Huyo Dada sio rafiki ndio maana alikuwa anakataa challenge
@elinamimtaita6724Ай бұрын
Alivyokataa nilijua tu sio bure khaa
@nishaabdula5015Ай бұрын
Yn angekataa vile vile wala asingekubal
@rahmahamad5005Ай бұрын
Naomba voice note nicheke kdg😂😂😂😂😂😂😂
@sophiarajab54769 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ooh my God,jamaniiii 🙌🙌🙌ushoga Noooooooo🙌🙌🙌🙌
@LydiaGervas14 күн бұрын
Ndy maan alikuw hatk anajua nn kinaendelea😅😅
@user-yr5wj5bz4w11 күн бұрын
Huyu alie vaa nguo ndio mke sasa
@asteriaslaa5482Ай бұрын
Khaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ndo maana alikuwa anaktaaa... mwizi huyu
@doreennyangemissdee28 күн бұрын
Ndy mana staki mambo ya marafiki alooo😂
@ShudaCureАй бұрын
We kila siku kujuta kuacha ahaaa😂
@ChristianaAmocАй бұрын
Huyu mchongo 😂
@habibaraphael6583Ай бұрын
😂😂 mwendelezo 😂😂
@Luiverine27 күн бұрын
Mwache afanye vurugu 😂💃🏾
@pendoyohana2399Ай бұрын
Ushoga mbuzi😂😂😂😂
@HappynessJoseАй бұрын
Ndio maana alikua ataki kupinga kumbe wanakua wanalala pamoja Eti leo tena nilishanga kwambia hakuna kuja mara kwa mara rafiki atajua ukwel inanauma
@SamiraseifAlfan-ph4keАй бұрын
Hii ndio Tanzania nchi pekee ya marafiki kutembea na mwanaume mmoja😂😂
@RehemaAthuman-mw2wgАй бұрын
Kumbe ndomaana alikuwa anakata
@mariakibusi5914Ай бұрын
Marafiki wanakuoga na tamaa Sana sasa anatembeaje na rafiki yake
@mankakiria515718 күн бұрын
Mi nilishahisi mdaa
@MoshiKindamba-jo9woАй бұрын
Maraya TU nyoo
@LenathaEmanueli15 күн бұрын
ushoga kazi😂😂😂😂😂😂😂
@estherlisahelifuraha931226 күн бұрын
😂😂me sitaki mambo ya udugu
@uwimanacitegetse992627 күн бұрын
Du makubwa 🤔unamusariti lafikiyako et kwasababu yapesa
@AkxaEdwin29 күн бұрын
Humu tuuu !!!!😂😂😂
@zahormohammed447613 күн бұрын
Uyo sio ustadhat hayo ni makurbembe yalovaa baibui
@priscahmahenzo64210 күн бұрын
𝐾𝑢𝑚𝑏𝑒 𝑎𝑛𝑎𝑗𝑤𝑎 😂😂😂😂
@dorahpatrick6698Ай бұрын
Ni humu humuuu 😂😂😂😂😂🙌💔💔
@irineTesha-u2e26 күн бұрын
Duuuuuh jmn marafik hawaa😂😂😂😂😂
@zahormohammed447613 күн бұрын
Kilichomfanya mwanaume ahamie kwa shoga ya demu wake ni kwamba shoga anavaa kiheshima zaidi na mwanamke wake anatembea uchi kabisa yani anadhalilisha jina la aisha
@narutonaruto4303Ай бұрын
Hii neeenda kabisa
@RutyNatalia-uu5ujАй бұрын
Mkome kiranga kwann utembee na mpenzi wangu rafiki yako jamani
@gamarahmed3258Ай бұрын
Sijui Kwa. Nn marafiki wanakuaga na wivu sana ndio mana wanamua kutuchukulia wapenzi wetu mashetani yani nachukua marafiki sana
@floraahstevenАй бұрын
zompa mtu mbadi 😂😂😊
@FEBRONIAJULIUSАй бұрын
Duh hii kali sana marafiki wa sasa nuokoo
@NeemaMdachiАй бұрын
mama weeee😆😆😆
@user-cv4yx4uf8u7 күн бұрын
Ndio maana wanafilika
@JosephKwayАй бұрын
😂ten lime zagaazagaa
@saharunlock4929Ай бұрын
Zompa kila ck anajuta kufany challenge😂😂😂
@UstinaMayembaАй бұрын
Ila maisha yana siri nyie😂😂😂😂
@raydaizerbanks27 күн бұрын
Dakika ya 10:20 focus apo (SEPA) KUMBE NI EKTI KAMA MR UKY top creator in is only one kiredio
@AbdulMpemba-ie6lhАй бұрын
Sasa mpaka anakataa mala zote izo hamnajiongeza tu mpaka anasema sim haina chaji mmmh heshima yako dunia.
