MUHAMMAD BACHU AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MSIKITI WA FITNA LAMU VISIWANI || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
Пікірлер: 271
@RashidJuma-uh8sv3 ай бұрын
Malipo ya Kila mja ajuae ni Allah sisi tusubirie rehma za Alla tu bila Hivyo tupo kwenye mazito Allahu aturemu sote waislam allamma aamiin
@shuaibabdullahi75442 ай бұрын
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
@user-pi3vj5sn3l3 ай бұрын
Mohamed bachu na wenyeji wake wamefanya jambo zuri
@hassanWanjiku3 ай бұрын
Subhanallah yaaani imefika hapo baada ya kua alipokwenda lamu waomba nafasi ya duruus wakanyimwa baadae unasema msikiti wa Allah subhannahu wa taala ni wa fitna mwogope Allah bana upotoshaji wenu ndo unasababisha kuwe hivi zueni polepole ila mjue kila mnalosema yako kwa rekodi za malaika n mjue kuchafua masheikh wetu watasafisha n naswaha zako baki nayo usimpe bachu
@bagalucha3 ай бұрын
Hasbünallah WAN imal wakil,Allah ni ndie mjuzi wa yote,Haifai kuzua na kuhusudu,Allah hayapendi haya,tuziogope nyumba za Allah,Kwa visingizio,tusivyokua na elimu navyo.
@answarmohamed45643 ай бұрын
Hayo yarudi kwenu mawahhabi Nyinyi ndio wenye husda kutamani kupora na kuibia mskiti ya watu,acheni husda mawahhabi na mumche Allah
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Ya haqi yatabainika n yabatwil yatapotea In Sha Allah. Ila hii yenu sheikh naikataa Mmejaa fitna Mmejaa uongo Mmejaa upotovu Pka wenzenu wakitaka kujenga msikiti mnapinga Hii yenu ndio mnaita dini ? Watu wanaswali na matwari msikitini,ala za muziki ndani ya msikiti Mfungo sita mnaenda kupigia maiti magoti mkiomba msaada Mkiomba cjui awape barka Mkiomba awape barka Allah awasamehe lkn yenu hapana Kujengea makaburi Kueka adi mabati ili asipatikane n jua😂😂😂bdo mnajiita hii ndio dini Kupamba makaburi
@nassirzamzam93123 ай бұрын
Waislamu wameona haki ndio wakawa mawahabi, Mawahabi hawataki tena shirki zenu.
@eshasaid32583 ай бұрын
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@misbahukhalifa32163 ай бұрын
Sufi ni Ahlul Twariqah sawwiyya hatutukani watu khaswa ndugu zetu waislamu. Lakini tizama comments za mawahabi matukano na kejeli. Mungu atuongoze na atupe husnil khatima Aamiin. Na shukran ustadh Muhsin ambae ataelewa ataelewa na ambae hataki kuwelewa inshaAllah kheri. جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ محسن. تقبل الله طاعتكم وصالح أعمالكم و كل عام وانتم بألف خير وصحة وعافية وستر يارب العالمين. اللهم آمين يارب العالمين.
@Hunger3883 ай бұрын
inshaa Allah masjid sunnah yatakuwa meengi ulimwengu huu kwa kupambana na shirki na mambo ya bid aa
@jimjam-xg7rv3 ай бұрын
Mimi Sisomi maulid hila nili wafwatilya kwa umakini sana nikagundua wao uzna kwa kusoma quran na kumswaliya mtume Mohammad (S.A W) na kusomesha ama kuelezea hitoriya yake tu.
@Muislamu3 ай бұрын
Alakh mzungumzaji muogope Allah mimi ni msufi lakin naona kuingilia niya za watu na kufananisha mskiti ni kama masjid dhwiraar... Tumuogope Allah wallahi ..kuna hesabu mbele ya Allah ..
