herode ko tuendelee kumuombea
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Ай бұрын
Mungu hapiganiu matapeli wanaotumia jina lake bali huwatapika!
@user-wv9wc6yr1u
@user-wv9wc6yr1u Ай бұрын
Akina Petro walikuwa wanhubiri injili sasa hizo lak 5 za nini
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Kwaza wakongo niwatu bie awana mambo mengi wanapenda sana kujishusha
@evamsuya8869
@evamsuya8869 Ай бұрын
Kiboko wetu tunakupenda sana
@nicoledMalale
@nicoledMalale Ай бұрын
wachawi wenyew wamefurahhh
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Mama tuna wagonjwa mdungu zetu Wana umuwa hatuna pesa ukienda kwa mtumishe tunapona tuomba mturundesheni huduma
@MasumbukaNhagara
@MasumbukaNhagara Ай бұрын
Manabii ni wengi wengi wapo wa ukweli wapo wa uongo wengn wanataka maokoto tyuu kikubwa Amin unachokiamin mchungaj hyuu anacheza singeli mpk kanisan n ktunza Hela Kam maj
@PoulMilanzi
@PoulMilanzi Ай бұрын
Tatizo wivu wa baadhi ya watumishi wa Mungu
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 Ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@user-jl2br6ye2w
@user-jl2br6ye2w Ай бұрын
Duuu imenia sana.
@DeborahMatola
@DeborahMatola Ай бұрын
Kwaimani tutashinda baba, tunakuombea shujaa wetu mtetezi wa wanyonge utashinda.
@Piscesblair
@Piscesblair Ай бұрын
Upo ulazima wa kufanya uchunguzi katika tuhuma hizi. Watu wengi wanakwenda kwenye makanisa ya Kiroho kwa sababu ya kutotatuliwa matatizo yao kwenye makanisa mengine. Na tatizo lingine ni wivu wa huduma na rushwa kwa viongozi.
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Pleseee mama raising yetu tufungulie huduma mama ni
@ElizabethMvande-fd8mw
@ElizabethMvande-fd8mw Ай бұрын
Mungu anasikia maombi jamani acheni Mungu aitwe Mungu
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 Ай бұрын
Tanzania ni wachawi ndio sababu M ungu. Aliachilia mtumishi wake kwa namba ya tofauti wanasema ni anadhalilisha eh wachawi wafe
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Ee mungu tukuomba utendee mijizi
@FelisterLigazio-mw3hh
@FelisterLigazio-mw3hh Ай бұрын
Arudi Congo akawapotoshe huko
@user-jl2br6ye2w
@user-jl2br6ye2w Ай бұрын
Hii ni vita tu naomba serikari itusaidie sisi wananchi .wenye shida.
@malkiavalente4736
@malkiavalente4736 Ай бұрын
Tunakutegemea Nabii wetu
@hurumamwakalonge4043
@hurumamwakalonge4043 Ай бұрын
Huyo ni muujiza kutoka kwa Mungu mwenyewe Hata Yesu aliambiwa hivyo hivo, hiyo laki tano walimpa nani awawekee akamyang'ang'anya
@HawaOman
@HawaOman 6 күн бұрын
Jamani wazir hana shida ila wattu
@celinamathias4601
@celinamathias4601 Ай бұрын
Kwakweli Tanzania nchi Huru Kila mtu anaimani Yake na anatakiwa aende kokote akasali pale anapohitaji. Watumishi wa Mungu mpendane vita hadi makanisani haipendezi
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju Ай бұрын
Nyie kumanina zenu"mnatapeliwa pesa zenu"halafu nyoko nyoko nyoko"
@ElizabethMvande-fd8mw
@ElizabethMvande-fd8mw Ай бұрын
Najua Kila Lilo na mwanzo Lina mwisho na bado mtashangaa mengi Yesu yupo kazini
@MauBonde
@MauBonde Ай бұрын
Pelekeni watoto shule wakasome huo wote ni ukosefu wa elimu, walipokua wanaelekea waambiwe wabaki kanisani wachomwe moto waambiwe wakauone ufalme wa mbingu,serikali naipongeza sana ,uganda kibwetere kenya kuna waamini waliambiwa wasile mpaka serikali ikawaokoa dakika za mwisho na watu kibao walishakufa...