@Neema-m6s28 күн бұрын
Mbona leo tena duuu hatari
@ChainesBoufee24 күн бұрын
Aah yaan maisha haya .
@mohamedasha3130Ай бұрын
Huo niujinga t shemg gn😊
@chresenciaanthony894028 күн бұрын
Ningekua Mimi ningekataa KABISA
@ElizabethRaphael-x5h28 күн бұрын
hiiiii ndo nchi ambayo shemeji ako ndo mume wako😂😂😂😂 kama unabisha nambhe
@priscahmahenzo64210 күн бұрын
❤❤❤❤
@jackstar508Ай бұрын
Ungekua wew ungekataaa bro 😅😅
@LeukajaMavikaАй бұрын
Hahhahqhq anapesa kwanin amkatae jamni mashemeji waliwe to maan 😂😂😂😂
@SajdaHussen22 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@irenemwilongo192328 күн бұрын
Dah wanawake
@raydaizerbanks27 күн бұрын
Mnatuektia
@shanishani7690Ай бұрын
Ndio maana sina lafiki
@kelvinkimaro963714 күн бұрын
Ila husuna ni pisi kwelii
@VeronicaEliasiАй бұрын
😅😅😅😅😅Atali jaman ww
@MasoudAlbusaidАй бұрын
Ustadhati uyo kfanya mambo
@GloriaNikiza15 күн бұрын
Ndo mana sinaga rafiki
@ZeyanaKhamismashakaАй бұрын
Umalaya tu huduma ndo chanzo utembee na shemg yko ushaga wa mjini ushuzi 😂😂😂😂😂😂
@Official83640Ай бұрын
Part 2 isichelewe dah wanawake konyo staki ushoga mm
..ila kuna watu mafala tu yan anajua anacheat bado anakubal ni ujingaa kbsaa nyoo
@beatricesway5782Ай бұрын
Ila zompah 😢❤
@theeaglefilmproduction4567Ай бұрын
😂😂😂😂kafanyaje
@HamisiForogoАй бұрын
Nimependa hapo we kenge
@FatimaOman-wb8tnАй бұрын
We kenge😂😂😂
@GloryKihongosiАй бұрын
Haunjuiiii😂😂😂
@AngelaMsukwaАй бұрын
Duuuuuuh 🙌🙌
@MustyNgongo27 күн бұрын
Baibui kubwa kumbe malaya
@RosemaryWilliamson-t7b29 күн бұрын
Ila wanawake sisi hapana hizi tamaa mbaya sana mume wa rafiki ako
@priscahmahenzo64210 күн бұрын
𝑃𝑖𝑞 𝑚𝑚 𝑛𝑠ℎ𝑛𝑔𝑎𝑎
@amosmahona43321 күн бұрын
NImecheka kweli leo tenaaaaa?
