MUNGU AKISEMA NDIYO _EFATHA CHOIR UHURU MORAVIAN (OFFICIAL VIDEO)

  Рет қаралды 392,507

MORAVIAN EFATHA CHOIR

MORAVIAN EFATHA CHOIR

Күн бұрын

Пікірлер: 159
@uinjilistiforestchoir7157
@uinjilistiforestchoir7157 4 жыл бұрын
Hongera sana wapiganaji wa injili. Mungu azidi kuwatumia sawa sawa na mapenzi yake. Kazi yenu ni njema.
@steveodipo4636
@steveodipo4636 3 жыл бұрын
This song is always on repeat mode while I'm travelling upcountry. Mwalimu Freddy sauti yako ya kuongoza na ueledi wako utasalia nasi. This song has been ringing on my mind for the longest now going to work and doing some errands of who I am today. I am much suddened by your demise Freddy. May God Rest your soul in eternal peace. Mungu alitupa na pia ametwa sifa na utukufu kwake. Tunasheherekea maisha yake humu duniani na nyimbo hizi nzuri alizoongoza zitasalia nasi.
@steveodipo4636
@steveodipo4636 Жыл бұрын
In deed If God Says Yes nobody can say No. I'm certain that this song talks about my life at the moment. God is true to His promises. He will fulfill at the appointed time.
@jeandidodhedonga2605
@jeandidodhedonga2605 4 жыл бұрын
Aksate kwa ujumbe iyo mungu amubariki .ni mimi dido toka DRC
@manfrednguvila8903
@manfrednguvila8903 4 жыл бұрын
Honestly I'm in love with Song. Mbarikiwe sana
@luciasimeo2170
@luciasimeo2170 3 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa wimbo wenye ujumbe wa kutia moyo, mnavutia ata mavazi yenu.
@geliajohn163
@geliajohn163 4 жыл бұрын
Masolo wangu mmetisha, wapigaji safii waimbaji safiiii
@modestarmtafya3117
@modestarmtafya3117 3 жыл бұрын
Nawapenda toka udogo wangu mpaka utuu uzimaa sijawahii wakinai nawapenda mnoo mnanipa motisha Zaid ya kumtumikia munguu
@DevothaJohn-q4s
@DevothaJohn-q4s 3 күн бұрын
Aiseeeeee nawapenda mno mno mnooooooo
@adventinapastory4903
@adventinapastory4903 4 жыл бұрын
Huu wimbo sichoki kuusikiliza Mungu awabariki sana injili ya Mungu isonge mbele🙏🙏🙏🙏
@jeremiahmwakitwile5158
@jeremiahmwakitwile5158 4 жыл бұрын
Viongozi nawaomba muwe tayari kupokea ushauri, kuukubali au kuukataa ni hiari yenu kulingana na vile mnavyoona inafaa.
@priscagidion3218
@priscagidion3218 4 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi wimbo mzuri sana
@frednandysa283
@frednandysa283 3 жыл бұрын
Pumzikaa kwa Amani mwal fredy Mungu aikumbukee huduma yako
@robertmodestmushema1297
@robertmodestmushema1297 4 жыл бұрын
Great music na ujumbe mzuri mno. Rhumba la YESU. Hongereni sana watu wa Mungu kwa kazi nzuri sana
@julianasanga9548
@julianasanga9548 4 жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi hii kakika hakuna wakupinga hii kazi sio ya kitoto nimeielewa sana
@naomikalinga3042
@naomikalinga3042 3 жыл бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri kweli MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana
@saraphinasamwely4775
@saraphinasamwely4775 2 жыл бұрын
Kila nisikilizapo 👂wimbo huu na WA ulinz wako nabarikiwa San 😘👏👏👏👏
@philipoammo8855
@philipoammo8855 11 ай бұрын
God bless you
@florenceakyomo4319
@florenceakyomo4319 4 жыл бұрын
Kazi nzr Mungu awainue kwa viwango vya juu zaidi
@shawnmichael6999
@shawnmichael6999 4 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu awatunze
@cleopakamanga7889
@cleopakamanga7889 4 жыл бұрын
Shawn Michael mafundi makapten wa kwaya yote majinayenu hamuja wahi niangusha
@robertmodestmushema1297
@robertmodestmushema1297 4 жыл бұрын
Mtumishi MWAMAKULA ni prodyuza mnyenyekevu sana na kazi zake ni nzuri. Nimependa kuwa kumbe anatumika kwenye uimbaji pia. MUNGU ABARIKI SANA. Mungu azidi kuwainua watumishi wa NICE GROUP, wanatoa mabasi yao kusupport huduma za Injili kwa gharama nafuu sana.
