Hongera sana wapiganaji wa injili. Mungu azidi kuwatumia sawa sawa na mapenzi yake. Kazi yenu ni njema.
@steveodipo46363 жыл бұрын
This song is always on repeat mode while I'm travelling upcountry. Mwalimu Freddy sauti yako ya kuongoza na ueledi wako utasalia nasi. This song has been ringing on my mind for the longest now going to work and doing some errands of who I am today. I am much suddened by your demise Freddy. May God Rest your soul in eternal peace. Mungu alitupa na pia ametwa sifa na utukufu kwake. Tunasheherekea maisha yake humu duniani na nyimbo hizi nzuri alizoongoza zitasalia nasi.
@steveodipo4636 Жыл бұрын
In deed If God Says Yes nobody can say No. I'm certain that this song talks about my life at the moment. God is true to His promises. He will fulfill at the appointed time.
@jeandidodhedonga26054 жыл бұрын
Aksate kwa ujumbe iyo mungu amubariki .ni mimi dido toka DRC
@manfrednguvila89034 жыл бұрын
Honestly I'm in love with Song. Mbarikiwe sana
@luciasimeo21703 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa wimbo wenye ujumbe wa kutia moyo, mnavutia ata mavazi yenu.
Nawapenda toka udogo wangu mpaka utuu uzimaa sijawahii wakinai nawapenda mnoo mnanipa motisha Zaid ya kumtumikia munguu
@DevothaJohn-q4s3 күн бұрын
Aiseeeeee nawapenda mno mno mnooooooo
@adventinapastory49034 жыл бұрын
Huu wimbo sichoki kuusikiliza Mungu awabariki sana injili ya Mungu isonge mbele🙏🙏🙏🙏
@jeremiahmwakitwile51584 жыл бұрын
Viongozi nawaomba muwe tayari kupokea ushauri, kuukubali au kuukataa ni hiari yenu kulingana na vile mnavyoona inafaa.
@priscagidion32184 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi wimbo mzuri sana
@frednandysa2833 жыл бұрын
Pumzikaa kwa Amani mwal fredy Mungu aikumbukee huduma yako
@robertmodestmushema12974 жыл бұрын
Great music na ujumbe mzuri mno. Rhumba la YESU. Hongereni sana watu wa Mungu kwa kazi nzuri sana
@julianasanga95484 жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi hii kakika hakuna wakupinga hii kazi sio ya kitoto nimeielewa sana
@naomikalinga30423 жыл бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri kweli MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana
@saraphinasamwely47752 жыл бұрын
Kila nisikilizapo 👂wimbo huu na WA ulinz wako nabarikiwa San 😘👏👏👏👏
@philipoammo885511 ай бұрын
God bless you
@florenceakyomo43194 жыл бұрын
Kazi nzr Mungu awainue kwa viwango vya juu zaidi
@shawnmichael69994 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu awatunze
@cleopakamanga78894 жыл бұрын
Shawn Michael mafundi makapten wa kwaya yote majinayenu hamuja wahi niangusha
@robertmodestmushema12974 жыл бұрын
Mtumishi MWAMAKULA ni prodyuza mnyenyekevu sana na kazi zake ni nzuri. Nimependa kuwa kumbe anatumika kwenye uimbaji pia. MUNGU ABARIKI SANA. Mungu azidi kuwainua watumishi wa NICE GROUP, wanatoa mabasi yao kusupport huduma za Injili kwa gharama nafuu sana.
@ezesolo48614 жыл бұрын
Wow nice sana watu wangu wa nguvuu
@fredrickmtangoo50714 жыл бұрын
Mungu awabariki,kwa kweli hili ni fundisho kwa vizazi vijavyo.
@eliamanigolitagolitamsengi93483 жыл бұрын
Mtangoo hawa jamaa wanamapigo kama yenu.
@williadfred54 жыл бұрын
Wimbo mzuri, video nzuri, kila kitu kizuri! Mungu awabariki efatha choir! Mbona mmeshaimba kuwa maadui ni wengi!!!!! Kwa hiyo director usijali kuhusu comment !!!!