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@Muislamu hiyo kumuogopa Allah yaenda kwa kila MTU pia yakurudia wewe mwenyewe,eti kuingilia Nia za watu wakati Nia zimewekwa wazi,kilichofananishwa ni nai ya kujenga msikiti kama masjid dhwirar ilikuwa ni kufarakanisha waislamu basi na hiyo ndio Nia ya bachu alioidhihirisha mwenyewe kupitia post zake na maneno yake
@Captainome3 ай бұрын
Chuki na husda zimekumbata kama mlivyo familia mzima hukuanza ww wameanza wakubwa zenu kina watoto wa sharifu Muhammad waliskia uchungu sana sana walipoikosa ardhi iliyoa jengwa masjid TAWHID MAMBRUI.PWIRUUUUU.mumezoea watu wazeeke kwenye ushirikina kumekucha ANKALI TUTAJENGA MISKITI MINGI IN SHAA ALLAH NA BDO.
@answarmohamed45643 ай бұрын
Nani ywaujua huo mskiti bsi,watu hutoka ulimwengu mzima wakija mambrui na wakishukia Riyadh,😂😂😂,na ama kuita waislamu washirikina hamkuanza nyinyi,hiyo ni mienendo walioanzisha makhawarij nyinyi mwayaendeleza
@hamzakimaro37643 ай бұрын
KUFENI KWA CHUKI ZENU,SUNNAH INAZIDI KUNG'AA.....
@nasraswaleh12243 ай бұрын
Assalam Aleykum. Kila mmoja ana fungu lake kwa Mwenyezi Mungu, not in your place kumhukumu kwa Yale aliyofanya ama iwe sababu ya kuukata Msikiti na kuwaambia watu Msikiti ni wa ukafiri wala kumwingilia yeye Muhammad Bachu, hata pia Ali Abubakar kwa yote wafanyayo. Sasa walingania watu kwa Ucha Mungu ama kuwapotosha watu waingie kwa madhambi. Jazakallahu Khayr.
@RashidJuma-uh8sv3 ай бұрын
Acha misikiti ijengwe watu wamuabudu Allah muogope mungu😅
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Kabisa yani
@osmanmanbile93273 ай бұрын
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
@GOP-Abdallah3 ай бұрын
kawaida ya haqqi ikiingia mahali hukubalika kwa uwepesi,sio masala ya agenda wala nn,hii ayah moja tu ni jawabu tosha kwako وقل جاء الحق وزهق الباطل إن الباطل كان زهوقا
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@GOP-Abdallah mbona haqqi hiyo yenye kukubalika haraka imegonga mwamba mambrui lamu na Mombasa?😅😅😅mwatumia Aya za Allah na vichwa vyenu
@iddimohamed2543 ай бұрын
Wenyeji ndio walimpa ruhusa ama ni yeye mwenyewe acha kupotosha watu ww...
@Captainome3 ай бұрын
Nakupa homework (kamuulize Muntamani alitakakutoa pesa ngani ili mawahabi wasiupate ardhi iliojengwa Masjid TAWHID.LAKINI ALLAH kwa rehma zake mwenye ardhi mzee wetu ISLAM ALLAH AMPE AFYA NJEMAA AKAWAPA MAWAHABI ARDHI WAJENGE KWA PESA NGAPI.😂😂😂😂😂😂😂
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@Captainome na kila mwaka mamilioni ya watu kutoka sehemu mbalimbali za ardhi washuka Riyadh, alhamdulillah 😅😅
@khamiisathmaan43623 ай бұрын
Na mbona waliteka madrasa Nuri mawahabi
@khamiisathmaan43623 ай бұрын
Mnapenda kujitakasa kana kwamba mlibashiriwa pepo
@user-pi3vj5sn3l3 ай бұрын
Kama lamu kulijengwa makanisa wachukia kujengwa msikiti
@shariffomar85803 ай бұрын
Mwaskia wivu kwa kuwa watu wataacha kufanya bid'aa zenu
@abubakarbakari93723 ай бұрын
Masha allah shukran sana sheikh bachu amewagawanya waislamu allah atuongoze
@abdurahmanabdallah24033 ай бұрын
MASHALLAH shukran ust muhsin kwa kutuilimisha uovu wa mawahabi
@OsmanAli-zb3tu3 ай бұрын
Hata mtume pia aliambiwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu hafidhwahullah
@shariffomar85803 ай бұрын
Tatizo simisikiti kuwa mingi, Tunacho taka ni sunnah itawale kila mahali
@abuhassan95523 ай бұрын
LAMU YAMEJENGWA MAKINISA NCHUNGU MZIMA HAKUNA ALIESEMA HAKUNA ALIEPINGA LEO KWAJENGWA MSIKITI WA TAWHID NDIO KERO SUBHANALLAH ALLAH ATUONGOZE
@abuarifhassan63163 ай бұрын
Dini si moja kisheria ya kinchi sasa wanakatazwa vp ama tukijenga msikiti kericho tukatazwe tutaona vp lkn hii fitna baina yetu ndio inayopaswa kuongelewa..