@ezesolo4861
@ezesolo4861 4 жыл бұрын
Wow nice sana watu wangu wa nguvuu
@fredrickmtangoo5071
@fredrickmtangoo5071 4 жыл бұрын
Mungu awabariki,kwa kweli hili ni fundisho kwa vizazi vijavyo.
@eliamanigolitagolitamsengi9348
@eliamanigolitagolitamsengi9348 3 жыл бұрын
Mtangoo hawa jamaa wanamapigo kama yenu.
@williadfred5
@williadfred5 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri, video nzuri, kila kitu kizuri! Mungu awabariki efatha choir! Mbona mmeshaimba kuwa maadui ni wengi!!!!! Kwa hiyo director usijali kuhusu comment !!!!
@mpeligwaibrahim8596
@mpeligwaibrahim8596 4 жыл бұрын
Amen
@selegioelias9076
@selegioelias9076 4 жыл бұрын
Am blessed with the massage
@farajakhamis4176
@farajakhamis4176 4 жыл бұрын
Mungu Asantee sana efatha choir kwa kazi nzurii Mung awabarikii
@helenamtunge8646
@helenamtunge8646 2 жыл бұрын
Ulienda lkn KAZI zako nyingi Sana na njema Sana za kumsifu Mungu zinafanya utaendelea kuishi sauti Yako nzuri tutaendelea kuisikia ikituinjilisha. Pumzika Kwa amani Mwl. Fred Mwamakula
@gideonelias5379
@gideonelias5379 4 жыл бұрын
Ukiachilia ujumbe mzuri, music arrangement imetulia sana solo na rhysim, piano, bass na drums🔥🔥🔥🙌🙌
@kelvinsokolo5057
@kelvinsokolo5057 4 жыл бұрын
mwenyekiti nimeanza kazi niliyo ahidi naomba mungu anisaidie amen
@solomonkibona3045
@solomonkibona3045 3 жыл бұрын
Ama kweli, wasiwasi wangu ni wa nini? Kilele cha ubora wa huduma ya uimbaji. Wakaguzi tumeona utamu wa sauti, mpangilio wa muziki, display njema. Mungu awabariki sana.
@annaa.kijanjali7968
@annaa.kijanjali7968 4 жыл бұрын
Nice song..wimbo unagusa mno.mbarikiwe sana ktk huduma
@yohanamalechela748
@yohanamalechela748 Жыл бұрын
Naitwa Mch Malekela nipo morogoro kkkt naomba mawasiliano yenu
@naomigwassa4977
@naomigwassa4977 4 жыл бұрын
Oh Yes! Akisema ndio hakuna wakusema hapana
@ipyanamahimbo1508
@ipyanamahimbo1508 4 жыл бұрын
Amina Naomi
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 2 ай бұрын
Loh,mungu atunze kile alichotuachia.
@eliamanigolitagolitamsengi9348
@eliamanigolitagolitamsengi9348 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii Kwaya, Solo wote babu kubwa ila Dada wa Kwanza ana Golden Voice. Blessing to you Guys.
@marthasokolo4903
@marthasokolo4903 2 жыл бұрын
Amen mpendwa, be blessed
@ipyanamahimbo1508
@ipyanamahimbo1508 4 жыл бұрын
Safi sana Video iko Vizuri sana Safi sana Director Kazi yako iko Vizuri Safi sana Wanakwaya Vocal ziko Vizuri sana Big up sana Efatha Choir Moravian
@luciasimeo2170
@luciasimeo2170 3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwatunza, ujumbe unatia moyo.
