MUNAQASHA KAMILI WA MUHAMMAD BACHU NA SABBAS AL-KUBRA || UWANJA WA TANGAMANO || 16-7-2023

  Рет қаралды 31,869

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 192
@arafatabubakar001
@arafatabubakar001 Жыл бұрын
Wallahi skh.Bhachu Allah akupe ufahamu zaidi.mimi binafsi nilichukia maulid toka kitambo,kufikia sasa nimeichukia zaidi kuliko mwanzo
@dullahsaleh8507
@dullahsaleh8507 Жыл бұрын
Tatizo humuelewi sabas elimu yake kubwa unaelewa hilo porojo la bachu.
@seifabdi9248
@seifabdi9248 Жыл бұрын
Shukran sana Sheikh wetu na kwa kweli ukweli ukidhihiri uongo hujitenga. Nimepata faida kubwa sana na kwa kifupi ninachukua zile point 19 ulizozitoa nitaziandika chini Ili niweze kuwasaidia ndungu zangu waislamu Ili waweze kuifahamu ubaya ya Maulidi na shirki iliyomo na insha'Allah waweze kurudi kwa njia ya Allah.
@husseingitonga8921
@husseingitonga8921 Жыл бұрын
Kwa hakika watu wa maulid hawana dalili.
@LuqmaanBeka
@LuqmaanBeka Жыл бұрын
Mashallah sheikh Muhammad kwa kuwtandika watu wa adhwalala wataelewa tu
@kamariamohammed
@kamariamohammed Жыл бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@abdikhoy8044
@abdikhoy8044 8 ай бұрын
Tusome tuache mbwembwe
@mabruqjumamponda7629
@mabruqjumamponda7629 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu mpe shifaa Sheikh wetu Muhammad Bachu napia maisha marefu yeye na familia yake. Watu wa twarika ama kweli hapa ndio mwisho wenu. Maulid na twari ni bidah. "KULLU BID'ATIN DALALA WA KULLU DALALATIN FIN-NAAR"
@salehalisalum5466
@salehalisalum5466 Жыл бұрын
Amiiin Amiiiin
@tifuomar
@tifuomar Жыл бұрын
Kasome rafiki
@mabruqjumamponda7629
@mabruqjumamponda7629 Жыл бұрын
@@tifuomar kwa mamako ama?
@stablehech
@stablehech Жыл бұрын
​@@mabruqjumamponda7629kwa hilo jibu lako ni wazi huelewi dini.. Pepo iko chini ya mama alafu hapa unamkejeli mamake .
@rmdhnhmz512
@rmdhnhmz512 Жыл бұрын
Mtume anasema asiye Na elimu ni sawa Na jumba bovu kasome wacha kuafiki kitu ambacho hauna elimu nacho unafuata fuata tu
@isackwaite-uf1zy
@isackwaite-uf1zy Жыл бұрын
MaashaAllah ❤ sheikh muhammd Bachu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 5 ай бұрын
Allaah akuhifadhi Shekh Muhammad Bachu
@Mswahili-12
@Mswahili-12 Жыл бұрын
NIWE MKWELI WALLAHI, SIJAPATA KUSIKIA HOJA HATA MOJA IKIVUNJWA KWA HOJA NA HAO WATU WA BIDA'A, ALLAH AKULIPE KHERI SHEIKH BACHU
@isarichard
@isarichard Жыл бұрын
Kazi nzuri unayoifanya sheikh ❤ nafataga kila kipindi chako apa Zambia 🇿🇲
@jamalbashiru1973
@jamalbashiru1973 Жыл бұрын
Baaraka llahu fiyka sheikh Mohammad Bachu, Allah azid kukupa moyo wa kubainisha hakk
@timesimai4537
@timesimai4537 Жыл бұрын
Amyn
@SuleimanMwajita
@SuleimanMwajita 11 ай бұрын
Sheikh Bachu maashallah
@MattarOnlineTV
@MattarOnlineTV Жыл бұрын
Sheikh Muhammad nipo hapa nakukubali san Allah akuhifadhi
@yahayajuma1401
@yahayajuma1401 Жыл бұрын
Maulidi wametuletea Mashia " mazinge na mbogo bakonzi"mungu amewapa elimu ya kiwafundisha wakristo "elimu hii mungu amewapa wengine"
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
Sabbas ni mweupe kabisa, anajihami tu, UKWELI umeshajulikana Asante sheikh Bachu
@abuutamliikhaothmaan7244
@abuutamliikhaothmaan7244 Жыл бұрын
Kweli ndugu yangu hapa huyu hawamuwezi
@mwanzomwisho1217
@mwanzomwisho1217 Жыл бұрын
Sheikh Muhammad Nassor Abdallah Bachu, hakika ALLAH akuhifadhi.