@soffiscarlett97023 ай бұрын
@@abuarifhassan6316Kujengwa msikiti ndio mnaona fitna ? astaghfirullah
@muktarkassim66473 ай бұрын
Twaangalia Imani zetu SI Imani za watu wengine ....tujiangalie sisi vipi kwanza tutakuwa kitu kimoja
@taurehassan73993 ай бұрын
@@abuhassan9552 tauhd 3 z bid'aa?na kuwakufurisha wailm wnzenu wkt nyny ndo washirikina wa tawhd 3
@abuidifundi20163 ай бұрын
AFADHALI KANISA KULIKO MSIKITI WA MAWAHABI
@iddimutua4203 ай бұрын
😅😅😅 Wallahi vituko vya hawa twarika jamaa za matwalaga balaa sana, Shafii Basalim alivyo jitokeza na kumtukana sana mwanachuoni Sheikh ISLAM IBNI TAYMIA walikua kimya sana kama hawapo wala hawamsikii alafu leo Shiekh M.Bachu kawa sababu ya kujengwa msikitini wamejitokeza na Aya kubwa kubwa ili kupinga sunna isijengwe na kuendelea Wallahi balaa sana.
Acha urongo Wahhabi mmoja ww,matwariqa twawaheshimu watu wote!!UST said shirazi aliefanya mjadala na bachu alimtolea video shafii basalim zaidi ya video tatu akimkanya shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,UST fakhruddin Ibn Muhsin Jamalulleyl pia alimtolea UST Shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,Sisi ni watu wenye inswaaf na wenye kusimama kwa haqqi,mwenye shafii basalim amekataa haskii
@answarmohamed45643 ай бұрын
Haya njoo kwenu sasa mawahhabi Yule bachu hakumtukana barzanji,hakumtuna Habib jufri,kuna sheikh yeyote wa mawahhabi aliejitokeza na kumkanya?hamna inswaaf na urongo juu pia mwasema
@iddimutua4203 ай бұрын
@@answarmohamed4564 Please nitumie video moja alio mtukana Barzanji au huo jufri alie ridhi kilemba cha Mtume mpaka sasa anacho tuma ushaidi wa Bachu kumtukana mwanawazuoni.
@iddimutua4203 ай бұрын
@@MuhidiniNassor Tuma ushaidi wa Bachu kumtukana Barzanji tuma sio kuongea bila ushaidi tumeni ushaidi.