@annethjmasetha2862
@annethjmasetha2862 4 жыл бұрын
Asante Mungu wetu kwa kuendelea kutuwazia mema siku zote
@sarahdaniel2448
@sarahdaniel2448 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana Watumishi hongera sana kwa kazi nzuri M/Mungu awakumbuke
@EvahAmbukege
@EvahAmbukege 8 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉hakika Mungu akisema ndio hakuna kusema hapana 🙏🙏barikiwa wapendwa wa Mungu
@edwardisack1890
@edwardisack1890 4 жыл бұрын
Hongera mwamakula production, mnajitahidi sana kuondokana na mabackground ya studio,mmeachana na ma blue sreen mko so natural ,hongera sana
@dicksonandrew6947
@dicksonandrew6947 3 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi wa Mungu kutoka Moravian church
@jeniferfranky5658
@jeniferfranky5658 4 жыл бұрын
Yess!! Mungu akasema Ndiio hakuna wa kupinga
@daudimhoha5050
@daudimhoha5050 4 жыл бұрын
Munguawabariki. Sana. Wapiganaji. Wazuri. Kwawimbohuu
@HumanBeing-pj4hm
@HumanBeing-pj4hm 4 жыл бұрын
Inafurahisha sana kuona kwaya sasa zimeanza kufufuka baada ya single artists kutamba huku uhuru pale shangilieni kule uinjilist forest nk nk safi sana...
@rosemwashitete4305
@rosemwashitete4305 2 жыл бұрын
Kweli ukimwamini Mungu anatimiza ahadi ooo Asante yesu
@tumpesimbeye3680
@tumpesimbeye3680 4 жыл бұрын
Hongereni kwa uimbaji mzuri
@deborabrownsentimea3901
@deborabrownsentimea3901 3 жыл бұрын
Poleni sn kwa msiba mzito mlioupata. Mungu mfariji awe faraja yenu watu wa Mungu
@rehemamshiko6753
@rehemamshiko6753 2 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi napenda kuwasikiliza sana
@lusekelomwaijande1053
@lusekelomwaijande1053 2 жыл бұрын
Mpo vizurii wapendwa Kristo azidi kuwasimamisha tena
@kyalagwamaka1550
@kyalagwamaka1550 Жыл бұрын
Mmaaa le mwalimbile bhajhubha na bhatata ndagha lelo bhanyaa👏👏👏👏
@bupenakajuni715
@bupenakajuni715 4 жыл бұрын
I see you da Ney Ambakisye Yesu azidi kukutumia apendavyo
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 3 жыл бұрын
PUMZIKA KWA AMANI MTUMISHI FRED MWAMAKULA,umepigana vita,umeilinda imani hatimaye umemaliza mwendo,Mungu baba uliyemtumikia akupokee na akupe makazi mema kwake mbinguni,R.I.P school mate
@amazonsecurity5359
@amazonsecurity5359 4 жыл бұрын
BARIKIWA SANA BARAKA, KWA UIMBAJI MZURI, NAWAPENDA SANA EFATHA CHOIR TOKA ENZI HIZO MPAKA SASA, NIMEKOSA TAMASHA LENU LILIFANYIKA RUANDA MORAVIAN MBEYA, NIMESIKITIKA SANA
@geliajohn163
@geliajohn163 4 жыл бұрын
Sana masolo wanguuuuu
@upendosilasmabanda1341
@upendosilasmabanda1341 4 жыл бұрын
Mbarikiwe
@eveassey5162
@eveassey5162 3 жыл бұрын
Nunu fijo malafyale songa mbele
@samilandoo
@samilandoo 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana wapendwa
@jamesalphoncemwangosi7383
@jamesalphoncemwangosi7383 4 жыл бұрын
My best choir of all time
@watchmaniansayah
@watchmaniansayah 3 жыл бұрын
Akikukubali Mungu #Rest in Peace Mwalimu Mwamakula ♥️
@pilisonje8944
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Naupendaga Sana wimbo huu mpaka basi tuu
@Tundumakidsentertainment
@Tundumakidsentertainment Жыл бұрын
Daah FRADI 💪💪🙏🙏
@lordorcas9344
@lordorcas9344 10 ай бұрын
Mungu tu Chunge Ba lozi ba Chawi ba na Pita ba na Tess kiss I kiaku
@jeniphergessu2813
@jeniphergessu2813 4 ай бұрын
Namuona Uncle wangu katika ubora wake@Lwitiko Mwangaya
@ikupamwangaya2158
@ikupamwangaya2158 4 жыл бұрын
Nawapenda Sana Mungu awabariki nataman Sana siku moja nije kuimba huo choir
@tuntufyeambukege877
@tuntufyeambukege877 4 жыл бұрын
Karibu
@isachosea9883
@isachosea9883 4 жыл бұрын
Naomba namba ya kiongoz wa kwaya hiii
@bettinakrell7871
@bettinakrell7871 4 жыл бұрын
Nzuri sana. It's so good to see and hear you and your message. Greatings from Rimbach, may od bless you
@MrGessau
@MrGessau 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe watumishi wa Mungu.