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh Ай бұрын
Kiukweli mungu atusaidie atupe na macho ya rohon pia
@HawaOman
@HawaOman 6 күн бұрын
Jamani mbona wazir anasema hajui kama kanisa limefungwa
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Pia kunamtu kalipia kufungiwa
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Viongoze wa serekali msewasekileze watu niwaongo watu hapendwani tunaomba mturundsheni huduma Rais saima
@Nivocavitymalle
@Nivocavitymalle Ай бұрын
Izo ni hila tu na mwisho wake mbaya mtajuta na hila zenu, Kama ilivyo mwisho wa hila ni mbayaa
@AnnaJulius-r5k
@AnnaJulius-r5k Ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@AnnaSamo-em1gt
@AnnaSamo-em1gt Ай бұрын
Suala fedha hakuna anaelazimishwa wanatoa kwa hiari. Shida wachawi na siasa . Tanzania tuna shida. Wageni Kuta nje wanatuongezea kipato hamuoni hata hilo??
@ThedoNdunguru
@ThedoNdunguru Ай бұрын
Kweli kabisaa
@AnnaJulius-r5k
@AnnaJulius-r5k Ай бұрын
Anaficha huyu mama Kuna mambo mabaya hapo wanatoza pesa Ili umuone na Bado humuoni na pesa wanachikua
@HildaShoo
@HildaShoo Ай бұрын
Vita niyabwana,atakupigania hatakuacha,ila mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,
@user-kq9lb7bd8l
@user-kq9lb7bd8l Ай бұрын
Yani wamemuoneya mtumishi 😭
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 Ай бұрын
Ufahamu wa hawa watu umefungwa,Mungu awafungue
@RevMwendowasaa
@RevMwendowasaa Ай бұрын
Sasa naona viongozi wetu wameanza kuwa makini mimi naipongrza serikali kwa maamuzi hayo sahihi.tena mmechelewa sana.
@Hapygideon
@Hapygideon Ай бұрын
Makubwa hata wewe unaroho mbaya hivo
@user-eg3fg3ic9q
@user-eg3fg3ic9q Ай бұрын
hawa wanaomtaka wawekwe ndani wote
@GodwineMuchunguzi
@GodwineMuchunguzi Ай бұрын
Kibwetele kawawiwa mapema asante mungu wautawala
@HawaOman
@HawaOman 16 күн бұрын
Niwiivu tumama tufungulie huduma mama
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 Ай бұрын
Tunaangamia Kwa kukosa malifa sio kosalenu Bali ufahamu tuu inaitaji msada WA MUNGU Bila MUNGU kutupa macho tumekwisha
@lauresiakitai654
@lauresiakitai654 Ай бұрын
Mbona kwa waganga wakienyeji watu watoa Hadi magari nahawaponi ni Hira tu hizo wamuachie
@hurumamwakalonge4043
@hurumamwakalonge4043 Ай бұрын
Watanzani Yehova wasamehe sana wamezoea maombi ya Kulea uovu na uchawi hasa mwacheni kiboko ya uchawi atusaidie atufungue
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Napia kwakua sio mtazania ndio shida
@RobinsonKilango
@RobinsonKilango Ай бұрын