@ShariifDhadho
@ShariifDhadho 2 ай бұрын
Bachu alihepa swali la ustadh sabasi, akafikiria kenya ni Tanzania,alitaka kuhepa swali la ustadh said lakini haikuwa rahisi.
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 Жыл бұрын
Shekh Muhammad bachu ndiyo mtu wasunna anaejua kupamban na masufi na vikundi vikundi 😢sio wengine wanajitakasa tu na hamna kitu zaid ya chuki kwa wanasunna wenzao..ALLAH akuhifadhi shekh wetu bachu
@jumatina2234
@jumatina2234 Жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, Allah awahifadhi mashekhe zetu, kama umefatilia vizuri sehemu ya 2:17:00 hadi 2:23:15 utaelewa vizuri sana
@SuleimanKahangwa-oj9eh
@SuleimanKahangwa-oj9eh Жыл бұрын
Shekh bachu mashaaAlhah
@KomboSaid-x9h
@KomboSaid-x9h Жыл бұрын
Mashallah tumeelewa Shekh Muhammad Bachu
@swalehmtetu
@swalehmtetu 8 ай бұрын
Maashallaa hongera saana wa jazaakallahu khairan yaa fadheelata sheikh Bachu atwaala llahu umruka wa zaadaka llahu ilmak. kweli hoja zako zina nguvu saana na ndio maana haqq siku zote itaipiku baatwil
@BuiKishkOnlineTv
@BuiKishkOnlineTv Жыл бұрын
😁😁😁Kumbe Shk Ali Abubakar alishasema kuhusu Nahw na Balagha halafu Sabasi ndo akaja kujibu hoja humohumo lkn akashindwa kutoa Qarina kuonyesha kuna balagha kweli. Allah akuhifadhi akhui Muhammad Bachu
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
Jazakallah sheikh bachu imebainika wazi alhlu madufu hawana kitu na niaibu hasa kwao
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Ahlul madufu😆😆😆
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 11 ай бұрын
​@@mohamedhozi8110😅😂😂😂😂
@nasraabdallah
@nasraabdallah Жыл бұрын
Allah akupe afya njema simba wetu bachu hakkki tumeiyona waganga wapiga lamli hawana hoja ukweli umeshajulikana
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 Жыл бұрын
Bachu You went to Humiliate Sabas and you did 😂😂 namuonea huruma
@saidabdus9014
@saidabdus9014 Жыл бұрын
Shukran yaa ustaadh.
@mwinyikitupa167
@mwinyikitupa167 Жыл бұрын
Sabbasil kubraa yaani msabasi mkubwa au pia jina lashekhe lina majazi Pole ustadhi
@yoramabubakar8012
@yoramabubakar8012 Жыл бұрын
Mashaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi
@nasiransaar7146
@nasiransaar7146 Жыл бұрын
Sheikh Muhammad Bachu ni kidume cha Allah.