@geliajohn163
@geliajohn163 4 жыл бұрын
Mubarikiwe wote mlioshiriki kufanikisha kazi hii, Hakika Mungu amesema kwangu haleluyaaaaaaaaaaaa
@annastaziajohn9930
@annastaziajohn9930 4 жыл бұрын
Jaman siomuon yule dada iliekuwa sololist kwenye wimbo wa Effatha mweupe mnene ana mwanya
@damsonmsalangi3900
@damsonmsalangi3900 Жыл бұрын
Ht mm simuon 😭
@helenamtunge8646
@helenamtunge8646 2 жыл бұрын
Endelea kupumzika Kwa amani Mwamakula
@elizabethjames7295
@elizabethjames7295 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani kaka fredy Mwamakula daaaa inaumiza sana mwalimu
@dorcas233
@dorcas233 4 жыл бұрын
Naipenda hii, Ameen #SingAlong
@dottokabogolo2867
@dottokabogolo2867 4 жыл бұрын
Mooo fireeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@masebomusic
@masebomusic 4 жыл бұрын
This is Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Efatha Choir Be Blessed Much
@AbelMtawa-x3n
@AbelMtawa-x3n Жыл бұрын
Mubarakiwe sana
@CristonaEdward
@CristonaEdward 4 ай бұрын
Hii nyimbo itaishi moyoni mwangu
@robertyandilo7964
@robertyandilo7964 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa ujumbe huu na Mungu azidi kuwainua
@robinsonmwakyambiki9650
@robinsonmwakyambiki9650 4 жыл бұрын
Amen, asante kwa ujumbe mzuri... Mungu akisema ndiyo hakuna wa kusema hapana... Hongera sana Efatha, Mungu aendelee kuwabariki
@patrickmaloba214
@patrickmaloba214 4 жыл бұрын
Nzambe apambola bino
@joycemenard481
@joycemenard481 4 жыл бұрын
Song is on fire🔥🔥🔥 God bless you Efatha choir
@eliaheliah1712
@eliaheliah1712 3 жыл бұрын
Wimbo mzuri
@abodetidings8392
@abodetidings8392 4 жыл бұрын
nice one
@solutioncreations2549
@solutioncreations2549 4 жыл бұрын
Love this song thanks my good people
@jacobwatson5420
@jacobwatson5420 4 жыл бұрын
Wonderful message!! wonderful spiritual song to feed the soul. God bless
@mpeligwaibrahim8596
@mpeligwaibrahim8596 4 жыл бұрын
Amen,thank
@stellarkaguo2272
@stellarkaguo2272 4 жыл бұрын
unaweza ukamshukuru MUNGU for this amazing video of MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana ,watumishi wameifanya kweli
@geliajohn163
@geliajohn163 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sanaaaaaaaaa
@dickminjasafarijournaltanz3929
@dickminjasafarijournaltanz3929 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana.Nikisema mtadhani natania huu wimbo kila saa nikiungalia au kuusikiliza nalia.kwanini nalia nijuu ya upendo wa Yesu anaousisitiza dada wa solo wa kwanza anapoimba kwa hisia kali kwamba Yesu ametupa wokovu bureeeeeeee!!!! rudia kumsikiliza kwa makini na utulivu utafahamu ya kuwa ana hisia kali na angependa uelewe jambo hili kubwa alilolifanya Kristo Yesu Bwana.Waimbaji na masolo wote wameimba kwa namna ya ajabu kuufikisha ujumbe huu wa Baraka kwenye maisha yetu.Lala Salama Mtu Mkuu wa Mungu Mwamakula.Nilianza kuipenda kwaya hii na wewe mlipotoa albam yenu Usalama.Sijaacha kuwapenda na nawaombea sana.Karibuni KKKT Usharika wa Arusha Mjini mtaa wa Mjini kati siku moja Tumwimbie Mungu Pamoja Mbarikiwe
@NathannelsonMshani
@NathannelsonMshani Жыл бұрын
Mungu awabariki
@rehemamhando310
@rehemamhando310 2 жыл бұрын
Good
@godwinmassawe6137
@godwinmassawe6137 2 жыл бұрын