Hii nchi haina mamlaka kikatiba kuzuiya kuaabudu / 1 haya ni mambo ya kiroho huyo haja bagua dini ya mtu yeye alikuwa ana tumia bibilia uchawi umetajwa katika maandiko sadaka zimetajwa kwenye maandiko kuumuwa mchawi sio yeye dominiki bali ni maandiko wewe unae muhukumu huna ushahidi wala kigezo cha kiroho isipokuwa ni chuki za kidini kuihusisha serikali kwa hizo sababu ,za wivu tajeni kosa la huyu jamaa /
@user-pw5lb6or4z
@user-pw5lb6or4z Ай бұрын
Ana shida mwacheni watu Wana tesenka acheni Kama ujalongwa kaa kimya
@UgwuEmmanuel-u3v
@UgwuEmmanuel-u3v Ай бұрын
Washikeni na wengine wengi
@Hapygideon
@Hapygideon Ай бұрын
Wanaoona anashida ni wale wwanaozurumu watu na ndio maana wameona wataumbuliwa
@rosemsaki1111
@rosemsaki1111 Ай бұрын
Wachawi saa hizi wanapiga sherehe😂
@jeckobass7502
@jeckobass7502 Ай бұрын
Tusiwaone kama wajinga swala la Imani aiseee tuliache pia ukijakupat shida utakujakuwaona Hawa wapo sahihi msiwabeze Hawa shida ndio zimewaleta hapo😢😢😢😢😢
@user-xr4cd3ki4i
@user-xr4cd3ki4i Ай бұрын
Huyo kiboko siyo mtumishi wa Mungu alilnitoxa laki tano mm nilitoka Moshi nikawa Sina skanifukuza nikajruxa siku hiyo hiyo kurudi Moshi
@ThedoNdunguru
@ThedoNdunguru Ай бұрын
Kwani alikupora hiyo laki tano? Halafu ulitoa laki tano ya nini ? Wakati kiboko anaombea Bure ndio maana mliambiwa muwe na imani yakutosha,akiwa madhabahuni,lakini ninyi mna ng'ang'ania kumwona oficn,sasa ulitaka aiache hela au? Acha maneno mengi kwani kwa mganga mnapeleka ngapi?
@MamaFeisal-s4g
@MamaFeisal-s4g Ай бұрын
Mung amsmamie kibok wetu zid ya usda za ao wachungaji wenzie walaanow san tna peng kubwa san eeh mung yufanyie wepes alud
@user-jl2br6ye2w
@user-jl2br6ye2w Ай бұрын
Mama tunakuomba ingilia kati hili.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza naipongeza sana serikali, kwa staili hii matapeli wanakoma
@raiyaomary1988
@raiyaomary1988 Ай бұрын
Mumfungurie mbona zumaridi huwa mnafunguria.ndo ana vituko kama vyote
@user-eg3fg3ic9q
@user-eg3fg3ic9q Ай бұрын
inabid mfate kongo ataenda kufungua kongo
@beatricemortensen8533
@beatricemortensen8533 Ай бұрын
Kwanini asijisajiri kama mganga wa Kienyeji, hakuna ukristo kama huo 😂😂😂😂😂.
@AbuuHamisi-j5l
@AbuuHamisi-j5l Ай бұрын
Kaa chini mwombe mungu atakujibu so hakuna nabii duniani
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Ай бұрын
Mama Mkombozi ni Yesu tu mbona unakufuru. Sa si msali tu mwondoke kwani asipokuwepo hamwezi kusali? Watokee wawamwagie maji ya pilipili!