@saidmohammed2830
@saidmohammed2830 Жыл бұрын
Sasa hio ndio majaaaaaaaaaaaz 😂😂😂😂😂
@yasiryusra3333
@yasiryusra3333 Жыл бұрын
Sabas wa kwenye tv yule na huyu mbona tofauti mpk yuwatia huruma
@saleemalmombasy891
@saleemalmombasy891 Жыл бұрын
BarakaLlahu fiik, sasa tunangoja mjadala wa Mombasa kwa hamu
@UmAkram-z1u
@UmAkram-z1u Жыл бұрын
maulid ni uzushi
@sombochristian8373
@sombochristian8373 Жыл бұрын
Mashallah Sheihk 🙏 🙏 🇸🇪 🇸🇪 🇸🇪 🇸🇪
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
MBONA namuelewa sana shekh bachu Mimi
@abdulchacurochabane7935
@abdulchacurochabane7935 Жыл бұрын
Mashallah sheikh Bachu ww kiboko Wallahi
@salemshaban2413
@salemshaban2413 Жыл бұрын
Sheikh bachu umemuosha vibaya sabasi al majaz hakujibu hoja hata moja.
@abubakarally3413
@abubakarally3413 Жыл бұрын
Sabbas na yusufu diwani walihemewa walikuja na kina mazinge huyo mazinge ndio mtupu kabisaaaa ila kwakua watu wabidaah hata uwape dalili milioni hawawezi kuacha bidaah zao, ila mwenye akili na mwenye kupenda haqi ataachana na maulidi
@SuleimanMwajita
@SuleimanMwajita 11 ай бұрын
Mfundishe huyo ustdh Nassor
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 Жыл бұрын
Yan mtu Hana hoja anakuja mara Sheria mara majjazz haeleweki hawa watu n mtihani sana bachu umemaliza kazi
@hassaniissa4085
@hassaniissa4085 Жыл бұрын
Sina jamb , zaid ya kukuombea kwa allah ulinz uliotukuka ____ al a khy muhammad bachu
@msamgunda7684
@msamgunda7684 Жыл бұрын
Asalaam aleykum.sehemu ya pili ya huu munaqasha.tunaomba muendelezo wake.inshaallah.
@abeliever6823
@abeliever6823 Жыл бұрын
By Allah. It is sad when we indulge in these issues when there are so there are so many threats against our principles as Muslims and as human beings. Our very own religious book is burnt and desecrated. Our countries are burning with flames of wars and hunger. Wake up dear brothers. These issues are insignificant. Differences are natural. Do what benefit mankind.
@kitonikitoni6299
@kitonikitoni6299 Жыл бұрын
Kunakazi kubwa sana ya kumfundisha bachu lugha na maana zake tena hasa anapotafsiri vitabu ya wana zuoni kama Barzanji Kuanguka kwa masanamu maana yake uzalio wake mtume umeudondosha utawala ulio kua unaabudu masanamu na ushirikini yaani hata hili bachu hajui yaani mtihani sana huu inaonyesha hata walimu wake nao hawana elimu yaani haya hili duh
@salimkhatri8064
@salimkhatri8064 8 ай бұрын
Hiyo hoja ya masanamu kudondoka imejibiwa vizuri tu kwenye munaqasha. Unaporudia hoja hiyo hiyo tena wala takuelewi unakuwa na maana gani.
