Et mnanipa pesa yangu hafu naacha nakaz nimecheka saaaaaana mtombangile kitwango mikazo hahahahahahahahahahahaabah
@amosmayunga63014 жыл бұрын
Umetisha sana
@abdulwadi86674 жыл бұрын
Duuuuh jot unanivunja mbavu😂😂😂😂😂
@salimkhamis36384 жыл бұрын
Aliyeona kama kichwa cha joti kimempata jamaa maana amevimba shavu naomba like zenu hapa
@user-cl2jr3re4s4 жыл бұрын
Jooot bwana leo umenivunja mbavu sio kwa icho kipoondoo
@englibertmalabe14514 жыл бұрын
Haahhaaa hata mimi duuh
@mpandaboy22794 жыл бұрын
Hicho kichwa nmekipenda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kama anapiga mpira🤣🤣
@sajojonas3 жыл бұрын
Original version is always the best 😂😂😂😂
@mzeetisha34174 жыл бұрын
Huo mhuri ulivyogongwa.!!!
@sophiamhamed54964 жыл бұрын
Nakukubali sana joti
@hafsahatibu22454 жыл бұрын
Nashang watu mnashindwa kucomnt vit vya maana kazi nipeni like si mngeigiza wenyewe mpate like mxhiiiiw
@temberboy9024 жыл бұрын
Nakubal mkuu
@hassanmasoud9654 жыл бұрын
😂😂😂inama vizuri nigonge muhur
@hassanpyallah87504 жыл бұрын
Hii sio nzuri km ya original comedy
@johnsaid91434 жыл бұрын
Kupata check kaipata kwenye nguo Sasa😂😂😂😂😂😂
@karangwajoseph10154 жыл бұрын
Number 2 leo
@fettykhalfan73374 жыл бұрын
😂😂😂mjomba nishai nomaa!
@mariyaal53664 жыл бұрын
Hatari mfanyakazi hataki ujinga😂😂😂😂😂😂😭😭😭😭
@harounjc65503 жыл бұрын
Muhuri uko wapiii😂😂😂😂
@salmabintuthman32434 жыл бұрын
Huyu Dogo yuko tofauti na wengine🤣🤣🤣
@ndeshijoseph31993 жыл бұрын
Wahasibu wa halmashauri ni vimeo
@saudahamad74813 жыл бұрын
Inamaa nigonge muhuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bernardchibwana94114 жыл бұрын
Nenda sasa bank sasa😅😅😅😅!!!!
@rosechild50214 жыл бұрын
U re number one 😝🤣👍🏼
@NjokaaYalumaa Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅 nishai ni hatari
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Nishai nakugawa bureeeee 🙌😂😂😂
@lucykilonzo27494 жыл бұрын
Nishai Leo kaw mbabeee kachoka kuonewa kil sikuu ahaah
@ashashabani53974 жыл бұрын
Nakukubali sana
@dionisjabir28634 жыл бұрын
Duu joti noma ndani ya saa moja comment 100
@fredngoma93714 жыл бұрын
Daah uyu jamaa ni hataree
@fatmahalfan81224 жыл бұрын
Kweli watu wafupi wakorofii🤣🤣🤣😂nishai kumbe uko na mabunda hivyo kheee
@thomassong83274 жыл бұрын
First to watch 😂 😂
@samiaarimkonekonko50962 жыл бұрын
Yaaani nawapendaaa🤣🤣🤣🤣❤️❤️❤️❤️
@isabellamassawe92244 жыл бұрын
Wa kwanza leo jamani 😁😁like hapa
@harunimfaume62804 жыл бұрын
Inamaa nigonge muhuli 😂😂😂😂
@jumahamad6924 жыл бұрын
Jamani mbona mm mnanionea cjawah kupta like
@agataphilipo56244 жыл бұрын
Sopa kajua kulipiza uwiiii....hahaahaa
@jumahamad6924 жыл бұрын
@@agataphilipo5624 sopa ndo nan
@annyrutty6574 жыл бұрын
Inama vzr nigonge mhuri huku nguo zishachukuliwa 😂😂😂🤭
@mariyaal53664 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
@Binamu_4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti unazingua weka open cheque
@خسنموس4 жыл бұрын
Kama unampenda JOTI gonga like hapa
@marcofrancis11634 жыл бұрын
Hahahahah marehem muhasibu.. et nakusugua nalo usoni 😂😂😂😂hahahah
@queenandchill914 жыл бұрын
MHASIBU sio MUHASIBU Joti.bhana
@ibrakadabra31294 жыл бұрын
Mtu wa 89 naomben ata Like 1 tu
@fatumalizy5104 жыл бұрын
Ibra Kadabra iyo hapo
@bernardchibwana94114 жыл бұрын
Muhasibu kazingua😅😅😅😅😅
@mickd4824 жыл бұрын
🤣🤣🤣nishai bhn!
@saudahamad74813 жыл бұрын
Weka open cheque😂😂😂😂😂😂😂😂
@psitanzania91464 жыл бұрын
Joti hapo kidoooogo mwisho ungeongezaa timbwili ... nguo zilivyoibiwa ungemwita tena muhasibu umvue koti na suruali umwache na shati lake na boxer umkate kibao asepe ....ingenoga balaaa 😂
@ismailkidua84474 жыл бұрын
Hahahaha hyo kichwaa nomaa
@emmanuelmwakyusa73834 жыл бұрын
Kama muhasibu wetu hivo hivo
@deomvula90634 жыл бұрын
Mbona unarudia hii kaka ulishacheza kwenye original comedy
@Mbeyaconscious4 жыл бұрын
😂 😂 😂
@ahmedmwenye95644 жыл бұрын
Good work...
@jacklinamani75194 жыл бұрын
Mwasibu anamwangalia juuuu
@sulaymanwaziri44554 жыл бұрын
Joti nimekufuatilia miaka yote,, ila jipange vizuri kwenye comedy,, ku kitu kitu kime anzishwa na washkaji wawili ni hatari,, mwanzo mpaka mwisho unacheka,, yani nihatari wale jamaa na kila nikirudia nacheka tu 😂😂😂
@joharially29504 жыл бұрын
Sulayman Waziri hiyo una cheka ww sisi tuna mkubali jot na hatuta muacha
@hallmenaboud31924 жыл бұрын
hahahaha! best comedian ever
@mohamedathumani2984 жыл бұрын
Hallmen Aboud bshoo
@hallmenaboud31924 жыл бұрын
haha! kaka amna bana
@rogermazombo97444 жыл бұрын
😁😁😁 iyi ya Leo bala #Joti
@middleplatnumz36294 жыл бұрын
Mwanakulitafuta mwana kulipata
@badmanno.16504 жыл бұрын
Wangapi waliiona hii kwa orijino komedi...
@lucykilonzo27494 жыл бұрын
Ahaaaha ety tutapigna nikiwa uchi w mmbwa,,,, duuu ahaahaahaaaha