@mpeligwaibrahim85964 жыл бұрын
Amen
@selegioelias90764 жыл бұрын
Am blessed with the massage
@farajakhamis41764 жыл бұрын
Mungu Asantee sana efatha choir kwa kazi nzurii Mung awabarikii
@helenamtunge86462 жыл бұрын
Ulienda lkn KAZI zako nyingi Sana na njema Sana za kumsifu Mungu zinafanya utaendelea kuishi sauti Yako nzuri tutaendelea kuisikia ikituinjilisha. Pumzika Kwa amani Mwl. Fred Mwamakula
@gideonelias53794 жыл бұрын
Ukiachilia ujumbe mzuri, music arrangement imetulia sana solo na rhysim, piano, bass na drums🔥🔥🔥🙌🙌
@kelvinsokolo50574 жыл бұрын
mwenyekiti nimeanza kazi niliyo ahidi naomba mungu anisaidie amen
@solomonkibona30453 жыл бұрын
Ama kweli, wasiwasi wangu ni wa nini? Kilele cha ubora wa huduma ya uimbaji. Wakaguzi tumeona utamu wa sauti, mpangilio wa muziki, display njema. Mungu awabariki sana.
@annaa.kijanjali79684 жыл бұрын
Nice song..wimbo unagusa mno.mbarikiwe sana ktk huduma
Inafurahisha sana kuona kwaya sasa zimeanza kufufuka baada ya single artists kutamba huku uhuru pale shangilieni kule uinjilist forest nk nk safi sana...
@rosemwashitete43052 жыл бұрын
Kweli ukimwamini Mungu anatimiza ahadi ooo Asante yesu
@tumpesimbeye36804 жыл бұрын
Hongereni kwa uimbaji mzuri
@deborabrownsentimea39013 жыл бұрын
Poleni sn kwa msiba mzito mlioupata. Mungu mfariji awe faraja yenu watu wa Mungu
@rehemamshiko67532 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi napenda kuwasikiliza sana
@lusekelomwaijande10532 жыл бұрын
Mpo vizurii wapendwa Kristo azidi kuwasimamisha tena
@kyalagwamaka1550 Жыл бұрын
Mmaaa le mwalimbile bhajhubha na bhatata ndagha lelo bhanyaa👏👏👏👏
@bupenakajuni7154 жыл бұрын
I see you da Ney Ambakisye Yesu azidi kukutumia apendavyo
@fatmaallyabdul17323 жыл бұрын
PUMZIKA KWA AMANI MTUMISHI FRED MWAMAKULA,umepigana vita,umeilinda imani hatimaye umemaliza mwendo,Mungu baba uliyemtumikia akupokee na akupe makazi mema kwake mbinguni,R.I.P school mate
@amazonsecurity53594 жыл бұрын
BARIKIWA SANA BARAKA, KWA UIMBAJI MZURI, NAWAPENDA SANA EFATHA CHOIR TOKA ENZI HIZO MPAKA SASA, NIMEKOSA TAMASHA LENU LILIFANYIKA RUANDA MORAVIAN MBEYA, NIMESIKITIKA SANA
@geliajohn1634 жыл бұрын
Sana masolo wanguuuuu
@upendosilasmabanda13414 жыл бұрын
Mbarikiwe
@eveassey51623 жыл бұрын
Nunu fijo malafyale songa mbele
@samilandoo4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana wapendwa
@jamesalphoncemwangosi73834 жыл бұрын
My best choir of all time
@watchmaniansayah3 жыл бұрын
Akikukubali Mungu #Rest in Peace Mwalimu Mwamakula ♥️
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Naupendaga Sana wimbo huu mpaka basi tuu
@Tundumakidsentertainment Жыл бұрын
Daah FRADI 💪💪🙏🙏
@lordorcas934410 ай бұрын
Mungu tu Chunge Ba lozi ba Chawi ba na Pita ba na Tess kiss I kiaku
@jeniphergessu28134 ай бұрын
Namuona Uncle wangu katika ubora wake@Lwitiko Mwangaya
@ikupamwangaya21584 жыл бұрын
Nawapenda Sana Mungu awabariki nataman Sana siku moja nije kuimba huo choir
@tuntufyeambukege8774 жыл бұрын
Karibu
@isachosea98834 жыл бұрын
Naomba namba ya kiongoz wa kwaya hiii
@bettinakrell78714 жыл бұрын
Nzuri sana. It's so good to see and hear you and your message. Greatings from Rimbach, may od bless you
@MrGessau4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe watumishi wa Mungu.