@mohagurey22143 ай бұрын
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
@feiawadhahmed13423 ай бұрын
Daaah kweli sasa kujengwa mskiti pia balaa hehehe haya ruhusuni makanisa basi
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Alafu wanajiita masheikh , Wana elmu wao
@mohagurey22143 ай бұрын
Mashia wanajenga misiki kila pembe Lamu na masufi hamneni lolote lakini msikiti ya sunnah ikipatikana mnapinga kila namna...may Allah curse those against the spread of the haq
@mohdkhatib2233 ай бұрын
Hata mtume saw aliambiwa anapotosha na anafitinisha. Tatizo masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy
@shamsushaffikassim-fe4ul3 ай бұрын
Chuki tu na USHOGA na ukhabithi khabithi mkubwaaaa weweee
@johariabdalla33193 ай бұрын
Acheni husda,roho mbaya,na choyo.Sheikh Muhammad Bachu anawapotosha watu kwa kipi?hemu elezea hayo anayopotosha,huu ubaya hausaidii,na ndo mnazidi kumpandisha Darja,watu kumfwatilia zaid,maana M Mungu ndo ashataka kumpandisha mja wake.sasa hata mukijaribu kumchafua ni bure,acheni hizi husda,ubaya na choyo
@HamdiHamdiAbdi3 ай бұрын
Imeuma 😅
@abuarifhassan63163 ай бұрын
Lkn johari ina haja gani kua na miskiti kumi eneo moja wakati waswaliji hakuna kwann wasijenge madaris kubwa ya kiislam bure watu wasome
@soffiscarlett97023 ай бұрын
@@abuarifhassan6316tatizo hujui kinachoendelea Msikiti unajengwa kijijini ofcz N msikiti uliopo hapo n mmoja Msikiti huo wenzenu wamekatazwa kuingia ndani I think Kuna kitu hujaelewa Ndiposa wakiamua wajenge msikiti wao Mlikua mnataka waswali nyumbani ?
@KomoraMohamed3 ай бұрын
Ni firauni fitna zke bachu
@mohagurey22143 ай бұрын
Sunnah itatambaa biidhnillahi, usufi na bid'a na ushirikina utaisha katika jamii inshallahu taala. Mezeni wembe موتوبغيظكم
@abdallahassan20803 ай бұрын
Asli yako ni bidaa na usufi na ushirikina hii ni kama babu yako alikua muislam
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh3 ай бұрын
MOLA atulinde na sharii ya mawahabi
@famaufarmajo96653 ай бұрын
Sasa Nyinyi Mulofunga msikiti Huko Sio Kugawanya waumini Hatakama hao Mawahabi Niwanafik Lakini mtume hakuwafungia wala hakuwafukuza Nyinyi pia mwafarikisha umma nanisifa ya unafiq
@answarmohamed45643 ай бұрын
hakufukuzwa mwanzo hiyo ni tabia ya mawahhabi kufkuza watu miskitini...wenye kusimamia msikiti na mikakati yao na mipangilio yao walikataa ASIZUNGUMZE,lakini hakufukuzwa huchi kusema urongo?
@soffiscarlett97023 ай бұрын
@@answarmohamed4564ww ndio unasema uongo Hujui lolote yaliojiri watu wametolewa msikitini N wakitaka kujenga wao bdo mnayumba yumba Hivi hamujiskii aibu ? Ni laana ya mungu imewafuata ndio mana mnapiga makelele yasiokua n maana
@twaibumikidadi73773 ай бұрын
Kwa taaifa yenu! Watu sasa wanaelewa Sunna ni nini!?? Mtaswali kipekeeenu ktk misikiti yenu !
@almashally88023 ай бұрын
ماشاءاللہ بارك الله فیك
@kasimubangu18753 ай бұрын
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
@AllyAhmad-zg2yp3 ай бұрын
Mkitaka wafanye nn baada ya kuwakataza wasitoe daawa. Kufeni kwa chuki zenu متوا بغيظكم
@AllyAhmad-zg2yp3 ай бұрын
😂😂😂 mumejuta kuwakataza watu misikiti ya Allah, na pia wamesemwa vibaya ktk kuran wale wanaokataza misikiti ya Allah lisitajwe jina lake humo 😂😂😂😂😂
@khalfaanjeilaan39223 ай бұрын
Mbona hamuzungumzii kuhusu misikiti ya kishia lamu na makanisa?