@user-be9xm3og4x17 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-nu8or5ks9bАй бұрын
Alikua anakataa kupiga sim kumbe analiwa na shemeji yake
@amosmahona43321 күн бұрын
KWanza humo mnauza nini? Nataka nije kununua
@aliceshija312329 күн бұрын
Ndo maana mm sinaga karafk
@omanoman204428 күн бұрын
Huyu ali jistir hiv kumbe ni malay hee pesa hiz zitawapeleka moton wallah
@FatmaMohamed-vd5zc29 күн бұрын
Hiki kipindi kifungiwe kusema kweli ipo siku watu wa tauwana kinapo erekeya siyo kuzuri kabisa
@subiramayegeya534328 күн бұрын
Ndio mnawatetea watu wanaovaa nguo ndefu wanajistiri haya sasa c Bora aliyevaa uchi lkn hachit
@JohariJohari-rv5jsАй бұрын
Mh hii hatar
@sulleRuthАй бұрын
Uwiiiii ningeua mm jamaniiii uwiii😂😂😂
@sulleRuthАй бұрын
Hawa wadada nao ni wajinga sana Kam ulikuwa unajua michezo yenu kwann ukubali challenge wabongo Kuna washamba wengi sana😂😂😂😂
@myunaniniahmad6463Ай бұрын
Hamna sababu za kupigana, wanaume ni washenzi sana.
@MahaSaeed-hf3gs20 күн бұрын
Duuuuh hamnazo kabisaaaa mpenzi wa rafiki yako huyo ht wadada yake anaweza tenbea naye kisa kat ongozwa duuh
@millionarebillgates3062Ай бұрын
Bwana z unajua unachokosea ni kitu kimoja tu na hpo ndo anakupiga bao kiredio inaonekana uyo dada aliye kubali mwanaume wake apigiwe inaonyesha yeye ndo alitaka hii challenge ifanyike ndo maana baada Ya challenge ukasema utamtafuta kwa maana iyo una no zake
@AliciaResiqiuc19 күн бұрын
Ndoo maana ctaki urafiki na mtu
@saidasalum417226 күн бұрын
Bwana ustadhati wapi, kisa baibui , moyo wamtu kichaka jamani usimhukumu MTU kwa muonekano wake, ustadh wapi hamna lolote
Challange uku mnaelekezana cha kufanya challenge master unamwambie mtu sepa iyo imesikika bro ampo serious kumbe
@FAHEEMTOZZYАй бұрын
😂😂😂😂😂nakubal zompah
@AnnaLuhanjalaАй бұрын
Ety mm ostazat unatembea na mpenzi wa mtu tena wana mtoto upuuuuzi mwingine bwana
@Aisha-qg5mjАй бұрын
Apana ostahdat apo malayatu mnauficha kwenye maabaya
@aboujanomarion612129 күн бұрын
Urafiki wakuhusishiana waume huo siurafiki hawa wanawake wanajitakia wenyewe so mm wanawake wakuhusisha waumezao na marafikizao naona niwapuuzi sana kumbuka sisi tulishaambiwa tunauwezo wakuoa wanawake wanne then unaniletea mke karibu wewe mwenyewe unajuaje kma rafkiako kakuzidi vigezo unatarajia nni .????
Mimi siwezi kumpa rafiki yangu namb ya mpenzi wangu😊
@DativaMbowe24 күн бұрын
Yaaani MTU unampaje namba ya mpenz wako😂
@VeronicaEliasiАй бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@nishaabdula5015Ай бұрын
Yn mtu unajuwa unatoka na mwanaume warafiki ako alafu unakubal vp kupiga iyo cm mm siwez piga ht yn
@WitnessKimaro-sx3rjАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Munayya-g2p24 күн бұрын
Eti ustadhaty mmh kifua wazi nyuma chogo, na kama haitoshi MZINIFU, MM NDO MAANA SINA RAFIKI NA SIHITAJI RAFIKI ✍️🚮
@mariakibusi5914Ай бұрын
Acha tabia za kiswahili dada baibu kubwa unaficha madhambi kwenye baibui eti ostadhat ovyooo,kuhudumiwa bongo?halafu shemeji yako mnamlamba kisogo mwenzenu