@selemaniseif7270
@selemaniseif7270 Жыл бұрын
I under stand dr bachu. But sabas inna lilah wanna ilahi rrajiuun
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 Жыл бұрын
Sheikh bacho ma Shaa Allah hoja unazo na elim unayo
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 Жыл бұрын
Maulid yalikuako zama zamtume ikisomwa...Huyo Bachu Amekuja kufitinisha waialam ...kuna kazi kubwa yakuslimisha nakusadia waislam maskini...Bachu Analeta fitna katika umma wakiislam ....hio nikazi yashetani ..kazi zamuhomu zawaialam ziko nyngi zakuupeleka uislam mbele
@ibrahimjumadr
@ibrahimjumadr Жыл бұрын
Kumbe Mtume alisoma maulid? Daaah... Kuna haja ya kuanza upya kusoma dini. 😢
@liasamu6011
@liasamu6011 Жыл бұрын
Ww kojoa ulale kama huna elimu kaka
@timesimai4537
@timesimai4537 Жыл бұрын
Hata kuandika hujui baada ya waislam wasema wailaam, labda huyo mtume wa wailaam ila sio mtume wa waislam,
@allyhamza6941
@allyhamza6941 Жыл бұрын
Wengi tume muelewa Bachu kwakua yy katafsiri maneno lakin hatuja muelewa Sabas kwakua kachimba kielimu ambayo hakuna hata kimoja tunacho kijua ndio mana hatujamuelewa kwa haraka hii ni elmu na fani za elmu ktk kujib mwaswali yuko sahihi kabisa lakin nina uhakika kuna vitu vingine vimelezewa Bachu pia hajavielewa na kma angevielewa basi angemjib Sabas kwa kumpinga kwa kutoa fact ktk nyanja zile zile alizo pita Sabac ndiomana yeye anatoa mifano ya chuma kwa mahindi na ndiomana alisema mwanzoni ilitakiwa kuwepo na mtu wa lugha ili ahakikisge tafsri kilugha je alivyotafsiri Bachu ni usahihi ?
@jumatina2234
@jumatina2234 Жыл бұрын
Ili tufahamu zaidi kikubwa ni kusoma Elimu ni pana siyo kila mtu anatoa tafsiri kulingana na alivyosoma tu anatakawa asome pia na fani za elimu hata quran kuna walimu wanaifafanua vizuri hadi unaelewa siyo unapewa tafsiri peke yake bila kupewa maana yake. Ni kama kiingereza unaweza ukakuta neno moja linatumika katika sentensi tofauti tofauti na maana tofauti, In short tusome tu Sheikh Sabbas anaenda deep ili tuelewe kiundani but sisi tunapenda ushabiki hatutaki kuelewa
@salimkhatri8064
@salimkhatri8064 8 ай бұрын
@@jumatina2234 katika hoja 19 alizotoa Shk. Bachu, ni hoja moja tu ambayo Shk. Sabas alifanya jaribio la kujibu kwa kutoa hoja ya "majazi". Hoja ya majazi ilibomolewa na Shk. Bachu kwa kuleta kunukuu kitabu cha Barzanji a kuthibitisha kuwa siyo kweli uwepo wa Bi. Asia (ra) na Bi. Mariam (ra) ulikuwa ni majazi. Hoja za Shk. Bachu ni nyepesi kabisa lakini kwa sababu hakuna majibu sahihi ya kuvunja hizo hoja ndipo Shk. Sabas akaamua kujificha nyuma ya "kanuni za kuhukumu", "majazi" na nyiye mnachofanya ni kuunga mkono Shk. Sabas kujificha kwenye hilo pazia. Maneno ya kutoka kwenye kitabu cha Barzanji yameletwa, badala ya kujadili kama hayo maneno yana ukweli ama la, unaanza kuleta hadithi ndefu ili mradi ukimbie jukumu lilikupeleka pale. Ni shida hii.
@baqdaadbrotherhood3086
@baqdaadbrotherhood3086 Жыл бұрын
How is he even a sheikh if isn’t hafidhul Quran 😢😢😢😢😢😢😢😢
@rashidabdallah4310
@rashidabdallah4310 Жыл бұрын
Nassor bachu shukran sana kaka kwa kutoa kutu kwenye kichwa changu.