@hadibjumbe3 ай бұрын
Dawa imefika. maashallah.
@twaibumikidadi73773 ай бұрын
ukıona hivi ujue kuwa Hii ni dalili ya 1- UOGA 2- Ni upungufu wa TAWHEED Tutaıtangaza sunna kwa hali na maliiii Watqariqa mmeiharibu dni kwa mda sanaaa ! Ata AbdulWahab alipigwa vita sana !
@answarmohamed45643 ай бұрын
Uoga?yaani wewe kwa akili zako waislamu kugawanywa na watu kutoa tahadhari ni uoga 😂😂😂halafu wamaanisha kutaingia Tawheed,wamaanisha kule lamu mpaka Saa hii hamna waislamu wote ni washirikina?yaani nyinyi mawahhabi hamjielewi hii dini hamuwezi kutumia,acheni ukhawarij kukufurisha waislamu
@muktarkassim66473 ай бұрын
Ww unaijuwa historia Abdulwahab....ama unaifahamu historia ya masuudi walioko huko walitoka wapi
@MuhidiniNassor3 ай бұрын
Ulikua umalize TATU
@ShabanNyange3 ай бұрын
Tawheed ya kupora miskiti???
@iddimohamed2543 ай бұрын
Uyu ni hasidi Hana lolote nyoooo...atakae fanya mema analifanyia na atakae fanya maovu analifanyia mwenyewe...
@SalimHsn-Omar3 ай бұрын
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini
@abdinoornyanga21173 ай бұрын
Mashallah,lakn msitumie mimbari kubondana,twawaonyeshani mfano upo wasokuwa na ilmu ya dini au hata wasokuwa waislamu??
@jimjam-xg7rv3 ай бұрын
MASHA ALLAH 💚
@abdulqadirmasuo15503 ай бұрын
MANENO MENGI NA MSIKITI WAENDELEA KUJENGWA. INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEMTAFUTA ALIETOA ARDHI ABADILI NIA YAKE. LAKINI UMEKAA WAREKODI VIDEO JISAA ZIMA BILA YA FAIDA YOYOTE NA MSIKITI WASIMAMA. AMA LABDA WATAFUTA UMAARUFU KUPITIA MOHAMED BACHU?
@NuzlaBunu3 ай бұрын
Sasa ww umekereka? Kuekwa msingi wa msikiti wa sunnah? Kwani waislamu kwa ujumla watafaidika kwa kiasi kikubwa sana.
@sheikhyusufdiwan24893 ай бұрын
جزاك الله خيرا
@GOP-Abdallah3 ай бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 shekhe yusufu hawa si walikuruka baada kushindwa mjadala?😂
@abdurashidinasorodini3 ай бұрын
nimpambe huyu sheikhe mdiho
@ABUUBAAZNYUNGU3 ай бұрын
Hahahhahaa!
@iddimutua4203 ай бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 MashaAllah Yusuf Diwani ndugu yake Shafii Basalim mtu wakupiga vita watu wasunna na kuwaacha Mashia InshaAllah Allah akufungue macho na moyo ilimu ulio nayo isikushtaki kesho mbele ya Allah.
@MBAROUKSAADHUSSEIN3 ай бұрын
We kila kwenye fitna lazima turbo uonekane ila kwenye hakki wala haukomment
@GOP-Abdallah3 ай бұрын
Ujasiri gani huo ulionao kuzitolea hukmu miskiti ya Allah kwenye ardhi hii?ikiwa mtume mwenyewe hakujua malengo ya mskiti wa dhiraar mpaka alipotereemshiwa wahi?lakini wewe watoa hukmu moja kwa moja Chuki zako na za babako kwa watu wa sunnah zitawapelekea pabaya kaka
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@GOP-Abdallah huyo Baba ya MTU marehemu hizo chuki zake unzitoa wapi,wamlaumu MTU ywahukumu kisha we mwenyewe ndio wa Kwanza mwenye maradhi hayo!bachu ameyaweka wazi mwenyewe wale wanafik waliyaficha Bachu ameyatangaza!!!kila kitu kiko wazi na post zake tumeziona!!!mwenye chuki ni wewe na bachu
@SaidAbdalla-gl2dp3 ай бұрын
Sasa ww shekhe unaumizwa na nini.kuna miskiti mingi ya kishia ambao wanawatukana maswahaba na wakeze Mtume s.a.w.hujapatapo kuisema miskiti hiyo.chuki haifai utaenda kuulizwa.tatzo hamtaki kufuata sunna ndio imekuwa ugomvi mkubwa mushazoea kupiga ngoma tu.