@ZainabujelemiaZainabujelemia
@ZainabujelemiaZainabujelemia Ай бұрын
Wachungaj wana wivu sana uyo kibok anaongea ukwer ao wanao mfanyia vigis niwachaw wanaogop kuumbuliw
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Hivyo kabisa
@PenelopeKalanje-t4n
@PenelopeKalanje-t4n Ай бұрын
Wanaomutetea wamerogwa siyo mtu mzuri huyo
@JustineSanga-r9e
@JustineSanga-r9e Ай бұрын
Watazania tujitahidi kumtafuta mungu wakweli hatakama unashida kubwa kiasigan
@FreeGod368
@FreeGod368 Ай бұрын
Tajiri mshenzi mwizi na muhalifu
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Ай бұрын
Jiombeeni wenyewe yatapokelewa msimtegemee Mwanadamu mwenzetu
@eliamanimfinanga3957
@eliamanimfinanga3957 Ай бұрын
𝓖𝓪𝓵𝓲𝓷𝓪 𝓶𝔂 𝓪𝓷𝓪𝔂𝓮 𝓶𝓽𝓮𝓰𝓮𝓶𝓮𝓪 𝓶𝓪𝓭𝓪𝓶 𝓶𝓽𝓾𝓶𝓲𝓼𝓱𝓲 𝔀𝓪 𝓶𝓾𝓷𝓰𝓾 𝓷𝓲 𝓱𝓲 𝓫𝓪𝓲𝓷𝓪 𝔀𝓪 𝓪𝓫𝓪𝓭𝓪𝓷 𝓷𝓪 𝓶𝓾𝓷𝓰𝓾 𝔂𝓪𝓷𝓲 nidaraja
@EveSaimon
@EveSaimon Ай бұрын
Mkombozi wenu ni MUNGU au ni huyo nabiii wenu acheni mambo yenu kazi kufata miujiza tu someni neno acheni uvivu wa kutokusoma neno
@dr_godfrey
@dr_godfrey Ай бұрын
Afya ya akili
@HappyBuffalo-yt7wf
@HappyBuffalo-yt7wf Ай бұрын
Masikini kama nyiee mtajuaje wakati Watu wanao ulizwa NI wenye magarii Huna gari huulizwii 🤣🤦🤦🤦🤦 someni NENO nyiee acheni kudanganywaa
@HildaKiwasila
@HildaKiwasila Ай бұрын
Uchaguzi unakaribia. Wagombea huongozana na Waganga wao WA matunguli ili akihutubia watu wampende YY na wamchague. Sasa Pasta Dominic Kiboko WA wachawi ataathiri Uganda wao kipindi hiki budi wamtimue Kwa visingizio. Vipi Yule aliyetabiri mambo 5 yatakauotokea TZ mwaka huu huyo mtume kakamatwa,? Wahusika wa kumfungia watapata kali watajuta!
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 Ай бұрын
Waacheni wakeshage hapo
@ZainabujelemiaZainabujelemia
@ZainabujelemiaZainabujelemia Ай бұрын
Wanatak pesa.serekar.iyoo
@NaomiAgreey
@NaomiAgreey Ай бұрын
Hivi nyie watumishi wa mungu mnafurai Dominick kufungiwa nyie kweli hamna mungu kama mpo ivyo nini maana ya upendo ,je kipindi cha yesu manabii na mitume walikuwa wengi tu sioni ajabu mimi na bado manabii wataongezeka Sana tu ili andiko litimie lazim
@ibrahimsaid9090
@ibrahimsaid9090 Ай бұрын
Kwa kweli mtu na kwao sisi wacongo tumeona huo ni ubaguzi muko na haki kabisa Watanzania hata kumuuwa mutafanya hivo achukuwe akili mapema, anashambuliwa sana na mapastor wengi hata Hananja analiongelea wazi kwa wageni warudi inchi yaho
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 Ай бұрын
MUNGU amtetee mtumishi wake
#LIVE: NYAKATI ZA MWISHO   |  NABII WA UONGO
1:13:13
WAPO TV ONLINE
Рет қаралды 721
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 33 МЛН
У ГОРДЕЯ ПОЖАР в ОФИСЕ!
01:01
Дима Гордей
Рет қаралды 6 МЛН
MAPYA KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI, MCHUNGAJI IPM AWEKA WAZI
21:24
KIBOKO WA WACHAWI ANATEMBEA NA MKE WANGU KANITAPELI
17:12
LUMATO TV
Рет қаралды 17 М.
UNABII WA KIBOKO YA WACHAWI UMETIMIA. USHAURI KWA SERIKALI
20:31
huduma ya kristo
Рет қаралды 22 М.