@mabruqjumamponda7629
@mabruqjumamponda7629 Жыл бұрын
"Tv niuongo leo ni live" Sabas chuma unacho leo😂😂
@mgeninaima9866
@mgeninaima9866 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂kilimramba
@mabruqjumamponda7629
@mabruqjumamponda7629 Жыл бұрын
🤣🤣🤣kilimramba ile proper brother
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Sisi tulio nchi za uarabuni makkah na madina tunazo karibu kwenye miji mitakatifu lakn tangu nije huku cjaona maulidi hata cku moja mwaka ni wa tano huu ssa kwetu Africa ndio tuwe twashindana na vtu ambavyo havikutajwa kisheria maulidi ni bidaa hayafai
@iddykisome3126
@iddykisome3126 Жыл бұрын
Hakika Mimi kwa elimu yangu namuelewa sana bachu sasa upande wa pili waturahisishie tuwaelewa kirahisi
@hashimsalum5687
@hashimsalum5687 Жыл бұрын
Mm kwa upande wangu cjamfahamu hata kidogo majazi akubra
@RUTUFUHEMEDI-xh4hc
@RUTUFUHEMEDI-xh4hc Жыл бұрын
Asalam alaikum shekh
@alimuchiri6151
@alimuchiri6151 Жыл бұрын
Bachu kawagaragaza....ile mbayaa
@kitonikitoni6299
@kitonikitoni6299 Жыл бұрын
Masha Allah sabas huyo achana nae maana hajui lugha ilivyo wala maneno yanavyotumika sasa kama kuanguka kwa masanamu anaelewa kuanguka hivyo unadhamu hapo unaelewana nae vipi mwambie asome maana ya hicho kilichotumika kwanza ndio muelewane nae huyo Barzanj ni msomi mkubwa sana katunga hiko kitabu kwa lugha ya kisomi sana
@Imranosman-n9h
@Imranosman-n9h Жыл бұрын
Niqash ya shirki iwapi? Allah Aturuzuqu Ikhlas ili hii nikash ipate barka.
@habibukavabuha8584
@habibukavabuha8584 Жыл бұрын
Ukweli umebainika kilicho baki ni aidha kuufuata haki au kuendelea kuogelea kwenye dimbwi la batili kazi kwako tafadhali.
@omaryabdallah8734
@omaryabdallah8734 Жыл бұрын
Dah katika niliyo yabaini kwa sabbasi niukubwa wajina na joho wala sio elimu mana hata قرآن hajui kusoma akati ndo masdari ya kwanza ktk lugha akimbilia balagha Na ktk kumshauri shekh sabbasi akarudie tena kwenda madrasa kujifunza upya قرآن na ahifadhi kabisa.
@FatumaSaidi-u9x
@FatumaSaidi-u9x Жыл бұрын
Hapo sasa
@omarally6819
@omarally6819 Жыл бұрын
Shekh Muhammad maashaa Allaah umeshinda vita kwa hojja na dalili. Masufi wamevuka nguo kweupe hadharani mbele za watu, nawao ndio wanao jinata kwamba fahamu zao ni nzuri, nasisi fahamu zetu ni mbovu, lkn hayo ni madai yao mabovu tu, lkn kwenye Niqaash chua zime jitenga na mchele. Hahahahahahahaha. Yule FAASIQ haji upepo naona kimya!!!😂😂😂😂😂
@abubakaribashiru9454
@abubakaribashiru9454 Жыл бұрын
Yaaani wewe hujielewi kabisa. Unamuitaje mwenzako faasik Dah hivi unajielewa?