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Kutokua n elmu ,fitna ,ujahil ,n chuki ndio zinawepeleka huku ... Makanisa yte yanajengwa lamu hakuna anaeingilia kati hili suala,hakuna anaelamika Kujengwa msikiti ndio imekua mmeinua maskio yenu? Ivi inamaana mnasupport sana ukristo kuliko dini ya kiislamu ? ALLAH AWAONGOZE AKUPUNGUZIE UNAFKI SHEIKH
@shuaibabdullahi75442 ай бұрын
Sheikh ana ongea ukuweli kabisa
@soffiscarlett97022 ай бұрын
@@shuaibabdullahi7544 Ukwely Gani huo? Udhalim tuh Hana lolote
@JumaOmar-ku6cr3 ай бұрын
Haruna geni kwa haya hata Mtume wakati wake aliambiwa anawagawanya watu nyinyi mabidaa atawatesa sana bachoo ila haki itasimama tu
@HamdiHamdiAbdi3 ай бұрын
Inakuuma
@answarmohamed45643 ай бұрын
Usilie basi😂
@AbdillahSOthman3 ай бұрын
Unajua kuwa hata Rasuulullah alipokuwa analingania dini alikuwa anasimangwa na kudharaulia mpk kupigwa mawe akawa anaambia analeta dini ngeni sio ya baba zake. Lkn hakuchoka kulingania na ndo mpk sasa tunaisoma. Bayana ikikufikia usije ukasema sikujua au sikuambiwa. Kufuata au kuacha kufuata ni wewe na nafsi yako. Allah atuongoze
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@AbdillahSOthman yaani wamfananisha bachu na mtumi Swallallahu Alayhi wasallam,mawahhabi hamna mipaka,halafu kwani lamu hamna dini miaka yote?hamna la zaidi hata mkajaribu kuteteana ispokuwa ni kutaka kuleta mgongano Bana ya waislamu
@AbuuRayyan-j8x3 ай бұрын
ACHA UPUMBAVU UWO WEWEE : INABIDI UNATAKA KUSEMA KWAMBA WATU WALIO KINYUME NA UWO UPUMBAVU WENU WAKIJENGA MSIKITI NDO UNA UFANANANISHA NA UWO AMBAO ALLAH AMEUZUNGUMZA KTK QUR AN ? ACHA UPUMBAVU NA UJINGA UWOO.
@jamalishoo38023 ай бұрын
Maa shaa Allah
@AdnanMohammed-l6i3 ай бұрын
Iyo nichuki yenu maghurafi msingi unaporwa bl maghurafi mnaogopa sasaivi watu hawataki tena maulidi kwani ndani ya msikiti wanaletwa wageni sindohaohao maamumawenu iyo ndo dalili ya kwamba watu wamechoshwa nayinyi maghurafi wakata viuno
@Nuru_ya_sunnah.official3 ай бұрын
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
@HamidiYusuph3 ай бұрын
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
@nassirzamzam93123 ай бұрын
A/a ee sheikh ogopa mwenyezimgu usitafsiri aya za mwenyezimgu in your own opinion, sasa wewe alkaaba na msikiti wa madina unaendeshwa na dhehebu gani ambao misikiti hiyo miwili mitakatifu ulimwenguni una endeshwa na wahabi.