@geliajohn1634 жыл бұрын
Mubarikiwe wote mlioshiriki kufanikisha kazi hii, Hakika Mungu amesema kwangu haleluyaaaaaaaaaaaa
@annastaziajohn99304 жыл бұрын
Jaman siomuon yule dada iliekuwa sololist kwenye wimbo wa Effatha mweupe mnene ana mwanya
@damsonmsalangi3900 Жыл бұрын
Ht mm simuon 😭
@helenamtunge86462 жыл бұрын
Endelea kupumzika Kwa amani Mwamakula
@elizabethjames72953 жыл бұрын
Pumzika kwa amani kaka fredy Mwamakula daaaa inaumiza sana mwalimu
@dorcas2334 жыл бұрын
Naipenda hii, Ameen #SingAlong
@dottokabogolo28674 жыл бұрын
Mooo fireeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@masebomusic4 жыл бұрын
This is Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Efatha Choir Be Blessed Much
@AbelMtawa-x3n Жыл бұрын
Mubarakiwe sana
@CristonaEdward4 ай бұрын
Hii nyimbo itaishi moyoni mwangu
@robertyandilo79642 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa ujumbe huu na Mungu azidi kuwainua
@robinsonmwakyambiki96504 жыл бұрын
Amen, asante kwa ujumbe mzuri... Mungu akisema ndiyo hakuna wa kusema hapana... Hongera sana Efatha, Mungu aendelee kuwabariki
@patrickmaloba2144 жыл бұрын
Nzambe apambola bino
@joycemenard4814 жыл бұрын
Song is on fire🔥🔥🔥 God bless you Efatha choir
@eliaheliah17123 жыл бұрын
Wimbo mzuri
@abodetidings83924 жыл бұрын
nice one
@solutioncreations25494 жыл бұрын
Love this song thanks my good people
@jacobwatson54204 жыл бұрын
Wonderful message!! wonderful spiritual song to feed the soul. God bless
@mpeligwaibrahim85964 жыл бұрын
Amen,thank
@stellarkaguo22724 жыл бұрын
unaweza ukamshukuru MUNGU for this amazing video of MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana ,watumishi wameifanya kweli
@geliajohn1634 жыл бұрын
Kazi nzuri sanaaaaaaaaa
@dickminjasafarijournaltanz39292 жыл бұрын
Mungu awabariki sana.Nikisema mtadhani natania huu wimbo kila saa nikiungalia au kuusikiliza nalia.kwanini nalia nijuu ya upendo wa Yesu anaousisitiza dada wa solo wa kwanza anapoimba kwa hisia kali kwamba Yesu ametupa wokovu bureeeeeeee!!!! rudia kumsikiliza kwa makini na utulivu utafahamu ya kuwa ana hisia kali na angependa uelewe jambo hili kubwa alilolifanya Kristo Yesu Bwana.Waimbaji na masolo wote wameimba kwa namna ya ajabu kuufikisha ujumbe huu wa Baraka kwenye maisha yetu.Lala Salama Mtu Mkuu wa Mungu Mwamakula.Nilianza kuipenda kwaya hii na wewe mlipotoa albam yenu Usalama.Sijaacha kuwapenda na nawaombea sana.Karibuni KKKT Usharika wa Arusha Mjini mtaa wa Mjini kati siku moja Tumwimbie Mungu Pamoja Mbarikiwe
@NathannelsonMshani Жыл бұрын
Mungu awabariki
@rehemamhando3102 жыл бұрын
Good
@godwinmassawe61372 жыл бұрын
Ongereni sana nimewapenda
@daudimhoha50504 жыл бұрын
Kweliahadi. Zamungu. Nikweli
@neemaedward80774 жыл бұрын
Hakika mubarikiwe kwa wimbo mzuri wenye upako ,bila shaka nyie in vijana kati mwanakondoo ameshinda
@TumpaleEdson-je4rp Жыл бұрын
RIP mwalimu mwamakula😢😢😢
@adhamagospelsingersags59724 жыл бұрын
Dah namkumbuka mwalimu fred mwamakula
@immaculathaayubu62573 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@tutamlakigospelsingerschoi10674 жыл бұрын
Nawakubali balaa nafurahi Sana nyimbo zenu
@daudimhoha3202 ай бұрын
Haleluya👍
@daudimhoha3202 ай бұрын
Hakika.mungu.amesema.ndio👍🙏
@felixmwasongwe80434 жыл бұрын
Mungu anatuwazia mema
@mpeligwaibrahim85964 жыл бұрын
Kabisa
@rachelmwaigwisya99593 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Mbarikiwe sanaaaa
@jeniphergessu28134 ай бұрын
namuona anko wangu Lwitiko Mwangaya
@christinamsuya54922 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mwamakula
@tumainimbise89733 жыл бұрын
Ndyooo.. Mungu hasemag uongo... Ndyoo Ni ndyooo
@tricykalukwa56974 жыл бұрын
Sweet!!
@rehemaosia55204 жыл бұрын
nakuona ccta neema mwasaga mungu abariki kipaji chako