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Sijuikama hawajali baada yakujuaukweri. Wazushiwa maulidi
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 5 ай бұрын
Hii siku nilifurahi sana
@hasanathuman6591
@hasanathuman6591 Жыл бұрын
yaan huyu shekh yeye kang'ang'ania majazi majazi hana lingine
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
*Fanyeni Kazi ya Allah na Allah atawalipa kila lililo na khair In Sha Allah.. Mke ndio kamkosa😂😂*
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. Жыл бұрын
😂
@AliIbrahim-lv5cq
@AliIbrahim-lv5cq Жыл бұрын
Dadaetu akapike ubwabwa wa maulidini !!Subutuuu😂😂😂
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
@@AliIbrahim-lv5cq 😁😁😁
@hassanmohamedlaizer569
@hassanmohamedlaizer569 Жыл бұрын
​@@ibrahimjumaa538hatutaki dada yetu akafundishwe majazi 😂😂 elimu mbovu
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
@@hassanmohamedlaizer569 😁😁
@aziziabdulrahman3914
@aziziabdulrahman3914 Жыл бұрын
Elimu ya kiislam ni Pana sana huu uwanja ata mazinge haumuhusu huu ni wigo Mpana umeme wa gas huoo ila pia hawa kukaa na mazinge kwenye mezan ziid ya wakiristo hawaweI kwahyo apo kila mmoja anakula kwake
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Ibrahim bakozi utadhalilika!! Acha HAYO mambo kapambane na wakristo
@AzizaAziza-x1w
@AzizaAziza-x1w 3 ай бұрын
Muhammad bachu acha porojo kajfunze hekima inaonekana huna hekima ktk dini unachofanya hakuna mwanazuon amefanya
@mwinyimatano9497
@mwinyimatano9497 Жыл бұрын
Wacha kuogopa kujibu maswali kama huna hoja baba sabass Waka wazi maana sikuelewi kabixa naongea Sana lkn ujiumauma2 baba
@IbrahimMuhammad-o3y
@IbrahimMuhammad-o3y Жыл бұрын
Asant bachu natamn uwe mwalimu wg mpak kufa kwang
@mwinyimatano9497
@mwinyimatano9497 Жыл бұрын
Pangua hizo hoja za bachu usijiumeume baba😊😂😂😂😂 unaskitisha Sana Wewe sabass😊
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 11 ай бұрын
Watu wa mlo haooo😂😂😂
@AsiaChamzuri-ec3gy
@AsiaChamzuri-ec3gy Жыл бұрын
Hio ndio shida yenu mawahabby wazungu wamewatengeneza na mmetengezeka kiburi kinawaweka mbali na Allah kila mhabby ni msomi na nishekh anaweza hukumu hukmu yyte polen sana
@AsiaChamzuri-ec3gy
@AsiaChamzuri-ec3gy Жыл бұрын
Mkumbkumke walimwengu mnaoskiliza maneno ya Hawa watu wapo kwa sabu yakufarakanisha waislam
@Mandakaw2
@Mandakaw2 Жыл бұрын
Kwa interview kabla mdahalo. Ali Abubakar amenukuu point nzuri sana. Kusiletwe mambo na Nahwu, Balagha etc. Watu wake kwatika maudhui, dalili ziletwe za Kielimu. Kisha AlKubra ameende huko huko kueleza Nahwu. Tutaacha lini mambo haya, watu waelimishane? Sisi ambao hatujasoma tupate faida. Mazinge ameuliza swali la kijuha, samahani kutumia hii lugha. Eti mdudu chungu ameongea lugha gani. Enh!😮
@Randomcattvideos
@Randomcattvideos Жыл бұрын
Yani maneno yako ni sawa na kusema someni tu quran haina haja kujua kiarabu wewe hi barzanji imeandikiwa kwa fani tofauti tofauti bila kujua hizo fani huwezi kujia aliyeandika amemaanisha nini ili uielewe barzanji lazima ujue background ya fani zilizotumika
@ShakriBakar-di5po
@ShakriBakar-di5po Жыл бұрын
Usimuite ibntaimia meite sh. Njia
@mtorosenga1272
@mtorosenga1272 Жыл бұрын
Sjeikh sabaas ana elmu kubwa mno
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 11 ай бұрын
Hajajibu hoja hata 1😂😂😂
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Mmoja anasema KITABU kinauongo lkn maulidini anaenda kula ubwabwa
@IbrahimMuhammad-o3y
@IbrahimMuhammad-o3y Жыл бұрын
Bachu hajatok kwenye mada ila anakufafanulia tu anachokusudia kukufahamisha kwausahihi ila kwakua huoni ndani na hunapakutokea unasema ameingia kweny bahar nyengine kaingia kweny bahar nyengine kivip apo nainawezekan vp wakat mada nimoja
@usseneandurabe9733
@usseneandurabe9733 Жыл бұрын
Majaazi wal kubra katandikwa mpaka akageuka dubu si nchezo
@mwinyimatano9497
@mwinyimatano9497 Жыл бұрын
Jibu maswali baba usilete mbwembwe nyingi mdomo umekauka mate tayari kablah ya kujibu😂😂😂😂😂😂 utajiramba Sana mdomo
@JumaK-rl5eg
@JumaK-rl5eg Жыл бұрын
watu wa mawlid tuache unafiki hapa tumepigwa
@funnysmile8666
@funnysmile8666 Жыл бұрын
hahahahhah
@seifsalum3018
@seifsalum3018 Жыл бұрын
Al majaaz , jamaa alikuwa anaombea maiki ilete shida ila apumue kidg🤣😂😂
@abdurahimabdulkadir3926
@abdurahimabdulkadir3926 Жыл бұрын
Shekh sabas hakujibu kitu amebambanya tu
@alimasiga8422
@alimasiga8422 Жыл бұрын
Bid'aa imekaribisha ushia kwa usunni.