@shamsushaffikassim-fe4ul3 ай бұрын
Miskiti mingapi basi wewe wataja mzukaaa ni msikiti (Au) miskiti hata hujui unachosema mzukaaa na kibaraka wa mabwana zako wa kikhurafi
@@ABUUUTHEYMINMADEGHE haqqi gani?kama mlivyoingia mambrui na lamu kwa vishindo mambrui ni ileile na lamu ni ileile,mlikuja na makina na vishindo,makina ni ileile,hamna haqqi katika kuwagawanya waislamu ispokuwa ni ukhawarij tu
@nassirzamzam93123 ай бұрын
Kwa hivo msikiti wa maka na wamadina ni misikiti ya fitna.
@shariffomar85803 ай бұрын
Fitna yake iko wapi Wacheni chuki, wamuonea mwenzako wivu Sunnah itaingia kila pembe ya dunia
@osmanmanbile93273 ай бұрын
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
@bilaligona54783 ай бұрын
🎉
@abduljabbaarswaleh11603 ай бұрын
شكرا أستاذ محسن ❤❤❤
@hassanmohamedabdalla41083 ай бұрын
مسجد التوحيد
@babuumohd42903 ай бұрын
Kiufupu mashekhe wengi sasa hivi wameacha kuioigania Qur'an na sunna kurudi katika heshima yake wanafatana wenyewe kwa wenyewe wakilumbana hivi mnafkiri kwa style hii tutachukua ilmu kutoka kwenu wakati nyinyi wenyewe haiwanifaishi na chochote mumekua kama makundi ya kiyahudi na manaswara
@MudhyMudhy-s8n3 ай бұрын
Shekhe sema ukweli acheni chuki sema shekhe kakataliwa kwa sababu pale wanakula maulidi.
@abutirmidhi3 ай бұрын
حسبنا الله ونعم الوكيل
@amadeomarsaide50233 ай бұрын
Siku zote hakki ni mchujo. ليميز الله الخبيث من الطيب...
@user-pi3vj5sn3l3 ай бұрын
Sheikh hauna stori
@MBAROUKSAADHUSSEIN3 ай бұрын
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
@Hamis-ks1sy3 ай бұрын
Kwahiyo mwataka misitlkiti yote iwe ya kusoma barzanji na.hamtaki kabisa msikiti wa sunna? Kweli nyie vichaa in shaa Allah haqqi itasimama2
@abdurazakdaud93643 ай бұрын
Duuh kumbe ww pimbi watumia lisa lizima kuongea porojo kuna makanisa huku mbn hujawahi ongea
@shamsushaffikassim-fe4ul3 ай бұрын
Kuna Siri ambayo twaeza kuitaja ya huyu muhsin Ali bute kwa ushahidi lakini Wacha tunyamaze WEWE LETENI UKHABITHI WENU TU WA KUTIWA MAJI NA MABWAN ZENU Mbwaa weweee
@seifserenge33403 ай бұрын
Nyinyi mashekhe munawaelekeza na kuwapeleka wapi waislam!! Kaeni muzungumze kwa busara leo kila shekh ana KZbin yake apambane na mwezake, kweli tutafika wapi
@shamsushaffikassim-fe4ul3 ай бұрын
Wala hujui yaliojiri hukoo Fala mkubwaaa
@ahmedabry2933 ай бұрын
Kwani shida kubwa ni nini kwetu waislamu?? Kweli tunashindwa kukaa sehemu moja tukaelewana na kuepusha mambo kama haya ya kusimama kwenye mitandao kusemana vibaya.. Cha ajabu ni kuwa hakuna mtu anaejua nini kilichopo katika moyo wa mtu mwengine.. Kila mmoja anajiona yupo sawa na kujitukuza wakati Allah anasema msizitukuze nafsi zenu yeye ndie anaejua nani mchamungu.. Ah sawa endeleeni
@Abubakarnaaman0013 ай бұрын
Mashallah shukran sana habib mpe vidonge vyakeee
@bukhariznz3 ай бұрын
HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Ety sheikh imekuuma. Eeeh😂😂😂😂
@taurehassan73993 ай бұрын
Inshaallah makusudio Yao hayatakuwa kw uwezo wa Allah
@RajabAbdallaah3 ай бұрын
Ina maana makhuraafi mmezoea kukata viuno hadi mmekuwa mazuzu mnaporwa miskiti na mawahabi
@soffiscarlett97023 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@salimobeid14703 ай бұрын
Wanakosea sana hawa ndugu wahabiy hii si kuwaleta waislam bali ni kuwagawa waislam wasipojitafakari watakufa vibaya
@abuarifhassan63163 ай бұрын
Chambilecho misikiti tunayo mingi kwann msijenge islamic institute ili vijana wakiislam wajifunze ujuzi wa kikazi na mambo mengineo ama mujenge madaris kubwa ya kisasa wanafunzi wasome bila malipo..