Ongereni sana nimewapenda
@daudimhoha5050
@daudimhoha5050 4 жыл бұрын
Kweliahadi. Zamungu. Nikweli
@neemaedward8077
@neemaedward8077 4 жыл бұрын
Hakika mubarikiwe kwa wimbo mzuri wenye upako ,bila shaka nyie in vijana kati mwanakondoo ameshinda
@TumpaleEdson-je4rp
@TumpaleEdson-je4rp Жыл бұрын
RIP mwalimu mwamakula😢😢😢
@adhamagospelsingersags5972
@adhamagospelsingersags5972 4 жыл бұрын
Dah namkumbuka mwalimu fred mwamakula
@immaculathaayubu6257
@immaculathaayubu6257 3 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@tutamlakigospelsingerschoi1067
@tutamlakigospelsingerschoi1067 4 жыл бұрын
Nawakubali balaa nafurahi Sana nyimbo zenu
@daudimhoha320
@daudimhoha320 2 ай бұрын
Haleluya👍
@daudimhoha320
@daudimhoha320 2 ай бұрын
Hakika.mungu.amesema.ndio👍🙏
@felixmwasongwe8043
@felixmwasongwe8043 4 жыл бұрын
Mungu anatuwazia mema
@mpeligwaibrahim8596
@mpeligwaibrahim8596 4 жыл бұрын
Kabisa
@rachelmwaigwisya9959
@rachelmwaigwisya9959 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@pilisonje8944
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Mbarikiwe sanaaaa
@jeniphergessu2813
@jeniphergessu2813 4 ай бұрын
namuona anko wangu Lwitiko Mwangaya
@christinamsuya5492
@christinamsuya5492 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mwamakula
@tumainimbise8973
@tumainimbise8973 3 жыл бұрын
Ndyooo.. Mungu hasemag uongo... Ndyoo Ni ndyooo
@tricykalukwa5697
@tricykalukwa5697 4 жыл бұрын
Sweet!!
@rehemaosia5520
@rehemaosia5520 4 жыл бұрын
nakuona ccta neema mwasaga mungu abariki kipaji chako
@rosemarymwakyusa9608
@rosemarymwakyusa9608 4 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri
@daudimhoha5050
@daudimhoha5050 4 жыл бұрын
Kweli.mungu.akisema.nenolake.anatimiza
EFATHA CHOIR - UHURU MORAVIAN - MAZOEA (OFFICIAL VIDEO)
7:15
MORAVIAN EFATHA CHOIR
Рет қаралды 102 М.
YESU ATARUDI _ MORAVIAN EFATHA CHOIR (OFFICIAL VIDEO)
8:16
MORAVIAN EFATHA CHOIR
Рет қаралды 11 М.
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 105 МЛН
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 80 МЛН
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 125 МЛН
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 10 МЛН
Mathias Walichupa - Ni Wewe (feat. Godfrey Steven) [Official Music Video]
4:29
Mathias Walichupa
Рет қаралды 4,7 МЛН
Jicho la Tatu -  Kwaya ya Ukombozi KKKT Msasani
8:54
Ukombozi Choir
Рет қаралды 1,1 МЛН
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC MUNGU AKISEMA NDIYO ORIGINAL 2020
8:04
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 766 М.
Tulia By Tumaini BAPTIST Choir Kitale (Official Video)
7:31
TBC KITALE TV
Рет қаралды 1,5 М.
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 14 МЛН
MORAVIAN EFATHA CHOIR NA TUENENDE (OFFICIAL VIDEO)
11:27
MORAVIAN EFATHA CHOIR
Рет қаралды 33 М.
Nataka kuvuka-Bwana niongeze-Roho wa Bwana by pastor Collins Khisa.
19:55
Pastor collins khisa
Рет қаралды 485 М.
KWAYA YA UINJILISTI KIJITONYAMA |  HAKUNA MUNGU KAMA WEWE | OFFICIAL VIDEO
5:52
Uinjilisti Kijitonyama Choir
Рет қаралды 3,7 МЛН
Efatha Choir Uhuru Moravian DSM Mafarakano Official Video
9:45
Tunes Of Africa
Рет қаралды 58 М.
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 105 МЛН