@AzizaAziza-x1w
@AzizaAziza-x1w 3 ай бұрын
Inawezekana bachu radhi huna
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Huyu bachu anatisha kwa hoja
@HalimaDuba-b8l
@HalimaDuba-b8l Жыл бұрын
Hayo maswali ya kwanza 5 hajajibu hata moja
@seifsalum3018
@seifsalum3018 Жыл бұрын
Maiki mbona nzimaa shekh acha kuzuga😆😆
@mussahamisi1191
@mussahamisi1191 6 ай бұрын
Nawe Muhammad bachu unawekaje mdahalo na mtu kama huyu mate yanamkauka mdomoni na hawezi jibu hoja ata moja maulidi ni bidaa kwisha
@allykhan6440
@allykhan6440 Жыл бұрын
we bachu huna heshima
@giltaemi4017
@giltaemi4017 Жыл бұрын
Zamani mlisema hana elimu saivi hana heshima ipo siku mtasema hana nywele😂😂😂😂😂
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Bid'a na ushirikina hafai kuheshimiwa
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Hhahahhaha! Ktk haki hakuna kumheshim mtu
@abeliever6823
@abeliever6823 Жыл бұрын
Majibu na challenge m.kzbin.info/www/bejne/gpjOiIerf7uLras&pp=ygUVQmFjaHUgc3dhaGlsaSBtamFkYWxh
@ustadhwaladhun6805
@ustadhwaladhun6805 Жыл бұрын
Mwambieni bachu adanganye tu watu wa tanga asirudi mobasa tena ata aibika zaidi
@mussahamisi1191
@mussahamisi1191 6 ай бұрын
Yani natamani kumtandika viboko huyu Ustadhi hawezi kabisa kabisa kujibu hoja pumbavu sana
@mussahamisi1191
@mussahamisi1191 6 ай бұрын
Kwa kweli mm si katika mawahabi ila kwa maulidi siyapendi kutoka moyoni ni uzushi mkubwa mtu ametoa hoja badala ajibiwe kwa hoja mtu unaleta visheria sheria tunataka uthibitisho wa hoja hizo jamani huyu sheikh kajifunika na mtandio kaniudhi sana 😢😢😏😏😏😔😚😒😡😡😠
@yoboy787
@yoboy787 Жыл бұрын
He didn’t wanna answer the question . All he talked about is hukumu . I new he wouldn’t be able to answer them 😅
@yoboy787
@yoboy787 Жыл бұрын
I love you sheik Muhammad bachu. May Allah protect you ❤
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Sabbas anapaniki sana!
@omaryabdallah8734
@omaryabdallah8734 Жыл бұрын
Sabbasi hajui kusoma hata قرآن
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Жыл бұрын
Niwambie ukwel tu kama tatizo ni kitabu tutabadilisha kitabu na kutumia chengine lakn kwa kuacha maulidi hiyo hapana nehi
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Hahahaa!! Ubwabwa uendeleee!!