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Unaongea tuh hujui unachoongea . Hivi unajua huo msikiti unajengwa wapi ?
@soffiscarlett97023 ай бұрын
Miskiti ipo mingi kwenu huko
@mohammedmasudi-dz6hb3 ай бұрын
HUELEWIKI WEWE
@dullahbatuf92233 ай бұрын
Lengo lako nn hasa cjui shekh km umeumia kujengw miskit ya sunna au vip povu Shia wajenga population yao inakua kimya wa sunna shida kalale uko
@MuniraRashid-sx3up3 ай бұрын
Huyu chuki zimemja hadi anongea pumba khursafi ww
@hassanmohamedabdalla41083 ай бұрын
hawa makhurafi bado wanapinga haki,wako kweyne uptevu na ku abudu kaburi, hawataki idihiri haki na iporomoshe batili zao
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@hassanmohamedabdalla4108 haqqi gani?mumejenga miskiti mingapi?kama kutawassal kwako ni upotevu Sisi twajua yafaa kwa ushahidi wa sunnah za mtumi na alhamdulillah twajibiwa na yatuendea,jengeni miskiti elfu moja lamu itabakia ileile,maulidi yatasomwa na ziara watu wataenda bachu na ww mtazidi kukereka moyo😅😅
@andallaathman38563 ай бұрын
Sasa imekuaje msikiti WA kifitna why misikiti ni ya ALLAH
@Player1_6663 ай бұрын
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
@AshrafBunu3 ай бұрын
Hawa wataka view
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@AshrafBunu shukran kwa kuwapa😅
@AbdullahiHussein-ik4eo3 ай бұрын
Jiga ya mwisho shida yko ni miskiti iliyojengwa n m bachu ama ni misikiti yote y kenya
@SuleimanHassan-o6f3 ай бұрын
Huyu hajui huko Visiwa misiki ya sunn Iko mingi sanna
@masoud7443 ай бұрын
Huu msikiti uliowazuia masheikh wasiigie wakatoa daawa.. vipi hauwagawi waislamu?
@answarmohamed45643 ай бұрын
@@masoud744 kwa ivyo kila MTU akidai yy ni sheikh akija aiktaka kupishwa apishwe?😅😅😅
@ibnuali68573 ай бұрын
Huyu ni simba allah amuhifadhi bachu ndio kiboko yenu
@Abubakarnaaman0013 ай бұрын
Mashallah hii haina comeback 😂
@GOP-Abdallah3 ай бұрын
sisi comeback zetu ni kuwapokonya miskiti tu 😂
@ibnuali68573 ай бұрын
Nikama misikiti yenu ushirikina umejaa mmoja wapo ni msikiti wenu wa swalihina
@salafy35663 ай бұрын
Kwanzia hio vdeo time 12:00 huyo abu aamir al-khazrajy ndo ww wamuonea bachu wivu ndo maana wakaa kwenye vdeo kumchafulia.