@HamisOman-s8h
@HamisOman-s8h 9 ай бұрын
Bachu ulipigwa kipigo na saidi hutasahu weye
@fauztv.
@fauztv. Жыл бұрын
shekhe tuwekee kile kipande cha mwishooo kabsa milpo ulizana swali kwa jibu papo kwa papo tafadhar
@AsiaChamzuri-ec3gy
@AsiaChamzuri-ec3gy Жыл бұрын
Mimi CNA ilmu lkn naskiliza maneno ya huyu mhabby najenga maswali tele ,nakuuliza bachu barzanje imeandikwa juzi? Au mashekh wootee waliosoma barzanje hawana akili ila ww hao waliokusomesha ww ni vipofu www ndo unajua kuliko wao au umetumwa?Nina mashaka na akili zako
@Rukaiyaameir
@Rukaiyaameir Жыл бұрын
Tunaomba na nakash ya shirk uitume
@bojomohamed9999
@bojomohamed9999 8 ай бұрын
jamani MUNGU atunusuru...sai muislam adui wa muislam mwenzake dalili za kiama kweli hizi
@abdurahimabdulkadir3926
@abdurahimabdulkadir3926 Жыл бұрын
Kisha sabas ywasema msijali ntajibu nina mda mrefu lkni mda umeisha hukujibu kitu
@abubakarhajjabubakarhajj1252
@abubakarhajjabubakarhajj1252 Жыл бұрын
Sabas umepoteza muelekeo
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
SIKUTEGEMEA KAMA SABAS TUNAYEMTEGEMEA ANGETUA NGUSHA, KWELI KAANGUKA HANA MAJIBU WALA HOJA
@abeliever6823
@abeliever6823 Жыл бұрын
Assalaam Alaykum. Nimeskitika sana niliposikia kuhusu mjadala kuhusu kitabu cha sheikh Bazranji. Nasema hawa ndugu zetu kutoka na sect ya wahhabiya wameleta balaa na fitna. Hata inchi ya Saudia sasa wameanza kuwona matunda ya hawa watu. Alhamdulillah watu wengi wanaanza kuwa mbali sana na fikra za wahhabism. Msomaji mkuu kutoka US Dr. Yasir Qadhi amesoma Madina. Alikuwa mmoja katika ndugu zetu wa kina Wahhabism. Alhamdulillah amefarikiana nao. Amezungumza sana na hatari ya fikra za hawa Jamaa. Nawaomba ndugu zetu kutokana na hawa wanaojiita salafi wasikilize maneno ya huyu sheikh. m.kzbin.info/www/bejne/moPXinaAbMd4a6s Nawaomba ndugu zetu: wacheni kuvuruga watu. Wawacheni watu ambao wametangulia mbele ya Allah. Jishughulisheni na mambo ambayo yataleta manufaa. Allah atupe hidaaya.
MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA TATU |Muhammad Bachu
1:19:00
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 29 М.
MJADALA MAALUMU WA KUPANGA TARATIBU ZA MUNAQASHA  || SEHEMU YA KWANZA || 29/5/2023.
1:01:49
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 33 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 57 МЛН
Muhammad Bachu||MANENO MABAYA YA QASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID
52:59
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 99 М.
MDAHALO, USHIRIKINA NDANI YA BARAZANJI UKWELI WABAINIKA TANGA
1:11:24
AL MUBAJJAL TV
Рет қаралды 47 М.
MUNAQASHA ULIOWAFUNGUA WATU MACHO- SHEIKH. MUHAMMAD BACHU MOMBASA 24/9/2023
2:54:48
BARZANJI MAULIDINI Sheikh Said Bafana
47:08
Masjid Riyadha Nairobi
Рет қаралды 43 М.
MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA NNE |Muhammad Bachu
49:45
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 63 М.
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24